KBC Radio Taifa, Sauti Ya Mkenya

KBC Radio Taifa, Sauti Ya Mkenya Ukurasa Rasmi wa KBC Radio Taifa. Intelsat

(Free to air)


1.
(487)

Sikiliza KBC Radio Taifa:

92.9 FM: Nairobi na viunga vyake, Central, South Rift Valley na Eastern Provinces

90.4 FM: Meru, Isiolo na Laikipia

88.6 FM: Nyanza, Western na Central Rift Valley

100.8 FM: Mombasa na viunga vyake

87.7 FM: Nyeri na maeneo ya Mlima Kenya pia Mashariki mwa Kenya

104.1 FM: Nakuru na viunga vyake

103.3 FM: Kisii na viunga vyake

90.1 FM: Malindi na viunga vyake

9

3.3 FM: Kapenguria, Kacheliba, Kitale, Eldoret, Kabarnet na Marakwet

104.5 FM: Magharibi na Nyanza hadi Mashariki mwa Uganda


96.9 FM: Voi, Taveta, Wundanyi, Loitokitok, Mtito Andei, Machinery, Kibwezi na Kilifi,

89.9 FM: Namanga na Kaskazini mwa Tanzania

88.6 FM: Lodwar na viunga vyake

89.3 FM: Lokichoggio na viunga vyake


93.1 FM: Garsen, Hola, Witu, Mpeketoni, Lamu, Manda Island, Mokowe, Faza island Gongoni

92.9 FM: Naivasha, Mai Mahiu, Suswa, Mau Narok, Gilgil na Ol kalou


Pia tuko kwenye Satellite:


A. NSS 12- 57ₒE

* Frequency-11.026GHZ
* Symbol Rate - 9690
* FEC-3/4



DVBS

Horizontal

2. 1S1O-68.5ₒE

* Frequency-3964GHZ
* Symbol Rate-7415
* FEC-3/5



DVBS 2

Vertical

B.Entelsat (DSTV)

( Scrambled)


W7-36ₒ E

* Frequency 11766GHZ
* Symbol Rate -27500
* FEC -3/4

Kile ulichonacho ni ndoto kwa wengine Kiheshimu  ^FN
05/09/2024

Kile ulichonacho ni ndoto kwa wengine Kiheshimu
^FN

Watu walio na ulemavu mara nyingi hukabiliana na changamoto nyingi wakati wa kufikia intaneti na majukwaa mengine ya kid...
05/09/2024

Watu walio na ulemavu mara nyingi hukabiliana na changamoto nyingi wakati wa kufikia intaneti na majukwaa mengine ya kidijitali. Pengo hili la habari linaweza kuwa na madhara na kuzuia ushiriki wao.

Tumepewa jukumu la kufikiria upya mkabala wetu wa ujumuishi na maendeleo, kuhakikisha kwamba mahitaji na haki za walio n...
05/09/2024

Tumepewa jukumu la kufikiria upya mkabala wetu wa ujumuishi na maendeleo, kuhakikisha kwamba mahitaji na haki za walio na ulemavu ziko mstari wa mbele katika sera zetu na juhudi za kibinadamu - Mercy Wanjau
^FN

KOSA UCHEKWE !! Kesho tarehe 6 , Timu yetu ya Taifa Itakuwa Inashuka uwanjani dhidi ya Zimbabwe, na k**a ilivyo ada Mech...
05/09/2024

KOSA UCHEKWE !! Kesho tarehe 6 , Timu yetu ya Taifa Itakuwa Inashuka uwanjani dhidi ya Zimbabwe, na k**a ilivyo ada Mechi ya Kesho na Jumanne dhidi ya Namibia zitakuwa Mubashara KBC Channel 1 .

05/09/2024

MSINONE WAKULIMA WAKIKONDA

Onyo la Naibu Rais Rigathi Gachagua kwa Wakurugenzi wa sasa wa Halmashauri ya Ustawishaji Majani Chai nchini (KTDA);
^FN

05/09/2024

Najua wengine hamnipendi lakini mimi sasa si lazima nipendwe, si Pastor Dorcas ananipenda ? sasa iko haja gani kupendwa na wanaume , lazima tuongee ukweli, wakati wa kupigania haki ya mkulima ni sasa - Naibu Rais Gachagua
^FN

Wachezaji 30 Wanaowania Ballon  d'Or 2024  ?◉ Jude Bellingham.◉ Ruben Dias.◉ Phil Foden.◉ Federico Valverde.◉ Emiliano M...
05/09/2024

Wachezaji 30 Wanaowania Ballon d'Or 2024 ?

◉ Jude Bellingham.
◉ Ruben Dias.
◉ Phil Foden.
◉ Federico Valverde.
◉ Emiliano Martínez.

◉ Erling Haaland
◉ Nico Williams
◉ Granit Xhaka
◉ Artem Dovbyk
◉ Toni Kroos

◉ Vinicius Jr
◉ Dani Olmo
◉ Florian Wirtz
◉ Martin Ødegaard
◉ Mats Hummels

◉ Rodri
◉ Harry Kane
◉ Declan Rice
◉ Vitinha
◉ Cole Palmer

◉ Dani Carvajal
◉ Lamine Yamal
◉ Bukayo Saka
◉ Hakan Calhanoglu
◉ William Saliba

◉ Kylian Mbappé
◉ Lautaro Martínez
◉ Ademola Lookman
◉ Toni Rüdiger
◉ Alejandro Grimaldo

Kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2003 Cristiano Ronaldo na Lionel Messi kwa pamoja wamekosekana kwenye orodha ya wachezaji...
05/09/2024

Kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2003 Cristiano Ronaldo na Lionel Messi kwa pamoja wamekosekana kwenye orodha ya wachezaji 30 wanaowania tuzo ya Ballon d'Or 2024
^FN

Vijana wa Timu ya Taifa Harambee Stars wakipasha misuli kuelekea kwa mchuano wao wa kufuzu kwa mashindano ya AFCON hapo ...
05/09/2024

Vijana wa Timu ya Taifa Harambee Stars wakipasha misuli kuelekea kwa mchuano wao wa kufuzu kwa mashindano ya AFCON hapo Kesho ambapo watawaalika Zimbabwe.

kUMBUKA KWAMBA : Shirika la utangazaji humu nchini Kenya, KBC litarusha mubashara mechi za Kenya za kufuzu kwa fainali za kombe la bara Afrika AFCON Ijumaa hii na Jumanne ijayo.

USIKOSE!
^FN

05/09/2024

Zaidi ya washiriki 10,000 wamejisajili kushiriki makala ya 3 ya mbio za Nairobi City Marathon, zitakazoandaliwa Jumapili hii. Kulingana na waandalizi washiriki 731 wakiwemo wa kigeni 40 wamejisaji…

05/09/2024

Waandalizi wa filamu nchini Uganda wana kila sababu ya kutabasamu kufuatia kuanzishwa kwa mpango wa kufufua tasnia ya filamu kwa ajili ya kuboresha mapato katika eneo zima la mashariki mwa Afrika.…

05/09/2024

Askofu Benson Gathungu Kamau maarufu k**a Muthee Kiengei leo amefanya mkutano na mwanamitandao Pritty Vishy na usimamizi wake baada ya kukashifiwa vikali mitandaoni kwa matamshi dhidi yake. Video …

05/09/2024

Jamaa kwa jina Ramadhani Shaban wa umri wa miaka 21 amek**atwa na maafisa wa polisi wa mkoa wa Kigoma kwa madai ya kutoa taarifa za uongo kuhusu kutekwa nyara. Ilibainika kwamba Shaban ambaye anaj…

05/09/2024

Jamhuri ya Demokrasia ya Congo inatarajia kupokea shehena ya kwanza ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa Mpox ,Alhamisi Septemba 5 huku ya pili ikitarajiwa siku ya Jumamosi. Congo imeshuhudia maambukizi …

05/09/2024

Shirika la utangazaji Kenya,KBC litarusha mubashara mechi mbili za kwanza za Kenya, kufuzu kwa fainali za kombe la bara Afrika AFCON Ijumaa hii na Jumanne ijayo. Harambee Stars ambao wamekuwa k…

05/09/2024

Wizara ya elimu imekariri agizo lake la kupiga marufuku shughuli za ziada katika muhula huu wa tatu wa kalenda ya masomo. Katibu wa elimu ya msingi Belio Kipsang, alisema agizo lililotolewa Januar…

05/09/2024

Wanariadha chipukizi wa Kenya wamewasili nchini mapema Alhamisi kutoka mjini Lima, Peru wakikoshiriki mashindano ya Dunia. Timu hiyo ya wanariadha 19 iliwasili katika angatua ya JKIA saa kumi na m…

05/09/2024

Mwanariadha wa Uganda Rebecca Cheptegie, aliyekuwa akipokea matibabu nchini Kenya baada ya kuchomwa moto na mpenzi wake, ameaga dunia. Kupitia mtandao wa X Alhamisi alfajiri, shirikisho la riadha…

Mwanariadha wa Uganda Rebecca Cheptegei afariki Dunia
05/09/2024

Mwanariadha wa Uganda Rebecca Cheptegei afariki Dunia

Good Morning Peeps, mko salama? niko salama sana ndani ya Kazi Burudani-92. 9Fm!
05/09/2024

Good Morning Peeps, mko salama? niko salama sana ndani ya Kazi Burudani-92. 9Fm!

Hii awamu ya Mwisho unategea ukiwa Kaunti Gani....?   ^FN
05/09/2024

Hii awamu ya Mwisho unategea ukiwa Kaunti Gani....?
^FN

Kuna ukosefu wa rasilimali kwenye vituo vya polisi humu nchini.. Unapata ile pesa ya kuendesha shughuli anayo pewa OCS h...
05/09/2024

Kuna ukosefu wa rasilimali kwenye vituo vya polisi humu nchini.. Unapata ile pesa ya kuendesha shughuli anayo pewa OCS haipo, ukiwauliza wananchi wengi watakwambia nilipeleka kesi yangu kwa polisi na kufikia sasa hakuna lolote limefanyika....Ni vigumu kuwalaumu polisi kwa sababu kunahitaji fedha kufuatilia kesi - George Musamali
^FN

Kuhusu wafungwa kutoroka Jela, seli au magereza Je, ilikuwa ni vipi watoroke? Swala k**a hili linafanyikaje huwezi kuwa ...
05/09/2024

Kuhusu wafungwa kutoroka Jela, seli au magereza

Je, ilikuwa ni vipi watoroke? Swala k**a hili linafanyikaje huwezi kuwa seli au magereza alafu utoroke.. Ni umetoroshwa ni njama ambayo imepangwa kuwaondosha wafungwa - George Musamali
^FN

Vijana wa NYS hawajapewa mafunzo maalum ya kukabiliana na waandamanaji hasa pale waanadamanaji wanatumia nguvu... Wao wa...
05/09/2024

Vijana wa NYS hawajapewa mafunzo maalum ya kukabiliana na waandamanaji hasa pale waanadamanaji wanatumia nguvu... Wao wanatumika kwenye ile inaitwa crowd control mahali ambapo hawahatarishi maisha yao.. Kwa hivyo kuwatumia kwa maandamano kunahatarisha maisha yao na halifai kuonekana taifa la Kenya - George Musamali
^FN

Waajiri na kampuni nyingi kitambo moja kwa moja zilikuwa zinaenda NYS kutafuta vijana wa kazi kwasababu vijana kutoka NY...
05/09/2024

Waajiri na kampuni nyingi kitambo moja kwa moja zilikuwa zinaenda NYS kutafuta vijana wa kazi kwasababu vijana kutoka NYS wana nidhamu na wanaelewa kazi, Siku hizi Kuna mambo ya yamebadilika chanzo kuna ukosefu wa mpangilio maalum na ufujaji wa pesa unapta vijana hawapati mafunzo maalum inavyohitajika. Hatuwezi suluhisha tatizo kwa kufungua tatizo lingine lazima tuangalie malengo yaliyofanya tukaanzisha hii huduma - George Musamali

Ikiwa hivi sasa tutawalazimisha vijana wa huduma ya NYS na kuwapea mafunzo ya bunduki tutakuwa tunatishia usalama wa tai...
05/09/2024

Ikiwa hivi sasa tutawalazimisha vijana wa huduma ya NYS na kuwapea mafunzo ya bunduki tutakuwa tunatishia usalama wa taifa - George Musamali
^FN

Huduma ya NYS iliundwa na nia tofauti na ikiwa tutawalazimisha wajiunge na polisi au jeshi basi tutakuwa tunakosea kwasa...
05/09/2024

Huduma ya NYS iliundwa na nia tofauti na ikiwa tutawalazimisha wajiunge na polisi au jeshi basi tutakuwa tunakosea kwasababu iliundwa na jukumu tofauti ya kufunza vijana kupata ujuzi tofauti, kuna wale wanataka kuwa seremala, dereva labda hawana mwito wa kuwa polisi, anataka ujuzi mwingine tusifanye majaribio na huduma ya vijana ya NYS - George Musamali

Lazima kuwe na mwelekeo wakati NYS watamaliza kupewa mafunzo haya ya kutumia bunduki wataenda wapi, kwasababu majukumu y...
05/09/2024

Lazima kuwe na mwelekeo wakati NYS watamaliza kupewa mafunzo haya ya kutumia bunduki wataenda wapi, kwasababu majukumu yao ni tofauti - George Musamali
^FN

Miaka ya sabini J. M kariuki alitoa ushauri k**a huu kwamba NYS wapewe mafunzo ya kutumia bunduki kwasababu kulikuwa na ...
05/09/2024

Miaka ya sabini J. M kariuki alitoa ushauri k**a huu kwamba NYS wapewe mafunzo ya kutumia bunduki kwasababu kulikuwa na changamoto za kiusalama, wakati huo kulikuwa na tishio na shifters lakini jambo hilo halikutimizwa kwasababu ya pingamizi, Rais Moi pia alitoa wito vile vile vijana wa NYS wapewe mafunzo ya kijeshi na ya kutumia Silaha na kuna wale walipewa 1900 mafunzo na mpaka sasa hatujui walienda wapi - George Musamali
^FN

Kwenye Gumzo Pevu leo tutaangazia pendekezo la Rais kwa Makurutu wa Huduma ya NYS kuanza kupewa mafunzo ya msingi ya kut...
05/09/2024

Kwenye Gumzo Pevu leo tutaangazia pendekezo la Rais kwa Makurutu wa Huduma ya NYS kuanza kupewa mafunzo ya msingi ya kutumia Silaha k**a vile bunduki ...

Tunao wataalamu wa masuala ya usalama George Musamali na Chris Otieno

Je, hili lipo sawa au litakuwa na athari gani...?
^FN

Address

P. O. Box 30456 Harry Thuku Road
Nairobi
00100

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KBC Radio Taifa, Sauti Ya Mkenya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to KBC Radio Taifa, Sauti Ya Mkenya:

Videos

Share

Nearby media companies


Other Broadcasting & media production in Nairobi

Show All