Erasmus Kamugisha

  • Home
  • Erasmus Kamugisha

Erasmus Kamugisha Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Erasmus Kamugisha, Media, .

Hatua zetu ziongozwe na wewe Bwana //
21/10/2025

Hatua zetu ziongozwe na wewe Bwana //

There is always  H . O . P . E  - keep fighting //Kwa kuwa rehema zake hazikomi
15/10/2025

There is always H . O . P . E - keep fighting //Kwa kuwa rehema zake hazikomi

Marafiki wema mbarikiwe sana Obedi & family , Owners of  homestay .
13/10/2025

Marafiki wema mbarikiwe sana Obedi & family , Owners of homestay .

KILIMO ni Baraka kutoka kwa Mungu ( Mwanzo 2:15) , na Tanzania 🇹🇿 imebarikiwa kwenye hilo, kwa dk 1 Ombea nchi yetu Nzur...
09/10/2025

KILIMO ni Baraka kutoka kwa Mungu ( Mwanzo 2:15) , na Tanzania 🇹🇿 imebarikiwa kwenye hilo, kwa dk 1 Ombea nchi yetu Nzuri ya Tanzania.

“ Ee Bwana, tubariki sisi wakulima na wananchi wa Tanzania . Bariki udongo wetu, mikono yetu, na mvua ya mbinguni. Fanya mavuno yetu kuwa baraka na mafanikio . Amina.”

“Ailimaye nchi yake atashiba chakula; bali afuataye mambo yasiyo na maana hana akili.”
— Mithali 12:11

Our GENERATION  need JESUS// Pray 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 //  1 John 5:14   mtu kwa nafasi yake ajiombee na kuombea Taifa letu zuri la Ta...
06/10/2025

Our GENERATION need JESUS// Pray 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 // 1 John 5:14 mtu kwa nafasi yake ajiombee na kuombea Taifa letu zuri la Tanzania

KILA mmoja kwa kadiri alivyoipokea karama, itumieni kwa kuhudumiana; kama mawakili wema wa neema mbalimbali za Mungu.  🇹...
05/10/2025

KILA mmoja kwa kadiri alivyoipokea karama, itumieni kwa kuhudumiana; kama mawakili wema wa neema mbalimbali za Mungu. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

1 Petro 4:10

We need to move forward regadless  … Barikiwa sana shemeji na mtu wa Mungu kwa kuja kututembelea .
09/09/2025

We need to move forward regadless … Barikiwa sana shemeji na mtu wa Mungu kwa kuja kututembelea .

FOLLOWERS  of Christ - Its a Blessings … a lifestyle  of faith, obedience, love, and service. John 10:28 “……. they shall...
07/09/2025

FOLLOWERS of Christ - Its a Blessings … a lifestyle of faith, obedience, love, and service.

John 10:28 “……. they shall never perish; no one will snatch them out of my hand.”

Humble yourself, honor those above you, and God will lift you up in His time.
05/09/2025

Humble yourself, honor those above you, and God will lift you up in His time.

Tunaposhindwa – tunainuka tena ,Tunapochoka – tunajitia nguvu na kusonga mbele ,Tunapohisi tumebaki peke yetu – tunakumb...
02/09/2025

Tunaposhindwa – tunainuka tena ,Tunapochoka – tunajitia nguvu na kusonga mbele ,
Tunapohisi tumebaki peke yetu – tunakumbuka Yesu yupo pamoja nasi.

Hatua moja zaidi nawewe Yesu !

Mathayo 28:20

Ulikua wakati mzuri na Dr. Msofe hapa Arusha , tunaendelea kujifunza- Elimu haina mwisho.
01/09/2025

Ulikua wakati mzuri na Dr. Msofe hapa Arusha , tunaendelea kujifunza- Elimu haina mwisho.

JIFICHE , Jiongezee thamani, usiwe mtu wa “NDIYO” kwa kila jambo, Kubali,jitenge jipe muda binafsi wa kukua na kujifunza...
29/08/2025

JIFICHE , Jiongezee thamani, usiwe mtu wa “NDIYO” kwa kila jambo,

Kubali,jitenge jipe muda binafsi wa kukua na kujifunza. - Don’t be too much available, sio lazima kila tukio au jambo uwepo, give yourself a time to Grow , pray & meditate.

Tunajifunza hata Mwana wa Mungu mwenyewe hakua na wanafunzi wake kila wakati hata yeye alihitaji muda binafsi wa kua na “ Baba “ kuongea nae , kujifunza kupitia kuomba, Alijitenga na kujificha.

Marko 1:35

“ 35 Hata na mapema sana akaondoka, akatoka akaenda zake mahali pasipokuwa na watu, akaomba huko.
36 Simoni na wenziwe wakamfuata;
37 nao walipomwona wakamwambia, Watu wote wanakutafuta. “

Sasa hili lina “gharama zake “ kama kweli unataka kukua kwenye eneo lako na kuonekana “mpya” na wa tofauti kubali kujitenga .

Ukubali kupitwa na fursa za muda mfupi (short-term opportunities).

Unaweza wakati mwingine usieleweke, na sio lazima kila mtu akuelewe kutoonekana kwako, “siku hizi Ndugu hatukuoni mtaani kuna nini nk “

Jipe mda binafsi wa kutosha , jifiche, jifunze,tafakari ,muombe Mungu nae kwa wakati atakuinua na kukupindisha juu tena ukiwa na nguvu mpya!

Daudi akiwa nyikani alipoteza nafasi ya kuonekana haraka hakuonekana kama mtu wa muhimu , alishinda porini akichunga kondoo za baba yake lakini kumbe Mungu alitengeneza mazingira ya kutoonekana kwake ili akue ajifunze, tukio moja la Goliath lilitambulisha upya na kumfanya aonekane kwa viwango vingine .

1 Samweli 16-17 .

Lakini kwa kufanya hivyo, unajiandaa kwa fursa kubwa zaidi na za kudumu.

WEWE NI WA THAMANI SANA MBELE ZA MUNGU HATA AKAKUUMBA KWA MFANO WAKE MWENYEWE - Mwanzo 1:26-27

ANAKUWAZIA MEMA NA KUKUPENDA SANA .

USIKUBALI KUWA WA KAWAIDA , USİWE MNYONGE!

Mpe nafasi , tunamtafute nae atafanya - Jitenge !.

Yeremia 29:12-14.

EK

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Erasmus Kamugisha posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Erasmus Kamugisha:

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share