N-point

N-point nPOiNT is an Online content platform which delivers content across a range of smart devices.
(1)

It offers content beyond news, guaranteeing the best user experience to its customers.

 : Mgombea Uraisi kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samiah Sul...
22/01/2025

: Mgombea Uraisi kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samiah Suluhu Hassan amewasili Jijini Dar es salaam kwa Treni ya SGR akitokea Dodoma kwenye Mkutano Maalum wa CCM.



  - Mwenyekiti wa ccm na Mgombea Urais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amempendekeza Karibu Mkuu wa chama hic...
19/01/2025

- Mwenyekiti wa ccm na Mgombea Urais wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amempendekeza Karibu Mkuu wa chama hicho Dr. Emanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi unaotarajiwa kufanyika October 2025.


 : Timu ya Yanga yaendeleza furaha ya Wa Tanzania wapenda Soka baada ya kuibuka na Ushindi wa Goli 1-0 la ugenini dhidi ...
12/01/2025

: Timu ya Yanga yaendeleza furaha ya Wa Tanzania wapenda Soka baada ya kuibuka na Ushindi wa Goli 1-0 la ugenini dhidi ya Al Hilal katika Hatua ya Makundi Klabu Bingwa Afrika.

 : Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samiah Suluhu Hassan ameipongeza timu ya Simba kwa ushindi."Hongera...
12/01/2025

: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samiah Suluhu Hassan ameipongeza timu ya Simba kwa ushindi.

"Hongera kwa Klabu ya Simba kwa kufuzu kuingia Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup). Endeleeni kufanya kazi kuipa nchi yetu burudani na kuipeperusha bendera yetu kimataifa.

Ninawatakia kila la kheri" Rais ameandika kwenye kurasa zake za Mitandao ya kijamii.

 : MWANAHARAKATI na Mtetezi wa Haki za Binadamu Maria Sarungi Tsehai   ametekwa leo Eneo Chaka, jijini Nairobi nchini Ke...
12/01/2025

: MWANAHARAKATI na Mtetezi wa Haki za Binadamu Maria Sarungi Tsehai ametekwa leo Eneo Chaka, jijini Nairobi nchini Kenya.

Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International nchini Kenya limeripoti kuwa Maria ametekwa na watu watatu wenye silaha wakiwa na gari aina ya Noah nyeusi leo majira ya saa tisa na robo Alasiri (3:15PM).

 : Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samiah Suluhu Hassan, ameshiriki maadhimisho ya Kilele cha Miaka 61 ...
12/01/2025

: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samiah Suluhu Hassan, ameshiriki maadhimisho ya Kilele cha Miaka 61 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar yaliyofanyika katika Uwanja wa Gombani wilaya ya Chakechake Mkoa wa kusini Pemba leo tarehe 12/1/2025.

Mgeni Rasmi alikua ni Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt Hussein Ally Mwinyi.


02/01/2025

 : Wananchi wa Arusha wakifwatilia Hotuba ya Rais Samia yakuwatakia Wa Tanzania heri ya Mwaka Mpya..
31/12/2024

: Wananchi wa Arusha wakifwatilia Hotuba ya Rais Samia yakuwatakia Wa Tanzania heri ya Mwaka Mpya..

 : MKURUGENZI WHO ANUSURIKA KIFO SHAMBULIO LA ISRAEL AKIWA UWANJA WA NDEGE.
27/12/2024

: MKURUGENZI WHO ANUSURIKA KIFO SHAMBULIO LA ISRAEL AKIWA UWANJA WA NDEGE.

 : Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko, amewasili katika Kanisa la Waadventista Wasabato Magome...
15/12/2024

: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko, amewasili katika Kanisa la Waadventista Wasabato Magomeni kwa ajili ya kuweka Wakfu(uzinduzi) wa Kanisa hilo.


  YA LEO DEC 15,2024.
14/12/2024

YA LEO DEC 15,2024.

 : Uzinduzi wa Mkutano wa Dar Net Event 2024, NURU YA MATUMAINI umefanyika leo katika Kanisa la Waadventista wa Sabato M...
14/12/2024

: Uzinduzi wa Mkutano wa Dar Net Event 2024, NURU YA MATUMAINI umefanyika leo katika Kanisa la Waadventista wa Sabato Magomeni.

Wito umetolewa kwa waumini kuingia kazini na kila mmoja kuhusika ili kuleta matokeo makubwa zaidi.

 : Pichani ni Jack Dorsey ambae ni Muanzilishi wa Mtandao wa Tweeter(sasa X), Jack yupo Nchini Nairobi Kenya kuanzia Dec...
10/12/2024

: Pichani ni Jack Dorsey ambae ni Muanzilishi wa Mtandao wa Tweeter(sasa X), Jack yupo Nchini Nairobi Kenya kuanzia Dec 9 - 11, 2024 kwenye Mkutano wa Africa Bitcoin Conference(ABC).

Dorsey ana utajiri wa Dola za Kimarekani Bilioni 5.6 na hii ni kulingana na jarida la Forbes.

 : Heri ya Siku ya Uhuru wa Tanzania!🇹🇿Tunaposherehekea miaka 63 Tuendelee kudumisha umoja, amani na upendo.
09/12/2024

: Heri ya Siku ya Uhuru wa Tanzania!🇹🇿

Tunaposherehekea miaka 63 Tuendelee kudumisha umoja, amani na upendo.

 : Rais Samia, afanya teuzi za Mawaziri na Makatibu wakuu wa wizara.- CP Kaganda awa Balozi.- Gerson Msigwa awa Msemaji ...
08/12/2024

: Rais Samia, afanya teuzi za Mawaziri na Makatibu wakuu wa wizara.

- CP Kaganda awa Balozi.
- Gerson Msigwa awa Msemaji mkuu wa Serikali.


 : Mamlaka ya mapato Tanzania(TRA), wametoa Taarifa ya Tanzia baada ya kutokea kifo cha Mfanyakazi wa Mamlaka hiyo kilic...
06/12/2024

: Mamlaka ya mapato Tanzania(TRA), wametoa Taarifa ya Tanzia baada ya kutokea kifo cha Mfanyakazi wa Mamlaka hiyo kilichotokea katika Hospital ya Muhimbili Jijini Dar es salaam leo Dec 6,2024.

Amani Kamguna Simbayao amefariki baada ya kupata majeraha kutokana na gari Lao kushambuliwa na watu katika maeneo ya Tegeta Kwa ndevu jijini Dar es salaam alipokua akitekeleza wajibu wake ya Kazi.

Bwana Ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.




 : Ngome ya Vijana Taifa ya chama cha ACT Wazalendo imetoa Taarifa kupitia kwa katibu wa Habari na Uenezi ndugu Mwl. Phi...
04/12/2024

: Ngome ya Vijana Taifa ya chama cha ACT Wazalendo imetoa Taarifa kupitia kwa katibu wa Habari na Uenezi ndugu Mwl. Philbert Macheyeki kuwa hali ya kiafya ya Mwenyekiti wa Ngome hiyo Bwana Abdul Nondo bado hairizishi ingawa madaktari wanaendelea kupambana.

Taarifa hiyo iliyotolewa leo imesema Nondo amekutwa na Sumu mwilini mwake ambapo bado Madaktari hawajafahamu imesababishwa na kipigo au alinyweshwa sumu na waliomteka.

Itakumbukwa Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT Wazalendo ndugu Abdul Nondo alitekwa na watu wasiojulikana katika kituo cha mabasi yaendayo Mkoani Alfajiri ya siku ya Tarehe 1/12/2021.

 : Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kuna hitilafu katika mfumo wa Gridi ya Taifa leo December 04, 2024 iliyo...
04/12/2024

: Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema kuna hitilafu katika mfumo wa Gridi ya Taifa leo December 04, 2024 iliyotokea saa 04:03 asubuhi ambayo imepelekea Mikoa inayopata umeme kupitia Gridi ya Taifa kukosa umeme.

Taarifa iliyotolewa na TANESCO leo imesema Wataalamu wake wanaendelea na uchunguzi kubaini chanzo cha hitilafu hiyo ambapo umeme umeanza kurejea kwa awamu katika Mikoa iliyokuwa inakosa umeme huku jitihada zikiendelea kuhakikisha Mikoa yote inapata umeme mapema iwezekanavyo.

“Shirika linawaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza na litaendelea kutoa taarifa za hali ya urejeshaji wa huduma ya umeme kwa kadri hali inavyoimarika” - TANESCO.

Address

Kimweri Street
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when N-point posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to N-point:

Share