Loko Digital

Loko Digital ROOM OF NEWS DISCUSSION
Ukurasa huu ni Maalum Kwa habari mbalimbali za Michezo, Kijamii na Burudani

Marcus Rashford ameoneka mwenye furaha baada ya kurejea mazoezini na kikosi cha Man United kujiandaa na mchezo wa Europa...
22/01/2025

Marcus Rashford ameoneka mwenye furaha baada ya kurejea mazoezini na kikosi cha Man United kujiandaa na mchezo wa Europa League dhidi ya Rangers.

Watu wa upande wake walikutana na Barcelona Jumanne, ikiwa Barca wana nia ya kumsajili Rashford lakini yote inategemea Financial Fair Play kwani Barca wanatakiwa kuuza ama AnsubFati au Eric Carcia.

Borussia Dortmund pia wanavutiwa lakini mabadiliko ya meneja yaliyoamuliwa sasa yanaweza kupunguza mchakato huo.

Vyanzo vilivyo karibu na Rashford pia vimedokeza kuwa huenda akabaki hadi mwisho wa msimu huko Manchester united.

abaki au atupishe..?

Liverpool tayari imefuzu hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu.Liverpool haijapoteza mchezo wowote kwenye...
22/01/2025

Liverpool tayari imefuzu hatua ya 16 Bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu.

Liverpool haijapoteza mchezo wowote kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu katika Michezo yote Saba waliyocheza (wameshinda yote).

Kocha wa Liverpool Arne Slot ni Kocha wa pili katika historia ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kushinda mechi zake Saba (7) za kwanza.

Kocha mwengine aliewahi kufanya hivyo ni Hansi Flick akiwa na Bayern Munich alishinda mechi zake Saba za mwanzo kwa misimu miwili mfululizo 2019/20- 2020/2021.

Timu zilizoingia hatua ya Robo Fainali Kombe la Shirikisho barani Afrika.Simba SC pekee ndio mwakilishi wa Tanzania kati...
20/01/2025

Timu zilizoingia hatua ya Robo Fainali Kombe la Shirikisho barani Afrika.

Simba SC pekee ndio mwakilishi wa Tanzania katika Mashindano ya CAF kwa ngazi ya vilabu.

BREAKING 🚨 Hizi ndio timu Nane ambazo zimefuzu hatua ya nane Bora ( Robo Fainali) Ligi ya Mabingwa Afrika 2024/25 .
19/01/2025

BREAKING 🚨

Hizi ndio timu Nane ambazo zimefuzu hatua ya nane Bora ( Robo Fainali) Ligi ya Mabingwa Afrika 2024/25 .

Bila shaka huyu Admin alikuwepo uwanjani..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
19/01/2025

Bila shaka huyu Admin alikuwepo uwanjani..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

No fans, No Problem 87’ | Simba SC 2-0 CS Constantine.
19/01/2025

No fans, No Problem

87’ | Simba SC 2-0 CS Constantine.

Ushindi na vichapo vikubwa kwenye Historia ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika.Timu yako imeingia Kundi Gani hapo...?Weka ...
19/01/2025

Ushindi na vichapo vikubwa kwenye Historia ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika.

Timu yako imeingia Kundi Gani hapo...?
Weka Comment πŸ‘‡

Picha za baadae zimeanza kutoka kabisa.
18/01/2025

Picha za baadae zimeanza kutoka kabisa.

Basi Hawa vijana waacheni, mtafute wazee kina Antony wabaki kwenye timuπŸ˜‚
16/01/2025

Basi Hawa vijana waacheni, mtafute wazee kina Antony wabaki kwenye timuπŸ˜‚

Baada ya kupata chakula Cha mchana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Hussein Mwinyi, timu ya ...
15/01/2025

Baada ya kupata chakula Cha mchana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Hussein Mwinyi, timu ya Taifa ya Zanzibar imekabidhiwa kitita Cha Shilingi Milioni Hamsini na Rais wa Zanzibar k**a sehemu ya Zawadi baada ya kutwaa Kombe la Mapinduzi 2025

πŸ“Œ Aston Villa wamekamilisha usajili wa Donyell Malen kutoka Borussia Dortmund kwa ada ambayo haijawekwa wazi. πŸ“Œ Mchezaji...
14/01/2025

πŸ“Œ Aston Villa wamekamilisha usajili wa Donyell Malen kutoka Borussia Dortmund kwa ada ambayo haijawekwa wazi.

πŸ“Œ Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uholanzi, ambaye alikuwa sehemu ya kikosi kilichofika nusu fainali ya Euro 2024, ni ujio wa kwanza wa Unai Emery katika dirisha la uhamisho la Januari.

πŸ“Œ Malen anaondoka Dortmund baada ya kucheza mechi 132 katika mashindano yote ndani ya miaka mitatu na nusu akiwa na wababe hao wa Bundesliga, akifunga mabao 39.

Fowadi huyo alisaidia Weusi na Manjano kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa msimu uliopita, ambapo walichapwa 2-0 na Real Madrid.

πŸ“Œ Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25, ambaye alianza soka lake akiwa na PSV, ataongeza kiwango cha ushambuliaji kwa Villa, na kutoa ushindani kwa Ollie Watkins, Jhon Duran, Morgan Rogers na Leon Bailey.

πŸ“ŒMalen anaweza kucheza mechi yake ya kwanza kwa kikosi cha Emery, ambacho kiko nafasi ya nane kwenye jedwali la Ligi ya Premia na pointi nne kutoka kwenye nafasi nne za juu, katika mchuano wa Jumatano dhidi ya Everton Uwanja wa Goodison Park.

K**a masihara tu klabu ya Arsenal inajiandaa kufanya usajili ywa kiungo Martin Zubimendi kutoka  Real Sociedad mwishoni ...
14/01/2025

K**a masihara tu klabu ya Arsenal inajiandaa kufanya usajili ywa kiungo Martin Zubimendi kutoka Real Sociedad mwishoni mwa msimu huu.

Kiungo amekua akiwaniwa na vigogo wakubwa nchini Uingereza wakiwemo Liverpool na Manchester City.

Chelsea walivyokua wanajiandaa na Ubingwa πŸ˜‚πŸ˜‚
14/01/2025

Chelsea walivyokua wanajiandaa na Ubingwa πŸ˜‚πŸ˜‚

Klabu ya Bayern Munich wameingia kwenye vita na Chelsea kuwania Saini ya kinda wa miaka 19 kutoka Manchester United, Kob...
14/01/2025

Klabu ya Bayern Munich wameingia kwenye vita na Chelsea kuwania Saini ya kinda wa miaka 19 kutoka Manchester United, Kobbie Mainoo.

Mali inataka kuwatoka Hawa.

Zanzibar Heroes Bingwa wa Kombe la Mapinduzi 2025.Imejiwekea historia ya timu ya kwanza kubeba Kombe hilo kwa ngazi ya t...
14/01/2025

Zanzibar Heroes Bingwa wa Kombe la Mapinduzi 2025.

Imejiwekea historia ya timu ya kwanza kubeba Kombe hilo kwa ngazi ya timu za Taifa.

Arsenal kwenye Mashindano ya Kombe la FA Cup tangu washinde Kombe hilo msimu wa 1019/2020:  2021: Walitolewa mzunguko wa...
13/01/2025

Arsenal kwenye Mashindano ya Kombe la FA Cup tangu washinde Kombe hilo msimu wa 1019/2020:

2021: Walitolewa mzunguko wa Nne na Southampton ❌

2022: Walitolewa mzunguko wa Tatu na Nottingham Forest ❌

2023: Walitolewa mzunguko wa Nne na Man City ❌

2024: Walitolewa mzunguko wa Tatu na Liverpool ❌

2025: Wametolewa na Man United mzunguko wa Tatu ❌

Tafuteni Kombe mushirikiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

CHUKUA HII πŸ“Œ Ruben Amorim ni Kocha wa kwanza wa Manchester United kuifunga Arsenal katika Uwanja wa Emirates tangu alipo...
12/01/2025

CHUKUA HII

πŸ“Œ Ruben Amorim ni Kocha wa kwanza wa Manchester United kuifunga Arsenal katika Uwanja wa Emirates tangu alipofanya hivyo Ole Gunnar SolskjΓ¦r mwezi Januari 2019.

Man United wamepata ushindi wa mikwaju ya Penalti 5-3 baada ya Sare ya 1-1 kwenye mchezo wa FA Cup.

Gari limewaka sasa

Zidane wa Dodoma Jiji atua kwa wauza Ice Cream 🍦🍨 wa ChamanziUnaonaje Usajili huu?
11/01/2025

Zidane wa Dodoma Jiji atua kwa wauza Ice Cream 🍦🍨 wa Chamanzi

Unaonaje Usajili huu?

Address

Dar Es Salaam
0000

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Loko Digital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Loko Digital:

Videos

Share