Yanga 2 - 1 Simba
Highlights. #
#LigiKuuYaNBC #maraonlineupdates #BilokoYaKolia #DabiYaKariakoo #SokaLetuBambam #NBCPL #NBCPremierLeague #KariakooDerby #SokaLetuDamdam #NBCPLUpdates
Mimi ndio niliemleta Harmonize Mjini. - Chino
#chino #fyp #viral #reels #tanzania #diamondplatinumz
Mwanachuo auwawa kwa kuchomwa visu!.
#HABARI #BreakingNews #reels #viralreelsfb #virals #fypγ·γviralγ· #fypγ·
Patachimbika Benjamin Mkapa Stadium
Tarehe 20 Yanga Sc vs Simba Sc.
#viralreelsfbpage #trendingreels #AzamSports1HD #NBCPL #trend #KariakooDerby #tanzania #WasafiDigital #virals #udaku
Unakubaliana na Mtaalamu??
ππ
#AzamSports1HD #NBCPL #viralreelsfbpage #KariakooDerby #virals #trend #trendingreels #tanzania #udaku
Akamatwa kwa kubaka Kuku. Mwanza.
.
.
.
#maraonlineplus #wanaSimba #simbajerseychallenge #fypγ· #TotalEnergiesCAFCL #maraonlineupdate #AzamTV #WasafiSports #viralpage #yangatv #fypγ·γviralγ· #trendingreels #trendingnow #reelschallenge #tanzania #vichekesho #Uchawi #michezo #simbasc #yangasc #yanga
Aziz ki Wa Mwanzaππ
#TotalEnergiesCAFCL
#fypγ· #WasafiSports #simbajerseychallenge #viralpage #HABARI #yangasc #AzamTV #Magazetini #NguvuMoja #vichekesho #yangatv #yanga
Msemaji wa ihefu akiwapondea wapinzani wake simba sc baada ya kupata sare hapo jana.
#TotalEnergiesCAFCL #WasafiSports #AzamTV #simbajerseychallenge #NguvuMoja #HABARI #yangasc #Magazetini #MAGAZETI #Magazetiyaleo #viralpage #fypγ· #trendingnow #trendingvideo
MAGORI ACHARUKA: MO HAJAIACHA SIMBA.
#TotalEnergiesCAFCL #WasafiSports #AzamTV #simbajerseychallenge #HABARI #NguvuMoja #udaku #yangasc #michezo #simbasc
"Mkataba wangu wa kwanza Yanga haukuwa mzuri nilikuwa hata siwezi kuondoka. Nilikuwa sijui Kiingereza, meneja wangu naye hajui Kiingereza anacheka cheka tu na viongozi, mkataba ulikuwa mgumu, mimi nimesaini tu nicheze nionekane," amesema Fiston Mayele akizungumza na Azam TV.
Ameongeza kuwa "baada ya kucheza msimu wa kwanza kuna timu ilikuja inanitaka, nikawaambia mimi siondoki natakiwa kucheza msimu wa pili, wakaniambia utaongeza mkataba mwingine, nikawaambia sawa lakini nakuja na meneja mpya sio yule wa kucheka cheka hovyo."
Amesema baada ya kumpata meneja mpya, Yasmin, mkataba unaoisha akashtuka namna ulivyokuwa, kisha akamsaidia kubadilisha akasaini mkataba mpya.
#WasafiSports #simbajerseychallenge #TotalEnergiesCAFCL #yangasc #NguvuMoja #michezo #AzamTV #HABARI #udaku #simbasc
Makonda aanza kuwasha moto Arusha, atoa miezi 3 kwa Kamishina wa Ardhi
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Christian Makonda @baba_keagan amemtaka Kamishina wa Ardhi kumaliza migogoro yote ya ardhi ndani Arusha au aandike barua ya kuandika.
#HABARI #Makonda #michezo
RC Makonda atua Arusha akiwa amevaa gwanda
Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha @baba_keagan ametua katika uwanja wa ndege wa Kisongo Arusha na kupokewa na mamia ya watu.
Kiongozi huyo ameonekana akiwa amevaa gwanda nguo ambazo zimetafsiriwa na wadau kwamba yupo kikazi zaidi.
.
.
.
Written and edited by James Joashi