Wakati sisi tunatunukiwa tuzo ya mashabiki bora Afrika, CAF NA FIFA waliangalia kiwango cha ustaarabu wetu, Ona hawa wanavyofanya mambo ya kishamba kunโgoa viti
Hivi mnajua gharama tuliyoingia Sisi na Serikali kwenye kukarabati huu Uwanja?? Halafu wewe na tiketi yako ya bure ukanโgoe kiti??
USHAMBA WA AINA HII HAUKUBALIKI NA HAUVUMILIKI
Uzuri wa @Njookariakoo2020
Wanauza Jumla Jumla na rejareja Na Msiogope WaFOLLOW @Njookariakoo2020 bei zao ni nafuu kabisa๐๐๐ป๐
Wapigie Whatapp 0719 485361
WAPO KARIAKOO MSIMBAZI POLICE
MKABALA NA MISIKITI WA #IDRISSA
KARIBU TUKUHUDUMIE๐
Hii ndio silaha yetu linapokuja suala la mashindano ya kimataifa
Hivi ndio vigezo vilivyopelekea tushinde tuzo ya Mashabiki Bora Afrika
Ujumbe wenu huu Mashabiki Bora wa Afrika
Tusahau yote yaliyopita tuanze maandalizi ya kumvaa Asec Mimosas
Waheshimiwa Wabunge Nitarudi tena Bungeni May 2024 kuwaletea Kombe la NBC Premium League hapo mtafurahi zaidi Insha Allah tuombe Uhaiโฆ
Leo Simba inarudi kwenye falsafa yake ya Ushindi na Burudani
Kijana aliyekabidhiwa mikoba ni kijana aliyeishi kwenye falsasa ya Simba kwa miaka yake yote kuanzia kucheza na kufundisha
Heshima inarudi kwenye muhimili wake
Vile tunachagua mtoko wa kesho
Kuelekea Kariakooo Derby, Simba Sports tuna silaha mbili za kutupa ushindi kwenye mchezo huo
@iddynonga_
Mgeni Rasmi wetu amefurahia sana uteuzi na ameahidi kuutendea kazi
Kijiwe cha Derby
Tunapita katika vijiwe mbalimbali vya Soka kuzungumza na Wana Simba kupata maoni yao kuelekea mchezo wa Kariakooo Derby Novemba 5
Kijiwe cha Derby kinapatikana kwenye YouTube CHANNEL ya SIMBA SC TANZANIA
@thobias17sebastian @mringox2
Nikizungumza na Media za Bongo Vs Nikizungumza na Media za Nje
Media za Bongo naongea mwili mzima, Media za Nje naongea kwa mdomo tuu
Kutokana na umuhimu wa mechi ya November 5, Nimehama nyumbani kwangu nipo msituni natafuta ushindi
Mgeni Rasmi ameomba nimtumie hii Clip anaandaaa Hotuba
Natamani Jumamosi Wana Simba tuje kwa uwingi huu Benjamini Mkapa kuiona timu yetu
Kwanza tutumie mechi hii kuwapongeza nyota wetu kufuatia kazi kubwa waliyoifanya kwenye African football League
Pili tunarejea katika Uwanja wetu tuliyoukarabati hivyo tunaenda kutumia hela zetu
Tatu tunaendelea na kampeni yetu ya kushinda kila mchezo ili kunyakua taji la ligi msimu huu
Karibuni sana Wana Lunyasiiiii, Itikieni tunakuja Semaji
Ndugu zangu wana Lunyasi sijawaangusha, Nimeitangaza vema Brand ya Simba kupitia hii interview @ontimesports
Msemaji Mkubwa, Interview kubwaaa
Mkitaka kuturoga mturogeee tuuu lakini hatutaacha kuringa kwa mafanikio haya, hatutaacha kujivunia mafanikio haya, klabu yetu imepata heshima kubwa sana
Good Morning wana Simba
Natumai mmeamka salama, Na sisi huku Misri tuko salama sana kila kitu kinaenda poa
Niwatakie Jumapili Njema na mapumziko mema ya mwisho wa Wiki
Ndo naelekea Uwanjani ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Hakuna raha kama kuwaona wana Simba wakiwa Benjamini Mkapa
Uwanja umekula hela yetu huuuu
๐๐DAAH!! Ebana Eeeh Wafollow @Njookariakoo20220 MAMBO YAMEWIVAA UKU... HAPA @njookariakoo2020 Unapata kila kitu.
Tuna Jeans za 15,000
Tuna Jeans za 20,000
Tuna Jeane za 25,000
Tuna Jeabe za 30,000
Tupigie Whatapp 0719 485361
TUPO KARIAKOO MSIMBAZI POLICE
ULIZIA MISIKITI WA IDRISA
Mnaposifia Benjamini Mkapa imependeza lazima mkumbuke kuwa Simba tumeweka hela hapo