Ukhty Zuu Venuss

  • Home
  • Ukhty Zuu Venuss

Ukhty Zuu Venuss �Alhamdulillah for everything�

.... ✍️
01/05/2024

.... ✍️

30/04/2024
Kukata Kucha ni miongoni mwa sunnah za lazima za kimaumbile katika Uislamu.Na Uislamu umeamrisha sana suala la usafi wa ...
30/04/2024

Kukata Kucha ni miongoni mwa sunnah za lazima za kimaumbile katika Uislamu.

Na Uislamu umeamrisha sana suala la usafi wa kila aina, hasa usafi wa mwili wa Muislamu.

Kukata Kucha ni moja miongoni mwa mambo yaliyoamrishwa na Mtume Muhammad ﷺ katika hadithi mbalimbali.

Amepokea Imam ibnu Hibbaan; kutoka kwa Abii Huraira (R.A) amesema Mtume ﷺ: “Fitra/Maumbile sahihi ni mambo matano: Kukata kucha, kunyoa Sharubu, kunyoa Nywele za kwapani, kunyoa Nywele za sehemu za siri, na kutahiriwa.”

Na muda wa kukata kucha na kujisafisha maeneo hayo ya ndani ya mwili ni k**a ifuatavyo:

Imepokewa kutoka kwa Anas bin Maalik (R.A) kuwa: “Alituwekea muda Mtume ﷺ wa kukata Kucha, kunyoa Nywele za sehemu za siri, kunyoa Sharubu, na kunyoa Nywele za kwapani kila siku 40 mara moja.”

Mwanamke huyo ikiwa udhu wake umefika sehemu za lazima kufika maji ya udhu, Swala yake itakuwa ni sahihi, lakini atakuwa amefanya jambo la MAKRUUH.
Na kurefucha Kucha ni kuiga mila za waliokuwa sio waislamu.

Allah Aalam !

Namuomba Allah atujaalie kuifuata Muongozo wa Qur’an na Sunnah !!!

Kufaulu ni katika kufuata muongozo wa Qur’an na Sunnah”

For every pain that you can't explain.For every every worry that consumes you.For every fear that overwhelms you.For eve...
21/04/2024

For every pain that you can't explain.
For every every worry that consumes you.
For every fear that overwhelms you.
For every loss that hurts you.
For every anxiety that takes over you.
For every broken heart that silently kills you.
For every uncertainty that scares you.
For everything thats beyond your reach & control, beyond your comprehension and understanding, beyond your means and capacity.

Remember. Remind. Recite & Believe 🤍

حَسْبُنَا اللهُ وَنِعْمَ الْوَكِيْلُ

HasbunAllahu Wa Ni'mal Wakeel.

"Allāh SWT (alone) is sufficient for us. And Allah is the best disposer of affairs (for us)".

(Q.S Ali-Imran | 3:173)

15/04/2024

It was narrated from Abu Ayyub (RA) that the Messenger of Allah (SAW) said:
“Whoever fasts Ramadan then follows it with six days of Shawwal, it is as if he fasted for a lifetime.

(Sunan Ibn Majah 1716, Book 7, Hadith 79)

06/04/2024

Umar bin Al-Khattab (RA) narrated that: The Messenger of Allah (peace be upon him) said: "When the night advances and the day retreats, and the sun is hidden, then the fast is to be broken."

(Jami` at-Tirmidhi 698, Book 8, Hadith 17)

Last Friday of Ramadan. 🥺 May Allah accept our fasting, prayers, duas & forgive us all, allahumma Ameen. 🤲🩶
05/04/2024

Last Friday of Ramadan. 🥺 May Allah accept our fasting, prayers, duas & forgive us all, allahumma Ameen. 🤲🩶

03/04/2024

Bismillah..

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ukhty Zuu Venuss posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Videos

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Videos
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share