Governor Ken Lusaka morn the death of former CS Magokha
Bungoma Agriculture CECM nominee pledges to combat climate change through smart farming technology.
Bungoma TW01 07-11-22.
The newly appointed Chief Executive Committee member for Agriculture, fisheries and cooperatives Monica Fedha has acknowledged the effect of climate change on Agricultural production and vowed to put measures in place so that farmers can be supported to produce with minimal climatic setbacks.
Speaking at Bungoma county assembly after her vetting exercise, she said the county will also support farmers to produce during the off season period by availing modern irrigation systems and mechanization of their farms.
She has also expressed her commitment in reviving cattles dips and setting up a livestock pest and disease management strategy in order to enhance yields from farmers' livestock. She has also promised to enhance surveillance of needy families so that only farmers who deserve benefit from county government free fertilizer and seeds.
SIKU CHACHE TU BAADA YA HALI YA TAHARUKI KUIBUKA KATIKA ENEO BUNGE LA KANDUYI KAUNTI YA BUNGOMA KUHUSU SIMBA KUTOWEKA KATIKA BUSTANI YA BUTEYO MITI PARK ,HALI AMBAYO ILIWEZA KUATHIRI MASOMO KWA SHULE JIRANI,SASA WAKURUGENZI WAKUU WA BUSTANI HILO WAMEJITOKEZA KUKANUSHA MADHAI HAYO WAKISEMA KUA HUO NI UVUMI USIO NA MSINGI.
AIDHA AMEDOKEZA KUA WANYAMA WALIOKO KWENYE BUSTANI HILO WAPO NDANI KATIKA ULINZI MKALI NA HAWAWEZI KUTOWEKA KULINGANA NA MAZINGIRA YAKE,HUKU AKIWARAI WAKAZI WA ENEO HILO KUTOA HOFU MIONGONI MWAO NA KUENDESHA SHUGHULI ZAO KAMA KAWAIDA.
RICHARD OLOO NI MENEJA MSIMAMIZO KATIKA BUSTANI HILO
WAKATI HUO HUO WAMEHIMIZA WANANCHI KWA JUMLA KURUZU ENEO HILO KWA UTALII NA MAFUNZO ZAIDI.
VIJANA WAMEHIMIZWA KUKUMBATIA UKULIMA WA MIHOGO NCHINI.
Haya ni kulingana na mkulima Luke Masika kutoka katika kijiji cha Kabula Eneobunge la Bumula Kaunti ya Bungoma
Mkulima huyu anahoji kuwa kilimo cha mihongo kwa sasa kina faida mno kwani soko lake limeimarika zaidi.
Don't miss a great meeting at poster ground
Worship Together With Us At The Redeemed Church || With Pst Julius
Talk To Us ; 0724388275 / 0738760605
The President-elect William Ruto And The Kenya Kwanza Leaders In Bungoma County..
#ndiranguproduction
#iposiku
Mweshimiwa Jeremiah Kuloba (makabichi)
Afueni kwa wakulima wa mihogo kutoka katika kaunti ya Bungoma...
Rais Uhuru Kenyatta ampigia debe Raila Odinga na waandani wa muungano wa Azimio katika kaunti ya Bungoma
Kwa kweli hakuna uhaki kama kweli kiwanda Cha Mumias kinafanya kazi.