Bahari Fm

Bahari Fm The coastal market woke up in September 2008, to a new station from Royal Media Services. Bahari FM’s tag line is Nuru ya Roho’

The word “Bahari” is the Kiswahili term for ocean, giving the station an immediate identity to the coastal people.

Wanawake wanaotumia maji ya mto ama mabwawa wako katika hatari ya kupata kichocho katika njia ya uzazi, idara ya afya ka...
22/01/2025

Wanawake wanaotumia maji ya mto ama mabwawa wako katika hatari ya kupata kichocho katika njia ya uzazi, idara ya afya katika hospitali ya Kwale ikiripoti visa hivyo, haswa kwa watu ambao huenda kuteka maji katika sehemu hizo.

Idara ya usalama kaunti ya Kilifi yatishia kuwachukulia hatua kali za kinidhamu wazazi wote ambao hawajawapeleka watoto ...
22/01/2025

Idara ya usalama kaunti ya Kilifi yatishia kuwachukulia hatua kali za kinidhamu wazazi wote ambao hawajawapeleka watoto wao shuleni, licha ya shule kufunguliwa mapema mwezi huu, wazee wa mtaa wakitakiwa kuwatambua wazazi husika na kuwasilisha ripoti kwa serikali.

Desert Dreams in Abu Dhabi with  🇦🇪Experience the magic of Abu Dhabi with our 4-night, 5-day package from just USD 1342!...
22/01/2025

Desert Dreams in Abu Dhabi with 🇦🇪
Experience the magic of Abu Dhabi with our 4-night, 5-day package from just USD 1342!

Package includes:
✅ Entry visa
✈ Return flights to Nairobi
🚗 Return airport-hotel transfers
🏙 Full-day Abu Dhabi city tour
🖼 Louvre Museum visit
🏜 Desert safari with BBQ dinner
🎢 Visit any 2 parks at Yas Island (private transfers)
🏨 4 nights accommodation (B&B basis)

Excludes anything not mentioned.

Ready to explore? 📩 Book now with Viutravel

📞 Call/WhatsApp: 0703254254
💻 Online Bookings: www.viutravel.com
📧 Email: [email protected]

Kansa ya njia ya uzazii ni moja ya kansa zinazoweza kuepukika na kutibiwa inapogunduliwa mapema. Mwezi huu, na tuungane ...
22/01/2025

Kansa ya njia ya uzazii ni moja ya kansa zinazoweza kuepukika na kutibiwa inapogunduliwa mapema. Mwezi huu, na tuungane kuhamasisha, kuhimiza uchunguzi wa mara kwa mara, na kusaidia juhudi za kinga na kugundua mapema.

22/01/2025

Chachawiza ndo issue ya Mjini oeee



22/01/2025
Mida ya ku vibe na wana kitaani ndio sasa unategea ukiwa kitaa gani. . .
22/01/2025

Mida ya ku vibe na wana kitaani ndio sasa unategea ukiwa kitaa gani.
.
.

Habari ,naitwa Linet nina umri wa miaka 32,niko kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tumejaliwa watoto wawil.Mume wangu ameku...
22/01/2025

Habari ,naitwa Linet nina umri wa miaka 32,niko kwenye ndoa kwa miaka 7 sasa na tumejaliwa watoto wawil.Mume wangu amekuwa changamoto ndani ya ndoa yetu.
Tatizo kubwa nikuwa ni mtu wakupelekeshwa na jamaa ndugu na marafiki.Yani hata ukimpa ushauri gani kuhusu kujijenga kimaisha lazima aulizie watu wake,amekuwa haniamini kwa lolote hadi aambiwe na ndugu yake au rafiki yake ndio atende,wakati hao jamaa zake na marafiki sio kwamba ni wema kwake,wengine ni maadui wakubwa na yeye haelewi.Jambo hili mimi laniumiza sana kusema kweli.Yani hanithamini kabisa wakati mimi ndo mwenzake.Naombeni ushauri nifanye nini kwa hili? mume aniona mimi adui yake wakati sina ubaya naye.
.

Masaa ya kutibwirika nae Laaziz Farida Ali ndani ya Tuko Bomba. Weee huogopi?
22/01/2025

Masaa ya kutibwirika nae Laaziz Farida Ali ndani ya Tuko Bomba. Weee huogopi?

Masaa ya Kutubuti na mkali wa hizi kazi Captain Lolo.
22/01/2025

Masaa ya Kutubuti na mkali wa hizi kazi Captain Lolo.

22/01/2025

Je sauti ya Upinzani katika serikali ya kenya bado inasikika?...upande mwengine aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagua ameonekana kuwa mstari wa mbele kuikosoa serikali mara kwa mara. Je unahisi Gachagua amevivalia viatu vya upinzani na kwamba huenda vinamtoshea vilivyo.

22/01/2025

FUNDO: Kuna yule Mwalimu ambaye daima hakuwahi kukuita na jina lako yaani sharti akuite na jina la babako .

Jumatano ya vidosho imechukua nafasi yake hapa ndani ya kudzacha kikosi kimekamilika kikosi timamu  yaani Double E . Emm...
22/01/2025

Jumatano ya vidosho imechukua nafasi yake hapa ndani ya kudzacha kikosi kimekamilika kikosi timamu yaani Double E . Emma na Eliakim . Upo hapo ulipo?

Maajaliwa Katika tukobomba tutazungumza na Bi. Shera atueke vizuri katika ishu ya make up...Ushai tamani kuanza hino bia...
21/01/2025

Maajaliwa Katika tukobomba tutazungumza na Bi. Shera atueke vizuri katika ishu ya make up...
Ushai tamani kuanza hino biashara mjini? Tegea

Bahari Yapwaa! Sasa hadi saa sita usiku, ukiwa nami George'Biff Mkuzi. Na usipitwe na Meza Ya Mzunguko saa Nne. Twende n...
21/01/2025

Bahari Yapwaa! Sasa hadi saa sita usiku, ukiwa nami George'Biff Mkuzi. Na usipitwe na Meza Ya Mzunguko saa Nne. Twende nalo Tulikunje Jamvi la Siku.

SEMA NAMI: 0713600931, 0737940940
SMS: 22942
WHATSAPP: 0713600931.
FACEBOOK: Bahari FM
INSTA: bahari_fm
TIKTOK:
X:
YOUTUBE: Bahari FM
SNAPCHAT: Bahari FM

Mwanamume anamkinai  mwanamke ndani ya siku 90 au miezi mitatu.Baada ya hapo mwanamke hana jipya tena kwa huyo mwanamume...
21/01/2025

Mwanamume anamkinai mwanamke ndani ya siku 90 au miezi mitatu.Baada ya hapo mwanamke hana jipya tena kwa huyo mwanamume. Ili aendelee kupendwa inabidi ajiongeze.Unakubaliana na kauli hii??

Address

Nairobi

Telephone

+254713600931

Website

http://baharifm.co.ke/?q=bah#, http://www.youtube.com/kenyacitizentv, https://www.tiktok.co

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bahari Fm posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Videos

Share