05/09/2024
Kile ulichonacho ni ndoto kwa wengine Kiheshimu
^FN
Ukurasa Rasmi wa KBC Radio Taifa. Intelsat
(Free to air)
1.
(487)
Sikiliza KBC Radio Taifa:
92.9 FM: Nairobi na viunga vyake, Central, South Rift Valley na Eastern Provinces
90.4 FM: Meru, Isiolo na Laikipia
88.6 FM: Nyanza, Western na Central Rift Valley
100.8 FM: Mombasa na viunga vyake
87.7 FM: Nyeri na maeneo ya Mlima Kenya pia Mashariki mwa Kenya
104.1 FM: Nakuru na viunga vyake
103.3 FM: Kisii na viunga vyake
90.1 FM: Malindi na viunga vyake
9
3.3 FM: Kapenguria, Kacheliba, Kitale, Eldoret, Kabarnet na Marakwet
104.5 FM: Magharibi na Nyanza hadi Mashariki mwa Uganda
96.9 FM: Voi, Taveta, Wundanyi, Loitokitok, Mtito Andei, Machinery, Kibwezi na Kilifi,
89.9 FM: Namanga na Kaskazini mwa Tanzania
88.6 FM: Lodwar na viunga vyake
89.3 FM: Lokichoggio na viunga vyake
93.1 FM: Garsen, Hola, Witu, Mpeketoni, Lamu, Manda Island, Mokowe, Faza island Gongoni
92.9 FM: Naivasha, Mai Mahiu, Suswa, Mau Narok, Gilgil na Ol kalou
Pia tuko kwenye Satellite:
A. NSS 12- 57ₒE
* Frequency-11.026GHZ
* Symbol Rate - 9690
* FEC-3/4
DVBS
Horizontal
2. 1S1O-68.5ₒE
* Frequency-3964GHZ
* Symbol Rate-7415
* FEC-3/5
DVBS 2
Vertical
B.Entelsat (DSTV)
( Scrambled)
W7-36ₒ E
* Frequency 11766GHZ
* Symbol Rate -27500
* FEC -3/4
Kile ulichonacho ni ndoto kwa wengine Kiheshimu
^FN
Watu walio na ulemavu mara nyingi hukabiliana na changamoto nyingi wakati wa kufikia intaneti na majukwaa mengine ya kidijitali. Pengo hili la habari linaweza kuwa na madhara na kuzuia ushiriki wao.
Tumepewa jukumu la kufikiria upya mkabala wetu wa ujumuishi na maendeleo, kuhakikisha kwamba mahitaji na haki za walio na ulemavu ziko mstari wa mbele katika sera zetu na juhudi za kibinadamu - Mercy Wanjau
^FN
KOSA UCHEKWE !! Kesho tarehe 6 , Timu yetu ya Taifa Itakuwa Inashuka uwanjani dhidi ya Zimbabwe, na k**a ilivyo ada Mechi ya Kesho na Jumanne dhidi ya Namibia zitakuwa Mubashara KBC Channel 1 .
MSINONE WAKULIMA WAKIKONDA
Onyo la Naibu Rais Rigathi Gachagua kwa Wakurugenzi wa sasa wa Halmashauri ya Ustawishaji Majani Chai nchini (KTDA);
^FN
Najua wengine hamnipendi lakini mimi sasa si lazima nipendwe, si Pastor Dorcas ananipenda ? sasa iko haja gani kupendwa na wanaume , lazima tuongee ukweli, wakati wa kupigania haki ya mkulima ni sasa - Naibu Rais Gachagua
^FN
Wachezaji 30 Wanaowania Ballon d'Or 2024 ?
◉ Jude Bellingham.
◉ Ruben Dias.
◉ Phil Foden.
◉ Federico Valverde.
◉ Emiliano Martínez.
◉ Erling Haaland
◉ Nico Williams
◉ Granit Xhaka
◉ Artem Dovbyk
◉ Toni Kroos
◉ Vinicius Jr
◉ Dani Olmo
◉ Florian Wirtz
◉ Martin Ødegaard
◉ Mats Hummels
◉ Rodri
◉ Harry Kane
◉ Declan Rice
◉ Vitinha
◉ Cole Palmer
◉ Dani Carvajal
◉ Lamine Yamal
◉ Bukayo Saka
◉ Hakan Calhanoglu
◉ William Saliba
◉ Kylian Mbappé
◉ Lautaro Martínez
◉ Ademola Lookman
◉ Toni Rüdiger
◉ Alejandro Grimaldo
Kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2003 Cristiano Ronaldo na Lionel Messi kwa pamoja wamekosekana kwenye orodha ya wachezaji 30 wanaowania tuzo ya Ballon d'Or 2024
^FN
Vijana wa Timu ya Taifa Harambee Stars wakipasha misuli kuelekea kwa mchuano wao wa kufuzu kwa mashindano ya AFCON hapo Kesho ambapo watawaalika Zimbabwe.
kUMBUKA KWAMBA : Shirika la utangazaji humu nchini Kenya, KBC litarusha mubashara mechi za Kenya za kufuzu kwa fainali za kombe la bara Afrika AFCON Ijumaa hii na Jumanne ijayo.
USIKOSE!
^FN
Zaidi ya washiriki 10,000 wamejisajili kushiriki makala ya 3 ya mbio za Nairobi City Marathon, zitakazoandaliwa Jumapili hii. Kulingana na waandalizi washiriki 731 wakiwemo wa kigeni 40 wamejisaji…
Waandalizi wa filamu nchini Uganda wana kila sababu ya kutabasamu kufuatia kuanzishwa kwa mpango wa kufufua tasnia ya filamu kwa ajili ya kuboresha mapato katika eneo zima la mashariki mwa Afrika.…
Askofu Benson Gathungu Kamau maarufu k**a Muthee Kiengei leo amefanya mkutano na mwanamitandao Pritty Vishy na usimamizi wake baada ya kukashifiwa vikali mitandaoni kwa matamshi dhidi yake. Video …
Jamaa kwa jina Ramadhani Shaban wa umri wa miaka 21 amek**atwa na maafisa wa polisi wa mkoa wa Kigoma kwa madai ya kutoa taarifa za uongo kuhusu kutekwa nyara. Ilibainika kwamba Shaban ambaye anaj…
Jamhuri ya Demokrasia ya Congo inatarajia kupokea shehena ya kwanza ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa Mpox ,Alhamisi Septemba 5 huku ya pili ikitarajiwa siku ya Jumamosi. Congo imeshuhudia maambukizi …
Shirika la utangazaji Kenya,KBC litarusha mubashara mechi mbili za kwanza za Kenya, kufuzu kwa fainali za kombe la bara Afrika AFCON Ijumaa hii na Jumanne ijayo. Harambee Stars ambao wamekuwa k…
Wizara ya elimu imekariri agizo lake la kupiga marufuku shughuli za ziada katika muhula huu wa tatu wa kalenda ya masomo. Katibu wa elimu ya msingi Belio Kipsang, alisema agizo lililotolewa Januar…
Wanariadha chipukizi wa Kenya wamewasili nchini mapema Alhamisi kutoka mjini Lima, Peru wakikoshiriki mashindano ya Dunia. Timu hiyo ya wanariadha 19 iliwasili katika angatua ya JKIA saa kumi na m…
Mwanariadha wa Uganda Rebecca Cheptegie, aliyekuwa akipokea matibabu nchini Kenya baada ya kuchomwa moto na mpenzi wake, ameaga dunia. Kupitia mtandao wa X Alhamisi alfajiri, shirikisho la riadha…
Mwanariadha wa Uganda Rebecca Cheptegei afariki Dunia
Good Morning Peeps, mko salama? niko salama sana ndani ya Kazi Burudani-92. 9Fm!
Hii awamu ya Mwisho unategea ukiwa Kaunti Gani....?
^FN
Kuna ukosefu wa rasilimali kwenye vituo vya polisi humu nchini.. Unapata ile pesa ya kuendesha shughuli anayo pewa OCS haipo, ukiwauliza wananchi wengi watakwambia nilipeleka kesi yangu kwa polisi na kufikia sasa hakuna lolote limefanyika....Ni vigumu kuwalaumu polisi kwa sababu kunahitaji fedha kufuatilia kesi - George Musamali
^FN
Kuhusu wafungwa kutoroka Jela, seli au magereza
Je, ilikuwa ni vipi watoroke? Swala k**a hili linafanyikaje huwezi kuwa seli au magereza alafu utoroke.. Ni umetoroshwa ni njama ambayo imepangwa kuwaondosha wafungwa - George Musamali
^FN
Vijana wa NYS hawajapewa mafunzo maalum ya kukabiliana na waandamanaji hasa pale waanadamanaji wanatumia nguvu... Wao wanatumika kwenye ile inaitwa crowd control mahali ambapo hawahatarishi maisha yao.. Kwa hivyo kuwatumia kwa maandamano kunahatarisha maisha yao na halifai kuonekana taifa la Kenya - George Musamali
^FN
Waajiri na kampuni nyingi kitambo moja kwa moja zilikuwa zinaenda NYS kutafuta vijana wa kazi kwasababu vijana kutoka NYS wana nidhamu na wanaelewa kazi, Siku hizi Kuna mambo ya yamebadilika chanzo kuna ukosefu wa mpangilio maalum na ufujaji wa pesa unapta vijana hawapati mafunzo maalum inavyohitajika. Hatuwezi suluhisha tatizo kwa kufungua tatizo lingine lazima tuangalie malengo yaliyofanya tukaanzisha hii huduma - George Musamali
Ikiwa hivi sasa tutawalazimisha vijana wa huduma ya NYS na kuwapea mafunzo ya bunduki tutakuwa tunatishia usalama wa taifa - George Musamali
^FN
Huduma ya NYS iliundwa na nia tofauti na ikiwa tutawalazimisha wajiunge na polisi au jeshi basi tutakuwa tunakosea kwasababu iliundwa na jukumu tofauti ya kufunza vijana kupata ujuzi tofauti, kuna wale wanataka kuwa seremala, dereva labda hawana mwito wa kuwa polisi, anataka ujuzi mwingine tusifanye majaribio na huduma ya vijana ya NYS - George Musamali
Lazima kuwe na mwelekeo wakati NYS watamaliza kupewa mafunzo haya ya kutumia bunduki wataenda wapi, kwasababu majukumu yao ni tofauti - George Musamali
^FN
Miaka ya sabini J. M kariuki alitoa ushauri k**a huu kwamba NYS wapewe mafunzo ya kutumia bunduki kwasababu kulikuwa na changamoto za kiusalama, wakati huo kulikuwa na tishio na shifters lakini jambo hilo halikutimizwa kwasababu ya pingamizi, Rais Moi pia alitoa wito vile vile vijana wa NYS wapewe mafunzo ya kijeshi na ya kutumia Silaha na kuna wale walipewa 1900 mafunzo na mpaka sasa hatujui walienda wapi - George Musamali
^FN
Kwenye Gumzo Pevu leo tutaangazia pendekezo la Rais kwa Makurutu wa Huduma ya NYS kuanza kupewa mafunzo ya msingi ya kutumia Silaha k**a vile bunduki ...
Tunao wataalamu wa masuala ya usalama George Musamali na Chris Otieno
Je, hili lipo sawa au litakuwa na athari gani...?
^FN
P. O. Box 30456 Harry Thuku Road
Nairobi
00100
Be the first to know and let us send you an email when KBC Radio Taifa, Sauti Ya Mkenya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Send a message to KBC Radio Taifa, Sauti Ya Mkenya:
MSINONE WAKULIMA WAKIKONDA Onyo la Naibu Rais Rigathi Gachagua kwa Wakurugenzi wa sasa wa Halmashauri ya Ustawishaji Majani Chai nchini (KTDA); #KBCRadioTaifa ^FN
Najua wengine hamnipendi lakini mimi sasa si lazima nipendwe, si Pastor Dorcas ananipenda ? sasa iko haja gani kupendwa na wanaume , lazima tuongee ukweli, wakati wa kupigania haki ya mkulima ni sasa - Naibu Rais Gachagua #KBCRadioTaifa ^FN
Rais William Ruto na Raila Odinga wamekutana na Rais wa Guinea Bissau Umaro Sissoco Embalo of Guinea Bissau China. #KBCradioTaifa
Rais William Ruto na Raila Odinga wamefanya kikao na Rais Hakainde Hichilema wa Zambia jijini Beijing China. #KBCRadioTaifa ^FN
Mwalimu wa Maths Hapa ni wapi... Mbunge Babu Owino akutana na msichana ambaye amejichora Tatoo mbili, moja ya Uso na ingine yenye jina Babu Owino mwilini mwake. #KBCRadioTaifa
Kila Kitu kinawezekana; Mwanamuziki maarufu Afrika Diamond Platnumz amesema ndoto yake kubwa ni kuwa tajiri namba moja Duniani.. "nitakuwa mtanzania ambaye nitawakilisha taifa kuwa tajiri namba moja Duniani" - Diamond Platnumz #KBCRadioTaifa ^FN
Uganda opposition leader Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) shot and wounded in a confrontation with police in Wakiso District. #KBCniYetu
Mwanaharakati Julius Kamau mchana wa leo alitatiza vikao vya mahakama wakati wa kesi dhidi ya mwanaharakati Bonface Mwangi na wengine wanne, ambapo wanadaiwa kushiriki maandamano ya GEN Z
Hivi ndivyo Show ya Stevo Simple ilikuwa Nakuru.. ,🔥🔥 Mimi ndo msanii nimebaki kusukuma kenya Mbele asema - Stevo simple boy Unaipa alama ngapi ✍️ #KBCRadioTaiga
Kwenye Mashindano ya Karaoke, unadhani mzee wa mbaazi wa Nazi Rashid Mwamkondo anachukua anachukua namba ngapi 😄..unategea ukiwa wapi...kuwa mkweli .....? #Zinga ^FN
Porojo ni Mingi naskia nimetolewa kwa ndege, ndege gani? Gavana Sakaja amekanusha taarifa zilizokuwa zinasambaa kwamba alifurushwa kwenye ndege iliyokuwa imebeba Rais Ruto na Raila Odinga kuelekea China #KBCRadioTaifa ^FN
"Kabla Utimue Sakaja Timua Gavana wenu wa Ushago" Nairobi hapana Meru, - Diwani wa Korogocho Absalom Odhiambo #Korogocho #KBCRadioTaifa ^FN
"Kabla Utimue Sakaja Timua Gavana wenu wa Ushago" Nairobi hapana Meru, - Diwani wa Korogocho Absalom Odhiambo #KBCRadioTaifa ^FN
Wale wanasema mambo ya Impeachment (hapa Nairobi) waende Waka"impeach" Gavana wa Ushago kwao hapa si Meru - Korogocho MCA Wale wanapiga porojo ati pesa ya Dishi na County inaliwa waje wakule pia #KBCRadioTaifa ^FN
Wanyakuzi na wamiliki wa Ardhi kubwa kubwa ambazo hazitumiki kimaendeleo Kwale waonywa #KBCRadioTaifa ^FN
Wahadhiri katika chuo kikuu cha Technical wameanza mgomo kufwatia kukamilika kwa makataa ya siku 7,walitoa mwezi uliopita #KBCRadioTaifa ^FN
Hatutaki vitisho ya TSC, TSC iwapatie Walimu pesa yao na iwache kwenda kotini, wanachofanya walimu iko kwa Katiba - Sen. Cherargei #KBCRadioTaifa
Kenya Broadcasting Corporation
PO Box 30456