Karibu kwa huduma ya matangazo kwa mfumo wa audio na video bei zetu ni powa kabisa pia tunatengeneza LOGO za aina zote na tunatengeneza poster
Baada ya kazi kukamilika tunakupa ofa ya kutangaza biashara yako bure kabisa siku 2. Kupitia mtandao wetu wa WhatsApp wenye zaidi ya watu elfu 5
Pia matangazo kwa mfumo wa kingereza yapo karibu boss wetu malipo baada ya kazi kukamilika
WhatsApp 0626248355
POLISI WANASWA WAKIPOKEA RUSHWA KWA MADEREVA
🛑 Maafisa wa upelelezi kutoka Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi nchini Kenya (EACC) wamewakamata maafisa tisa wa polisi wa Usalama Barabarani kwa kushawishi ufisadi na kukusanya hongo kutoka kwa madereva wa magari.
🛑 Israel imefanya mashambulizi katika Ukanda wa Gaza na kusababisha vifo vya watu 50 wakiwemo watoto wakati juhudi za kusaka makubaliano ya usitishwaji mapigano zikiendelea.
🛑 Maafisa nchini Korea Kusini wamefanikiwa kuingia katika makazi ya rais mapema leo Ijumaa, wakijaribu kumkamata kiongozi aliyeondolewa madarakani Yoon Suk Yeol.
Cc Kihahi Tv
King Kihahi
Rais William Ruto amesema anapenda jina jipya la utani la 'Kasongo' ambalo Wakenya wamempa kwenye mitandao ya kijamii.
Akizungumza leo Januari 3, 2025 katika Kaunti ya Bungoma wakati wa mazishi ya mama wa Spika wa Bunge la Kitaifa, Moses Wetangula, Maayi Nanyama, Rais ametania kuhusu majina ya 'Kasongo' na 'Zakayo,' akiyataja kuwa mazuri.
Amesema anatambua wimbo maarufu wa ‘Kasongo’ ambao umekuwa ukivuma kote nchini na ambao umesababisha jina hilo la utani, akisema hana tatizo nalo.
“Kuna watu mitandaoni hawapendi tusimame na kusema kuna kazi inaendelea Kenya, wanabaki na fitina, hadithi... mara Kasongo, mara Zakayo,” amesema.
“Hiyo Kasongo ni sawa, ni wimbo mzuri ambao ulikuwa unaendelea, kwa hivyo tuendelee nao. Na hiyo ya Zakayo pia si mbaya kwa sababu tunakusanya ushuru kupeleka Kenya mbele. Hiyo ni sawa.”
Rais Ruto pia amefananisha jina la Zakayo na mhusika wa Kibiblia wa jina hilo, akiwahimiza watu wawe kama Zakayo ili waweze kutumiwa na kutembelewa na Mungu.
“Na kwanza Zakayo ndio Mungu alimtembelea; sasa wewe hujakuwa Zakayo utatembelewa na Mungu namna gani?” ameuliza.
Jina 'Kasongo' linatokana na wimbo wa Rhumba wa bendi maarufu ya Super Mazembe, ambao unahusu mwanamke anayemsihi mume wake, Kasongo, kurejea katika ndoa yao.
Kama ilivyokuwa kwa 'Zakayo,' ambalo Rais alilikubali mwaka wa 2024, Wakenya wamebadilisha wimbo wa 'Kasongo' na kuutumia kumfananisha Rais Ruto kwa taswira zinazohusiana na baadhi ya sera ambazo wengine wanaziona kuwa zisizopendwa. Taswira hizi zimepata umaarufu mkubwa mitandaoni.
Awali, Rais alikuwa kimya kuhusu jina hilo na wimbo, lakini alijitokeza wakati wa Mkesha wa Mwaka Mpya katika Kaunti ya Kisii, akicheza wimbo wa Kasongo pamoja na viongozi wenzake.
#KihahiTvUpdates
Kihahi Tv
King Kihahi
Ongeza ushawishi wa Huduma zako kwa Wateja kupitia matangazo Quality ya kibiashara kwa Bei nafuu, Iwe ni mfanyabiashara, Taasisi binafsi,Mashirika ya uma,Mashirika Binafsi Na Makampuni Mbalimbali tutakusaidia kujitangaza vyema kwa wateja wako.
.
Wasiliana nasi kwa namba hizi (Whatsapp&Calls)
Message Dr kihahi on WhatsApp. https://wa.me/255626248355
JE ungependa kutangaza biashara yako na je unataka utengenezewe Tangazo la biashara kwa mfumo wa audio na video weka oda yako mapema kupitia Email [email protected] AU WHATSUP PEKEE NAMBA 0626248355 KWA PAMOJA TUNAJENGA KIHAHI TV YETU
Mwanaume mmoja(Raj) kutoka Mumbai- India alimleta baba yake augulie nyumbani kwake
Kila siku Raj akirudi Alikuwa anapata malalamiko kutoka Kwa baba yake kwamba mka mwana Alikuwa anamnyanyasa kila siku Wakati yeye Raj Yupo kazini
Raj bila kumweleza mkewe akafunga camera chumbani anapo ugulia baba yake
Alivyo Rudi kazini TU hiki ndicho alicho kutana nacho raj Kwenye camera 🤦
Angalia video juu
Follow KKihahi QuotesQKihahi Quotes
Kihahi Quotes
KIJIJI CHA WAHENGA
Nukuu za Kihahi
𝗙𝗼𝗹𝗹𝗼𝘄
Lizo Mavoice TZ
*𝗡𝗜𝗡𝗔𝗪𝗔𝗧𝗔𝗡𝗚𝗔𝗭𝗜𝗔 𝗞𝗨𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗡𝗔 𝗨𝗧𝗔𝗥𝗔𝗧𝗜𝗕𝗨 𝗡𝗜𝗠𝗘𝗔𝗡𝗭𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗨𝗡𝗔 𝗠𝗣𝗘𝗡𝗭𝗜 𝗪𝗔𝗞𝗢 𝗨𝗡𝗔𝗧𝗔𝗞𝗔 𝗨𝗠𝗦𝗜𝗙𝗜𝗪𝗘 𝗞𝗪𝗔.𝗠𝗔𝗡𝗘𝗡𝗢 𝗠𝗔𝗧𝗔𝗠𝗨 𝗡𝗔.𝗠𝗔𝗭𝗨𝗥𝗜 𝗡𝗜𝗣𝗢 𝗡𝗜𝗧𝗔𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗛𝗜𝗬𝗢 𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗡𝗔𝗞𝗨𝗧𝗘𝗡𝗚𝗘𝗡𝗘𝗭𝗘𝗔 𝗩𝗜𝗗𝗘𝗢 𝗜𝗡𝗔𝗞𝗨𝗪𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗨𝗢𝗡𝗘𝗞𝗔𝗡𝗢 𝗠𝗭𝗨𝗥𝗜 𝗣𝗔𝗠𝗢𝗝𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗣𝗘𝗡𝗭𝗜 𝗪𝗔𝗞𝗢 𝗚𝗛𝗔𝗥𝗔𝗠𝗔 𝗭𝗘𝗧𝗨 𝗡𝗜 𝗡𝗔𝗙𝗨𝗨 𝗦𝗔𝗡𝗔 𝗠𝗣𝗘 𝗠𝗔𝗡𝗘𝗡𝗢 𝗠𝗔𝗧𝗔𝗠𝗨 𝗨𝗠𝗣𝗘𝗡𝗗𝗔𝗘 𝗞𝗪𝗔 𝗩𝗜𝗗𝗘𝗢 𝗭𝗘𝗧𝗨 𝗞𝗔𝗟𝗜 𝗦𝗔𝗡𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗛𝗜𝗬𝗢 𝗟𝗘𝗢 𝗡𝗜𝗧𝗔𝗧𝗨𝗠𝗔 𝗛𝗜𝗬𝗢 𝗩𝗜𝗗𝗘𝗢 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗦𝗔𝗠𝗣𝗟𝗘 𝗞𝗪𝗔 𝗬𝗢𝗬𝗢𝗧𝗘 𝗔𝗧𝗔𝗞𝗔𝗬𝗘𝗞𝗨𝗪𝗔 𝗧𝗔𝗬𝗔𝗥𝗜 𝗨𝗧𝗔𝗪𝗔𝗦𝗜𝗟𝗜𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗜𝗠𝗜 𝗛𝗔𝗧𝗔 𝗨𝗞𝗜𝗛𝗜𝗧𝗔𝗝𝗜 𝗕𝗔𝗡𝗚𝗢 𝗟𝗔 𝗕𝗜𝗔𝗦𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗧𝗨𝗡𝗔𝗟𝗜𝗧𝗔𝗡𝗚𝗔𝗭𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗡𝗝𝗜𝗔 𝗬𝗔 𝗩𝗜𝗗𝗘𝗢 𝗧𝗔𝗡𝗚𝗔𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗕𝗜𝗥𝗧𝗛𝗗𝗔𝗬 𝗛𝗔𝗥𝗨𝗦𝗜 𝗚𝗥𝗔𝗗𝗨𝗔𝗧𝗜𝗢𝗡 𝗞𝗜𝗟𝗔 𝗞𝗜𝗧𝗨 𝗨𝗦𝗜𝗦𝗜𝗧𝗘 𝗞𝗨𝗡𝗜𝗧𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔
Whatsapp no..
0626248355)0621033741