Mbali TV

Mbali TV HABARI - BURUDANI - MICHEZO

Uongozi wa Shule ya REVA ENGLISH MEDIUM iliyopo kata ya Iwindi karibu na viwanja vya mpira vya Wenda High School-Jimbo l...
04/07/2024

Uongozi wa Shule ya REVA ENGLISH MEDIUM iliyopo kata ya Iwindi karibu na viwanja vya mpira vya Wenda High School-Jimbo la mbeya vijijini, wanawatangazia wazazi na walezi wote kuwa zoezi la uandikishaji wa watoto kuanzia elimu ya Awali,la kwanza,la pili na la tatu unaendelea...

πŸ“ž 0754 896 293/ 0767 283 337πŸ™

Klabu ya Yanga SC πŸ‡ΉπŸ‡Ώ imetangaza kukamilisha Usajili wa aliyekuwa mchezaji wa klabu ya Simba SC, Clatous Chama, kwa Mkata...
01/07/2024

Klabu ya Yanga SC πŸ‡ΉπŸ‡Ώ imetangaza kukamilisha Usajili wa aliyekuwa mchezaji wa klabu ya Simba SC, Clatous Chama, kwa Mkataba wa Mwaka mmoja.

Mechi ya  Ujerumani dhidi ya Denmark iliyopaswa kuanza saa 22:00 imesimamishwa kwa muda kutokana na radi.
29/06/2024

Mechi ya Ujerumani dhidi ya Denmark iliyopaswa kuanza saa 22:00 imesimamishwa kwa muda kutokana na radi.

FAHAMU:"WRONG TURN" Ni moja ya movie kali sana ambayo unapoiangalia nyumbani kwako na k**a uko peke yako lazima utafunga...
29/06/2024

FAHAMU:"WRONG TURN" Ni moja ya movie kali sana ambayo unapoiangalia nyumbani kwako na k**a uko peke yako lazima utafunga mlango ili kujihakikishia usalama wakoπŸ˜‚

Kwa waliozaliwa mwaka 2000 sidhani k**a tunaweza kwenda sambambaπŸ˜‚πŸ˜‚.. ila Wrong Turn ni bonge la movie na kiboko kwa wale wasio wasikiliza na kufuata maelekezo ya Askari wa barabarani.

NB,Pichani ni mshiriki wa movie hiyo kulia ni nje ya movie na kushoto ni picha ya ndani ya movie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™Œ

28/06/2024

Taja movie moja kali kutoka kwa huyu mwamba Donnie Yen ili watoto wa mwaka 2000 wakatazame maajabu yakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
25/06/2024

Taja movie moja kali kutoka kwa huyu mwamba Donnie Yen ili watoto wa mwaka 2000 wakatazame maajabu yakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ

Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kuachana na mchezaji wao Henock Inonga."Baada ya kuitumikia timu yetu kwa misimu m...
24/06/2024

Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kuachana na mchezaji wao Henock Inonga.

"Baada ya kuitumikia timu yetu kwa misimu mitatu, Henock Inonga Baka hatokuwa sehemu ya kikosi cha msimu ujao"

22/06/2024

17/06/2024

15/06/2024

Kanisa la Pentecostal Revival (PRC) lililopo CHAPAKAZI MJI MDOGO WA MBALIZI chini ya Mchungaji Yonah Gwasa, linawakaribi...
13/06/2024

Kanisa la Pentecostal Revival (PRC)
lililopo CHAPAKAZI MJI MDOGO WA MBALIZI chini ya Mchungaji Yonah Gwasa, linawakaribisha watu wote kwenye mkutano wa Injili utakaofanyika juni 19,2024 mpaka juni 23,2024.

Mch.Vumilia Mwasenga atakuwa mgeni kwenye mkutano huo na atahudumu.wagonjwa na wenye shida mbalimbali wataombewa.

πŸ“žWASILIANA NA MCHUNGAJI YONAH GWASA.0763951691β˜‘οΈ

05/06/2024

01/06/2024

30/05/2024

Tuliko toka na hapa tulipo si haba, tunaimani kubwa sana nawe C.E.O wetu wa Mbali TV juu safari yetu katika kuitumikia M...
29/05/2024

Tuliko toka na hapa tulipo si haba, tunaimani kubwa sana nawe C.E.O wetu wa Mbali TV juu safari yetu katika kuitumikia Mbali Tv.

NB,Una maoni gani mdau wetu wa Mbali Tv juu ya Mbali Tv?πŸ™πŸ™

29/05/2024

28/05/2024

28/05/2024

28/05/2024

27/05/2024

Mthamini mteule wa ardhi mkoa wa mbeya,Ndg.Mwene Mwalyasi, ameambatana na timu nzima ya wataalamu wa masuala ya ardhi ka...
23/05/2024

Mthamini mteule wa ardhi mkoa wa mbeya,Ndg.Mwene Mwalyasi, ameambatana na timu nzima ya wataalamu wa masuala ya ardhi katika viunga vya bunge jijini Dodoma kwa ajili ya kutoa huduma katika sekta hiyo, zoezi hilo litakalo koma mei 28,2024.

Wakiwaomba wakazi wote wa jiji la Dodoma kujitokeza katika banda lao wanalotolea huduma ili kupata huduma sambamba na kufahamu mambo mbalimbali yanayo husu ardhi.

Klabu ya Bayer Leverkusen na Atalanta zitashuka dimbani leo kwenye mchezo wa fainali ya Europa League saa 22:00 usiku.Ik...
22/05/2024

Klabu ya Bayer Leverkusen na Atalanta zitashuka dimbani leo kwenye mchezo wa fainali ya Europa League saa 22:00 usiku.

Ikumbukwe klabu ya Bayer Leverkusen imecheza michezo 50 kwenye michuano yote bila kupoteza mchezo wowote, kwa mwaka wa 2022 klabu ya Atalanta ilifanikiwa kuifunga Leverkusen 4-2 kwa matokeo ya nje ndani katika michuano hiyo.

Kombe la EPL leo litaenda Emirates au Etihad?, weka Utabiri wako kwenye comment
19/05/2024

Kombe la EPL leo litaenda Emirates au Etihad?, weka Utabiri wako kwenye comment

16/05/2024

Taarifa kutoka shule ya MBALIZI HIGH SCHOOL

Je nini kiongezeke hapa ili ufurahie huduma hii?
14/05/2024

Je nini kiongezeke hapa ili ufurahie huduma hii?

FAHAMU:Kwa wafuatiliaji wa movie nadhani mnaweza kumjua vema huyu mwamba Gordon Liu PICHANI, taarifa zinaarifu Gordon Li...
12/05/2024

FAHAMU:Kwa wafuatiliaji wa movie nadhani mnaweza kumjua vema huyu mwamba Gordon Liu PICHANI, taarifa zinaarifu Gordon Liu mwaka 2011 akiwa na miaka 60 alipata ajali akifanya maonesho ambapo alipigiza kichwa vibaya na kupelekea kuparalaizi na kushindwa kuongea na baada ya kuugua kwa mda mrefu bila matumaini ya kupona familia yake ilimtelekeza na kugawana mali. Mkewe aliomba talaka akakubaliana na mwanaye wa kiume wa pekee na mabinti zake mali zote za jamaa zikauzwa wakagawana mama na watoto na kumkimbia. Gordon Liu alizaliwa mwaka 1951 huko Hong Kong ni moja kati ya waigizaji wakongwe mno walioshiriki movie nyingi zilizofanya vizuri sokoni ikiwemo iitwayo "36 chambers of shaolin".

Kwa sasa Gordon analelewa katika kituo cha kulelea wazee huku akipewa msaada na marafiki zake ambao ni waigizaji maarufu duniani.

11/05/2024

Kuna neno lolote kwa kocha Mgunda juu ya mwelekeo wake katika kuiongoza klabu ya Simba SC?
09/05/2024

Kuna neno lolote kwa kocha Mgunda juu ya mwelekeo wake katika kuiongoza klabu ya Simba SC?

Address

Mbalizi
Mbeya
53208

Telephone

+255767859477

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mbali TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mbali TV:

Videos

Share

Category


Other Magazines in Mbeya

Show All

You may also like