DAN

DAN WRITER
CONTENT CREATOR
DIGITAL MARKETER
GRAPHICS DESIGNER
0792181715 WHATSAPP ONLY
CHURCHBOY πŸ™
ARSENAL FAN β€οΈπŸ˜‰
(319)

31/12/2024

Happy new year in advance πŸŽ‰

31/12/2024

The week ends today
The month ends today
The Year ends today,
As everything ends today, I decree and declare;
Our pain ends today
Affliction ends today
Sorrow ends today
Worry ends today
Begging ends today
Weeping ends today
Problem ends today
Struggling ends today
Complaint ends today
Poverty ends today
Stagnation ends today
Devastation ends today
Disappointment ends today
Business failure ends today
Regret ends today
Night tears end today
Secret tears end today
Depression ends today
Frustration ends today
Oppression ends today
Anxiety ends today
Promise and fall ends today
Bitterness ends today
Bad luck ends today
Poverty and lack ends today
Untimely death, Disease and Infirmity ends today
Every other thing negative in every area of our lives end today - in Jesus Christ name

*Ameen*πŸ™πŸ™πŸ™

28/12/2024

To all my active followers k**a umeona hii usipite bila kueka like. I wish you a peaceful lovely and a Good night. Usilale bila kuomba.niabie good night 😊hapo kwa comment. ❀️

25/12/2024

Nani anataka Christmas 🀚

May your Christmas be filled with joy, love, and endless possibilities. 😁 Let this season remind us that with faith, hop...
25/12/2024

May your Christmas be filled with joy, love, and endless possibilities. 😁 Let this season remind us that with faith, hope, and a positive mindset, every dream is within reach. Merry Christmas and here's to a brighter, stronger new year ahead. πŸ₯³Merry Christmas wakuu

ππ„π„πŒπ€ 𝟐5𝐓h π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐃𝐄𝐂 Weka like before usome.Jojo alicome home akiwa down sana juu ya vyenye Jayden alijam abou...
22/12/2024

ππ„π„πŒπ€ 𝟐5𝐓h π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐃𝐄𝐂

Weka like before usome.

Jojo alicome home akiwa down sana juu ya vyenye Jayden alijam about ile story ya mama yake ( story ya Jojo kujaribu kutafuta mama Jayden) so Jojo akamshow Babu j nataka tuonge kiasi about something so ikabidii wameketi kwanza juu inaka serious conversation, Jojo akaeleza Babu j kila kitu then mzee akamshow usiworry najua you were trying to help him so najua hata yeye ata realize ulikuwa unahelp hata k**a itatake time , for now be patient with him juu ni k**a akona fear sana ndani yake, anaofia akipata mamake anaeza mkataa Tena , so just give him time to process everything. Then Babu j akauliza Jojo kwani umefall I love na Jayden, kwanza Jojo akatuka kiasi then akamshow yes nimefall in love naye 😁...............

Details

Neema ajulishwa Eddy is arrested for r**e case
Neema and Mark traveling kupatana na Eddy
Jojo amwambia mama yake awachane na wanaume wengine ('Mark ') juu Bado yeye ni bibi WA Eddy
Jayden bado amejamia Jojo

Watch full updates using the link below

https://youtu.be/Dsa7oK4rNBU?si=V6ElseQnP6I5v5aW

ππ„π„πŒπ€ 𝟐4𝐑𝐃 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐃𝐄𝐂 - EDDY ARRESTED Follow DAN please like before usome.Jojo alipigia Jayden akamshow nikona ...
20/12/2024

ππ„π„πŒπ€ 𝟐4𝐑𝐃 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐃𝐄𝐂 - EDDY ARRESTED

Follow DAN

please like before usome.

Jojo alipigia Jayden akamshow nikona surprise Yako na nitakupea kesho, Jayden anauliza ni nini hiyo but Jojo akamshow siezi kuambia juu nikikuambia haitakuwa surprise tena. Kesho yake ilifika na Jojo wakapatana na Jayden. Jayden alikuwa anataka kupewa hiyo gift haraka Sana but Jojo akamshow tutulie kiasi. Jayden sasa akaanza kuambia Jojo vile anmpenda.jojo akauliza so umefall In love na Mimi Jayden akamshow ehh na akamshow wewe ndo msey WA kwanza nimefall I love naye na hope you will be the last. Jojo sasa akaamua kutoa ile surprise yake, kumber Jojo alienda akafanya investigation akapata page za watu wenye wanaeza kuwa mama Jayden, so Jojo akatoa hizo pic alikuwa ame print then akapea Jayden, sema Jayden kujam, akamshow Jojo unajua Nini ningetaka ningetafuta mama yangu Mimi mwenye so punguza kiherehere ............

Eddy asha maliza kuji prepare ili anze safari ya kuenda kuongea na neema , kidogo hivi police wakacome wakiulizia Eddy ni nani, then wakambeba ety huu ame r**e mtu ....

Details...

Eddy arrested
Sharon in critical condition
Neema ajua eddy alikua anataka kumeer mark 😳

watch full updates using the link below
tupatane 9

https://youtu.be/UYqi8jMXFg0?si=SeP9V6pE-8QLghJd

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸŽπ“π‡ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐃𝐄𝐂 Follow DAN Ukiona hii Updates weka LIKE tukisonga mkuu𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Neema akiwa na Alphose hapa ...
19/12/2024

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸŽπ“π‡ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐃𝐄𝐂
Follow DAN

Ukiona hii Updates weka LIKE tukisonga mkuu
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Neema akiwa na Alphose hapa kwa hotel,alimwambia kuna evidence yenye inaonyesha Mark hakua hapo wakati Serenge anaulizwa. Alphose akajifanya kufurahia akasema ahaa hadi pia nilikua nataka sana Mark aachiliwe. Neema chenye kinamsumbua ni,k**a si Mark ndio alimuua Serenge as per evidence,then ni nani alimuua Serenge? Alphose akasema maybe ni watu alikua na deni zao but Neema akamwambia nop,wallet yake ilikua na pesa zote akipatikana so lazima mwenye aliua Serenge,ni mtu alitaka sana kumset up Mark ju mbona ifanyike tu minutes after Mark na Serenge kutofautiana. Neema anaona kuna kitu hakiadd up...

Turudi kwa wabenzi walazimishwi🀣🀣Eddy alikuja akamwambia Karen,unaonaje tujaribu ile kitu tena maybe tunaeza pata mtoto? Karen alkataa,akamwambia hayuko ready kupata mtoto na mwanaume mwenye anytime wakikosana anakimbilia kufikiria wife wake na watoto wenye aliacha🀣🀣Eddy alijaribu sana lakini Karen alikataa,akamwambia hadi sai I dont feel it anymore. Nimechoka Eddy,nimechoka kukaa place sipendwi kabisa. Karen alikataa hadi akaamka akaenda kukaa kwingine.

Alphose na yeye alipigia mtu wake akamwambia sikiza, lawyer wa Mark anaenda kotini sai na nataka Mark akiachiliwa tu hivi mniambie. Utashindwa sana Alphose ana mipango gani anafuatilia fuatilia Mark hivyo but niwaambie tu ukweli wa mambo, Alphose hataki Mark aachiliwe.

Leo Jayden wakitembea tembea na Jojo,kumbe walipita sides za Karen, former resdential estate kwenye Jojo walikua wanaishi hadi akaonyesha Jayden,akamwambia this used to be our gate,hapa ndio tulizaliwa na hapa ndio tulilelewa before life turned sour na Jayden akamwambia for now,thats past tense, you have another life now. Its called memory,nik**a upite kwa kina Ex alafu uone kaumbw akao,jiwe moja tu!πŸ˜‚πŸ˜‚

Val alikuja chemist kubuy vitamin pills na wakati aliulizwa gani specifically,,akasema yeye hajui type but akaitisha zote kisha akagoogle one by one ju anataka specific type ya vitamini pills na baada ya kugoogle,akapata yenye alitaka. Tutakua kujua ni ya kazi gani.

Huku hotelini, Serenge is gone, Sam pia ashafutwa kazi na sasa Paul ndio amebaki na tena Brian ama mwenye tunajua k**a Tom ndio atakua anasaidiana kupeana orders huku. Neema akiwa hapo,akapigiwa simu na Richard akaambiwa kila kitu kimeenda sawa na Mark anaachiliwa anytime from niw. Neema was soo happy kusikia Mark anaachiliwa.

Wacha sasa Alphose apate habari ati Mark anaachiliwa,mwanaume alijam,akararua rarua makaratasi hapo kwa ofisi yaje huku akipiga nduru ya hasira,mbaya mbovu. Kisha akaambia jamaa wake, hii plan ishafaill ambia huyo jamaa mwenye ako na cancer awe ready. Ready kufanya nini? Tutakuja kuona

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Naomi alikuja kumuona Alphose na akamwambia kathee,who are you,ju baada ya kukuchunguza chunguza nishajua ushawai ride horse na ukaanguka ukavunjika mguu...Alphose akamuuliza so unataka unyambe ama? Naomi akamwambia sikiza,nishajua wewe ni mtu tricky sana na nimeanza kufikiria na kushuku ,hii issue ya Mark na Serenge,what if you took advantage of that situation ukamuua Serenge ndo uwekelee Mark? Alphose akaona enyewe ameshikwa akaambia Naomi sikiza, you are very inteligence woman na chenye umesema ni ukweli lakini chenye nataka ujue ni,leo hii watch news za saa nne usiku ju naweka kila kitu kukuhusu kwa media watu wajue wewe ni nani,ukora unafanya,ukora ulifanyie Eddy na kila kitu chenye najua kuhusu. Hee! Naomi kusikia hivyo,akarudi chini akamwambia bossie,mbona tufike hapo sasa...tunaeza ongea k**a watu wazima. Alphose akamwambia sasa,ndio nikusikize,nataka uambie Neema maneno mazuri mazuri kuhusu mimi,failure to which,nakumaliza na uhakikishe Neema anakuamini na ananipenda kwa maneno utamwambia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚woi! Imagine mtu akutume umkatie dem na uhakikishe huyo dem anakupendaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Neema asharaukia polisi station kuja kumchukua Mark na wakati alimuona Mark alimkimbilia mbio,wakahugiana mbaya mbovu hadi Neema alianza kulia akiambia Mark manze kuishi bila wewe imekua hard sana...Mark akachukulia hii chance anaoa sasa maybe Neema ako ako in love akamwambia Neema mbona usimove in na mimi tu sasa...Neema akawambia noo,we are just good friends,please hakuna cha kuguzana.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mark baadaye walifika home na hata akina Jayden na Jojo walikua hapo huku Jojo anafeel guilty kwa kumshuku lakini Jayden alimwambia usiworry, but ushajua alikua innocent just dont judge people anyhowly. Wakati Jayden wameenda,Cate alikuja akaambia Jojo,naona ushamanage kumelt heart ya father in law? Jojo akamwambia come on, we are just friends...Cte alimwambia zii hakuna ufriend hapa anjua kuna kitu inagongwa na si mayaiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Richard k**a lawyer an Naomi walikuja kuona Mark na hata Richard akamwambia k**a si Neema kupeana tip ya foottage ya CCTV hatungejua. Mark akauliza kiaje? Akaambiwa Neema venye alitoka usiku akaona kuna CCTV kwa building na akaenda hadi wakaitisha CCTV na ndio imefanya Mark is out now. Mark alfurahi sana lakini chenye kinamshangaza ni mbona Neema anaonyesha love but akimwambia story za love hataki? Hii inamshangaza sana Mark.

Upande wa Eddy pia mambo yashakua sawa alichapia bonge la surprise kwa mpoa wake Karen na nik**a reuniona worked out...
Nikimalizia malizia, shukrani kwa Followers wangu wenye ni customers at least mnafanya siezi kosa bundles daily.

ππ„π„πŒπ€ 𝟏9𝐓𝐇 𝐃𝐄𝐂  𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 - THE CCTV FOOTAGE... COURT RULE'S THAT MAR SHOULD BE ARRESTED WHO KILLED SERENGE Mark alienda k...
18/12/2024

ππ„π„πŒπ€ 𝟏9𝐓𝐇 𝐃𝐄𝐂 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 - THE CCTV FOOTAGE... COURT RULE'S THAT MAR SHOULD BE ARRESTED

WHO KILLED SERENGE

Mark alienda kwa Court room k**a kawa na alijibu maswali yote yenye alulizwa. Mostly judge alikuwa anauliza sanasana mark alikuwa wapi hiyo time serenge aliuawa, mark alimshow alikuwa amedrive gari yake kidogo ili apunguze pressure ya kugombana na serenge. judge akasema dn ya mark ilipatikana na mwili wa Serenge then akapeana ruling akasema mark is arrested....

> Neema apata CCTV footage yenye ukweli wote

> Babu j auliza Isabel k**a ashai fikiria kuolewa tena....

watch Full updates using the link below. tupatane 9:00pm

https://youtu.be/rAg9e5xHEkg?si=uHerZGsXyY1UOEQ2

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸ—π“π‡ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Ukiona Hizi updates weka LIKE𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Val aliamkia kwa Isabelle teke,akamwambia shosh,nik**a ma...
18/12/2024

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸ—π“π‡ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

Ukiona Hizi updates weka LIKE
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Val aliamkia kwa Isabelle teke,akamwambia shosh,nik**a madhe screw ya nut ishafunguka,ametoa manguo zake akitupa ati ni za mashosho hadi anataka kuchoka. Ikabidi Val na Isabel waende ju Sharon anasikiza na Isabelle pekeeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Jojo on the other side,alimcall Jayden,akamwambia huku hakuko poa,Mark ashashikwa ako ndani. Jayden akamuuliza kwani kuna nini? Jojo akamwambia ni yule cook wanakuanga na issue na yeye,ana walipigana na baadaye cook akapatikana k**a amekufa so akashikwa k**a suspect. Jayden akasema zii,Mark haezi kuwa hivyo na haezi ua mtu lakini Jojo kanakataaa kanasema alikua ex convict maybe ameamua kufanya tena. Jayden akamwambia hata k**a unachukia Mark dont judge him,acha koti ifanye kazi yake.

Sharon na yeye aliuliza Isabelle,wewe ndio naamini tu,hii nyumba ati ni yangu? Isabelle akamwambia yeah,hapa ni kwako. Sharon alisema apana,mimi naeza kaa place k**a hii alafu hiki kisichana kinaniita mum ati ni mtoto wangu? Val alikuja na picha zake za kitambo Sharon akiwa amefanya harusi na tena zingine akiwa anapeleka Val shuleπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Val amejam,amechoka na mamake kumuita si mtoto wake. Sharon akaambia Isabelle ok ni sawa but mbona ukaacha nikaolewa na kimwanaume k**a hiki hata sura hakina na venye mimi ni mremboπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mark ashafikishwa kotini na akaambiwa autopsy ya Serenge imeonyesha DNA ya Mark kwa makucha za Serenge, why? Mark akasema wakati wnaapigana na Serenge, alimkwara kwa shingo na hata kila mtu aliona. Akaulizwa, wakati Serenge anakufa alikua wapi? Mark akasema alidrove of kucool down kiasi lakini shida ni hakuna witness hata kidogo.

Mark alinyimwa bail na akaambiwa ataenda Industrial prison pending trial. Kumbe Sam na yeye alikuja na bibiye na watoto wake Serenge. Neema akiwa amesimama hapo,alikutwa na bibiye Serenge hadi karibu apigwe k**a si yule polisi kuja mbio Neema angelimwa vibaya sana. Bibi yake Serenge,ako na huzuni sana hadi analia tu na watoto wake.

Mark alirudishwa ndani but Neema akamwambia I will stay with you nomatter what...

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Neema amerudi home,stress after stress anashindwa ataanzia wapi,anashindwa Mark alikua wapi hiyo wakati ju there nothing to justify that Mark alikua so far wakati Serenge anaulizwa. Neema kuna kitu alikumbuka akachukua gari ya Mark akatoka and mind you ni usiku,hatujui anaenda wapi lakini kuna kitu amefikiria tu na akatoka mbio mbio.

Huh! Kumbe,Neema alikumbuka kuna CCTV pahali,akajua baaaaasi,k**a kuna kitu kitaokoa Mark ni hii CCTV. Neema akasmile na akarudi kwa gari akaenda. Hii CCTV si ya kuonyesha Serenge akiuliwa,ni ya kuonyesha ni saa ngapi gari ya Mark ilipita hapo na ni saa ngapi ilirudi tena.

Following day, Neema alimcall Richard akamwambia kuna nyumba iko na CCTV hapo ukitoka kwa farm so k**a tunaeza omba CCTV inaeza saidia. Richard akamwambia by the way thats nice ikionyesha k**a Mark alipita hapo before 10am then we have won. Naomi akauliza Richard mbona anafurahi? Richard akamwambia Neema amesema kuna place kuna CCTV so Mark anaeza ponea.

Within 3hrs,already Neema washapata CCTV na wako na evidence sasa,Mark aliputa hapo 9:24am na Serenge alitoka kwa hotel 10:30am na hawakutumia same route. Neema aliongea na bossie na akamwambia Mark anaeza toka ju washapata evidence. Bossie alifurahi sana na Neema akamwambia k**a ataendelea kuwa mkubwa wa hotel hayuko sure k**a atafanya kazi na Sam ju Sam anadhani Neema ndo shida baada ya Serenge kuenda. Bossie alimwambia usijali, nitaongea na Sam.

Sam alikuja kuona bossie baada ya kuitwa akaulizwa k**a alienda kotini,Sam akasema yeah alienda kotini na akapata kile kimama huko..Bossie akamuuliza kimama gani? Sam akasema si ni kile kiNeema. Bossie akaambia Sam sikiza, as we speak sai kuna evidence inaonyesha Mark is innocent. Sam alishtuka sana ashajua sasa ameongelea Neema vibaya na hana makosa. Bossi aliambia Sam sikiza, pitia kwa ofisi ya accounts uchukue mshahara yako na uende nyumbani kabisa na uchunge usikufe k**a SerengeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚just like that Sam pia na yeye akafutwa kazi.

Sam alikuja kwa hotel akiwa amejam sana akaanza kutusi Neema hapa na kumbe Alphose alikua ameingia na k**a kuna wanaume wawili huwezi ongelea Neema vibaya wakiwa hapo,ni Mark na Alphose. Sam akiongelesha Neema chafu,Alphose alimshika shingo akaanza kumfinya akamwambia sikiza, omba Neema msamaha haraka ama nkuvunje shingo sai. Sam aliomba msamaha mbio mbio na akaambiwa akiendelea na huu ujinga atajua hajui. Neema alishangaa sana kuona venye Alphose ako na nguvu za kushika mtu hivyo. Alphose alimwambia si kawaida yangu kujihuzisha kwa mambo k**a haya but ju ni wewe I had to. Hai kesho wakuu.

ππ„π„πŒπ€ 𝟏8𝐓𝐇 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Follow DAN 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 Hali si hali huku..hali ya taharuki,kila mtu ako confused sasa. Neema a...
17/12/2024

ππ„π„πŒπ€ 𝟏8𝐓𝐇 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

Follow DAN
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Hali si hali huku..hali ya taharuki,kila mtu ako confused sasa. Neema alimcall Jojo after kuambiwa ametoka na Jayden,akamwambia please, kuja nyumbani kiasi tuongee. Neema anajua sana Jojo na ako sure kashaamini Mark ndio aliua Serenge.

Kate pia alimcall Tom,akamuuliza,mbona hukuniambia kitu kilifanyika kwa farm? Tom akamwambia sikutaka uitwe uwe witness nikachorea. Kate akamwambia guess what,Mark ameshikwa na wanasema yeye ndio main suspect. Tom alikosa kuamini,akaambia Kate sasa Mark anaeza ua nani wakati yeye ndio amekusaidia na yeye ndio amenisaidia...Kate akamwambia hata shida si hiyo,akiwa convicted utaenda wapi na ni yeye alikuleta hapo,plus mabro wako Nairobi jaribu tu kuwa safe. Tom, maisha hayo.

Jojo kufika akauliza mamake,umeniitia kuhusu Ian ama dad? Neema akamwambia apana,ni Mark amekua arrested na kuwa suspected kumuua Serenge. Jojo akaambia mamake unaona, niliwaambia,k**a ashawai ua kitambo ona sasa ameua tena..Neema akamwambia come on,acha kubehave k**a aunty yako Naomi lakini Jojo alikataa,akasema chenye mimi najua ni Mark ndio ameua huyo msee. Neema alimwambia you are soo ungrateful. Richard alimcall Neema akamwambia bado polisi wanangoja autopsy report na hiyo ndio itaamua k**a Mark ataachiliwa ama ataenda kotini. Neema aliwahimiza sana Jojo na Babu,Ian akija asiambiwe anything chenye kimehappen.

Naomi yeye yuko busy kwa ofisi yake anafanya kazi ya bure. Alipigiwa simu na Richard akamwambia kuna kitu ya maana nataka tuongee lakini Naomi alimwambia for now niko busy,it will have to wait hadi usiku.

Usiku ulipofika,Ian wakikula akauliza mamake, uncle Mark atarudi lini from business trip? Kumbe kalikua kamedanganywa ati alienda business trip. Neema alimwambia anaeza rudi maybe kesho ama siku ingine. Ian akauliza sasa nani atatuprotect tukivamiwa na venye babu wetu ni mzee🀣🀣🀣🀣Babu akasema haya,oneni haka,kwani huoni naeza waprotect? Ian akasema si hivyo,ni venye uncle Mark ni mstrong kuliko wewe babu🀣🀣🀣Ian kashakua convinced.

Richard kufika akaambia Naomi, leo nimeshinda sana polisi stattion. Naomi akamuuliza kwani unahandle criminal case ama? Richard akamwambia apana, ni Mark alishikwa. Naomi akakuja juu akamuuliza na mbona hukuniambia? Richard akamwambia nilikupigia simu ukasema uko busy,ningekuambia aje.🀣🀣🀣

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Neema aliambia Jojo,anaenda polisi kuona Mark na anaenda na Kate. Kate akamwambia wee,si nilikuambia siezi enda polisi stattion ju niko na phobia hata naeza tense. Jojo akashindwa,yani bwanake ako jela na yeye ako hapa anaact weird🀣🀣🀣

Naomi aliuliza bwanake, hii instense ikifanyika kwani Mark mwenyewe alikua wapi? Richarfd akamwambia,Eddy alimpigia Mark wakitaka wakutane na hata hawakukutana...Naomi kusikia Eddy akatense hadi Richard akamuuliza na mbona unatetemeka k**a ng'ombe zinanyamba nyambaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Neema hakuforce Kate,yeye alijileta ju anakumbuka wakati yeye akiwa jela Mark alisimama na yeye sana. Kuna chakula Neema ameletea Mark. Karao na yeye alidhani Neema ni wife wa Mark,akakuja akaambia Mark,hizi ni bibi yako ameleta. Mark akashindwa wait,bibi mgani tena hadi karao akamwambia manze uko na wife mzuri sana na hata yuko tu hapo nje amesema ukitaka kitu useme. Mark kufungua chakula akajua mara moja ni Neema amepika na ni Neema ameleta. Wife indeedπŸ˜‚πŸ˜‚

Eddy ndio anarudi kwa bibi yake after 3 days. Karen akamuuliza, umekua umeenda wapi? Eddy akamwambia nimekua tu around. Karen akakuja juu akamuuliza so kwani kila saa tukiwa na issue utakua unatoka toka k**a mtoto lakini Eddy alimwambia shut up...nyamaza! Ulifanya nikaacha wife wangu na watoto an wewe uko hapa kunikula kichwa,shida yako ni nini? Karen akamwambia mimi chenye nataka ni mwanaume mwenye atanipenda anioe na mimi nilikupenda sana lakini Eddy akamwambia ulifanya nikaacha familia yangu. Karen pia akamwambia ulifanya nikaacha job yangu but Eddy akamwambia you vant compare the two alah!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sharon na yye amefika kwake anaangalia ati nguo zake,akaona zinakataa takataka akazichukua zote akaweka nje akaambia Val,mwenye hizi nguo azikujie or else nazichoma zote. Amesahau mwenye nguo ni yeyeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Richard alipigiwa simu,Mark ashapelekwa kotini na eye k**a lawyer akaambiwa aende huko mbio sana.

Naomi alimcall Karen time wamekaa na Eddy an Karen kushika simu,akasema Hello mum..Naomi akashindwa mbona leo anaitwa mum but ilikua signal ya kumwambia Eddy ako around lakini hii ilimshtua sana Naomi,yeye anajua Eddy alimcall jana Mark wameet iweje tena Eddy mwenyewe ndio huyu ako Mombasa na Karen? Hii ilimshtua sana Naomi akajua mara moja lazima kuna game ilichezwa pahali. wah! Mambo bado

ππ„π„πŒπ€ 𝟏8𝐓𝐇 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 please like before usome ..Neema alienda kuona mark kwa cell na Kuna  vita alikuwa amebuy...
17/12/2024

ππ„π„πŒπ€ 𝟏8𝐓𝐇 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

please like before usome
..Neema alienda kuona mark kwa cell na Kuna vita alikuwa amebuyia mark, that is food. so alipatia police hizo stuff pamoja na letters fulani akamshow apatie mark na aulize mark k**a Kuna kitu kingine anataka. saa ule police Alideliver kila kitu chenye neema alimpea. Then akamshow mark hizi vitu ni bibi yako amekupea na nikuambie ukweli you are lucky sana. Then akamshow bibi yako amesema k**a Kuna kitu kingine unataka useme ili akutafutie. Mark akamshow enda umwambie aende home akakae na watoto. then huyu solder akatoka....
Details

>Mark really inlove with neema.
>Neema inlove with mark
>Mark apelekwa court
> Jojo blaming mark for the of serenge

Watch full updates using the link below. Tupatane 9:00pm

https://youtu.be/qgf4gPY9oCY?si=OVwdiXsMHUz0U69O

NEEMA 18TH WEDNESDAY UPDATES Ready for Neema updates weka like.Tupatane first 8:10pm and mara ya pili 9:00pm for Neema u...
17/12/2024

NEEMA 18TH WEDNESDAY UPDATES

Ready for Neema updates weka like.

Tupatane first 8:10pm and mara ya pili 9:00pm for Neema updates

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸ•π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 SERENGE'S DEMISE CASEBossy aliitwa kuandika statement ya kifo cha Serenge na akaul...
16/12/2024

ππ„π„πŒπ€ πŸπŸ•π“π‡ 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 SERENGE'S DEMISE CASE
Bossy aliitwa kuandika statement ya kifo cha Serenge na akaulizwa mbona alimfuta Serenge kazi? Bossy akamwambia ni Serenge mwenyewe,venye niliandika Neema kazi akaanza kumfrustrate na hiyo ndio ilifanya akakosana na Mark. Bossy akaulizwa, venye walikua na issue na Mark kuliendaje? Bossy akaongeza chumvi,akasema niliona tu Serenge akiwekelewa ngoto tena kali sanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Paul aliitwa kuulizwa k**a anajua mwenye alikua wa mwisho na Serenge.Paul akamwambia ni Sam,walitoka na Sam na wamekua close sana. Akaulizwa,venye Mark alikosana na Serenge,nani alikua wa makosa? Paul akasema ni Serenge huwa hivyo na walikosana na wakapigana akaulizwa so Mark ndio alimuua? Paul akasema zii,Mark haezi ua mtu,yeye huwa msee mpoa sana.

Sam aliitwa pia aseme side yake na ju yeye ni beshte wa Serenge alisema mob sana venye Serenge alionewa na Neema na alikua anamdharau sana. Akaulizwa na Mark anaingiliwa wapi? Sam akasema Serenge na Mark hawajai elewana,kwanza alimwambia atamuua na iam sure alifanya hivyo na akahepa. wueh! Anaitwa Sam.

Neema pia aliitwa kuulizwa akaulizwa ni nini kati yako na Serenge? Neema akasea side yake venye Serenge alimdharau sana. Akaulizwa na Mark ndio alikua mtu wa mwisho kuliendaje? Neema akasema after hapo Mark alienda nje na k**a si Mark kunizuia sijui ingekuaje. Neema akaulizwa Mark ni nani kwangu? Neema akasema nini? Mark is my best friend in the whole world. Neema akaulizwa,na mbona unakaa na yeye? Richard alikua hapo akaambia karao wee,my client ni mtu mzima she can live anywhere..but Neema alifungua venye alijipata kwa Mark venye aliconiwa na venye walielewana wakaishi pamoja hadi sai.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Mark pia ndio anafika polisi kuandika statement. Sam kumuona tu hivi, akaita polisi akamwambia ndio huyu hapa main suspect. Neema akauliza Sam,uko na kichwa mzuri wewe? Mbona unabweka bweka hapa...Hadi Mark pia anashindwa hizi ni gani juu yeye amejua after kupigiwa simu na Neema. All in all Mark aliingia kuandika statement.

Eddy haonekani. Naomi alimcall Karen akamuuliza k**a anajua anything kuhusu Eddy? Karen akamwambia ametext tu..Naomi akamuuliza so anakuja Nairobi ama? Karen akamwambia mi sijui..Naomi akamwambia indeed as if huwa unajua anythingπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Richard alikuja kuongea na Mark kiasi akamuuliza alikua ameenda wapi? Mark akasema ukweli,alipigiwa simu na private number akasema ni Eddy nikaenda huko but hakufika time alipigiwa simu na Neema. Richard akamwambia usiseme hivyo,kwanza number ni unknown na pili meeting didn't happen so haina credibility.

Order ilisemekana Mark abaki huku wakingoja uchunguzi ufanywe. Mark hadi alitoa key za gari akapea Neema akamwambia nikiwa huku ndani utakua unatumia. Neema aliumwa sana kuona innocent person k**a Mark akiekwa ndani,hadi akamwambia usijali, with no time utakua nje,sitakubali ubaki ndani.

Neema alimcall Kate akamwambia bwanake ameshikwa akuje aone but Kate akakataa hadi Neema akacall babake akamwambia dad,huyu msichana sijui shida yake ni gani,nampigia namwambia bwanake anakataa hataki kuja ati ako ako na fobia ya polisi station.

On other side.Jojo amekuja out na Jayden for some coffee kiasi na wakaongea waliongea mob sana huku Jojo anasema venye ako ashamed sana kudisrespect babake Jayden but Jayden alimwambia usijali, hiyo ishaisha hadi uliletewa maua. Jojo anasema hata k**a maua ililetwa but personaly naona I have failed peple around me,si wewe,si Mark,si babako...Jayden anakuanga na advice zingine poa sana and this is what Jojo needs....Tukutane kesho wakuu

16/12/2024

Team neema ready for updates weka like✌️

ππ„π„πŒπ€ 17th 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 please before usome please weka like After serenge kupatikana amekufa workers wote wa hiy...
15/12/2024

ππ„π„πŒπ€ 17th 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

please before usome please weka like

After serenge kupatikana amekufa workers wote wa hiyo place neema ufanya kazi walienda kiandika statement. Msey wa kwanza alikuwa anadefend Mark sana lakini msey wa pili alisema Ako sure ni mark aliua serenge juu walikuwa na chuki. Neema pia aliingia kuandika statement na pia ni k**a alikuwa prime suspect, After neema kutoka alipatana na mark, msey mmoja vile aliona mark hivi tuh alianza kushout akisema ndo huyu mwenye aliua serenge......

Details.

>Mark arrested...
>Jayden kisses Jojo on her hand' I want us to be more than friends '
>Naomi anaogopa eddy .

Watch full updates using the link below. https://youtu.be/uQBOI23sVjU?si=Sot8bnV1bJ-J03lV

ππ„π„πŒπ€ 17th 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 Ready for updates weka like. tupatane 9:20pm with full updates
15/12/2024

ππ„π„πŒπ€ 17th 𝐃𝐄𝐂 π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

Ready for updates weka like. tupatane 9:20pm with full updates

Address

Nairobi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DAN posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Videos

Share