Shujaaz Kenya

Shujaaz Kenya Shujaaz tuna-celebrate vijana na stori zao! All about Love, relationships, biz na doh! Kuna vijana wengi wanafanya vitu major zenye ziko chini ya maji.
(1)

Shujaaz tuna-celebrate hawa vijana wote. Cheki hizi stori, na u-share stori yako pia. No topic is too hot to handle.

Happy 2025   πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰
31/12/2024

Happy 2025 πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰πŸŽ‰

Ikishafika December, kila day ni Christmas... ama tumedanganya?Merry Christmas πŸŽ„πŸŽ
25/12/2024

Ikishafika December, kila day ni Christmas... ama tumedanganya?

Merry Christmas πŸŽ„πŸŽ

Ni final episode ya   na tungedai kujua ni nini uko thankful for hii mwaka, share na sisi kwa comments
19/12/2024

Ni final episode ya na tungedai kujua ni nini uko thankful for hii mwaka, share na sisi kwa comments

Leo ni leo πŸ₯³ Episode final ya   iko on leo at 7PM. Shukran kwa support yenu throughout episode zetu, ya mwisho nayo lazi...
19/12/2024

Leo ni leo πŸ₯³ Episode final ya iko on leo at 7PM. Shukran kwa support yenu throughout episode zetu, ya mwisho nayo lazima iwe kubwa, make sure ume tune in Nation FM upate vibes fiti na ma-host wetu wa power Wabere na Amos Njeru

Ati kando na hizi elephant tasks, how else do you prove to a person that you're in Mombasa?  Kenya season one episode fi...
18/12/2024

Ati kando na hizi elephant tasks, how else do you prove to a person that you're in Mombasa?

Kenya season one episode finale iko on!

Final episode ya   iko on leona tunamalizia Mombasa county!! Shukran kwa kila mtu mwenye amekuwa apart of hii, hatungewe...
18/12/2024

Final episode ya iko on leona tunamalizia Mombasa county!! Shukran kwa kila mtu mwenye amekuwa apart of hii, hatungeweza bila nyinyi. Make sure ume-tune in one last time tumalize strong πŸ’ͺ🏾
10PM at NTV Kenya usikose hii

16/12/2024

"Changamoto huwa ni nyingi. Kwanza k**a familia mtu ywaeza kuleta mtoto wake aa nichoree, lakini asikupe kitu. Hiyo tayari wavunjika morali. Lakini kila siku zinapozidi kwenda, pia wewe akili yako yafunguka.

K**a mimi sa naolewa, siwezi ngoja bwanangu na kila kitu. Kwenye nyumba kwaeza kosa chumvi, siezi piga simu hakuna chumvi. Mimi naeza nunua chumvi kwa ile pesa natumikia."

Tulipatana na Rukia pale Mwembe Ngoma na alituchanua sana. Vitu alitu-show inaeza saidia wasee wengi especially madem wenye wanataka kujitafutia.

15/12/2024

"Employment is not compulsory, sio lazima. Kuna wale wanaeza kufungua biashara na wakaishi vizuri. My biggest dream, I want to travel out of East Africa. Niende nipige ngoma huko...k**a watajua ku-dance, watajua ku-dance. K**a hawajui basi nitakuwa nimepiga ngoma." Juma.

As an artist, ako talented k**a drummist, muimbaji na dancer. Talanta yake imemtuma hadi aka-meet former president Uhuru Kenyatta. Ametupiga real talk pale from experience yake na life. Cheki stori yake

13/12/2024

"Saseni, mimi niko na mpenzi, na jamaa niko naye madharau kwake ndio mingi. Na huniudhi, nimejaribu kumuacha na nikienda kulala sipati usingizi. Namfikiria tu. Nifanye nini?"

Tukiendelea na   Pale   Mama Makena amerudi na maneno inachemka. Tunaona story ya Makena, Stacy na mama yao itaenda aje?...
12/12/2024

Tukiendelea na Pale Mama Makena amerudi na maneno inachemka.

Tunaona story ya Makena, Stacy na mama yao itaenda aje?
Kuna airtime ya Kshs 100 for the first 20 people wenye watatuchapia vile kutaenda.

Tumekuwa tukiwashow juu ya Shujaaz Stra pale youtube na leo tunataka kuona k**a wewe ni fan wa ukweli! With just 2 episo...
12/12/2024

Tumekuwa tukiwashow juu ya Shujaaz Stra pale youtube na leo tunataka kuona k**a wewe ni fan wa ukweli!

With just 2 episodes to go... Tuambie vile story ya biz ya Achie na Mwas itaenda.

 na  ni sawa tumeskia πŸ˜ƒ  hope mko ready for this one. Tunakaribia kufunga mwaka na πŸ’£7pm
12/12/2024

na ni sawa tumeskia πŸ˜ƒ

hope mko ready for this one. Tunakaribia kufunga mwaka na πŸ’£

7pm

Happy Jamhuri Day kutoka Shujaaz!Proudly Kenyan πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺ
12/12/2024

Happy Jamhuri Day kutoka Shujaaz!
Proudly Kenyan πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺ

Kwani Yviona amefanyia nini Sanchez? πŸ˜ƒAnyway... tutajionea leo 10PM pale  πŸ”₯Diani tutafika hata through Shujaaz TV πŸ˜ƒ na  ...
11/12/2024

Kwani Yviona amefanyia nini Sanchez? πŸ˜ƒ

Anyway... tutajionea leo 10PM pale πŸ”₯
Diani tutafika hata through Shujaaz TV πŸ˜ƒ na

See you there!

09/12/2024

"Kucheza nyatiti imenijenga in many ways. First, napewa kitu naji-boost nayo shule. Most youth wanasema hii kitu ni ya kitambo ...ukipenda kitu, unajipa tu moyo. Mi najua kitu nafanya" Victor.

Ujanja yenye ilifanya Victor akuwe focused ni kuamua kuchukua talent yake serious na ku-avoid bad friends wenye walijaribu kumpoteza.

K**a bado huja-try ku-do kitu juu ya talent yako, feel inspired. You never know place itakufikisha

07/12/2024

"Mimi nimenoki dem flani hapa, ni jirani. But naogopa kum-approach juu ni mkubwa kwangu. Nifanye aje, naogopa kukataliwa."

06/12/2024

James ni mvuvi kutoka Dunga beach. Kuna changamoto amepitia k**a kuibiwa nyavu na kuanza afresh tena. Anapenda kufuatilia maisha yake mwenyewe, hapendi msee mwengine kufuatilia ndio reason aliamua kujiajiri.

Cheki story yake from vile ali-start hadi akafika mahali yuko sai.

Unaona aje story ya kutumia 2 methods za protection saa ya mechi?
05/12/2024

Unaona aje story ya kutumia 2 methods za protection saa ya mechi?

Address

Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Shujaaz Kenya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Videos

Share