#LIVE || ROZARI YA FATIMA - BUKOBA
Karibu tusali pamoja Sala ya Rozari Takatifu ya Fatima kutoka Jimbo Katoliki Bukoba.
Tunaongozwa na familia ya marehemu Justinian Rugambwa, Baba mzazi wa Valantia wa Radio Maria Tanzania, Jimbo Katoliki Bukoba, Ma Magreth Rugambwa.
Nia ya Rozari ni kumwombea marehemu mzee Justinian Rugambwa apumzike kwa amani.
.
.
www.radiombiu.co.tz
Maswali na Majibu :
Swali : Kwanini Sista haruhusiwi kuongoza Ibada.?
Usikose kufuatilia kipindi cha Historia ya Kanisa , Kila Jumatano saa 3 usiku, kupitia Radio Mbiu na Radio Maria Tanzania upate kufahamu mengi yanayohusu Kanisa Katoliki na Ukristo, kipindi kinacholetwa kwako naye Askofu Method Kilaini, Askofu Mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba na Mtangazaji Patrick P. Tibanga.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
Maswali na Majibu :
Swali : Kuna tofauti gani kati ya Mapadre wa Shirika na Mapadre wa Jimbo.?
Usikose kufuatilia kipindi cha Historia ya Kanisa , Kila Jumatano saa 3 usiku, kupitia Radio Mbiu na Radio Maria Tanzania upate kufahamu mengi yanayohusu Kanisa Katoliki na Ukristo, kipindi kinacholetwa kwako naye Askofu Method Kilaini, Askofu Mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba na Mtangazaji Patrick P. Tibanga.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
Maswali na Majibu :
Swali : Zile shule alizojenga Kardinali Rugambwa na nyingine za Kanisa kwanini zilitaifishwa?
Usikose kufuatilia kipindi cha Historia ya Kanisa , Kila Jumatano saa 3 usiku, kupitia Radio Mbiu na Radio Maria Tanzania upate kufahamu mengi yanayohusu Kanisa Katoliki na Ukristo, kipindi kinacholetwa kwako naye Askofu Method Kilaini, Askofu Mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba na Mtangazaji Patrick P. Tibanga.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
#LIVE || LIVE MISA YA NDOA - KISHAO KAYANGA
Karibu tushiriki pamoja Adhimisho la Misa Takatifu ya Sakramenti Takatifu ya ndoa kati ya Valantia wa Radio Maria Jimbo Katoliki Kayanga Sarah Neema George Kishenyi pamoja Jovian Buberwa Sylivester.
Misa inaadhimishwa na Padre Alex Ssenfuma, Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Anthony wa Padua - Kyerwa, katika Kigango cha Mtakatifu Andrea Kagwa - Kishao, Parokia ya Mtakatifu Joseph Mfanyakazi - Omurushaka, Jimbo Katoliki Kayanga.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
Matukio katika Misa Takatifu ya Daraja ya Upadre kwa Padre Paul Kahwa kutoka Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Ulimwengu-Kijwire Jimbo Katoliki Bukoba
Watoto wa Shirika la Utoto Mtakatifu Parokia ya Kijwire Jimbo Katoliki Bukoba wakiimba wimbo maalumu baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya Daraja Takatifu ya Upadre wa Padre Paul Kahwa
Maswali na Majibu :
Swali: Naomba kufahamu dhehebu la Anglican mbona lina shabihiana na RC kwa ibada na mavazi ya Maaskofu ilikuaje tukawa tofauti kidogo.?
Usikose kufuatilia kipindi cha Historia ya Kanisa , Kila Jumatano saa 3 usiku, kupitia Radio Mbiu na Radio Maria Tanzania upate kufahamu mengi yanayohusu Kanisa Katoliki na Ukristo, kipindi kinacholetwa kwako naye Askofu Method Kilaini, Askofu Mstaafu Jimbo Katoliki Bukoba na Mtangazaji Patrick P. Tibanga.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
#LIVE || MISA YA UPADRISHO - BUKOBA
Karibu katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Darajala Takatifu ya Upadre wa Shemasi Paul Kahwa, kutoka Parokia ya Bikira Maria Malkia wa Ulimwengu-Kijwire Jimbo Katoliki Bukoba
Misa Takatifu inaadhimishwana Mhashamu Jovitus Mwijage Askofu wa Jimbo Katoliki Bukoba akishirikiana na Maaskofu wastaafu wa Jimbo Katoliki Bukoba.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja