 
                                                                                                    26/10/2025
                                            Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzubgumza na ujumbe wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, ulioongozwa na Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Uganda, Dkt. Speciosa Wandira Kazibwe, Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 26 Oktoba, 2025.
Fuatilia mitandao yetu ya kijamii
📍YouTube: 
📍Facebook: tzs.yasamia || DiraYaSamiaTZ
📍Instagram:  || 
📍TiKToK: Tanzania_Ya_Samia ||  || 
'
                                               
 
                                                                                                     
                                                                                                     
                                                                                                     
                                                                                                     
                                                                                                     
                                                                                                     
                                         
   
   
   
   
     
   
   
  