TBCArusha

TBCArusha TBC Arusha 92.1MHz FM owned by

OUR LIVE STREAM LINKS

tbcarusha921.radiostream321.com

tbcarusha921.radiostream12345.com

tbcarusha921.radiostream123.com

It’s a TBT Vibes 🎵 Catch  on THE STORM Tune in  92.1 FM kuhusu vibe tuachie sisi!
06/02/2025

It’s a TBT Vibes 🎵 Catch on THE STORM Tune in 92.1 FM kuhusu vibe tuachie sisi!

Leo katika Hatua Yetu, tutajadili wajibu wa kiongozi katika kuhimiza na kusimamia maendeleo.Utamsikia Christopher Rutagw...
06/02/2025

Leo katika Hatua Yetu, tutajadili wajibu wa kiongozi katika kuhimiza na kusimamia maendeleo.

Utamsikia Christopher Rutagwelela, Diwani wa Kata ya Osunyai JR, akitoa mtazamo wake.

Karibu ungana na Deogratius Lyimo na Rehema Lebayo kuanzia saa 8:00 hadi 9:00 alasiri hapa TBC Arusha 92.1 FM.

Usikose!

Leo katika hatua yetu, tutajadili kuhusu Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014.Tutakuwa na mazungumzo maalum na Mwalimu...
04/02/2025

Leo katika hatua yetu, tutajadili kuhusu Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014.

Tutakuwa na mazungumzo maalum na Mwalimu Joseph Pole kutoka Elerai Sekondari, akitupa mtazamo wake kuhusu sera hii na utekelezaji wake kwa vitendo.

Jiunge nasi pamoja na Rehema Lebayo na Deogratius Lyimo kuanzia saa nane hadi saa tisa alasiri, hapa TBC Arusha 92.1 FM.

Usikose!

Leo kwenye kipindi chetu, tunajadili umuhimu wa mafunzo ya Amali katika kukuza uchumi wa Tanzania!Tutazungumza na Ester ...
03/02/2025

Leo kwenye kipindi chetu, tunajadili umuhimu wa mafunzo ya Amali katika kukuza uchumi wa Tanzania!

Tutazungumza na Ester Mwasape, Mkuu wa Chuo cha Help to Self Help, pamoja na Emanuel Mafie, Msajili wa Chuo, ili kufahamu kwa kina mchango wa mafunzo haya kwa vijana na maendeleo ya taifa letu.

Ungana na Deogratius na Rehema Lebayo kuanzia saa nane hadi saa tisa alasiri hapa 92.1 TBC Arusha. Usikose!

Usikose mjadala wa leo kuhusu NIDHAMU YA FEDHA – fursa yako k**a Mwanamke wa Nguvu kujifunza jinsi ya kusimamia fedha kw...
01/02/2025

Usikose mjadala wa leo kuhusu NIDHAMU YA FEDHA – fursa yako k**a Mwanamke wa Nguvu kujifunza jinsi ya kusimamia fedha kwa ufanisi.

Tukio hili litamshirikisha Mgeni Maalum, mjasiriamali na mhamasishaji wa maendeleo ya wanawake, ambaye atatoa maarifa muhimu kwa mafanikio yako ya kifedha.

Jiunge na Rehema Lebayo na Martha Paul kuanzia saa 4:00 Asubuhi hadi 6:00 Mchana kupitia TBC Arusha 92.1 FM kwa elimu hii muhimu.

Usikose!

Karibu kwenye kipindi chetu leo kupitia TBC Arusha 92.1 FM!Leo tunajadili Saratani ya Shingo ya Kizazi, tukiangazia afya...
30/01/2025

Karibu kwenye kipindi chetu leo kupitia TBC Arusha 92.1 FM!

Leo tunajadili Saratani ya Shingo ya Kizazi, tukiangazia afya na njia za kuzuia ugonjwa huu.

Tutakuwa na wageni maalum:
• Muuguzi Mkunga Vaileth Chahe
• Afisa Afya na Mratibu wa Elimu ya Afya kwa Jamii kutoka Halmashauri ya Arusha, Nancy Njovu

Jiunge na Deogratius Lyimo na Rehema Lebayo kuanzia saa 8 hadi saa 9 alasiri kupitia TBC Arusha 92.1 FM kwa mazungumzo ya kina kuhusu afya yako.

Usikose!

Karibu katika Hatua Yetu leo na TBC Arusha 92.1, ambapo tutajifunza kuhusu magonjwa yasiyopewa kipaumbele.Tutakuwa na Af...
29/01/2025

Karibu katika Hatua Yetu leo na TBC Arusha 92.1, ambapo tutajifunza kuhusu magonjwa yasiyopewa kipaumbele.

Tutakuwa na Afisa Afya na Mratibu wa Elimu ya Afya kwa Jamii kutoka Halmashauri ya Arusha, Nancy Njovu.

Pia, utamsikia Shaban Mkota, Mratibu wa Magonjwa Yasiyopewa Kipaumbele, akitoa ufafanuzi zaidi.

Ungana na Deogratius Lyimo pamoja na Rehema Lebayo kuanzia saa nane hadi saa tisa alasiri kupitia TBC Arusha 92.1.

Usikose!

Ataelezea jinsi alivyoelimisha jamii yake kuhusu umuhimu wa watoto wa k**e na wale wenye ulemavu kupata haki ya elimu. P...
27/01/2025

Ataelezea jinsi alivyoelimisha jamii yake kuhusu umuhimu wa watoto wa k**e na wale wenye ulemavu kupata haki ya elimu. Pia, atajadili changamoto zinazowakwamisha wasichana kupata na kuhitimu elimu, pamoja na namna mafunzo aliyopatiwa na shirika la Okoa New Generation yanavyomsaidia kufanikisha juhudi za kuelimisha jamii yake.

Karibu mdau wetu, tujifunze pamoja katika kipindi chetu kuhusu Huduma ya Viungo Tiba na Viungo Tiba Saidizi.Kupitia mawi...
27/01/2025

Karibu mdau wetu, tujifunze pamoja katika kipindi chetu kuhusu Huduma ya Viungo Tiba na Viungo Tiba Saidizi.
Kupitia mawimbi ya 92.1 FM, tutajifunza mengi, ikiwemo aina ya wagonjwa wanaostahili huduma hizi.
Usikose kutusikiliza na kufuatilia mazungumzo ya kina na Deogratius Lyimo na Rehema Lebayo!

23/01/2025
Show yako ya Kibabe    LIVE kupitia  92.1 FM zinapigwa kopo zote na mastori mob.Unatusikiliza ukiwa wapi? Drop comment y...
20/01/2025

Show yako ya Kibabe LIVE kupitia 92.1 FM zinapigwa kopo zote na mastori mob.

Unatusikiliza ukiwa wapi? Drop comment yako tutasema nayo kwa hewa 📻

Host:
Artwork:

“Tumeandaa package za bei nafuu ambapo watu wazima watalipa kifurushi cha shillingi 49,500 tu kuweza kuingia hifadhi ya ...
19/12/2024

“Tumeandaa package za bei nafuu ambapo watu wazima watalipa kifurushi cha shillingi 49,500 tu kuweza kuingia hifadhi ya taifa ya Arusha hii inahusisha gharama za usafiri, viingilio vya hifadhi, gharama za matembezi pamoja na chakula cha mchana.” amesema mkuu wa idara ya utalii Jerome Ndanzi

Maoni yako yatasomwa kwenye kipindi cha pambazuko jipya
19/12/2024

Maoni yako yatasomwa kwenye kipindi cha pambazuko jipya

Kupitia kipindi cha   cha   arusha 92.1Mhz mkuu wa hifadhi ya taifa Arusha Eva Malya amewataka watanzania kuwa wazalendo...
19/12/2024

Kupitia kipindi cha cha arusha 92.1Mhz mkuu wa hifadhi ya taifa Arusha Eva Malya amewataka watanzania kuwa wazalendo na kujijengea tabia ya kutembelea vivutio vya utalii nchini kuelekea msimu wa sikukuu.

Address

Arusha Chini

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TBCArusha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to TBCArusha:

Videos

Share