Sunrise Radio Tz

Sunrise Radio Tz SUNRISE RADIO INAHAKIKISHA UNAPATA HABARI ZILIZO NA UHUAKIKA KUTOKA KILA KONA YA TANZANIA NA NJE YA TANZANIA

22/02/2025
Usikose kusikiliza mubashara Alhamisi hii Team ya Hapo ulipo atasikika Star Shark kutoka A.Town tune 94.9 fm Kwa online ...
05/02/2025

Usikose kusikiliza mubashara Alhamisi hii Team ya Hapo ulipo atasikika Star Shark kutoka A.Town tune 94.9 fm
Kwa online tunapatikana. Bofya link hapa ...https://onlineradiobox.com/tz/sunrise/

Kila La kheri Mkiti mstaafu Mbowe karibu Tundulisu
22/01/2025

Kila La kheri Mkiti mstaafu Mbowe karibu Tundulisu

17/01/2025

Halwa awachamba wanaotolewa vijijini na waumezao wakifika wakisha pata vihela wanaanza dharau Halwa anawapa za uso hii ni HAPO ULIPO 94.9 Sunrise Radio

12/01/2025

Kosha wa simba sc azungumza kuhitaji ushidi mapema leo

12/01/2025

Kocha wa yanga sc afunguka kuelekea mechi yao dhidi ya Al hilal

12/01/2025

Mwamba Azizi ki alivyo jipanga kuikabili Al Hilal

Elimu ya usafirishaji haramu wa binadamu yawafikia Watumiaji vyombo vya majini.Ikiwa ni mwendelezo wa utoaji elimu kwa m...
04/12/2024

Elimu ya usafirishaji haramu wa binadamu yawafikia Watumiaji vyombo vya majini.

Ikiwa ni mwendelezo wa utoaji elimu kwa makundi mabalimbali katika jamii kikosi cha wanamaji dawati la jinsia na watoto limewafikia watumiaji wa vyombo vya majini na kuwapa elimu ya ukatili ikiwa ni pamoja elimu ya usafirishaji haramu wa binadamu.

Akiongea wakati wa utoaji elimu hiyo iliyofanyika katika bahari ya hindi Mkuu wa dawati la Jinsia na watoto kutoka kikosi cha wanamaji Jeshi la Polisi Mkaguzi wa Polisi Avelina Temba amesema kuwa umekuwa ni utaratibu wa dawati hilo kuyafikia makundi hayo nakuyapa elimu ili kujenga uelewa wa pamoja juu ya vitendo vya unyanyasaji na ukatili.

Mkaguzi wa Polisi Shafii Lubarati akagusia vitendo vya baadhi ya watu kufanya Biashara haramu ya usafirishaji wa binadamu ambapo amebainisha kuwa kwa ambae atafanya vitendo hivyo ni kinyume cha sheria na Jeshi la Polisi litamkamata

Mamalaka ya Bima Tanzania Kanda ya kaskazini (TIRA) imewahimiza wazazi na walezi kuwakatia watoto  Bima ya Afya na Bima ...
02/12/2024

Mamalaka ya Bima Tanzania Kanda ya kaskazini (TIRA) imewahimiza wazazi na walezi kuwakatia watoto Bima ya Afya na Bima za Maisha ili Mtoto kusaidika pale wazazi wanapo kuwa wamepoteza Maisha kwa kusomesha na BIMA hadi Anapo hitimu elimu ya Juu.

Hayo Yamesemwa na Afisa Bima kutoka Mamlaka ya Bima Tanzania Kanda ya kaskazini Bi Caroline Modesti Baada ya Kuhitimisha Bonanza lililofanyika Viwanja vya Shule ya Sekondari Ilboru mkoani Arusha na Kuzikutanisha Klabu za Bima kutoka Shule za Arusha Dc lililokuwa na lengo la kutoa elimu juu ya Umuhimu wa Bima kwa mtoto.

Bonanza hilo Lilihusisha Klabu 36 kutoka Wilaya ya Arusha Dc huku Mwenyekiti wa Klabu na Bonanza hilo Bi Upendo Gewasi Mwakasata ambaye pia ni mwalimu Kiserian Sekondari amesema Bonanza hilo litaleta hamasa kwa Wazazi na walezi kuwakatia Bima watoto wao hususani Bima ya Maisha.

Aidha baadhi ya wanafunzi walio jitokeza kushiriki katika katika Bonanza hilo wamesema Bonanza hilo limeleta hamsa kwa wanafunzi na kuelewq kuhusu nini Ambacho Bima inafanya hususani kwa watoto walioko Shuleni kuanzia ngazi ya msingi na Sekondari

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), chini ya Sheria ya Bima Na.10 ya mwaka 2009, ni taasisi ya serikali ilioanzishwa ili kutekeleza majukumu ya kusimamia soko na kuendeleza biashara ya bima nchini na masuala yanayohusiana na bima kwa mujibu wa sheria ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mbunge wa Kigamboni (CCM), DK Faustine Ndugulile amefariki dunia leo Jumatano, Novemba 27, 2024 nchini India alipokuwa a...
27/11/2024

Mbunge wa Kigamboni (CCM), DK Faustine Ndugulile amefariki dunia leo Jumatano, Novemba 27, 2024 nchini India alipokuwa akipatiwa matibabu.

Taarifa ya kifo hicho imetolewa na Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson. Amesema taarifa zaidi kuhusu msiba huo itatolewa.

Dk Ndugulile Alikuwa Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Dunia Kanda ya Afrika (WHO) ambaye alipaswa kuanza majukumu hayo mapya Februari 2025

Address

P. O. Box 11064
Arusha

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sunrise Radio Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Sunrise Radio Tz:

Videos

Share

Category

TANZANIA BILA CORONA INAWEZEKANA

TANZANIA SALAMA