Shirkomedia yawaletea Dude jipya kutoka kwa Msanii Dazlah wimbo wa taifa #KAMATA akimshirikisha Benzema. Ngoma hio imeandaliwa Na Maestro mfalme wa Manandananda Vidole mia nane elfu 😅😅 Shirko Awadh Salim akishirikiana na producer Kalavu 👑
Kimbia pale Youtube upate kuona Kipindi moja safi 🎥🎞🎬
https://youtu.be/0DmMw1O_-cI
A masterpiece #Kamata by two maestros @dazlahkiduche_ x @benzemadavid now available on all digital platforms subscribe on
Dazlah’s Youtube channel to be among the first to watch the official video on 28th this January 2024 @shirkomedia_ent we start this year with rapid🔥 Song produced by @shirkomedia & @kalavu_jay cc @tsofa_maels @amoury_001 @director_bad @royal_state_pictures @djkyshaku @ally_mahaba @maimoonah254 @swithinssuru @_el_pedro__ @shebby_le_grand
A masterpiece #Kamata by two maestros @dazlahkiduche_ x @benzemadavid now available on all digital platforms subscribe on
Dazlah’s Youtube channel to be among the first to watch the official video on 28th this January 2024 @shirkomedia_ent we start this year with rapid🔥 Song produced by @shirkomedia & @kalavu_jay cc @tsofa_maels @amoury_001 @director_bad @royal_state_pictures @djkyshaku @ally_mahaba @maimoonah254 @swithinssuru @_el_pedro__ @shebby_le_grand
Pole producer Producer Totti dah hii imetugusa sote wadau wa muziki kiundani maana suala hili ya studio kupata athari kama hii ni jambo la kuhuzunisha. Elnino imeingia kwa fujo sana. Be strong bro this will pass too.
Moja wapo wa nyimbo kwenye orodha ya nyimbo 25 ya mchanganyiko wanyimbo za awali na zile ambazo hazikuwahi kubahatika kutoka ni hii hapa kwenye albamu ya #IAMSHIRKO hii ni kwa ushawishi mkubwa wa label ya Shirkomedia kumshawishi producer Shirko Awadh Salim aziachie kazi hizo zote rasmi kuliko zipotee kama zilizo potez 50 nyingine. Tushow sapot kwa kazi nzuri kwa kustream na kushare.
Via Shirko Awadh Salim. Hii ni special throwback ya leo nipo na ndugu yangu wa dam kabisa Amoury Ally na Adha Yooh enzi za ujana🤪😅 na dada yetu #Dyrah jamani nasisitiza hii sio MEME ni official video ya miaka hiyo taratibuni na comments zenu. Song #SifaZako by SAV CLAN {kenya}
Ni jambo la faraja sana kukaa chini na mama wa muziki pwani nzima na kote barani Afrika na kuandaa mziki mkubwa. Si mwingine namzungumzia NYOTA NDOGO kubuni muziki mzuri usioisha ladha na wenye hisia na jumbe za kufunza na kueleza mambo ya kijamii yanayotumba kila siku. #Kimbelembele (Wamboi) ni nyimbo inayoangazia umbea wenye kuvunja upendo au ukaribu kati ya wawili au wengi walioshibana kwa mapenzi na kuheshimiana hususan anapotokea mmoja kuwa natabia hiyo ya kusambaza taarifa za kashfa au za siri yenye athari ya kuvunja ukaribu wa watu fulani. Usiache kutazama video yote pale Youtube. Wimbo umetayarishwa na Shirko Awadh Salim ( Shirko ) ndani ya Shirkomedia na video kuandaliwa na Abdalla Choka tunakuomba uwe ni mwenye kuonyesha sapoti kwa kushea kulike na kusubscribe channel ya Nyota Ndogo.
https://youtube.com/watch?v=hxKx_l-tBRY&si=IjAdZhyPLo59p3yx
Tutumie fursa hii kulinda ladha za tamaduni zetu kwa kuongeza ubunifu mzuri unaobeba maudhuo na ladha halisi.
Twende na hii hapa #VAATE ya kwake #shebbyLeGrand iliyo bebwa na viasali asali mdalazini mziki na iliki ya vinanda kutoka Shirkomedia let’s support our own baada ya hapo tunahamia kwenye #ModernBango na #AfroMwanzele 🎻🎻🎻🙏🏼
Kuwa mbunifu ni kuwaza tofauti na walivyozoea watu kwenye kujenga na kuzingatia ubora wa mahitaji ya soko lako.
Ilikuwa siku njema sana jana Siku ya Ijumaa ya tarehe 9 mwezi wa 6 2023 kwenye kwenye maadhimisho na siku ya kupeperusha bendera kwa utambulisho rasmi wa #talantahela ilikua siku kubwa kwa mashujaa na madereva wetu wa kuibeba bendera ya nchi kwenye #safarirally kwa wanaume na wanawake wote vijana na wakubwa kuiwakilisha nchi kwenye mchuano wa kitaifa ujao wa #WSRC2023 Pili kwa wana michezo wote na kipaumbele cha ajenda ya kwanza ni kufufua sekta za michezo na sanaa na ubunifu kama kinyanyua raslimali ya nchi kwa kuongeza ajira kwenye taifa na kubadilisha maisha ya wanachi kutoka chini hadi kuwa na maisha bora. Mheshimiwa rais William Samoei Ruto pamoja na waziri wa Sanaa Michezo na Mambo ya vijana Mh. Hon Ababu-Terrah Egh na viongozi wengine akiwemo Mh. Hon Musalia W Mudavadi Mh Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru wote walihakiki siku hii ni yenye kufungua milango kwa michezo na sanaa katika sekta zote kama ilivyokuwa kwenye jukwaa la usiku huo pale Ikulu State House Kenya na burudani kama inavyoonekana iliongozwa na mwenyeji wetu Mh. Rais siku ilijumuishwa na mashujaa wengi malejendari katika sekta zote za michezo na sanaa na hii ndio sura mpya ya mabadiliko ya ukubwa wa kufufua sanaa na michezo kidigitali na kimaendeleo ya kukuza uchumi wa nchi kwa kuzindua programu ya #TalantaHelaApp ambayo ina uwezo mkubwa wa kuwapa fursa wenye vipaji kuweka video zao fupi pamoja na kujisalili ili kuonekwna na wataalamu na maskauti wa kila idara katika kunasa vipaji na kuvipeleka sehemu sahihi ili wapate fursa ya kutimiza ndoto zao kitaifa na kimataifa. Kenya imeweka historia #TalantaHela imeweka nukta ya kufungua milango kwenye mwanzo mpya wa Sanaa na Michezo.
Shukrani za dhati kwake Mwenyeezi zikifuatiwa na wote mlionisapoti na mnaendelea kufanya hivyo kila siku nawashukuru sana. My family Shirkomedia team nzima, na hosts wetu Infinix Mobile Kenya. Infinix Mobile pamoja na Majlis Hotel show ilikuwa amazing sana. Ombi lenu nimelibeba kwa mikono miwili ntaliendeleza na kulifanyia kazi iwe ni mwendo wa burudani full. Management tsofamaels AMOURY kazi kwenu tunaomba #ShirkomediaFestival
Turkish baglama inside my fingers over my keys 🥹🥺 sad/happy 🤷🏽♂️
#Tulipotoka Mwalimu na Vijana Cc Mbossokhan #mbossokhan #mkubwanawanawe #salamtmk #trending #kenyan #tanzania #bongofleva #ShirkoMedia #mombasa
#Selebu bu @shebby_le_grand video is around the corner pending to live stream from 10:00am pin the time and don’t forget to check it out as soon as the song is released. Audio produced by @shirkomedia Video directed by @director_bad Coming soon. For now lets enjoy good music.
Tuenjoy muziki tunacho kiona na kilichotokea tuache hapo hapo 🤣 #fromthearchives #throwback #tbt #shirko #shirkomedia #trendingreels
Tuendelee kuonyesha matukio ya Januari ama tuachane nayo🤪 #Naogopa by Dazlah ipo kwenye platform zote fanya tu kuipakua playlist nzima ya #TheFutureEp
My brother Producer baindo kenya you are one in a million, nakumbuka siku tulikaa nlipokuja kufanya interview Msenangu FM tulipata dakika kadhaa tukaongea mengi sana na katika tuliyoyaongea yalihusiana sana kwenye kuijenga tasnia ya pwani pamoja na kuiboresha kiukweli vision yako busara yako upana wa elimu ulitokuwa nayo haifanani na wengine kabisa kwenye tasnia yetu ya pwani tungelikuwa na watu 15 tu kama wewe basi tungelikuwa hatushikiki, hatudharauliki wala hakungelikuwa na ati ati ya kujiona hatuendelei wala kufika walipofika wenzetu waliotutangulia ndani ya mafanikio ya sana. I respect you alot sana na namuomba Mungu akupe umri na atupe zaidi siku za kukaa pamoja kujengana kimaarifa ya kikazi pamoja na kuiokoa sanaa hii ambayo mpeka kesho tunatazamiwa sisi tunafanyaje maana wapo watu wanaamini kama sio wewe ni mimi na wengine ndio wakuwasaidia wao. Mungu akupe moyo huo huo na afya na busara tele pamoja na moyo wa kuwakubali wanaojitahidi kwenye tasnia hii kitu ambacho sio wengi kama unavyosema wanathubutu kuwakubali au kuwaelewa wenzao. My brother i respect you hats off i salute you. God bless you legend. Cc Captain Nyota
Kama iliwezekana kwa hili basi litawezekana kwa lingine.
Tusapot vya kwetu sasa…
#TheFutureEp ipo kwenye platform zote ila kwa sasa twende Youtube kutazama lyrics video ya #Naogopa by Dazlah
Link
https://youtu.be/UbcKR4nuVFo