Daladala newz

Daladala newz the best online television

21/04/2023

TAASISI ISIYO YAKISERIKALI INAYOFAAMIKA KWA JINA LA ELIMU FOUNDATION LEO TAR 21 MWEZI WA 4 WAMEFANYA ZOEZI LA KUGAWA MITI KATIKA SHULE ZA SECONDARY PAMOJA NA MSINGI KATIKA KATA YA OLDONYOSAMBU PAMOJA NA KITUO CHA AFYA CHA OLDONYOSAMBU

AKIZUNGUMZA KATIKA ZOEZI HILO MKURUGENZI WA TAASIIS HIYO MOSES NGEREZA ALISEMA HATO ISHIA HAPO BALI ITAKUA NI MUENDELEZO KWA AJILI YA KUKABIKIANA NA MABADILIKO YA TABIA YA NCHI

MKURUGENZI HUYO AMESEMA SI KWAMBA ANAPANDA MITI K**A WENGINE WALIVYO ZOEYA YEYE ATAWEKA NGUVU NA KUWAHIMIZA WATANZANIA KUPANDA MITI KWAAJILI YA MATUNDA NA KUPATA LISHE ILIYO BORA

KWA UPANDE MWINGINE VIONGOZI WAKIMILA PAMOJA NA WANANCH MBALIMBALI WALIPONGEZA HATUA HYO NA KUIOMBA TAASISI YA ELIMU FOUNDATION ISIISHIE HAPO BALI IWE MUENDELEZO

WANANCHI WAMEAHIDI KUA MABALOZI WA ZURI NA WATAFIKISHA ELIMU HII KWA WATU WANAOWAZUNGUKA NA KUHAIDI HATA WATATOA ENEO KWAAJILI YA ELIMINATED DARASA NA KUHAKIKISHA TANZANIA INAKUWA YAKIJANI NA WATU WENYE AFYA NJEMA.

ZOEZI HILO LILIFANIKIWA KUHUDURIWA NA VIONGOZI MBALI MBALI AKIWEMO DIWANI NA MTENDAJI WA KATA AMBAPO NAO WALIHUSIKA KATIKA ZOEZI HILO LA KUOTESHA MITI

PRAYGOD MARTIN - DALA DALA TV

11/04/2023
07/04/2023

WANAO LETA USHOGA WANAOFANYA USHOGA BASTOLA KICHWANI UVCCM VAA GWANDA TWENDE VITANI......

07/04/2023

the best online television

news:Aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya ameachiliwa huru leo April 05 2023.Mahaka...
05/04/2023

news:
Aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya ameachiliwa huru leo April 05 2023.

Mahaka ya Moshi mkoani Kilimanjaro imefikia uamuzi wa kumuachia huru Sabaya baada ya kukiri makosa yaliyokuwa yakimkabiri Kwa njia ya plea bargaining

 : Ndege ya Precision Air imepata ajali katika Ziwa Victoria Bukoba, Kagera asubuhi ya leo ambapo Mashuhuda wanasema aja...
06/11/2022

: Ndege ya Precision Air imepata ajali katika Ziwa Victoria Bukoba, Kagera asubuhi ya leo ambapo Mashuhuda wanasema ajali hii imetokana na Ndege hiyo kupata hitilafu wakati ikitua,

04/11/2022

VIJANA UVCCM ARUMERU WATIA HESHIMA MAZISHI YA KADA NA BABA WA MWENYEKITI VIJANA KATA YA TARAKWA
Wananch wa kata ya tarakwa wafurahi nakusema umoja wa vijana wa chama chamapinduzi wamefanya jambo lilo wapa furaha kwa ushirikiano wao katika mazishi ya baba wa kijana mwenzao ambaye pia ni kiongozi kwenye jumuiya ya vijana kata ya tarakwa
Pamoja na hayo mwenyekiti wa umoja wa vijana wilaya ya Arumeru mw LEMPAPA LIARINI ametaka vijana wawe na umoja huo huo katika shuhuli mbali mbali ya maendeleo na kuonyesha ushirikiano katika shida hata katika raha na pale panapotokea tatizo tuzidi kutiana moyo
Pamoja na hayo mwenezi wa chama cha mapinduzi mw NIKOLAS SAWA kasema huu ndo utu na ndo umoja na ndo umoja wa vijana aliyokuwa anauhitaji kwanzia zamani na kuhaidi kuzidi kutia nguvu katika umoja huu wa vijana na kuomba ushirikiano zaidi

15/06/2022

MWANDISHI WA HABARI ARUSHA KUSHIKILIWA NA WATU WALIO JITAMBULISHA POLISI

Mwandishi wa HABARI wa Wasafi Media Protte Mmanga amekamatwa na watu waliojitambulisha kuwa ni polisi maeneo ya Chuo Cha Technical College Arusha wakisema kuwa wanampeleka kwa RCO ajili ya kumhoji na Polisi hao walikuwa na Gari namba za usajili T576 DTJ

Hata hivyo ofisi ya mpelelezi wa Mkoa Rco imesema kuwa Haina Taarifa hizo za kukamatwa kwake.
na hii si mara ya kwanza kutokea manyanyaso na ukatili kwa waandishi wa habari kutekwa na kufanyiwa vitendo viovu katika mikoa mbali mbali

MWANDISHI WA HABARI ARUSHA KUSHIKILIWA NA WATU WALIO JITAMBULISHA POLISIMwandishi wa HABARI wa Wasafi Media Protte Mmang...
15/06/2022

MWANDISHI WA HABARI ARUSHA KUSHIKILIWA NA WATU WALIO JITAMBULISHA POLISI

Mwandishi wa HABARI wa Wasafi Media Protte Mmanga amekamatwa na watu waliojitambulisha kuwa ni polisi maeneo ya Chuo Cha Technical College Arusha wakisema kuwa wanampeleka kwa RCO ajili ya kumhoji na Polisi hao walikuwa na Gari namba za usajili T576 DTJ

Hata hivyo ofisi ya mpelelezi wa Mkoa Rco imesema kuwa Haina Taarifa hizo za kukamatwa kwake.
na hii si mara ya kwanza kutokea manyanyaso na ukatili kwa waandishi wa habari kutekwa na kufanyiwa vitendo viovu katika mikoa mbali mbali

RAIS SAMIA: Kuna Nchi zinakuja kuvua kwenye eneo la Tanzania na hatuwezi kuwafukuza kwa sababu hatuna vifaa> Hili ni ene...
13/06/2022

RAIS SAMIA: Kuna Nchi zinakuja kuvua kwenye eneo la Tanzania na hatuwezi kuwafukuza kwa sababu hatuna vifaa

> Hili ni eneo lingine ambalo Tanzania na Oman zinaweza kushirikiana kwa pamoja. Pia, uwepo kwa Vyombo vya Usafirishaji wa Majini ili kusafirisha Wanyama walio hai na bidhaa mbalimbali kwenda Oman utaboresha biashara kati ya Tanzania na Oman

10/06/2022

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake sita katika kesi ya uhujumu uchumi namba ishirini na saba ya mwaka 2021 kutokana na hati ya mashtaka kuwa na mapungufu pamoja na ushahidi kugubikwa na maswali mengi.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya  Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake sita katik...
10/06/2022

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake sita katika kesi ya uhujumu uchumi namba ishirini na saba ya mwaka 2021 kutokana na hati ya mashtaka kuwa na mapungufu pamoja na ushahidi kugubikwa na maswali mengi.

28/05/2022

NENO YA REFA WA MCHONGO STAKI KUUSIKIA KATIKA USHINDI WETU K**A NOBLE COLLEGE KATIKA KOMBE LA MBUZI.....
Chuo Cha noble trust college kilichopo jijini Arusha kiliandaa mashindano ya kombe la mbuzi na baadhi ya vyuo na kuibuka kidedea na baadhi ya timu zilizo shiriki kusema ndani yake refa kanunuliwa na wengine kusema mbuzi ni wa refa japo baadhi ya wadhamini na waliojitokeza wakisema mpira umechezwa kwa haki na usawa na walio fungwa hakuna haja ya kulalamika Bali wajipange zaidi katika makosa ya mwaka huu na mwakani wafanye vizuri zaidi na baadhi ya wadhamini wa timu kutoa haadi kedekede K**a kuipeleka timu mapumzikoni katika mbuga ya wanyama ya ngorongoro yote ni kuipa chachu ya kufanya vizuri zaidi

Address

Arusha
NEWZ

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Daladala newz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Daladala newz:

Videos

Share