#Repost @Cgfmradio
Hatimaye Tuzo Za BET Hiphop 2024 Zimetangaza List Ya Washindi Wa Tuzo Hizo Usiku Wa Kuamkia Leo, Ambapo Rapa Wa Marekani @kendricklamar Ndiye Aliyeongoza Kuondoka Na Tuzo Nyingi Zaidi Akiondoka Na Jumla Ya Tuzo 8;
Kendrick Lamar Ameshinda Tuzo Hizi Katika Vipengele Vya 👇
- Song Of The Year (Not Like Us)
- HipHop Artist Of The Year
- Best HipHop Video Of The Year (Not Like Us)
- Lyricist Of The Year
- Best Collaboration (Like That)
- Best Featured Verse
- Video Director Of The Year (W/ Dave Free)
- Impact Track
Mastaa Wengine Walioibuka Washindi Katika Tuzo Hizi Ni Kama Vile !!
@travisscott - IAM HIPHOP 🏆
@nickiminaj - HIPHOP ALBUM OF THE YEAR (PF2) 🏆
@sexyyred - BREAKTHROUGH HIPHOP ARTIST 🏆
@future & @metroboomin - BEST DUO GROUP 🏆
@missymisdemeanorelliott - BEST LIVE PERFORMER 🏆
@alanthechemist - PRODUCER OF THE YEAR 🏆
- DJ OF THE YEAR 🏆
@50cent - HUSTLER OF THE YEAR 🏆
✍️:#Tphanie (@tphani_laison )
#20yenyemamlaka
#CGDigital
#TUZO YA TATU TENA KWA TABORA.
Nahodha wa Tabora United Pemba Kevin Kingu ameendelea kuweka katika kabati lake tuzo ya mchezaji bora wa kila mchezo wa ligi ya NBC na kufikisha tuzo tatu mfululizo.
Katika mchezo uliochezwa leo katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora kati ya Tabora United dhidi ya Prisons na matokeo kuwa 0-0 ,Kingu amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo.
Septemba 11,2024 alishinda tuzo ya mchezaji bora wa mchezo wakati klabu yake ikishinda 1-0 dhidi ya Kagera Sugar wakati tuzo ya kwanza alishinda katika mchezo dhidi ya Namungo uliochezwa Agosti 25,2024 mkoani Lindi kwa Tabora kushinda 2-1.
Katika ligi ya NBC msimu huu,katika kila mchezo hutolewa tuzo ya mchezaji bora baada ya mchezo.
Anaitwa Peter Oriech Omenda maarufu kama Fupi boksi, mmoja wa washiriki wa Big Daddy mwenye vibe zaidi 2024.
#upendonusukwanusu
#TigoTanzania
#Sakokwabako
Timu ya mchezo wa wavu ya mkoa wa TABORA imetinga fainali ya mchezo huo kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo Kwa Shule za Sekondari Tanzania-UMISSETA 2024 baada ya kuifunga Tanga kwa seti 3-1 kwenye mchezo wa nusu fainali uliopigwa katika viwanja vya shule ya sekondari TABORA WAVULANA-TABORA BOYS.
TABORA itacheza fainali kesho na MWANZA.
#20YenyeMamlaka
#BigDaddy2024
#UpendoNusuKwaNusu
#CgOnlineUpdates
DC KATWALE ACHAFUKWA MRADI WA KITUO CHA AFYA TUMBI KUTOKAMILIKA KWA PESA ZA MRADI
Mkuu wa wilaya ya Tabora Deusdedith Katwale ameagiza kituo cha afya Tumbi Manispaa ya Tabora kukamilishwa na kuanza kutumika kabla ya mwezi Julai 2024 Kwa kutumia pesa iliyoongezwa shilingi milioni 75.
Katwale amesema amechoshwa na tabia ya wasimamizi wa mradi kutotumia vizuri pesa za mradi na kwamba ameagiza pesa iliyoongezwa lazima ikamilishe jengo hilo na huduma ianze kutolewa.
Ujenzi wa kituo cha Afya Tumbi umefikia 80% huku kituo hicho kikiwa kimeshaimepokea pesa kwa mihula miwili jumla ya shilingi milioni 500 na kwahiyo halmashauri ya Manispaa kupitia baraza la madiwani walitoa pesa kiasi cha shilingi milioni 75 za ukamilishaji wa kituo hicho fedha ambazo bado inaonekana kutokutosha jambo ambalo linampa mashaka mkuu wa wilaya Katwale na kuwataka kukamilisha kituo hicho ndani ya mwezi mmoja na fedha hiyo itoshe mpaka kukamilisha ujenzi huo.
#20YenyeMamlaka
#BigDaddy2024
#UpendoNusuKwaNusu
#CgOnlineUpdates
Big Daddy 2024
#Upendonusukwanusu
#JamboLa BaabJamboLaFamilia
WILAYA ZA UYUI NA TABORA ZAONGOZA KUWA NA IDADI KUBWA YA UGONJWA WA SIKO SELI-TABORA
TABORA VIJANA BAND AUDITION FINAL
SHANGWE LA MWENYEKITI UVCCM TAIFA KAWAIDA ALIVYO PIGA SIMU LIVE SAA 8 USIKU TABORA,
#TaboraVijanaBandAudition
Kipaji ni mtaji
#HataWeweUnaweza
TABORA VIJANA BAND AUDITION FINAL
#TaboraVijanaBandAudition
Kipaji ni mtaji
#HataWeweUnaweza
HATIMAYE: HAWA NDIO WASHINDI WA VIJANA TABORA BENDI
TABORA VIJANA BAND AUDITION FINAL
Richa ya ulemavu wake wa macho kipaji chake kimeonekana
#TaboraVijanaBandAudition
Kipaji ni mtaji
#HataWeweUnaweza
TABORA VIJANA BAND AUDITION FINAL
Anaitwa Sumaiya
#TaboraVijanaBandAudition
Kipaji ni mtaji
#HataWeweUnawez