Mara nyingi Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi mitaa ya mabanda hukabiliwa na athari nyingi zinazotokana na mabadiliko haya. Kwa wengi, ukosefu wa upatikanaji wa taarifa sahihi za utabiri wa hali ya hewa kwa wakati huchangia pakubwa na kuongeza uwezekano wa jamii hizi kukabiliwa na majanga.
Lakini katika mpango wa kimsingi, Vijana kutoka mitaa hii wameungana pamoja na Mashirika ya Kijamii (CBOs) na kujitokeza kubadilisha hali hii....
JE, Unadhani Jamii Inaweza kutoa mchango gani kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi ?
#DiraYaTabiaNchi ^FN
Owino, Kondele resident : Niko na hakika Raila raundi hii anaenda kushinda. Mbuzi tumeweka karibu 500 , kuku karibu 100 hatuchinji sahi, tunangoja masaa atangazwe.
#AUCElections
Rais William Ruto akiwa na Mwaniaji wa Uenyekiti wa Kamisheni ya AU, Baba Raila Odinga.
Uchaguzi wa Kumchagua mwenyekiti mpya wa AUC unafanyika Leo Addis Ababa, Ethiopia.
#RadioNiSisi ^FN
Team Taifa Tukitoa Hotuba zetu kabla ya Kukata Keki ya kuadhimisha Wiki hii ya Radio and Yes leo ikiwa ni siku ya Wapendanao
#RadioNiSisi
Emotional moment as Mambo Mbotela's daughter, Ida, pays tribute to the dad
#RIPLegend
Mambo Mbotela's wife tribute to the husband, the two met in 1965
#RIPLegend #RadioNiSisi ^FN
Mambo Mbotela's grandson : My grandpa, Leonard Mbotela, told me about social media misinformation, he was affected too about five years ago. In this era of social media and AI, I pray that people will be responsible while engaging with these tools to ensure that families are not hurt.
#RIPLegend #RadioNiSisi ^FN
Mjukuu wa Mambo Mbotela : Babu Yangu, Leonard Mambo Mbotela, alikuwa Shabiki wa Klabu ta Arsenal, Na Naomba ARSENAL washindi Taji Msimu Huu.
#RIPLegend
Jimmy Mbotela : Leonard gave the country the most popular radio show 'Je, Huu ni Ungwana?' This was his own way of using own words to create a nation anchored on moral values.
#RadioNiSisi
SHAIRI LA JUMA, KWA WAPENDANAO - Natumai ipo siku tutaitana majinaaaa, natamani ifike siku uweze nikunakunaaa,
Malenga wa Nyali 1.
#RadioNiSisi #ShairiLaJuma ^FN
Fahamu mengi kuhusu Audio Library ya KBC, ilivyoanza.
#RadioNiSisi
Valentines day in style@KBC Broadcasting House,maua nimepewa na Chocolate,Happy Valentines dears,nani unamtakia upendo leo?Sema nami!!