Wachezaji wa Harambee Stars wamekwama nchini Afrika Kusini kutokana na mgomo wa wafanyazi unaondelea JKIA. #HapaNdipo #BillyNaMbaruk Billy Miya Hassan mwana wa Ali
SEPTEMBER 14,2024😎🔥 Mark the date and time! Njoo tupige sherehe moja safi ya mziki wa rhumba tukiwa na Freshly Mwamburi, Rhumba Japan , Cate Kulo , Messdj Tha Don , pamoja na DJ Numz LIVE ndani ya Sarit Hassan mwana wa Ali
Bancey Kimuyu - Manchester United itachapa Southampton. #HapaNdipo Hassan mwana wa Ali
Plannet Kenya - Wasanii wanafiki ni wengi sana. #Baze47NaManucho #HapaNdipo Manucho the Young Baller DJ IMMO KENYA
Plannet Kenya - Uandishi wangu wa nyimbo ni tofauti sana na wasanii wengine. #Baze47NaManucho #HapaNdipo Manucho the Young Baller DJ IMMO KENYA
Kila region ikona stage yake hii town🤣🤣
#HapaNdipo #MkamburiNaJaphe
You just need one sip in your system to go back to step one-Fatuma Musau.
#MkamburiNaJaphe #HapaNdipo
In-patient rehabilitation nini?
#MkamburiNaJaphe #HapaNdipo
Never trust anyone mwenye ananunua nguo na hafui ndio avae- Mkamburi
#MkamburiNaJaphe #HapaNdipo
Nyumba bila balcony si nyumba na mume wa mtu maziwa 😂😂.
#MkamburiNaJaphe #HapaNdipo
Penzi Meter- Unapendwa ama Unachezwa?
#HapaNdipo #MwashumbeNaMwakideu
Kwa nini Serikali ilikubali makubaliano na Kampuni ya Adani kuhusu uwanja wa JKIA?
#HapaNdipo #MwashumbeNaMwakideu
Kwa nini Wabunge wa Raila walikosa mkutano wa Ruto?
#MwashumbeNaMwakideu #HapaNdipo
Maswali Kichwani!!!
Ni nani atakaye mrithi Raila Odinga?
#MwashumbeNaMwakideu #HapaNdipo
What's Trending!!!
Wasafiri katika uwanja wa JKIA waona cha mtema kuni!
#HapaNdipo #MwashumbeNaMwkideu
Osogo Winyo - Kuna siku tulienda klabu kucheza mziki lakini badala yake tulitolewa huko na kichapo. #HapaNdipo #BillyNaMbaruk Billy Miya
Mechi kati ya Harambee Stars dhidi Namibia kuchezwa bila mashabiki Afrika Kusini. #HapaNdipo #BillyNaMbaruk Wadi Mwema Billy Miya
Shepherd - Nairobi ukitegema usanii utakufa njaa. #HapaNdipo #Baze47NaManucho Manucho the Young Baller
Shepherd asimulia jinsi msamaria mwema alivyomsaidia kuacha mihadarati kabla hajaanza kuwa msanii. #Baze47NaManucho #HapaNdipo Manucho the Young Baller
From rehab to the studio - Shepherd aangusha mistari moto moto ndani ya #Baze47NaManucho. #HapaNdipo Manucho the Young Baller