KBC Radio Taifa, Sauti Ya Mkenya

KBC Radio Taifa, Sauti Ya Mkenya Ukurasa Rasmi wa KBC Radio Taifa. Intelsat

(Free to air)


1.
(681)

Sikiliza KBC Radio Taifa:

92.9 FM: Nairobi na viunga vyake, Central, South Rift Valley na Eastern Provinces

90.4 FM: Meru, Isiolo na Laikipia

88.6 FM: Nyanza, Western na Central Rift Valley

100.8 FM: Mombasa na viunga vyake

87.7 FM: Nyeri na maeneo ya Mlima Kenya pia Mashariki mwa Kenya

104.1 FM: Nakuru na viunga vyake

103.3 FM: Kisii na viunga vyake

90.1 FM: Malindi na viunga vyake

9

3.3 FM: Kapenguria, Kacheliba, Kitale, Eldoret, Kabarnet na Marakwet

104.5 FM: Magharibi na Nyanza hadi Mashariki mwa Uganda


96.9 FM: Voi, Taveta, Wundanyi, Loitokitok, Mtito Andei, Machinery, Kibwezi na Kilifi,

89.9 FM: Namanga na Kaskazini mwa Tanzania

88.6 FM: Lodwar na viunga vyake

89.3 FM: Lokichoggio na viunga vyake


93.1 FM: Garsen, Hola, Witu, Mpeketoni, Lamu, Manda Island, Mokowe, Faza island Gongoni

92.9 FM: Naivasha, Mai Mahiu, Suswa, Mau Narok, Gilgil na Ol kalou


Pia tuko kwenye Satellite:


A. NSS 12- 57ₒE

* Frequency-11.026GHZ
* Symbol Rate - 9690
* FEC-3/4



DVBS

Horizontal

2. 1S1O-68.5ₒE

* Frequency-3964GHZ
* Symbol Rate-7415
* FEC-3/5



DVBS 2

Vertical

B.Entelsat (DSTV)

( Scrambled)


W7-36ₒ E

* Frequency 11766GHZ
* Symbol Rate -27500
* FEC -3/4

16/02/2025

Mara nyingi Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi mitaa ya mabanda hukabiliwa na athari nyingi zinazotokana na mabadiliko haya. Kwa wengi, ukosefu wa upatikanaji wa taarifa sahihi za utabiri wa hali ya hewa kwa wakati huchangia pakubwa na kuongeza uwezekano wa jamii hizi kukabiliwa na majanga.

Lakini katika mpango wa kimsingi, Vijana kutoka mitaa hii wameungana pamoja na Mashirika ya Kijamii (CBOs) na kujitokeza kubadilisha hali hii....

JE, Unadhani Jamii Inaweza kutoa mchango gani kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi ?
^FN

PUMZIKA KWA AMANI Seneta wa Baringo William Cheptumo amefariki Dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Nairo...
16/02/2025

PUMZIKA KWA AMANI
Seneta wa Baringo William Cheptumo amefariki Dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Nairobi.

JERAHA KUMUEKA AMAD DIALLO NJE!!! "Ninasikitika sana kuandika ujumbe huu hasa katika wakati muhimu k**a huu. Kwa bahati ...
16/02/2025

JERAHA KUMUEKA AMAD DIALLO NJE!!!

"Ninasikitika sana kuandika ujumbe huu hasa katika wakati muhimu k**a huu. Kwa bahati mbaya, nitakuwa nje kwa muda kutokana na jeraha. Nitarudi kwa nguvu kuliko hapo awali!! Sasa ni wakati wa kuwashabikia Wachezaji nikiwa nje🫶🏾❤️" Maneno ya Amad Diallo baada ya Kupata Jeraha.

Amad Diallo mwenye umri wa miaka 22 amekuwa ni Kiungo muhimu kwa kikosi cha Ruben Amorim na kukosekana kwake kwa muda kutokana na Jeraha inakuwa ni pigo kubwa sana kwa Man United.

ALIKIBA NI MNOMA KWA KUIMBA "Kwenye kuimba alikiba nimnoma sana, anajua mno kuimba lakini kwenye upande wa biashara ya m...
16/02/2025

ALIKIBA NI MNOMA KWA KUIMBA
"Kwenye kuimba alikiba nimnoma sana, anajua mno kuimba lakini kwenye upande wa biashara ya mziki Alikiba sio mnoma kabisa, ila kwa kuimba ameshindikana yaani Tanzania inabidi tujivunie sana uwezo wa alikiba maana hii ni hazina.

Ila pia kuna watu noma sana kwenye biashara ya mziki ila kuimba hawajui lakini mziki wake unafanya vizuri na ina mwingizia mapato mengi sana" Maneno ya Tundaman
^FN

K**a Kawaida Uko nami   Mzairwa Mpaka saa Nane.. Hapa ni ngoma unazopenda za  ... Yaani ngoma ni ya kipekee....   ^FN
16/02/2025

K**a Kawaida Uko nami Mzairwa Mpaka saa Nane.. Hapa ni ngoma unazopenda za ... Yaani ngoma ni ya kipekee....
^FN

Karibu sana   sifa za Nuhu. John Madanji
16/02/2025

Karibu sana sifa za Nuhu. John Madanji

16/02/2025

Mwamba wa Baraka....tumsifu Mungu wetu,unatupata ukiwa wapi?

Golikipa wa   Ederson ameweka rekodi ya kua Kipa mwenye pasi nyingi za usaidizi wa mabao (Assist) katika historia ya   a...
15/02/2025

Golikipa wa Ederson ameweka rekodi ya kua Kipa mwenye pasi nyingi za usaidizi wa mabao (Assist) katika historia ya akiwa nazo 6.

Msimu huu pekee akiwa ametoa assist 3 🔥
^FN

Omar Marmoush anawapaisha Manchester City... Katika muda wa 33 Anafunga Hatrick na kuiweka Man City kwenye nafasi nzuri ...
15/02/2025

Omar Marmoush anawapaisha Manchester City... Katika muda wa 33 Anafunga Hatrick na kuiweka Man City kwenye nafasi nzuri ya kushinda mchezo wao dhidi ya Newcastle United

Man City 3-0 Newcastle United
^FN

RAILA AFELI AUCMahmoud Ali Youssouf amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Tume ya Umoja wa Afrika baada ya Kumshinda Mwan...
15/02/2025

RAILA AFELI AUC
Mahmoud Ali Youssouf amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Tume ya Umoja wa Afrika baada ya Kumshinda Mwaniaji wa Kenya Raila Odinga katika Uchaguzi huko Addis Ababa, Ethiopia.

Kati ya Man City na Newcastle United nani atatwa ushindi...?
15/02/2025

Kati ya Man City na Newcastle United nani atatwa ushindi...?

Baada ya Kukandwa na Real Madrid Juzi kati, Leo Wana   Wanamualika Newcastle... Hii Mechi unaionaje..?
15/02/2025

Baada ya Kukandwa na Real Madrid Juzi kati, Leo Wana Wanamualika Newcastle...

Hii Mechi unaionaje..?

Kwa matukio yote ya Michezo... Hapa Ndo Nyumbani... Kaa mkao wa Kula nikupashe mengi kutoka viwanjani.....?   ^FN
15/02/2025

Kwa matukio yote ya Michezo... Hapa Ndo Nyumbani... Kaa mkao wa Kula nikupashe mengi kutoka viwanjani.....?
^FN

Rais William Ruto na Baba Raila Odinga huko Addis Ababa, Ethiopia.. Zoezi la Kumchagua Mwenyekiti Mpya wa AUC litaanza M...
15/02/2025

Rais William Ruto na Baba Raila Odinga huko Addis Ababa, Ethiopia.. Zoezi la Kumchagua Mwenyekiti Mpya wa AUC litaanza Muda wowote.

15/02/2025

Owino, Kondele resident : Niko na hakika Raila raundi hii anaenda kushinda. Mbuzi tumeweka karibu 500 , kuku karibu 100 hatuchinji sahi, tunangoja masaa atangazwe.

Wapenzi wa Muziki wa   Mpoooo....? Tushatake over....Sign in Mapema ndio best... Bridge OVER DRC
15/02/2025

Wapenzi wa Muziki wa Mpoooo....?

Tushatake over....Sign in Mapema ndio best...
Bridge OVER DRC

BURIANI MBOTELAMarehemu Leonard Mambo Mbotela Atazikwa Leo katika Makaburi ya Lang'ata. Pumzika kwa Amani Mzee wetu.   ^...
15/02/2025

BURIANI MBOTELA
Marehemu Leonard Mambo Mbotela Atazikwa Leo katika Makaburi ya Lang'ata.

Pumzika kwa Amani Mzee wetu.
^FN

Address

P. O. Box 30456 Harry Thuku Road
Nairobi
00100

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KBC Radio Taifa, Sauti Ya Mkenya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to KBC Radio Taifa, Sauti Ya Mkenya:

Videos

Share