Ahmed Ally

Ahmed Ally Ahmed Ally Afisa Habari wa Simba Sports Club Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Mazoezi ya kwanza ndani ya Marrakech Kila kitu kinaenda sawa sana, Baridi lipo lakini halina athari kwa sababu tumejiand...
07/12/2023

Mazoezi ya kwanza ndani ya Marrakech

Kila kitu kinaenda sawa sana, Baridi lipo lakini halina athari kwa sababu tumejianda nalo na k**a haitoshi sisi ni wazoefu

Dhamira yetu ni kufanya vizuri katika mchezo huo pamoja na ugumu wake lakini tunawaahidi wana Lunyasi tutapambana kwa ajili ya klabu yetu

Na nyie mmesikia???
05/12/2023

Na nyie mmesikia???

Hayaaaa Watu wa Mbagala andaeni mawe yenu
05/12/2023

Hayaaaa Watu wa Mbagala andaeni mawe yenu

Tumerudi kwenye Uwanja wa mazoezi, kujiandaa na vita ijayo dhidi ya Wydad
05/12/2023

Tumerudi kwenye Uwanja wa mazoezi, kujiandaa na vita ijayo dhidi ya Wydad

Nyuma mwiko ndo timu iliyofungwa magoli mengi zaidi mpaka sasa kwenye hatua ya makundiSio kwa ubaya
03/12/2023

Nyuma mwiko ndo timu iliyofungwa magoli mengi zaidi mpaka sasa kwenye hatua ya makundi

Sio kwa ubaya

03/12/2023

Wakati sisi tunatunukiwa tuzo ya mashabiki bora Afrika, CAF NA FIFA waliangalia kiwango cha ustaarabu wetu, Ona hawa wanavyofanya mambo ya kishamba kunโ€™goa viti

Hivi mnajua gharama tuliyoingia Sisi na Serikali kwenye kukarabati huu Uwanja?? Halafu wewe na tiketi yako ya bure ukanโ€™goe kiti??

USHAMBA WA AINA HII HAUKUBALIKI NA HAUVUMILIKI

KIKOSI Cha mapambano๐——๐—ผ๐˜„๐—ป๐—น๐—ผ๐—ฎ๐—ฑ ๐—ฆ๐—œ๐— ๐—•๐—” ๐—ง๐—ฉ ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐—บ๐—ฒ๐—ฐ๐—ต๐—ถ ๐˜‡๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐—ฆ๐—– ๐—Ÿ๐—œ๐—ฉ๐—˜ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐˜๐—ถ๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ฌ๐—ฎ๐—ธ๐—ผ, ๐—•๐—ผ๐—ป๐˜†๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—Ÿ๐—ถ๐—ป๐—ธ ๐Ÿ‘‰ h...
02/12/2023

KIKOSI Cha mapambano

๐——๐—ผ๐˜„๐—ป๐—น๐—ผ๐—ฎ๐—ฑ ๐—ฆ๐—œ๐— ๐—•๐—” ๐—ง๐—ฉ ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐—บ๐—ฒ๐—ฐ๐—ต๐—ถ ๐˜‡๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐—ฆ๐—– ๐—Ÿ๐—œ๐—ฉ๐—˜ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐˜๐—ถ๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ฌ๐—ฎ๐—ธ๐—ผ, ๐—•๐—ผ๐—ป๐˜†๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—Ÿ๐—ถ๐—ป๐—ธ ๐Ÿ‘‰ https://bit.ly/simbatvApp

02/12/2023

Uzuri wa
Wanauza Jumla Jumla na rejareja Na Msiogope WaFOLLOW bei zao ni nafuu kabisa๐Ÿ‘๐Ÿ™Œ๐Ÿป๐Ÿ™

Wapigie Whatapp 0719 485361

WAPO KARIAKOO MSIMBAZI POLICE
MKABALA NA MISIKITI WA

KARIBU TUKUHUDUMIE๐Ÿ™

Tumekuja Bostwana kuwatafutia furaha mashabiki wetu, Tunataka kuona mnafurahi daima, tutavuja jasho ili kuhakikisha niny...
02/12/2023

Tumekuja Bostwana kuwatafutia furaha mashabiki wetu, Tunataka kuona mnafurahi daima, tutavuja jasho ili kuhakikisha ninyi mnapata mnachostahili

Kwa mapenzi yake Mungu leo mtafurahi!!!

Tupo ugenini leoโ€ฆ Lakini Mashabiki  tunavaa Jezi yetu NyekunduUnapoenda kwenye banda umiza vaa Jezi yako nyekundu, unapo...
02/12/2023

Tupo ugenini leoโ€ฆ Lakini Mashabiki tunavaa Jezi yetu Nyekundu

Unapoenda kwenye banda umiza vaa Jezi yako nyekundu, unapoenda kuangalia mechi kwenye Tawi lenu vaa Jezi nyekundu hata unapoangalia nyumbani vaa Jezi nyekundu

K**a huna Jezi ya Ligi ya Mabingwa fika dukani kwetu Tabata Bima na Tabata Kinyerezi uchukue Jezi yako

Leo tunawashangaza๐——๐—ผ๐˜„๐—ป๐—น๐—ผ๐—ฎ๐—ฑ ๐—ฆ๐—œ๐— ๐—•๐—” ๐—ง๐—ฉ ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐—บ๐—ฒ๐—ฐ๐—ต๐—ถ ๐˜‡๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐—ฆ๐—– ๐—Ÿ๐—œ๐—ฉ๐—˜ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐˜๐—ถ๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ฌ๐—ฎ๐—ธ๐—ผ, ๐—•๐—ผ๐—ป๐˜†๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—Ÿ๐—ถ๐—ป๐—ธ ๐Ÿ‘‰ htt...
02/12/2023

Leo tunawashangaza

๐——๐—ผ๐˜„๐—ป๐—น๐—ผ๐—ฎ๐—ฑ ๐—ฆ๐—œ๐— ๐—•๐—” ๐—ง๐—ฉ ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฒ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐—บ๐—ฒ๐—ฐ๐—ต๐—ถ ๐˜‡๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ ๐—ฆ๐—– ๐—Ÿ๐—œ๐—ฉ๐—˜ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐˜๐—ถ๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—ฌ๐—ฎ๐—ธ๐—ผ, ๐—•๐—ผ๐—ป๐˜†๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—Ÿ๐—ถ๐—ป๐—ธ ๐Ÿ‘‰ https://bit.ly/simbatvApp

Tumefanya mazoezi yetu ya mwisho katika Uwanja wa Obedi Itani Chilume ambao tutacheza mchezo wetu dhidi ya Jwaneng Galax...
01/12/2023

Tumefanya mazoezi yetu ya mwisho katika Uwanja wa Obedi Itani Chilume ambao tutacheza mchezo wetu dhidi ya Jwaneng Galaxy

Mchezo wetu ni saa 9:00 kwa saa za hapa Botwsana sawa na saa 10:00 Jioni

Maandalizi yameenda vizuri na vijana wako tayari kwa mapambano

Ijumaa Saa 9 Usiku,  akiongoza Jeshi la Mnyama kuelekea BotswanaMwenyekiti alipewa Tiketi na Mwaliko wa kwenda Misri kuh...
01/12/2023

Ijumaa Saa 9 Usiku, akiongoza Jeshi la Mnyama kuelekea Botswana

Mwenyekiti alipewa Tiketi na Mwaliko wa kwenda Misri kuhudhuria Mkutano wa kuunda chombo cha ACA

Na pia alipewa kipaumbele cha kuwa Mwenyekiti wa Chombo hicho kutokana na uzoefu wake, mafanikio yake na ukubwa wa klabu yake Simba Sports Club

Muda haukua rafiki hakuenda Misri wala hakushiriki uchaguzi kwa namna yeyote ile kwani hakukua na option ya kushiriki online

Pia hakuwa na nia ya kugombea nafasi hiyo k**a ilivyokua kwa Wenyeviti wengine wa vilabu vikubwa

Baada ya njia zote za kupata Wenyekiti wakubwa kugonga mwamba ndipo CAF wakatupa shilingi chooni na hatimae Nyuma mwiko wakaokota

Supu ya kibudu bado inawatesea kichwani mtu anasema kura Try again imeharibika kwa sababu yeye ni Mwenyekiti wa Bodi sio Mwenyekiti wa klabu

Sio tu vikao vya CAF, Try ni Mwakilishi wa Simba kwenye vikao vyote rasmi vya CAF na FIFA

December 10 2022 alihudhuria Semina ya FIFA iliyoendeshwa na Arsene Wenger Nchini Morroco

February 6 2023 Mjini Tangier aliteuliwa kushiriki Kozi ya Diploma ya uongozi wa klabu iliyotolewa na FIFA na kuhudhuriwa na viongozi wachache barani Afrika

August 16 2023 Nchini Australia alihudhuria Mkutano wa FIFA, CAF kujadili mambo mbalimbali ikiwemo African Football League na maendeleo ya mpira wa Afrika kwa ujumla

Nyuma Mwiko Mwenyekiti wenu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Vilabu mnaona mmepata jambo la maanaIko hivi mara nyingi bodi...
01/12/2023

Nyuma Mwiko Mwenyekiti wenu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Vilabu mnaona mmepata jambo la maana

Iko hivi mara nyingi bodi za Vilabu wenyeviti hua wanatoka katika vilabu vidogo

Bodi ya ligi ya Tanzania Mwenyekiti wake anatoka Coastal Union kabla ya hapo iliongozwa na Ahmad Yahya kutoka Kagera Sugar

Bodi ya vilabu ya Ulaya European Club Association ECA, Mwenyekiti ni Nasser bin Ghanim Al-Khelaifi Rais wa PSG kwanini asiwe Madrid mbabe wa Ulaya, kwann sio Man UTD, au Liverpool au Barcelona

Nyie Nyuma mwiko hivi mnadhani Mwenyekiti wa Al Ahly angetaka kuwa Mwenyekiti wa ACA kuna mtu angemzuia?

Wydad angetolea macho Uenyekiti wa ACA unadhani angekosa?

Hicho cheo Ingekua ni deal unadhani Motsepe angeacha kumpa mwanae ambae ni Mwenyekiti wa Mamelod?

CAF walitaka vilabu vikubwa ndo tuongoze hiyo Bodi ya vilabu lakini sote hatukua na interest ndipo wakaamua kufanya Sandakalawe

Na Wakubwa wengi hatukushiriki mkutano huo mfano Mwenyekiti wetu Salim Abdallah tupo nae Botswana kupigania alama tatu dhidi ya Jwaneng

Punguzeni ulimbukeni mambo ya kawaida sana hayo

Wamewasili!!!Kocha Mkuu : Abdelhak Benchikha.Kocha Msaidizi : Farid Zemiti.Kocha wa viungo : K**al Boudjenane.
27/11/2023

Wamewasili!!!

Kocha Mkuu : Abdelhak Benchikha.
Kocha Msaidizi : Farid Zemiti.
Kocha wa viungo : K**al Boudjenane.

Ewaaaaa mtu wa kazi amefika
24/11/2023

Ewaaaaa mtu wa kazi amefika

24/11/2023

Hii ndio silaha yetu linapokuja suala la mashindano ya kimataifa

Three Babies!!!! Kutoka  Tumeyaagiza kutoka Japan na tumewakabidhi wahusika sasa hivi wanakula maishaKaribu uagize nasi ...
24/11/2023

Three Babies!!!! Kutoka

Tumeyaagiza kutoka Japan na tumewakabidhi wahusika sasa hivi wanakula maisha

Karibu uagize nasi huduma zetu ni Uwakika

Ofisi zetu zipo Dar Free Market au tupigie kwa #0748898888

Wenye jezi zetu tunapendeza
24/11/2023

Wenye jezi zetu tunapendeza

Arusha kwenye mikono salama ya
17/11/2023

Arusha kwenye mikono salama ya

Hamasa ya Tawi kwa Tawiโ€ฆ  Jioni hii nilikua Tawi la Tabata Kisiwani โ€œSimba Mwenye Nguvuโ€Tumezungumza mengi kuhusu Simba ...
17/11/2023

Hamasa ya Tawi kwa Tawiโ€ฆ Jioni hii nilikua Tawi la Tabata Kisiwani โ€œSimba Mwenye Nguvuโ€

Tumezungumza mengi kuhusu Simba yetu na wao tayari wameshaaanza mchakato wa kukusanya Nauli na viingilio kwa ajili ya Mechi ya Nov 25

Viiingilio vya mchezo wetu dhidi ya Asec 5,000 Mzunguko10,000 VIP C20,000 VIP B30,000 VIP A150,000 Platinum Tiketi zimea...
16/11/2023

Viiingilio vya mchezo wetu dhidi ya Asec

5,000 Mzunguko
10,000 VIP C
20,000 VIP B
30,000 VIP A

150,000 Platinum

Tiketi zimeanza kuuzwa leo kwa njia ya Mtandao na kwenye vituo mbalimbali Nchi Nzima

TUNASIMAMA NA SIMBA YETU

Picha ya kupost ninayo ila Caption ndo sina
14/11/2023

Picha ya kupost ninayo ila Caption ndo sina

14/11/2023

Hivi ndio vigezo vilivyopelekea tushinde tuzo ya Mashabiki Bora Afrika

14/11/2023

Mbele ya macho yake

Kikosi chetu kimerejea mazoezini hii leo kuanza maandalizi ya mchezo wetu wa ligi ya Mabingwa Afrika dhidi Asec Mimos No...
13/11/2023

Kikosi chetu kimerejea mazoezini hii leo kuanza maandalizi ya mchezo wetu wa ligi ya Mabingwa Afrika dhidi Asec Mimos Nov 25 2023 kunako dimba la Benjamin Mkapa

Kwenu Mashabiki Bora wa Afrika hii ndio project iliyombele yetu tunapaswa kuonesha kwa vitendo kuwa sisi ni Bora kwa kujaa Uwanjani siku hiyo

13/11/2023

Ujumbe wenu huu Mashabiki Bora wa Afrika

Tusahau yote yaliyopita tuanze maandalizi ya kumvaa Asec Mimosas

13/11/2023

Waheshimiwa Wabunge Nitarudi tena Bungeni May 2024 kuwaletea Kombe la NBC Premium League hapo mtafurahi zaidi Insha Allah tuombe Uhaiโ€ฆ

Kikosi chetu cha leo dhidi ya Namungo
09/11/2023

Kikosi chetu cha leo dhidi ya Namungo

09/11/2023

Leo Simba inarudi kwenye falsafa yake ya Ushindi na Burudani

Kijana aliyekabidhiwa mikoba ni kijana aliyeishi kwenye falsasa ya Simba kwa miaka yake yote kuanzia kucheza na kufundisha

Heshima inarudi kwenye muhimili wake

๐Ÿ™๐Ÿ™ Kwaherini๐Ÿ™๐Ÿ™
07/11/2023

๐Ÿ™๐Ÿ™ Kwaherini๐Ÿ™๐Ÿ™

Kwenye Mkutano wa Wanahabari nilisema, Hii ni mechi ambayo matokeo yake hua yanaacha furaha ya kudumu au huacha maumivu ...
06/11/2023

Kwenye Mkutano wa Wanahabari nilisema, Hii ni mechi ambayo matokeo yake hua yanaacha furaha ya kudumu au huacha maumivu ya kudumu kwenye mioyo ya mashabiki wake

Bahati mbaya ni sisi ndo tunabaki na maumivu ya kudumu

Kila Mwana Simba anawaza sababu tafauti tofauti iliyosababisha tupoteze mchezo wa jana

Iko namna sahihi ya kujua sababu hizo nayo ni utulivu

Tuwape Viongozi, Benchi la Ufundi na Wachezaji wetu Utulivu wa kujitathmini kwa maslahi ya mechi zijazo

November 9 kuna mchezo dhidi ya Namungo hivyo ni vema tukajikita zaidi kuangalia tunachukuaje alama tatu hizo baada ya kupoteza za jana

Letโ€™s goo Wana Lunyasi sifa ya timu kubwa ni kuweza kuhimili nyakati ngumu k**a hizi

Leo ndo mtatuona Makambale
05/11/2023

Leo ndo mtatuona Makambale

Ile siku ndo hiii
05/11/2023

Ile siku ndo hiii

Iwe jua iwe mvua, Adhabu iko palepaleMmeamkaje Familia ๐Ÿฆ๐Ÿฆ
05/11/2023

Iwe jua iwe mvua, Adhabu iko palepale

Mmeamkaje Familia ๐Ÿฆ๐Ÿฆ

04/11/2023

Vile tunachagua mtoko wa kesho

Hii ni Jumamosi maalumu ya kununua Tiketi ya Kariakoo Derby
04/11/2023

Hii ni Jumamosi maalumu ya kununua Tiketi ya Kariakoo Derby

Biriani la Derby limelika leo Temeke MikoroshiniLengo la Biriani la Derby ni kuwakutanisha Wana Simba, kufanya hamasa pa...
03/11/2023

Biriani la Derby limelika leo Temeke Mikoroshini

Lengo la Biriani la Derby ni kuwakutanisha Wana Simba, kufanya hamasa pamoja na kulinda utamaduni wetu wa wa Kitanzania na kuishi kwa vitendo falsafa ya Nguvu Moja

Tuendelee kufanya shopping ya tiketi kwa ajli ya mchezo wetu wa Jumapili

Address

Sinza
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ahmed Ally posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Videos

Share



You may also like