Babdeo miladu online tv

Babdeo miladu online tv Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Babdeo miladu online tv, Media/News Company, Ilala, Dar es Salaam.

Description
BABDEO MILADU ni channel ya Kiislamu yenye kurusha vipindi na video mbalimbali za Kiislamu, Like page yetu ya Facebook na Subscribe Youtube yetu ili uwe wa kwanza kuona matangazo yetu.

10/11/2024

Mwenye JANABA anaruhusiwa kusoma Quran? Kushika Mas'hafu?

MAADHIMISHO YA MAULID YA KUZALIWA MTUME MUHAMMAD S.A.W 2024Baraza Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA) linapenda kuwataarif...
05/09/2024

MAADHIMISHO YA MAULID YA KUZALIWA MTUME MUHAMMAD S.A.W 2024

Baraza Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA) linapenda kuwataarifu Waislam na Watanzania kwa ujumla kwamba, Maulidi ya kuadhimisha mazazi ya Mtume Muhammad S.A.W Kitaifa yatasomwa usiku wa Jumapili tarehe 15/09/2024 katika viwanja vya CCM Kalangalala Geita Mjini na kufuatiwa na Baraza la Maulidi litakalofanyika siku ya Jumatatu tarehe 16/09/2024 katika Viwanja hivyo hivyo vya CCM Kalangalala Geita Mjini.

Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan

Hivyo siku ya Jumatatu tarehe 16/09/2024 itakua siku ya mapumziko ya Maulid. Mheshimiwa M***i Mkuu wa Tanzania Dr Sheikh Abubakar Zuber Bin Ally Mbwana , kwa niaba ya Baraza kuu la Waislam wa Tanzania anawatakia Sherehe njema za maadhimisho ya Maulid na mapumziko mema.

Imeandikwa na Alhaji Nuhu Jabir Mruma
Katibu Mkuu


TAARIFA YA MSIBA Ustaadh Awadh Suleiman Koba (Mdogo wa Sharif Koba) na Mpenzi wa Mtume amefariki leo tarehe 23/08/2024 k...
23/08/2024

TAARIFA YA MSIBA

Ustaadh Awadh Suleiman Koba (Mdogo wa Sharif Koba) na Mpenzi wa Mtume amefariki leo tarehe 23/08/2024 katika Hospitali ya Mwananyamala Dar Es salaam.

Msiba upo nyumbani kwao Tandale Kwa Tumbo Dar Es salaam na taratibu za Mazishi kesho tarehe 24/08/2024.

Kesho tarehe 24/08/2024 saa 3 asubuhi visomo vitaanda mpaka saa 7 mchana baada ya Sala ya Adhuhuri ataenda kuzikwa Makaburi Tandale kwa Tumbo.

M/Mungu amsamehe alipokosea na alinawirishe kaburi lake.


TAARIFA YA MSIBASheikh Salum Mubaarak maarufu Daruwesh Mti Mkavu amefariki alfajiri ya leo tarehe 21/08/2024 Jumatano, n...
21/08/2024

TAARIFA YA MSIBA

Sheikh Salum Mubaarak maarufu Daruwesh Mti Mkavu amefariki alfajiri ya leo tarehe 21/08/2024 Jumatano, nyumbani kwa Mwanawe Sheikh AbdulRazak Goba Dar Es salaam.

Taratibu za Mazishi tutaarifiwa


*TAARIFA YA MSIBA*Sheikh Muharram Juma Doga amefariki usiku wa kuamkia leo Jumanne tarehe 20/08/2024 katika Hospitali ya...
19/08/2024

*TAARIFA YA MSIBA*

Sheikh Muharram Juma Doga amefariki usiku wa kuamkia leo Jumanne tarehe 20/08/2024 katika Hospitali ya Temeke Jijini Dar Es salaa.

*_Taratibu za Mazishi tutajulishwa_*

Sheikh Muharram Juma Doga alikua ni Mwalim wa Mashekhe mbalimbali Tanzania, amewasomesha wengi na wapo Mashekhe wengi wa sasa wametoka kwake.

"Hakika sisi ni wa M/Mungu na kwake tutareje"


OFISI YA M***I ZNZ YACHUKUA HATUASiku kadhaa zilizopita kwenye mitandao ya kijamii ilisambaa video ikiwaonesha vijana wa...
17/08/2024

OFISI YA M***I ZNZ YACHUKUA HATUA

Siku kadhaa zilizopita kwenye mitandao ya kijamii ilisambaa video ikiwaonesha vijana waliojinasibisha na Madrasa wakiimba nyimbo zisizo na maadili. Ofisi ya M***i ilipambana kuwasaka vijana hao na kuchukua hatua za kisheria na kinidhamu dhid yao.

Ufafanuzi zaidi kuhusiana na taarifa hii tunaifuatilia kwa undani zaidi na tutaleta mrejesho


09/05/2024

IJUE HISTORI YA DAR ES SAALAM NA MSIKITI ULIOGEUZWA KANISA NA MJERUMANI KATIKA HOSPITALI YA OCEAN ROAD

Wajerumani hawakuja Dar Es salaam kwa lengo lolote isipokua kuumaliza Uislamu na Waislam. Majengo mengi yalijengwa na Waislam na sio Mjerumani, Ikulu ya Dar Es salaam, Agha Khan, Ocean Road na maeneo mengi haya yamejengwa na Waislam.

Khalifa Sayyid Majid ambae alikua ni Mtawala wa Zanzibar wakati huo wa Dola ya Kiislam, alinunua maeneo mengi na akanunua jengo kubwa liitwalo Daarussalaam (Mzizima) wakati huo ni Pori. Na kujengwa kwa Ikulu ambayo mpaka sasa ipo.

Sikiliza histori kutoka kwa Marehemu Sheikh Zuber Yahya, akizungumzia Misikiti iliobomolewa na Mjerumani na mengine kugeuzwa Kanisa.
Allah amsamahe makosa yake na alinawirishe kaburi lake.


Je kukata Keki ni katika Mafundisho ya Mtume?Wataalamu na wajuzi wa Kuraddi tutaanza KURAD tukio lipi? A au B?Picha "A"S...
06/05/2024

Je kukata Keki ni katika Mafundisho ya Mtume?

Wataalamu na wajuzi wa Kuraddi tutaanza KURAD tukio lipi? A au B?

Picha "A"
Sheikh Alhad M***a Salum aliekua Sheikh wa Mkoa wa Dar Es salam kwa wakati huo, alikata Keki kwa ajili ya Maulid ya Mazazi ya Mtume Muhammad S.A.W Mfungo Sita.

Picha "B"
Viongozi na Maimamu wa Msikiti wa Haram Makka, Sheikh Sudes na Sheikh Yasser wakikata Keki iliyoandaliwa na Walinzi wakisherehekea siku ya Eid El Fitri.


*NASAHA CREW*LAYLATUL HELWAHii ndio maana ya *Usiku wa Furaha* _(LAYLATUL HELWA_) unakosaje kuhudhuria mahala k**a hapa ...
13/04/2024

*NASAHA CREW*
LAYLATUL HELWA

Hii ndio maana ya *Usiku wa Furaha* _(LAYLATUL HELWA_) unakosaje kuhudhuria mahala k**a hapa kwa ajili ya furaha?

Ni *Nasaha Crew* mwaka mwingine tena inawaletea *LAYLATUL HELWA 2024* (Usiku wa furaha /Kaswida)

Tarehe: 21 April 2024
Muda: saa 1 usiku - saa 4 usiku
Ukumbi: Diamond Jubilee Hall

TIKETI:
*ROYAL 10,000*
*VVIP 50000 +*

Fanya kununua tiketi kupitia namba
0765888855
0754464632
074721 4962
0654162010
0763228227



Nunua tiketi yako mapema.

11/03/2024

*TUMEZIRUHUSU TAASISI ZINGINE ZISAJILIWE ILI ZISAIDIE DINI NA SIO KUINGILIANA KATIKA MAMLAKA*

M***i wa Tanzania Sheikh Abubakar Zuber amesistiza juu ya Taasisi zinazoingilia mamlaka husika ya kitengo cha kutangaza mwezi, kwani wameruhusu kusajiliwa ili kusaidia Dini na sio kuingilia Mamlaka.



Video full ipo Youtube


11/03/2024

*ZANZIBAR HUTANGAZI MWEZI K**A SIO M***I*

M***i ameiomba Serikali kulitazama hili la watu kujichukulia mamlaka ya kuutangaza mwezi hata k**a si wahusika

"wenzetu Zanzibar mwenye mamlaka ya kuutangaza mwezi ni M***i, ukitangaza k**a sio M***i unak**atwa. Lakini sisi huku tumekua k**a Kuku kila mtu anawika" -----


Address

Ilala
Dar Es Salaam
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Babdeo miladu online tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Babdeo miladu online tv:

Videos

Share