Unajua maana ya ishara ya Awesu akifunga goli?? Acha nikupe siri
Baada ya Mamlaka kutoa taarifa kuwa Awesu ni mchezaji wa KMC na Simba iongee na KMC ili kumpata mchezaji huyo, Nyuma mwiko wakaiwaibukia KMC na kumtaka mchezaji huyo
KMC wakawaambia hapana huyu mchezaji tayari yupo kwenye Mazungumzo na Simba na anapenda na Simba na sisi hatuwezi kubadilisha jambo rudini tuu na hela zenu za Mkopo
Ndio maana Awesu akifunga anasema yeye ni Wahapa hapa yaani ni wa Simba Sports Club ha
Magoli yetu yote leo yamefungwa kwa kutumia vipimo vya Physics
Leo iyooooo, Uwanja wa Manispaa ya Kinondoni kuanzia saa 10:15 Jioni
Tumechukua Ubingwa wa Mechi baina ya mashabiki wa Simba na Mashabiki wa Nyuma Mwiko wa Makunduchi Zanzibar baada ya kuwafunga bao 1-0 kwenye Tamasha la Kizimkazi
Video Credit @iddynonga_
Tumechukua Ubingwa wa Mechi baina ya mashabiki wa Simba na Mashabiki wa Nyuma Mwiko wa Makunduchi Zanzibar baada ya kuwafunga bao 1-0 kwenye Tamasha la Kizimkazi
Video Credit @iddynonga_
Maelekezo ya namna ya kuingia na kukaa Uwanjani kesho katika mchezo wetu dhidi Tabora United
Maelekezo ya namna ya kuingia na kukaa Uwanjani kesho katika mchezo wetu dhidi Tabora United
Kizimkazi ya Ubaya Ubwelaa
Tukutane Uwanja wa Makunduchi kwenye mechi ya Mashabiki wa Simba na Nyuma Mwiko
Safari hii hakuna kufika Penati ni Ubaya Ubaya mapemaaa tu
Pamoja na hayo Shabiki wa Lunyasi hakikisha umechukua kadi yako ya Ushabiki kutoka Benki ya @crdbbankplc
Mwana Simba huu ndio muda sahihi wa wewe kununua tiketi yako kwa ajili ya Simba Day usiendelee kusubiri sana
Mwenyekiti si akachoka kushika Micππ