Kuelekea mchezo wa kesho Yanga dhidi ya Kagera suger , huu ni mtazamo na uchambuzi wa @alexngereza._ akiamini kulingana na level ya ushindani baina ya timu hizo kagera huenda ikakaa nyuma kujilinda zaidi katika mchezo wa kesho.
#Dimbani
Cc | @yassin_majengo @kerlyin_milly @alexngereza._
#Tv3Tanzania Ndani ya Kisimbuzi Cha #Startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
#Tv3Tanzania #GameOn
Je unadhani sasa ni wakati sahihi kwa mshambuliaji wa yanga Clement Mzize kutoka na kwenda kucheza nje ya tanzania?
#Dimbani
Cc | @yassin_majengo @kerlyin_milly @deotraphe_
#Tv3Tanzania Ndani ya Kisimbuzi Cha #Startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
#Tv3Tanzania #GameOn
#Dimbani Livie muda huu
Cc | @yassin_majengo @kerlyin_milly @deotraphe_
#Tv3Tanzania Ndani ya Kisimbuzi Cha #Startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
#Tv3Tanzania #GameOn
#QNChallenge leo ikamfikia mchambuzi @deotraphe_ kutaka kufahamu wepesi wake kwenye kujijibu maswali na kukumbuka matukio mbalimbali ya soka akiwa kama mfuatiliaji na mdau wa michezo, Unampa marks ngapi kwenye hili..?
#Tv3Tanzania Ndani ya Kisimbuzi Cha #Startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
#Tv3Tanzania #GameOn
ufuartia taarifa zinazodai kuwa Baadhi ya wachezaji wa Tabora United kukosa leseni na huenda wasiwe sehemu ya kikosi kuelekea mchezo wao dhidi ya Simba sc , afisa habari wa wababe hao wa tabora @mwagala.christina amekanusha madai hayo , exclusive kupitia Dimbani ya @tv3tz .
#Dimbani
Cc | @tagatojtagato @kerlyin_milly @alexngereza._
#Tv3Tanzania Ndani ya Kisimbuzi Cha #Startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
#Tv3Tanzania #GameOn
"Hakuna wa kumuogopa kwenye kundi letu"
#Tv3Tanzania Ndani ya Kisimbuzi Cha #Startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
#Tv3Tanzania #GameOn
Mashabiki wanasema tuwekeze kwenye vipaji vilivyopo nchini na sio kudandia wachezaji kutoka nje na kuwapa uraia
#Tv3Tanzania Ndani ya Kisimbuzi Cha #Startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
#Tv3Tanzania #GameOn
Mashabiki wana imani kubwa sana kwamba @taifastars_ wana nafasi ya kwenda 16 bora AFCON kama tu wataamua kujitoa
#Tv3Tanzania Ndani ya Kisimbuzi Cha #Startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
#Tv3Tanzania #GameOn
Golikipa wa zamani wa Misri @elhadary akiwasili kwenye droo ya AFCON
Unaweza kutazama LIVE muda huu ndani ya @tv3tz
@caf_online
#Tv3Tanzania Ndani ya Kisimbuzi Cha #Startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
#Tv3Tanzania #GameOn
Afisa habari wa Yanga @alikamwe alivyopokelewa kwa shangwe kwenye droo ya AFCON nchini Morocco
Unaweza kutazama LIVE muda huu ndani ya @tv3tz
#Tv3Tanzania Ndani ya Kisimbuzi Cha #Startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
#Tv3Tanzania #GameOn
Liked by g_funny_jacksoni437 and others
Kutoka kwa mchambuzi @alexngereza._ ameaisha maeneo ambayo kocha mkuu wa yanga Saed Ramovic anapaswa kuyafanyia kazi na kuboresha ili timu yake kuendelea kuwa imara zaidi.
#Dimbani
Cc | @tagatojtagato @kerlyin_milly @alexngereza._
#Tv3Tanzania Ndani ya Kisimbuzi Cha #Startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
#Tv3Tanzania #GameOn
MAPOKEZI YA SEMAJI LA CAF CHAMAZI KAMA MFALME
@ahmedally_
@simbasctanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha #startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
#Tv3Tanzania #GameOn