Dsfdhghgjg

Dsfdhghgjg Karibuni

Tunaomba U-Follow Huu Ukurasa🙏🙏🙏
12/02/2024

Tunaomba U-Follow Huu Ukurasa🙏🙏🙏

07/09/2022

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao, Steven Mengere mapema leo amezungumza na waandishi wa vyombo vya habari na kuelezea mambo kadhaa kuhusiana na tozo, ambapo amewasihi Watanzania wote, kuheshimu tozo zilizowekwa na serikali.

Amesema tozo ni kwa ajili ya manufaa ya wananchi na ili miradi mikubwa iendelee na elimu yetu izidi kupanda juu lazima wananchi watoe tozo.

07/09/2022

Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo amesema kutokana na Refa wa pambano la jana kuwa ‘unfair’ kwake, Promota Benjamin Shalom amekubali pambano hilo lirudiwe January 23 2023 vs Liam Smith.

Usiku wa Septemba 3 2022 Mwakinyo katika pambano dhidi ya Muingereza Liam Smith lililochezwa jijini Liverpool England alipoteza kwa TKO round ya 4 katika pambano la round 12 ambalo hata hivyo lilikuwa gumzo kutokana na jinsi lilivyomalizika kwa utata.

"kutokana na mchezo wa jana na kitendo cha Refa kuwa unfair kwangu kimemlazimu Promoter Benj Shalom kutupa nafasi ya re-match na Liam January 23" ——— ameandika Mwakinyo.

07/09/2022
07/09/2022
07/09/2022

GHARAMA ZA TOZO KWENYE MIAMALA YA SIMU ZAATHIRIKA MAPATO YA KAMPUNI ZA SIMU: Kampuni ya Vodacom imesema uamuzi wake wa kuiweka wazi ripoti inayoonyesha kuwa wateja zaidi ya milioni 1.3 wa kampuni hiyo ya mawasiliano wameacha kutumia kabisa huduma ya M-Pesa na mapato kumeathirika kwa takribani shilingi bilioni103.8 ili hali halisi ionekane.

Taarifa ya mwaka ya Vodacom katika robo ya kwanza ya mwaka 2022 inayoishia Machi iliyotolewa hivi karibuni na kuchapishwa katika tovuti ya Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) inaeleza kuwa tozo hizo ziliongeza kwa kiasi kikubwa gharama za wateja kufanya miamala ya fedha kwa njia ya simu.

07/09/2022

Baada ya kumvunjia mkataba na kumtimua Thomas TUCHEL, CHELSEA italazimika kumlipa Mjerumani huyo fidia ya £13m

Kiasi hicho ni sawa na takriban Tsh bilion thelasini na nne, milioni mia sita ishirini na nne laki mbili elfu hamsini na tisa mia sita kumi na nane (Tsh 34 624 259 618).

07/09/2022

TANZANIA YASITISHA VIBALI VYA KUSAFIRISHA MAHINDI KWA WAFANYABIASHARA WA

Lengo ni kujilinda dhidi ya baa la njaa kwa kulinda Akiba ya Chakula kutokana na Mavuno Duni na Ukame

ndiye msafirishaji mkubwa wa Mahindi Nchini Kenya

Soma - https://jamii.app/MaizeExports

07/09/2022

Unashangaa Sana unapokuta Yanga viongozi kwa mashabiki wakisema TFF ya Karia haiwapendi.

Jamani mpaka mnapangiwa refa ambaye Ni Mandonga mtupu anawapa kila mnachotaka alafu mje kulaumu!??

Hii ilienda kuzaa goli la kwanza la kusawazisha

07/09/2022

TETESI: Mtawala wa Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum anavutiwa na mpango wa kuinunua klabu ya Manchester United baada ya wamiliki wa Mashetani hao Wekundu familia ya Glazers kuripotiwa kuweka dau la takriban pauni bilioni 3.75.

07/09/2022

Huku napo vipi? Haya mambo kwetu yataisha lini?

07/09/2022

Klabu ya Al Ittihad Alex SC ya Ligi kuu Misri imethibitisha kumteua aliyekuwa kocha wa Simba SC Zoran Maki kuwa kocha mkuu mpya klabuni hapo kwa mkataba wa miaka mitatu.

Maki (60) raia wa Serbia na wasaidizi wake wanatarajiwa kuwasili klabuni hapo tayari kwa kuanza kazi.

07/09/2022

Mchungaji Siva Moodley kutoka Gauteng, nchini Afrika Kusini ambaye alifariki dunia Agosti, 2021 bado yupo mochwari hadi leo akisubiriwa kufufuka k**a alivyoahidi.

Mchungaji huyo maarufu nchini Afrika Kusini, alikuwa na wafuasi wengi na alikuwa anaheshimika kwa sababu ya ‘miujiza’ aliyoifanya wakati wa mahubiri yake pale alipokuwa hai.

Mitandao ya kijamii pamoja na vyombo vya habari nchini humo vimeripoti kuwa tangu kifo chake karibia siku 400 zilizopita, Mchungaji Moodley amehifadhiwa katika mochwari ya Martins Funeral Home ambapo wamiliki wa mochwari hiyo wamemelipwa ili kumweka kiongozi huyo wa imani katika uangalizi wao lakini hata mtiririko wa pesa wa karibia R60 000 (Tsh. 8,137,595) uliotolewa k**a bima ili kuhifadhi mwili huo unaanza kupungua.

Martin du Toit anayeendesha nyumba hiyo ya kuhifadhia maiti, hivi karibuni alisema anaomba idhini kutoka kwa Mahak**a ili kuchoma mwili huo, huku ikionekana kuwa hata Wafusi wake wamekata tamaa juu ya ufufuo wake kwasababu mwili wake haujatembelewa na Mtu yeyote kwa zaidi ya miezi 12 sasa.

07/09/2022

Mtu mmoja ambaye ni Mwanajeshi, aitwae William Chacha Giriango (40) amekutwa amefariki kwa kujinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali yake aliokuwa ameutundika kwenye nondo ya dirisha katika chumba cha kulala Wageni kwenye Logde moja iliyopo Mtaa wa Hazina Jijini Dodoma.

Kamanda wa Polisi Dodoma, Martin Otieno amethibitisha tukio hilo ambalo lilitokea September 6, 2022 ambapo baada ya kupekuliwa marehemu alikutwa na meseji mbalimbali, ujumbe wa kwanza alimuandikia Mama yake ulisomeka “Mama yangu nisamehe sana nakuomba”

Kamanda Otieno amesema ujumbe wa pili alimuandikia Mke wake ulisomeka “kwako Mama Derick nisamehe sana kwa maamuzi haya, maisha kwangu hayana maana tena, nisamehe sana nimejitahidi nimeshindwa naomba uwatunze Watoto wetu”

07/09/2022

BREAKING: Mtandao wa umepigwa faini ya Tsh. Bilioni 937 kwa kosa la kuruhusu watumiaji wenye miaka chini ya 17 kufungua na kuendesha akaunti za instagram zilizoonesha hadharani namba zao za Simu na Barua Pepe (email)

06/09/2022

: WATALII 40 WAKAMATWA KWA KUOMBAOMBA MITAANI

Raia hao wa Jordan walikutwa wakiombaomba katika Mitaa ya Old Town na Marikiti ili wakusanye Fedha ya kwenda

Waliok**atwa ni Watu wazima 19 pamoja na Watoto 21.

Soma > https://jamii.app/WataliiKenya

Address


Telephone

+255693640639

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dsfdhghgjg posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share