Wakchuu

Wakchuu Journalist 🎤 | Graphics Designer 🎨| Story Writer ✍🏾 HABARI
MAKALA
HADITHI
NA UPDATE ZOTE ZA TOWN

I have reached 1.5K followers! Thank you for your continued support. I could not have done it without each of you. 🙏🤗🎉
03/01/2025

I have reached 1.5K followers! Thank you for your continued support. I could not have done it without each of you. 🙏🤗🎉

ZAI NDEMBENDEMBE 🔞SEHEMU YA 2Mtunzi: WakchuuIliyopitaMazingira ya Usafi na uzuri wa chumba cha Zai kilimpagawisha sana S...
27/10/2024

ZAI NDEMBENDEMBE 🔞

SEHEMU YA 2
Mtunzi: Wakchuu

Iliyopita

Mazingira ya Usafi na uzuri wa chumba cha Zai kilimpagawisha sana Sele. Alipepesa macho kila kona kwa hofu. Zai alitoka na kwenda kujiandaa bafuni baada ya muda kurudi alirudi akiwa na Taulo tu alilojifunga kifuani. Hapo sasa ndipo Sele alipoanza kuchanganyikiwa zaidi. Zai alifika na kukaa mapajani kwa Sele. Sele alieshiwa kutetemeka tu hata kumkumbatia Zai alishindwa kwa uwoga.

Tuendelee Sasa…

Joto la wasiwasi alilokutana nalo Sele kutoka kwa Zai. Ilimfanya kumtoa katika mchezo kabisa. Hasa kwa Hadhi ya Zai na kwanamna alivyo Sele hakuwa na namna ya kufanya kabisa kwa Wakati huo.

Zai aliinuka na kudondosha taulo lake huku Sele akitoa macho kumtazama Zai. Sele kwa Uwoga huku mapigo ya moyo yakienda kasi kupita kiasi. Aliinuka kwa haraka na kumkumbatia Zai. Zai aliingiza mkono wake kwenye mfuko wa nyuma wa Sele na kutoka na kibunda cha Pesa ambacho Sele alikiandaa kwa ajili ya Kumpatia Zai.

Alikitoa pasipo Sele kufahamu chochote. Zai alimtupa Sele kitandani. Huku Sele akiwa amefumba macho kwa raha aliyojihisi kwa wakati huo. Zai alificha ile pesa haraka kisha alirud na kupanda kwa juu alipokuwa amejilaza Sele.

Sele alianza kuweweseka kwa Hisia alizozipata kutoka kwa Zai… Taratibu alianza kutolewa nguo moja moja mpaka Sele kubaki bila nguo yeyote ile. Hapo Sasa ndipo Sele alijiwekea asilimia kubwa kuwa Usiku wa Leo ni wa Mrembo Zai na yeye.

“Sele nimeshakuandaa vya kutosha, Imebaki tendo tu naomba nipatie pesa yangu kabisa tumalize biashara mapema” Zai huku akionesha uso wa tabasamu uliojawa na mahaba kwa Sele.

Sele hakuweza kuongea chochote zaidi ya kuonesha kidole kwenye nguo zake. Zai alitoka na kumchukulia suruali yake ambayo aliweka pembeni mwa ubao wa kitanda. Alimtumpia Sele Usoni ili aweze kumpatia pesa Yake.

Sele aligeuza suruali yake Haraka haraka ili ampatie pesa maana Mkongo aliopaka ndo ulikuwa unafanya kazi sasa kwa wakati huo. Aliingia kila mfuko pasipo kuona chochote zaidi ya Simu yake. Na Pesa kidg ambayo alihifadhi kwenye kidisho kwaajili ya nauli.

Aliinuka pasipo kutarajia. Alianza kujisachi mpk kwenye mapaja yake ikiwa yupo uchi wake huo. Sele alijihisi mtu aliyekosa bahati ghafla.

“Imeenda wapi sasa na niliweka humu” Sele alichanganyikiwa na kuanza kukung’uta suruali yake akiwa ameishika kwenye miguu.

Zai alikaa kwenye kitanda huku akitikisa mguu bila ya wasiwasi wowote.

“Zai Pesa niliweka humu imeenda wapi sasa” Sele alisogea karibu na Zai huku akimuuliza kwa huruma. Machozi yalianza kumlenga lenga kwa mbali hata Hamu ya kuendelea kusimamisha iliisha uume ukasinyaa na kuwa mdogo ghafla.

“Sele usiniletee hadithi zako bhana. Mi huwa sipendi uswahili. Sasa unataka kusema mi ndo nimekuibia au” Zai aligeuka pembeni huku akijitikisa kwa Dharau na kumtaza Sele kwa jicho la pembeni.

“Daah Kweli tena Zai mi pesa niliweka humu… Sasa itakuwa wapi pesa Wallah Daah… Pesa yang uko wapi” Sele alichanganyikiwa ghafla. Alifungua mlango na kutaka kutoka bila nguo huku akiwa ameshika suruali yake mkononi.

“Sasa Unaondokaje bila nguo” Zai alimstua Sele huku akiwa na ucheko wa nguvu kwa Sele. Jambo ambalo lilimfanya sele aendelee kujawa na hasira.

Sele aliingiza suruali yake mwilini pasipo kufikiria k**a alivaa boksa au lah. Alitoka na kuelekea nje. Zai aliinuka kutoka kitandani alikusanya zile nguo za sele zilizobaki pale pembeni na kumtupia nje.

“Siku ingine ukija pesa ushike mkononi mbwa weeee… Umenifanya nikose madili mengine kumbe huna kitu” Alifunga mlango na kurejea ndani.

Zai alifika na kuanza kucheka kwa Sauti kubwa. Alizitoa zile pesa kuzihesabu. Ambazo zilikuwa laki 2 taslimu. Alizibusu na kuziweka kwenye droo yake ambayo ndo huwa anahifadhia pesa zake kila siku.

“Janaume likishikwa tu linaregea alafu litaka kaz kaz ataniweza kweli” Zai aliongea huku akielekea chooni.

Alijimwagia maji kwa mara ingine na Kurejea zake kitandani.

Ni Usiku Sasa, Mara nyingi Zai alipenda sana nyakati k**a hizi kuingia Tiktok Live akicheza miziki Mbalimbali ambayo wanaume wengi walipenda kumuangalia kutokana na maumbile yake.

Aliwasha data na kuingia Tiktok Live. Alianza kuchezesha makalio yake mithili ya mtu aliyeshikwa na baridi. Hali ambayo iliwafanya wanaume wengi kufuata ukurasa wa Zai. Wengine wakituma Gift kwa Live ambayo ilimuingia sana pesa Zai kupitia mtandao.

Komenti nyingi za wanaume zilizopita zilikuwa ni za kumsifia na wengine kuomba namba kwa ajili ya kuonana nae kimapenzi Bint Mrembo Zai.

“Hi.. Mrembo Za Naitwa Jay Boi ni muimbaji mziki naomba support yako katika kucheza ngoma yangu ukiwa live, Namba yangu hiyo” Jay Boi alikoment kwa Live ya Zai.

Kwa Uzuri aliokuwa nao Jay Boi kutokea kwenye Profile yake Zai alicancel haraka live yake na kwenda Dm kumchek Jay Boi.

Zai : Hi Jay.. Umenitumia Namba kwa live yangu

Jay Boi: Ohoo Zai Ndembendembe.. Sorr nilikuwa natamani sana kufanya kaz na wewe.

Zai: Ok, Usijali Inakuwaje

Jay: Nahisi tuonane, hapo tunaweza kuzungumza zaidi k**a hutojal

Zai: Sawa, Namba zangu hizo unaweza nichek

Haikuchukua Muda baada ya Jay Boi kutumia Namba na Zai. Haraka sana Jay alimchek Zai kwa Call waliongea mazingira ya kuonana Zai Nae alikubali ili waweze kuzungumza zaidi kuhusu Biashara ya kusupport mziki wa Jay Boi.
*************************
Siku iliyopqmbazuka kwa Furaha kutoka kwa Zai ingawa Sele alibaki kuwa na mawazo kuhusu pesa yake na utamu kukosa kwa Zai.

Zai aliamka na kumcheki Jay. Jay ambae waliahidiana leo wanaweza kuonana maeneo ya Kitambaa cheupe Mbagala. Ambapo atakuwa na Show usiku wa leo.

Saa Kumi na mbili Jioni Zai alijitupia viwalo vyake ambavyo wasichana wengi wamjini wakitoka huwa wanapenda sana waonekane katika muonekano huo. Alimcheki Jay na kumpa Ratiba kuwa atamkuta amefika hapo. Haikuchukua Muda mrefu Zai nae alifika.

Zai alimtafuta Jay baada ya Muda kidogo alimuona. Kiukweli Jay alikuwa ni Mwanaume fulani hivi Handsome hata Zai alipomuona alishindwa kabisa kusema chochote. Na Muonekano was Zai pia ulimfanya Jay akose kitu cha kuzungumza kwake kiufupi kila mmoja alihisi kuzidiwa viwango na mwenzie.

Wote walibakiwa na vigugumizi tu. Walitafuta sehemu wakaketi hapo ndipo walianza stori.

“Sorry Zai Ni mara ya kwanza tunaonana sijui unahitaji kutumia nini” Jay alimuuliza Zai

“Ukimaanisha Kinywaji au” Zai alijibu

“Yeah na kula pia Ukihitaji we kuwa Huru tu” Huku Jay akionesha tabasamu kwa Zai

“Naomba Maji Baridi tu” Zai alijibu

“Aaah maji baridi tu, Acha mambo yako bhana” Jay alinyanyua mkono wake na kugandamiza juu ya mkono wa Zai huku akimchezea.

“Kweli maji tu yatanitosha, Naogopa kusema vitu vikubwa vikubwa ndo kwanza siku ya kwanza” Zai alijibu huku akitazama Chini kwa Aibu.

“Hapana, sema tu unahitaj kutumia nin?”

“Sawa basi naomba Niagizie Dompo Red Wine”

“Sawa” Jay alimuagizia Zai kile alichohitaji. Pia alihisi kuwa mtego wake unaweza kufikia malengo baada ya mtoto mzuri kuagiza Dompo.

Zai alikunywa Kinywaji chake huku akipiga stor na Jay. Kwa Vibe kali ambalo Kitambaa Cheupe lilikuwa kila mtu alikuwa na time zake. Haikuchukua muda Zai alianza kuinuka na kuanza kukatika viuno. Alisogea karibu na alipokaa Jay alimkatikia huku akiimba nyimbo ambazo zilikuwa zikitumbuiza.

Jay alimshika mkono Zai na kusogea naye nje taratibu. Alifika nje na kumuongiza kwenye gar aina Ya Vits yenye namba A ambayo aliazima tu kwa Rafiki yake ili akimpata Bint Zai asipate shida kuondoka nae.

Zai aliingia kwenye Gari akiwa ajitambui na chupa lake la Dompo Mkononi.

Jay alitoa Simu kabla ya kuwasha gari.

“Oyaa Dido unaweza kucheza kaka Zai kashaingia kwenye mikono ya Jay. Nakuja nae geto” Jay Aliongea taratibu sana tena kwa sauti ya chini.

“Kibingwa kaka, Imeisha hiyo fanya kweli Udofoe usizingue k**anda” Dido alijibu

“Poa poa” Jay aliwasha gari na kutoweka kuelekea Magetoni.

Ni Leo Zai Ameingia Kwenye Mikono Ya Wahuni… Je Jay anaenda jipigia Mzigo Au Atashindwa Kudofoa K**a Sele..😂

Usikose Sehemu ya 3

Mahaba ni kitu cha ajabu sana... Matamanio katika mapenzi ndio sababu pekee Ya Watu wengi huchepuka katika mahusiano yao...
21/10/2024

Mahaba ni kitu cha ajabu sana... Matamanio katika mapenzi ndio sababu pekee Ya Watu wengi huchepuka katika mahusiano yao.

Hakuna kitu kizuri k**a kupendwa ndio suala la upendo huzaliwa..

Unapohitaji faraja katika maisha yako ili uwe katika hali ya furaha unaweza kukosa upendo kwasababu tu kila unaeonana naye anauwezo wa kukufariji na ukafarijika.

Pigania sana Upendo katika maisha yako kwa maana upendo wa kweli Huwa na Heshima pamoja na furaha pia hili ndilo jambo ambalo watu wengi huliomba ili wawe na faraja katika maisha yao....

Kwamaana "Kukosa furaha ni Umasikini Pia" Hivyo watu wengi hupenda furaha katika mahusiano kuliko jambo lolote.

Jiulize wangapi Leo Wanawapenzi ambao hawaingiliani nao kimwili lakini anafurahi na kuwa na faraja kwa kuzungumza naye tu katika simu.. Ilhali k**a asingelikuwa na Upendo asingeweza zungumza naye.

Pigania Sana Upendo kwa hakika Faraja itakuja ndani yake....

Kwa Maana Unaweza Kumfanyia Kila Kitu Na Bado Asiwe Katika Fungu Lako

Na Ukihisi Tabia Zake Hazikupendezi Muache Taratibu
Wala Usimtukane Na Wala Usimdhihaki Kwa Maneno Makali Itafikia Wakati Atajiuliza Tu Alikosea Nini Kwako

Hakika Mungu ndo Anapanga nani awepo
kwenye Maisha Yako na Nani Asiwepo
Ukitumia Sana Nguvu kutaka Mtu abaki
Kwenye Maisha Yako Wakati Yeye
Hakutaki ni K**a kujitafutia Utumwa
Kwenye Moyo Wako

**aHuaminiBasi🤫

Wakati mwingine unapaswa kusahau kile unachohisi, na kukumbuka kile unachostahili… **aHuaminiBasi🤫
21/10/2024

Wakati mwingine unapaswa kusahau kile unachohisi, na kukumbuka kile unachostahili…
**aHuaminiBasi🤫

Waambie Tumepoteza Vingi Wakati Tunachagua Vilivyo Bora, Tumekosea Sana Wakati Tunajifunza KupatiaTumeanguka Sana Wakati...
19/10/2024

Waambie Tumepoteza Vingi Wakati Tunachagua Vilivyo Bora, Tumekosea Sana Wakati Tunajifunza Kupatia
Tumeanguka Sana Wakati Tunajaribu Kunyanyuka, Na Tumeumia Sana Wakati Tunaitafuta Furaha, Kuna Waliotuacha Na Kutukataa Sababu Tulionekana Hatuendani Nao, Hatuwasaidii Kitu Chochote Kwasababu Hawajui
Tunachopitia, Tena Wengine Kwasababu Ya Roho Zetu Nyepesi Zilizojaa Upendo Pasi Vinyongo
Walituona Wajinga Na Wanafiki Na Kuna Waliotusaliti Kwasababu Walihisi Hatukua Sahihi
Kwao, Licha Ya Vikwazo Vyote Bado Tumesimama Na Kuendelea Mbele Bila Wasiwasi Kwa Maana Mungu Atabaki Kuwa Mungu Kwenye Maisha Yetu.
**aHuaminiBasi🤫

ZAI NDEMBENDEMBE 🔞Mtunzi: WakchuuSEHEMU YA 1Maisha Ya Zai Ni vigumu sana kujua k**a ni mwanamke mwenye shida unapomuona ...
08/10/2024

ZAI NDEMBENDEMBE 🔞
Mtunzi: Wakchuu

SEHEMU YA 1

Maisha Ya Zai Ni vigumu sana kujua k**a ni mwanamke mwenye shida unapomuona popote pale. Muonekano wa mazingira yake alipolala siku zote umefanana sana na muonekano wake halisi. Zai ni Bint mrefu kiasi mwembamba kwa juu ila ametanuka sana kuanzia kiunoni. Mara nyingi Zai huwa wanamfananisha sana na Hamisa Mobetto kwani amekuwa na umbo namba 6 ambalo wanaume wengi wamekuwa wakimtamani Zai kimapenzi.

Mara nyingi Zai amekuwa ni bint wa mitandao tu. Kuchat na marafiki mbalimbali ambao ndio waliokuwa wakimfariji kwa nyakati zote. Kiukweli Zai upendo wake na wanaume ulikufa muda tu baada ya kumpenda mwanaume ambaye alikuja kumsaliti kwa kutembea na bint yake wakumzaa. Kupelekea bint huyo kupata ujauzito na kupoteza maisha kipindi cha kujifungua kwake. Zai alipoteza bint yake na kuingia kwenye chuki kubwa juu ya mwanaume wake. Hapo sasa Zai ndipo alipoanza kudanga na wanaume tofauti tofauti mpaka sasa.

SASA ENDELEA….

Zai alishuka Kutokea kwenye Gari huku akitembea kwa kupepesuka kuelea ndani kwake. Alifungua mlango na kugeuka kumtazama mwanaume ambaye alimshusha kwa wakati huo. Alimpungia mkono wa kwa heri kwa Ishara pasipo kuzungumza kitu chochote. Alimsindikiza kwa Busu na kuingia ndani. Ilikuwa ni gari nzuri ambayo kila mtu aliyemtazama Zai akitokea humo alitamani awe yeye ndie mmiliki. Dereva alipandisha vioo na kutoweka.

Zai alitupa kila kitu kwenye sofa dogo naye alijitupa na kujilaza kwengine. Alikuwa amechoka sana siku hiyo.

“Daah Ila yule mbwa kajua kunikomoa Leo” Zai alizungumza kwa uchovu. Alivuta nguo yake juu na kupandisha miguu vizuri akajilaza.

Alilala pasipo kufanya chichote kwa usiku huo. Yaani Zai hakufikiria kuoga wala kula kwa uchovu aliokuwa nao. Asubuhi mapema Zai akitokea usingizini. Mwili aliohisi k**a mtu aliengia ulingoni kupigana vitasa kwa usiku wa jana. Alitoa nguo zake zote na kuingia bafuni kuoga ili ajiandae na siku mpya katika mitikasi yake.

Alirudi chumbani kwake huku akijitikisa makalio kwa baridi. Alijifuta maji na kuketi katika kigoda karibu na vipodozi vyake. Zai alijipura akapurika na hata uzuri aliokuwa nao ulimfanya azidi kuonekana ni mzuri zaidi.

Aliwasha simu yake akaanza kujisnap kupitia nyimbo. Alipost video yake haikuchukua muda mrefu zilianza kumiminika sms kupitia dm zake za mitandao mbalimbali ya kijamii. Mara nyingi Zai hakuweza kabisa kupitia Dm zake ila huwa anaacha namba zake kwa mtu anayemuhitaji afike zake Whatsapp au Ampigie moja kwa Moja.

Muda kadhaa baada ya video ya Zai kwenda viral kila mmoja alitamani kumuona Zai kimwili. Hivyo zilimiminika sms kwenye inbox yake.

“Naitwa Zai. karibu nikuhudumie kwa huduma za kuongea na simu mpaka nakukojoza. Au Tuma pesa kupitia namba ######### nikutumie video zangu nikikatika”

Vijana wengi walikutana na ujumbe huo kwenye Inbox ya Zai kwa kila ambaye alituma sms kwake. Kwa Maana Zai aliweka Auto Reply ambayo ilijielezea kuwa yeye ni mwanamke wa aina gani.

Sele Kwa Zai
“Samahani Zai Naomba tuchati ili tuelewane walau kidogo tu. nimependa huduma zako. Naitwa Sele”

Zai alipoona ujumbe huo aliijiweka sawa na kuanza kutype ili kumjibu Sele

“Ok sema nini unahitaji” Zai alijibu

“Niliomba nikuone usiku wa leo k**a hutojari” Sele alijibu fasta huku moyo ukienda mbio kwa wasiwasi.

“Umijipangaje” Zai alimuuliza Sele

“Nahisi wewe ungesema ili nifahamu unahitaji vipi” Sele alijibu huku akitamani kuongeza maneno mengine lalkin alihisi kuharibu

“Andaa 300K Mezani Nije”

“Heee Laki 3” Sele alijihisi kupagawa kutokana na kiasi alichoambiwa. Aliinuka na kuangalia kiasi chake cha pesa kabatini alihesabu na kukutana na kiasi cha Laki 2.

pasipo majibu yeyote kutoka kwa Zai. Sele alifika na kumtumia tena sms Zai.

“Mi nina Laki 2 Naomba nisaidie” Sele alimalizia na Emeji ya 🙏🏾 Kwa Ishara yakuhitaji kupunguziw ili aweze kumpata Zai kwa wakati huo.

Hata sms hiyo Zai aliisoma pasipo kumjibu chochote. Sele alihisi kuwa ameshakataliwa ombi lake. aliingia tu Tiktok na kuendelea kuangalia video za Zai ambazo mara nyingi huwa anazipitia na kumchanganya sana akili yake.

Siku ilizidi kuyoyoma hata mitego ya Zai ilishindwa kunasa sehemu sahihi. Mpaka kufikia jioni ni Sele pekee ndiye aliyekuwa na dau kubwa zaidi asilimia kubwa ya vijana wengi walikuwa na pesa ndogo kuliko Ya Sele. Hapo ndipo Zai alipoona hakuna namna ni kumtafuta tu Sele ambaye alionesha kuwa na kiasi kikubwa cha pesa.

Sms Ya Zai Kwenda Kwa Sele

“Sorry… Nilikuwa bize kidogo Je tunaonana wapi”

Ujumbe huu ulimchanganya sana Sele. Alihisi kuwa amejipa pepo akiwa Duniani kwa kujibiwa na Zai. Moyo wake alianza kuhisi baridi ghafra hata hisia ambazo alikuwa anazifuta endapo ataonana na Zai kwa wakati huo zilizidi mara dufu.

Misuli ya uume iliyosimama kwa Sele huku akifurahi. Alifungua Droo yake na kutoa mafuta. aliyapaka katika uume wake na kutulia kidogo. Vijana wa sasa wanaita Mkongo.

“Unaweza kuja Geto kwangu..!?” Sele alijibu

“Mmh hapana… Labda uje kwangu”

“Usalama Upo…!?” Huku akitabasam Sele

“Njoo, Usiogope” Zai alijibu

Sele kabla ya kuzima Data kwa simu yake alitumiwa location Chap. Hapo sasa ndipo Sele alijihakikishia kuwa Zai amekubali kuonana nae. Alielekea Bafuni kujiandaa harakaraka ili isije ikatokea Zai akaghairi tena. Baada ya Muda Sele alitoka na kuelekea kwa Zai.

Yapata Saa 4 Usiku majira yaliokuwa tulivu kwa Zai. Mara nyingi Zai alikuwa ni mtu wa kujifungua ndani tu alipokuwa hana sehemu ya kwenda. Sele alifika na kumpigia Zai. Alipopokea Zai alitoka nje kuja kumpokea Sele. Hapo ndipo Sele alipojiaminisha kuwa Amefika kwa Zai salama.

Mazingira ya Usafi na uzuri wa chumba cha Zai kilimpagawisha sana Sele. Alipepesa macho kila kona kwa hofu. Zai alitoka na kwenda kujiandaa bafuni baada ya muda kurudi alirudi akiwa na Taulo tu alilojifunga kifuani. Hapo sasa ndipo Sele alipoanza kuchanganyikiwa zaidi. Zai alifika na kukaa mapajani kwa Sele. Sele alieshiwa kutetemeka tu hata kumkumbatia Zai alishindwa kwa uwoga.

Je Unataka kujua Timbwili la Zai Ndembendembe Ndo Kwanza Linaanza… Na Sele Ameshaupaka mkongo Ili Kulipizia Lak 2 Yake Je atafanikiwa…!? Pia Usisahau Kufuatilia MIAKA 5 YA NDOA NA MAREHEMU (Bila Wazazi Kujua)… Pale Youtube Ya Wakchuu

Simulizi: MIAKA 5 YA NDOA NA MAREHEMUSEHEMU YA PILI👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾
01/08/2024

Simulizi: MIAKA 5 YA NDOA NA MAREHEMU

SEHEMU YA PILI

👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Karibu Msikilizaji wa Simulizi za Wakchuu katika Simulizi nzuri ya kusisimua yenye uhalisia wa matukio ya kweli katika maisha yetu. Simulizi iliyoandalia Na ...

MIAKA 5 YA NDOA NA MAREHEMU (Bila Wazazi Kujua)SEHEMU YA 1Mtunzi: Mnyonge WakchuuBaada Ya Kumaliza kidato cha sita Nelso...
31/07/2024

MIAKA 5 YA NDOA NA MAREHEMU (Bila Wazazi Kujua)

SEHEMU YA 1
Mtunzi: Mnyonge Wakchuu

Baada Ya Kumaliza kidato cha sita Nelson alifanikiwa kujiunga na moja ya Chuo Kikubwa hapa Tanzania. Muda mfupi aliingia kwenye dimbwi la mapenzi na Bint mrembo aliyefahamika kwa Jina La Suzan.

Suzan alikuwa ni bint mrembo sana Mrefu Kiasi Mwembamba mwenye rangi nzuri ya kuvutia katika ngozi yake na nywele zake ndefu Natural yaani alizikuza bila ya kutia Dawa ambazo ziliwafanya wasichana wengi chuoni hapo wamuone Suzan ni Bint Anaeringa kutokana na uzuri wake ila kiukweli Suzan alikuwa anaringa Haswa.

Tofauti na Uzuri aliokuwa nao Suzan ambao ulikuwa ukiwachanganya Wanaume wengi chuoni Suzan alikuwa ni Binti aliyezaliwa kwenye Familia ya Kitajiri

Familia ambayo ilimfanya binti huyo asiweze Kufanya kitu chochote kutokana na Baba ake kumuwekea wasichana wa kazi ndani ambao walimfanyia kila kitu Suzan.

Suzan alikuwa sio mwanamke wa kupika Wala Kuosha Viombo Yaani Sio Wa Kufua au Kusafisha Baadhi Ya maeneo ya nyumba yao. Suzan yeye alikuwa ni Bint wa Kula Kulala Kuchezea simu yake na kwenda viwanja vya starehe kwa ajili ya Kujirusha na Marafiki zake tu. Hata Pesa alizokuwa akipewa na baba ake zilimpa Sana Jeuri Suzan

ikiwa Nelson yeye ni Kijana Handsome sana Mrefu kiasi na Body fulani hivi ya Mazoezi ambayo iliwachanganya wasichana wengi Chuoni Hapo. Alikuwa ni Mweupe kiasi na mweusi kias yaan yupo Katikat Ukirud kwa hawa Waswahil wenzetu utaskia Nelson alikuwa na Rangi Ya Maji Ya Kunde. Sijui Mmenielewa. Ila Nelson Bwana Ni Kijana Aliyezaliwa kwenye familia maskini sana Baada ya baba ake kufariki akiwa amemuacha Mama Nelson na Ujauzito wa Miezi 8 Wa kijana wao Nelson. Hivyo Majukumu yote ya malezi aliachiwa mama ambaye alihakikisha Kumlea Nelson mpaka kufikia sasa ingawa walihama hama nyumba nyingi kutokana na kukosa kodi lakini mama Nelson alisimama kidete na kuhakikisha Kijana wake anapata malezi na Elimu iliyokuwa Bora.

Ingawa Matukio mengi ya kutisha, visa vya maisha na migogoro katika familia ni miongoni mwa mambo yanayopatikana katika Dunia. Ila Acha Tuitafsiri Dunia katika Maumbo Mengi na maana tofauti tofauti ambazo mpaka leo hakuna ajuae asili ya Dunia.

Hii Leo Nelson anaishi na Msichana Ambaye ni marehemu katika ndoa yake Bila ya wazazi Kujua Yaani Bila Kufahamu Chochote kwa kipindi Chote cha Maisha Yao.

Endelea Sasa……

Zilikuwa ni shamra shamra za pekee kwa kila mwanafunzi, waliopiga picha na wazazi wao kwa pamoja huku wakifurahi na marafiki kwa nyakati hizo. Ni Mwaka wa tatu sasa wanafunzi wakifurahi kuhitimu mafunzo yao katika Moja ya chuo kikubwa Tanzania. Kwa Maana Sherehe ni Miongoni mwa maisha ya Furaha hasa wanafunzi wanapokuwa wakihitimi mafunzo yao.

Mwanadada mtanashati aliyegemeza kichwa katika mapaja ya Nelson huku yakimtoka Maneno yaliyojawa na sauti ya Hub kwa wakati huo.

“Nelson kuna kitu naomba nikueleze, Inawezekana kikajenga kitu katika maisha yetu hapo baadae” Maneno ambayo yalimfanya Nelson Ajiweke vizuri kumsikiliza Suz.

“Niambie Mpenzi wangu, Wewe ndio kila kitu kwangu, Unaweza kusema Chochote” Alizungumza Nelson huku akimfuta suzan Jasho kwa Kiganja chake cha mkono katika Paji la Uso.

“Kweli Nelson ” Suz alisisitiza na kumfanya ainuke na kuanza kutazamana huku wakitabasamu.

Ghafla Sura ya Nelson ilipoteza nuru ya tabasamu huku akiwa katika mshangao uliomstajabisha Suz na Kutoelewa kwanini ilikuwa hivyo kwa wakati huo.

Nelson aliinuka na kumuacha Suz chini, Alielekea upande wa getini ambalo wageni waalikwa walilitumia kuingia katika uwanja wa chuo. Suzan aligeuka kwa haraka kumtazama Nelson kule alipoelekea.

“Nelson Nelson...” Suz aliita, alijitahidi nae kuinuka ili kumfuata James alipoelekea.

Mama aliyeingia ukumbini huku akiwa ameshikilia daftari lililochoka kwa kutunza kwa muda mrefu kwa sehemu tofauti tofauti. Nelson alifika na Kumsukuma Mama huyo aliyefanya Daftari hilo kuruka na kupeperuka kwa baadh ya karatasi.

“Nooooo Nelson... Usifanye Hivyo” Suz aliwahi na Kumshika Nelson.

Yule Mama alifika chini na kujiwahi na mikono yake ili asiweze kuanguka vibaya na kusababisha majeraha katika mwili wake.

“Niache Suzy... Niache” Nelson alikiwa mkali ghafla. Alionekana mtu mwenye kukasirishwa na yule mama kuingia katika sherehe yao.

Wanafunzi, Walimu kwa Wazazi na waalikwa wengine tofauti walisogea kwa Nelson na Kumzonga huku wakimzuia kufanya jambo lengine tofauti na hayo aliyoyafanya kwa kumsukuma yule Mama.

“Nelson Mwanangu, Ulitegemea kuyafanya haya kweli.... Nimekukosea nini Mwanangu” Kauli hii ilimfanya kila mmoja kushangazwa na yale aliyoyafanya Nelson.

Minong’ono ya watu waliokuwa wakijiuliza maswali juu ya yule mama alikuwa nani kwa Nelson wote walikaa kimya.

“Mama..!” Suz aliita kwa Mshangao mkubwa.

Nelson alimtazama Suz pasipo kuzungumza chochote. Suz alisogea karibu na mama yake Nelson. Alimshika mkono na kumuinua kwa kumuweka kitako pale alipokuwa ameanguka.

“Asante Mwanangu” Mama Nelson kwa Sauti ya Chini yenye Kutia huruma na kumfanya kila mmoja kuhisi uchungu kwa kile alichofanyiwa.

Nelson alijawa na Hasira huku akizungumza kwa Jazba ya Juu Kabisa “Suz Muache huyo Mama... Muache, Aumfahamu na hauna sababu za kumfahamu. Ni Mama angu lakini siwezi kuwa na mama masikini kiasi hicho Mama gani kipato chake cha kuunga unga si bora nisiwe na mama tu katika dunia ya Leo” Nelson alitoka kwa hasira huku akilia na kuelekea upande wa madarasa yao.

Suz alitoka kumfuata Nelson. Alifika na kumtazama Nelson kwa Hasira. Alihisi amemkosea sana Mpenzi wake jambo ambalo hakuweza kuliwaza kwa Kipindi chote katika mahusiano yao.

Mama Nelson aliinuka taratibu alijipangusa na kutoweka eneo hilo. Ingawa aliwaacha watu wakizungumza kwa kile kilichotokea lakini hakulifikiria hilo kuwa ni jambo kubwa kwake. Akili yake iliwaza kwa mtoto wake Nelson Juu ya Kumkataa na Kumsukuma Mbele za Watu.

Alisimama na kutazama nyuma, alimuona Nelson kwa mbali akiwa amekumbatiwa na Suzy. Aliinua Upande wa kanga na kufuta chozi lilitoka jicho la kushoto kufuatana na kulia kwa wakati huo. Mama Nelson aliinua Mikono Juu kumshukuru Mwenyezi Mungu kisha aliendelea na Safari yake ya kurejea Nyumbani.

Mnamo saa 12 Jioni Majira ya anga yaliyobadili muonekano wake na kuleta mwangaza hafifu uliyoashiria giza kuingia katika Uso wa Dunia.

Watu walitawanyika kuelekea majumbani Mwao. Wanafunzi waliojumuika na wazazi wao katika usafiri mmoja mbali na wale waliorudi kivyao na wapenzi wao. Hata kwa Nelson na Suz ilikuwa tofauti Pia.

Saa 9 Usiku, Mama Nelson alilala hali ya kuwa na dukuduku moyoni mwake. Nelson alirudi akiwa amelewa alitembea kwa kupepesuka akitokea kwenye gari na rafiki zake. Nelson aliinua mkono kuwapungui kwa ishara ya kwa heri. Aliingia ndani na kujilaza kwenye sofa, Pasipo kufikiria mama yake atakuwa kwenye hali gani kwa wakati huu.

Asubuhi kulipokucha Mama Nelson alikuwa wa kwanza Kuamka, Alitoka na kuelekea katika harakati zake za kila siku. Mara kadhaa mama Nelson alikuwa akihudumu katika maofisi mbalimbali kwa kuwapatia vitafunwa kwa ajili ya kifungua kinywa wafanyakazi wa maofisi. Hivyo kulimlazimu kuamka mapema sana. Hata alipomuona Nelson hakuhitaji kufahamu alirudi saa ngapi.

Nelson alijihisi kuwa sawa hata kitendo alichokifanya jana kwa Mzazi wake haikuwa tatizo kwake.

Mnamo saa 2 Asubuhi Suz alistuka kutoka Usingizini. Alijinyoosha viungo vyake, Alivuta shuka pembeni alichukua simu yake na kutoa Nywila (password). Alijihisi kuwa ni mtu mwenye uchovu sana alitupia simu pembeni na kujilaza Tena.

“Suz... Suzan... Embu njoo mara moja” sauti nzito ya kiume kwa jazba iliyomuamsha Suz. Huku Suzy akijisonya kwa uchovu na kuhisi kusumbuliwa.

“John Naomba nipumzike kidogo, Nikiamka tutazungumza vizuri” Suzan alizungumza kwa uchovu, alipinduka upande mwengine na kujilaza.

“Sawa Ukiamka, Uje tu namaelezo tosherezi kuhusu Nelson ni nani yako” John alishika kitasa cha mlango alifungua na kuufunga kwa Hasira. Kisha alitoweka.

“Aah Ushaanza tena” Suzan aliinuka na kujiweka sawa kitandani akimfikiria John ambaye Suz amekuwa akimfanyia kila kitu John Kuanzia kumvisha, Kumlisha na Kumlipia pango la sehemu wanapoishi. ila ndo amekuwa Mwanaume anaemuumiza sana Kichwa Suz kuliko Nelson.

Nelson alistuka kutoka usingizini akiwa na hali ya uchovu sana na vile hali yake ya jana aliyorudi nayo ilichangia kwa kiasi kikubwa kuwa hivyo.

Aliininuka kutoka katika viti ambavyo maisha yake yote amekuwa akilala hapo tofauti na kipindi ambacho yupo chuo mara nyingi alijichanganya na marafiki zake au kuishi maisha ya starehe na Suzan kupitia Mikopo ya Wanafunzi Chuoni. Nelson aliweka sawa Mito Sebreni huku akijisonya sonya.

Haikuchukua Muda Mama Nelson Kurud kutoka katika mizunguko yake. Na siku hii ya Leo hakuweza kuwapikia vitumbua mtaani k**a kawaida yake ambayo hufanya kila siku baada ya kurud Kutoka ofisini. Siku zote huwa anapika Vitumbua vingine mtaani.

Mama Nelson aliingia ndani huku Nelson akiwa Sebreni anamsubir mama ake ambaye hakutaka hata kutoka nje kufahamu k**a amerud na anapika au Lah.

“Shikamoo Mama” Nelson alimsalimu mama ake huku akitazama chini kwa Aibu.

Mama Nelson aliingia chumbani kwake pasipo kuitikia Salam ya Mwanae. Aliingia huku akiwa amejawa na Jazba alifika ndani na kujitupa kitandani…kwa Sauti kubwa Mama Nelson aliangusha kilio kilichoambatana na maneno makali yenye Kumuumiza juu Ya mwanae Nelson.

Nelson aliingia taratibu chumbani kwa mama ake huku akiwa Mnyonge Mwenye sura iliyojawa na huzini baada ya kumsikia mama ake akilia kwa uchungu.

“Mama… Mama…Mama Mi Mwanao Nelson Mama.. Mwanao mimi Mama nimekuwa mkosefu Mimi Mama kila siku aaah Mama naomba Nisikilize mwanao walau kidogo tu Mama angu… Mama Mama Nisamehe Mwanao Mama najua nimekukosea na sikutarajia kufanya kitu k**a kile Nilijikuta tu nimekuwa na Jazba Mama mpaka kufikia kufanya hilo Jambo Mama…. Mama angu Mama Nisamehe Mwanao.. Angalia watu wamejaa Nje wanakuita na kufikiria kuwa tunatatizo Kubwa Mama” Nelson Alizungumza kwa Uchungu huku chozi likimtoka hata ule ujasiri aliojipa asubuh na kuhisi Mama ake ajachukiwa na kile kitendo cha Jana Ulimtoka ghafla.

Mama Nelson aliinuka pasipo kumjibu Mwanae chochote. Alitoka nje na Kuelekea Uwani ambapo baadhi ya wapangaji walitoka kuja kumsikiliza Mama Nelson alikuwa amepatwa na nin mpaka kufikia kulia kwa sauti kubwa hivyo.

Kila mmoja alitamani kufahamu Kwanini Mama Nelson alikuwa akilia. Mama Nelson alifuta Machozi Nelson naye alitoka Ndani na kumfuata mama ake alipo.

“Mama Mama… Naomba unifichie hii aibu yangu mimi mwanao najua nimekukosea mama angu… Nakuomba mama” Nelson alipiga magoti mbele ya mama ake.

Mama Nelson alimuangalia mwanae kwa huruma na maneno aliyoambiwa na mwanae alimuinua na kumkumbatia huku machozi yakimtoka pasipo kuzungumza chochote. Kisha alimuacha na Kuelekea chumbani kwake.

Nelson alibakiwa na mshangao wakutofahamu nini mama ake alimaanisha kwa wakati huo. Naye alimfuata tena ndani Mama yake lakini hakuweza kuingia baada ya Mlango wachumbani kwa Mama ake Kufungwa.

Sura ya Nelson iliyovimba kwa kulia macho Yaliyokuwa mekundu yaliyojawa na majimaji Kuashiria wakati wote Nelson atakuwa mliaji kwa makosa juu ya Mama ake. Mwili Wa Nelson Uliochoka kwa kuhisi joto lililoteketeza nguvu katika mwili wake. Nelson alisota Kwa Mgongo mlangoni mwa Chumba cha Mama ake alipoteza fahamu na kuanguka chini misil ya mzigo aliotupwa kutoka Juu kwa Umbali mrefu.

Huku Mlio wa Simu ya Nelson ikisikika kuita Jina likiwa Limetokea Suzy Pasipo Majibu yeyote Mpaka Simu kukatika.

Ulikuwa Unaskiliza Sehemu Ya Kwanza Ya Simulizi Hii Ya Miaka 5 Ya Ndoa na Marehemu Bila Ya wazazi Kujua.

Je Nelson Atakapozinduka ataweza kusamehewa na Mama ake au Lah na Vipi kuhusu Suzan ambaye anamtafuta Nelson pasipo Kuwa Na Majibu yeyote Kwenye Simu Yake… Au Kibenten John ambaye anahitaji kufaham Nelson ni Nani Kwa Suzan…!?

kuendelea kufuatilia mkasa huu Usisahau Kutufuata kupitia page zetu za Instagrams | Facebook | Pamoja na Tiktok Kwa Jina La Wakchuu au Subscribe Channel Yangu Ya Youtube Ya Wakchuu Uwe wa Kwanza Kufuatilia Mkasa Huu Mwanzo Mwisho

Ila Kwa Maoni Na Ushauri Nifuate Kupitia Whatsapp Au Ujumbe Mfupi wa Maneno Kwa No 0719193809
USIKOSE SEHEMU YA PILI….

MIAKA 5 YA NDOA NA MAREHEMU | Sehemu Ya 1Hivi Ushawahi kufikiria ni Vipi Mtu aliyehai anaishi vipi na Mtu aliyekufa Tena...
28/07/2024

MIAKA 5 YA NDOA NA MAREHEMU | Sehemu Ya 1

Hivi Ushawahi kufikiria ni Vipi Mtu aliyehai anaishi vipi na Mtu aliyekufa Tena Bila watu kufahamu Kuwa Anaishi na Marehemu

Karibu… Ukutane na Kijana Nelson aliyeishi na Mrembo Suzan Katika Ndoa kwa Muda wa Miaka 5 bila ya wazazi Kufahamu Kuwa Nelson anaishi na Bint Marehemu..

👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Nelson Kijana Wa Kimaskini aliyejihusisha kimapenzi na Bint Wa Kitajiri Suzan Na Kupelekea Nelson Kuishi na Mwanandoa Marehemu Bila Ya Wazazi KujuaKaribu Ufu...

Baada Ya Kumaliza kidato cha sita Nelson alifanikiwa kujiunga na moja ya Chuo Kikubwa hapa Tanzania. Muda mfupi aliingia...
27/07/2024

Baada Ya Kumaliza kidato cha sita Nelson alifanikiwa kujiunga na moja ya Chuo Kikubwa hapa Tanzania. Muda mfupi aliingia kwenye dimbwi la mapenzi na Bint mrembo aliyefahamika kwa Jina La Suzan.

Suzan alikuwa ni bint mrembo sana Mrefu Kiasi Mwembamba mwenye rangi nzuri ya kuvutia katika ngozi yake na nywele zake ndefu Natural yaani alizikuza bila ya kutia Dawa ambazo ziliwafanya wasichana wengi chuoni hapo wamuone Suzan ni Bint Anaeringa kutokana na uzuri wake ila kiukweli Suzan alikuwa anaringa Haswa.

Tofauti na Uzuri aliokuwa nao Suzan ambao ulikuwa ukiwachanganya Wanaume wengi chuoni Suzan alikuwa ni Binti aliyezaliwa kwenye Familia ya Kitajiri

Familia ambayo ilimfanya binti huyo asiweze Kufanya kitu chochote kutokana na Baba ake kumuwekea wasichana wa kazi ndani ambao walimfanyia kila kitu Suzan.

Suzan alikuwa sio mwanamke wa kupika Wala Kuosha Viombo Yaani Sio Wa Kufua au Kusafisha Baadhi Ya maeneo ya nyumba yao. Suzan yeye alikuwa ni Bint wa Kula Kulala Kuchezea simu yake na kwenda viwanja vya starehe kwa ajili ya Kujirusha na Marafiki zake tu. Hata Pesa alizokuwa akipewa na baba ake zilimpa Sana Jeuri Suzan

ikiwa Nelson yeye ni Kijana Handsome sana Mrefu kiasi na Body fulani hivi ya Mazoezi ambayo iliwachanganya wasichana wengi Chuoni Hapo. Alikuwa ni Mweupe kiasi na mweusi kias yaan yupo Katikat Ukirud kwa hawa Waswahil wenzetu utaskia Nelson alikuwa na Rangi Ya Maji Ya Kunde. Sijui Mmenielewa. Ila Nelson Bwana Ni Kijana Aliyezaliwa kwenye familia maskini sana Baada ya baba ake kufariki akiwa amemuacha Mama Nelson na Ujauzito wa Miezi 8 Wa kijana wao Nelson. Hivyo Majukumu yote ya malezi aliachiwa mama ambaye alihakikisha Kumlea Nelson mpaka kufikia sasa ingawa walihama hama nyumba nyingi kutokana na kukosa kodi lakini mama Nelson alisimama kidete na kuhakikisha Kijana wake anapata malezi na Elimu iliyokuwa Bora.

Ingawa Matukio mengi ya kutisha, visa vya maisha na migogoro katika familia ni miongoni mwa mambo yanayopatikana katika Dunia. Ila Acha Tuitafsiri Dunia katika Maumbo Mengi na maana tofauti tofauti ambazo mpaka leo hakuna ajuae asili ya Dunia.

Hii Leo Nelson anaishi na Msichana Ambaye ni marehemu katika ndoa yake Bila ya wazazi Kujua Yaani Bila Kufahamu Chochote kwa kipindi Chote cha Maisha Yao.

Karibu Msikilizaji wa Simulizi za Wakchuu katika Simulizi nzuri ya kusisimua yenye uhalisia wa matukio ya kweli katika maisha yetu. Simulizi iliyoandalia Na Kusimuliwa Na Wakchuu Ambayo Unaweza Kuipata kupitia Youtube Channel Ya Wakchuu Au Tiktok Page Ya Wakchuu Pamoja na Whatsapp No 0719193809 Ukawa Wa Kwanza Kufuatilia Mkasa Huu Wa MIAKA 5 YA NDOA NA MAREHEMU Mwanzo Mwisho.
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Stream 1. MIAKA 5 YA NDOA NA MAREHEMU | 0719193809 song from wakchuu. Release Date: July 27, 2024.

Address

Kinondoni

Telephone

+255719193809

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wakchuu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Wakchuu:

Share