Dirayasamia

Dirayasamia Tanzania Online Media 🔥 Powered by youth. Inspired by Mama Samia.
💪 Digital force for truth, change & national pride.
✊️The Pride Of CCM & President Samia💚💛.

MI5 TENA🔥💚💛Safari ya Miaka Mitano Iliyopita ni Ushahidi, Safari ya Miaka Mitano Ijayo ni Ahadi.Samia Suluhu Hassan si tu...
02/09/2025

MI5 TENA🔥💚💛
Safari ya Miaka Mitano Iliyopita ni Ushahidi, Safari ya Miaka Mitano Ijayo ni Ahadi.
Samia Suluhu Hassan si tu Rais, bali ni chaguo la Watanzania kwa 2025–2030.
Kwa Kazi na Utu, CCM tayari imeshinda mioyo na imani ya wananchi.
'



KaziNaUtuTunasongaMbele

Ukihitajika Utapigiwa😄💚💛Uongozi si bure, ni kwa uadilifu na kazi.Rais Samia anachagua wateule wenye tija, si wapiga kele...
02/09/2025

Ukihitajika Utapigiwa😄💚💛
Uongozi si bure, ni kwa uadilifu na kazi.
Rais Samia anachagua wateule wenye tija, si wapiga kelele Mtandaoni.
Sasa mmegeuka kuwa KeyBoard Warriors au Content creators🤣
'



KaziNaUtuTunasongaMbele

ACHA MALALAMIKO...!😄Malalamiko hayatengenezi ajira, hayajengi barabara wala shule.Ni kazi pekee inayojenga taifa na kuin...
02/09/2025

ACHA MALALAMIKO...!😄
Malalamiko hayatengenezi ajira, hayajengi barabara wala shule.
Ni kazi pekee inayojenga taifa na kuinua familia.
Kazi na utu ndio silaha ya ushindi, si uzushi wa mitandaoni.
'
PIGA KAZI, Acha Porojo💪😎
Hakuna pesa za bure, hakuna ushindi wa umbeya.
Hawa wanaoamini uzushi wa MangeKima💩 na Sativa MwanaUDEGE ni wavivu wa kazi.
Wapige kazi, wafanye kazi... maana maendeleo hayajengwi na porojo.
'



KaziNaUtuTunasongaMbele

Acha upotoshajina propaganda zako! Abdul si mtumishi wa Serikali.Kutumia jina lake kueneza uzushi ni njama ya kuwapotosh...
01/09/2025

Acha upotoshaji
na propaganda zako! Abdul si mtumishi wa Serikali.
Kutumia jina lake kueneza uzushi ni njama ya kuwapotosha Watanzania na kuipaka matope CCM.
Lakini Watanzania hawadanganyiki, wanajua tofauti ya maendeleo na uongo.
Safari ya Samia ni ya ushindi... Uzushi wenu ni kelele tupu.
'


Kazi na DuaKila hatua ni dua, kila ushindi ni baraka.Rais Samia anaongoza kwa kazi na utu, na kuisimika Tanzania katika ...
31/08/2025

Kazi na Dua

Kila hatua ni dua, kila ushindi ni baraka.
Rais Samia anaongoza kwa kazi na utu, na kuisimika Tanzania katika amani na mshikamano.
Huu ndio msingi wa ushindi wa kweli.
'




Mgombea Verified ✓💚💛Tanzania tayari imempa muhuri wa uhalali... Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.Uongozi wa hekima, utu na ...
31/08/2025

Mgombea Verified ✓💚💛
Tanzania tayari imempa muhuri wa uhalali... Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Uongozi wa hekima, utu na maendeleo umehakikishwa.
Oktoba tunapiga TIKI kwa Samia.
'




Kondoa Imetiki✅Kondoa imeonyesha msimamo — Samia ndiye chaguo la wananchi.Vuguvugu la kijani linatikisa kila kona ya nch...
31/08/2025

Kondoa Imetiki✅
Kondoa imeonyesha msimamo — Samia ndiye chaguo la wananchi.
Vuguvugu la kijani linatikisa kila kona ya nchi.
Safari ya ushindi inazidi kupaa kwa kishindo.
'




31/08/2025

Msanii akitoa burudani ya mziki wakati wa Mkutano wa Kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan Dodoma Mjini leo August 31,2025.

Chemba Imetiki✅Chemba imesimama, wananchi wamejaa.Sauti za wananchi wa Chemba zimetangaza... Rais Samia ni chaguo sahihi...
31/08/2025

Chemba Imetiki✅
Chemba imesimama, wananchi wamejaa.
Sauti za wananchi wa Chemba zimetangaza... Rais Samia ni chaguo sahihi la Tanzania.
Hii ni safari ya ushindi, hakuna wa kuizuia.
'




Msanii  akitoa burudani ya mziki wakati wa Mkutano wa Kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupiti...
31/08/2025

Msanii akitoa burudani ya mziki wakati wa Mkutano wa Kampeni wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan Dodoma Mjini leo August 31,2025.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mat...
31/08/2025

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya Picha alipoomba kura wakati wa Mkutano wa Kampeni na Wananchi wa Dodoma Mjini leo August 31,2025.

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dirayasamia posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share