#Habari
Mbunge wa Mumias Mashariki Peter Salasya afurahishwa na utendakazi wa kiwanda cha Kutengeneza sukari cha Mumias, ameahidi kuwa atahakikisha shughuli zinaendelea na kiwanda hicho kinarejelea vizuri hali yake ya hapo awali.
"Mumias sugar mega operations makes me happiest like a small child .I will protect mumias sugar from all cartels as the area member of parliament and a committee member of Agriculture in the national assembly.Our economy is back." Amesema Salasya.
KIKI ZA MASTAA ๐ฅ ๐ฅ
Bradley Mtall Genz Goliath apokea maombi maalum ya kumlinda kutokana na mikosi baada ya kupata umaarufu.
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine pia ameonyeshwa kukerwa na Rais wa Taifa hilo Yoweri Museveni kufuatia matamshi yake kwa mbunge wa Embakasi Mashariki Babu Owino hivi maajuzi wakati wa hafla ya kuzindua uenyekiti wa AUC
Waziri wa kilimo kaunti ya Transnzoia Phanice Naliaka Khatundi avunja kimya chake kutokana na mgogoro wa gavana wa kaunti hiyo George Natembeya na Mwakilishi wa akina mama Lilian Chebet Siyoi..
Tizama aliyekuwa mkuu wa Majeshi yote ya Ulinzi ya Kenya Jenerali Francis Omondi Ogolla alivyokuwa mcheshi na mkarimu
Mbunge wa Saboti *Caleb Luyayi Amisi* amepokelewa kama Mfalme Katika Wadi ya Tuwan, ambapo amezindua usambazaji wa Basari Katika eneo bunge lake.
#DilemmaMonday ๐ฅ๐ฅ
Ni Juma lingine jipya la kuzidisha uchakarikaji ili kutimiza malengo yetu......
#Habari
Mchekeshaji maarufu humu nchini Eric Omondi ametangaza kuwapea kazi wale wote ambao wamefuzu na wamekuwa wakihangaika, Omondi alikuwa ametoa ahadi hiyo hapo awali na hatimaye atakuwa anaifanikisha hapo kesho.
"If you are a graduate without a job come to Blue Spring Hotel Thika Road Opposite Gardens City tomorrow. we are meeting at 8:30am usichelewe!!!iko kazi!!! kazi iko!!!! we are going to provide employment and job opportunities to all our brothers and sisters. We have already Acquired Numerous Jobs from Kenyans of Good will." Amesema Omondi kwenye kanda la video
Gavana Natembeya azungumza baada ya kuzozana na spika Wetangula kwenye hafla ya mazishi, ambapo vurugu zilishudiwa huku Maafisa wa Polisi wakilazimika kutumia vitoa machozi kuwatawanya vijana.......
#Michezo
Katika uwanja wa Michezo wa Bukhungu, Timu ya AFC Leopards inaadhimisha miaka 60.