
16/05/2024
Sugar mummy part 1💦🍆🍑
Last week nilikua nmesota wuee🙆,,nkiangalia kwa keja unga hakuna,,😞mafuta imeisha🤦,,chumvi,,hata kiberiti manze sikua nayo🥵🙇nkakumbuka 🤔🤯beshte yangu Felix aliniambiaga yeye akisota anapambana apate 200 ya club pekee halafu huko atapatana na masugar mummies🥳🍬 wamtobokee🥵,,,Mimi Penye ilifika nilikua na 300 kwa mfuko sa nikamuu kuenda hoteli nkakula katakata🍜🍜 ya 50 yenye imekojolewa na supu ya maharagwe nkaongezea na k**ayai 🥚boil na ovacado🥑 moja....nikaamua kukanyaga kaguu🚶 hadi kwa club yenye Felix huwa anaenda kutafuta sugar mummies 🤭vile nilikua kwa mlango bouncer 🏋️akaniuliza ati nataka nini , 🤔🙄 nikamshow nmekuja kujinice 😁akaniambia nilipe entrance fee hapo ni 100 🤭si nkalipa ,,kuingia ndani nkaamua kununua energy drink yangu na nikachukua glass 🍷nitumie kukunywa nayo hiyo energy drink ndo nisikae k**a mshamba😂kuangalia meza za wasee wengine😯😨 wuee pombe za bei🍾🥃😯🙆,,,wasee wamefua meza kuchafua😁mi nikajifanya okwonkwo 😂 nikaishia na nkakaa pekee yangu tuu,😂kwa coner na soda yangu tuu🥳😂,,,,rumba ikaekwa wuee🙆nilishtukia tu mumama mzee amenishika mabega akaniuliza k**a naeza cheza na yeye mapangala🙆🥵😨🏃♂️🏃♂️💨💨,,,,,,,,part 2 ikuje ama isikuje😂😂 endelea tu ku invite friends wako tuna grow faster,,