11/05/2026
RAIS HANA FANI YA UIGIZAJI ...
Samia Suluhu Hassan anaendelea kutekeleza wajibu wake wa kuwatumikia Watanzania kupitia maendeleo, uchumi na ustawi wa taifa badala ya kushiriki mijadala ya kutafuta kiki au maigizo ya kisiasa.
Siasa zinahitaji hoja na uwajibikaji, si propaganda au taarifa za kupotosha kwa ajili ya attention. Kazi ya uongozi ni kuijenga nchi na kuhakikisha wananchi wanapata maendeleo na utulivu.
‘..
, & .... /
, , , , , tz1, , , , ,
‘
‘
📍YouTube:
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram: || || || tzs_media
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia || tzs_media ||
‘