MOtownTV

MOtownTV Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from MOtownTV, TV Channel, .

MOtownTV(motownmadia) ni online television inayotoa Habari mbali mbali Siasa,Burudani, Michezo na Breaking News You Tube Tunapatikana kwa jina la MOtownTV Online na Instagram pamoja na twitter Tunapatikana kajina Hilo Hilo la MOtown TV

Unaweza kuwa na kila kitu na bado ukawa sawa na aliekosa kilakitu. Inamaanisha kwamba mali, umaarufu au nafasi havihakik...
05/11/2025

Unaweza kuwa na kila kitu na bado ukawa sawa na aliekosa kilakitu.

Inamaanisha kwamba mali, umaarufu au nafasi havihakikishi furaha au utimilifu wa kweli wa maisha maana halisi ya maisha ipo ndani ya mtu, si kwenye vitu alivyonavyo.

06/08/2025

Huyu ni JOB NDUGAI / KIFO chake KIMETWAA MWILI/ MATENDO YAMEBAKI

21/07/2025

Huyu ndio Dogo rema na Mapambano yake ya kytoboa kimuziki hakukua na yeyote alie muamini kwenye ndoto yake ya kutoka kimuziki.

Anasema ameshalala sana Ubungo na kuna kipindi alifeli na akaamua kurudi tena kijijini.

10/06/2025

Rais wa Marekani Donald Trump, amependekeza sera mpya ambapo kila mtoto wa Marekani atakayezaliwa kati ya 2025 na 2028 atapewa akaunti ya uwekezaji ya shilingi 2,605,000/= kutoka serikali kuu. Akaunti hizo zitakuwa hazitozwi kodi hadi fedha zitakapotolewa, na zitawekezwa kwenye soko la hisa huku wazazi wakizisimamia hadi mtoto akue. Lengo ni kusaidia watoto kujenga utajiri wa muda mrefu.

09/06/2025

Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Kilwa Kusini Mhe. Selemani Bungara (Bwege) akielezea hali yake ya kiafya kwa sasa na sababu za ukimya wake kwenye upande wa siasa.

01/06/2025

SASA NI RASMI DIAMOND NA ZUCHU NI MKE NA WAMAMA

30/05/2025

ni neno la kituruki lenye maana ya Mke wapili (The Second Wife) Moja Ya Series Ya Kituruki Ambayo Kwa Huko Kwao Inafanya vizuri Na Kushika #14 Katika List Ya Series Bora

Kuma" is a Turkish word that means literally "second wife", so it describes exactly the women who are drawn into a family at a later stage, by marriage.

🎙 Said Mbegu

Kuma (The Other Wife) Moja Ya Series Ya Kituruki Ambayo Kwa Huko Kwao Imefanya Poa Na Kushika  #14 Katika List Ya Series...
30/05/2025

Kuma (The Other Wife) Moja Ya Series Ya Kituruki Ambayo Kwa Huko Kwao Imefanya Poa Na Kushika #14 Katika List Ya Series Bora

Ronaldinho Gaucho 🗣️: "Wakati Messi aliponilipia dhamana nikiwa gerezani na nikaachiliwa, nilikuwa katika hali mbaya, ni...
28/05/2025

Ronaldinho Gaucho 🗣️: "Wakati Messi aliponilipia dhamana nikiwa gerezani na nikaachiliwa, nilikuwa katika hali mbaya, nilimtembelea mazoezi ya Barcelona na kumshukuru. Alinipa jezi ya Barcelona iliyosainiwa na yeye na baadhi ya wachezaji wa Barcelona, ​​aliniambia, "Unaweza kuiuza. Niliwasiliana na tovuti ya [jina kapuni]. Watainunua kutoka kwako, najua hutaki kuchukua pesa kutoka kwangu lakini hii ni njia nzuri," baada ya Siku moja, tovuti iliniita, lakini nilikataa.
"Niliwaambia, “Hii ni zawadi kutoka kwa rafiki yangu, na sitaiuza.” lakini nilishangaa kuona nimetumiwa Fedha kutoka kwenye tovuti (website) hiyo bila kuwauzia jezi.
"Nilipiga simu kwenye tovuti na kuwaambia, "Niliwaambia, sitaki kuiuza. Kwa nini mmehamisha pesa hizo kwenye akaunti yangu?" Meneja akaniambia, "Messi, ndiye alituomba hivi, alitupa jezi nyingine inayofanana na hiyo"
"Machozi yalinitoka. Sitasahau alichonifanyia baada ya kusalitiwa na kila mtu, Messi hakatai shukrani. Ndio maana mambo yanaenda sawa katika maisha yake kwa sababu moyo wake ni safi sana" Alisema Ronaldinho

26/05/2025

Muhubiri maarufu Nchini Tanzania Boniface Mwamposa amesema ujenzi wa jengo/hema jipla la Kanisa lake jipya la Arise and Shine ( ) linalojengwa Jijini Dar es salaam umefikia pazuri na kwamba hivi karibuni litakamilika.

Mwamposa ameyasema hayo leo Jumapili May 25 2025 katika ibada iliyofanyika katika Kanisa hilo la Arise and Shine Jijini Dar es salaam ambapo aliwaonesha Waumini picha mbalimbali zikionesha ujenzi wa Kanisa hilo ukiendelea.

“Tutaweka mageti 12, matatu kaskazini, matatu mashariki, magharibi matatu, na kusini matatu, fensi ya mita nne kwenda juu, sasa Watu wanafanya kazi usiku na usiku na mchana, nani mtenda miujiza ? nataka ukikaa pale ukiamua kuwa wa bluu unakuwa wa bluu, ukiamua kuwa mwekundu unakuwa mwekundu”

Every new beginning is a chance to rebuild stronger, wiser, and more determined than before.Your past doesn’t dictate yo...
13/02/2025

Every new beginning is a chance to rebuild stronger, wiser, and more determined than before.

Your past doesn’t dictate your future—your actions do. Keep moving forward.

MARIOO NA CHINO MAMBO BADO NI MAGUMU:Mnamo Mwaka Huu mwanzoni Msanii Chino aliekuwa akifanya Kazi Na Mariooo alifunguka ...
21/10/2024

MARIOO NA CHINO MAMBO BADO NI MAGUMU:

Mnamo Mwaka Huu mwanzoni Msanii Chino aliekuwa akifanya Kazi Na Mariooo alifunguka Mengi juu ya Bifu lake na Marioo. Katika sakata la wawili hawa wengi walitajwa kuhusika katika kuharibu amani yao akiwemo Jaivah. Na katika muda wote huu Marioo hakuwahi kuzungumzia Chochote juu ya sakata Hili.

Baada ya Muda mfupi Chino alijirudi na Kuomba Msamaha Kwa Marioo, Kitendo hiki kiliwafurahisha Mashabiki ambao walikuwa wanapenda Muunganiko wa wawili hawa, Hilo likapita na waliendelea kushirikiana katika Kazi zao hasa kwenye Shows mbalimbali

Leo Omari AKA Marioo ameamua kuvunja Ukimya na kwa Mara ya kwanza ameweka wazi kwamba kuna mambo hayapo sawa baina yake na Chino. Kupitia Insta story yake Marioo ameweka Maelezo mengi huku akiwaomba Wadau/ Mashabiki Kumuuliza Chino ni wapi alipomkosea.

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MOtownTV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to MOtownTV:

  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share