Ambokile Francis

Ambokile Francis Ungana Nasi, Njoo Tushauriane Tupeane Ujuzi Mpya K**a Vijana, Usisite Kuwasiliana Nasi.

K**ati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imebaini changamoto ya mtandao na ukosefu wa vitendea kazi kwa wa...
08/02/2025

K**ati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria imebaini changamoto ya mtandao na ukosefu wa vitendea kazi kwa watumishi wa umma waliopo vijijini, hali inayowakwamisha kutumia mfumo wa kupima utendaji kazi wa watumishi (PEPMIS) ambao sasa unajulikana k**a e-Utendaji.

Februari 5, 2025, Mwenyekiti wa K**ati hiyo, Dkt. Joseph Mhagama, amesema changamoto hiyo inasababisha baadhi ya watumishi kushindwa kujaza taarifa zao kwa wakati, hivyo kushindwa kufikia viwango vinavyohitajika.

Kutokana na hilo, Bunge limeazimia kuwa matumizi ya PEPMIS yaendane na utoaji wa vitendea kazi na kuboreshwa kwa mtandao katika maeneo ya vijijini. Pia, Serikali ifanye tathmini ya mfumo huo na kutatua changamoto zilizojitokeza tangu kuanza kwake. Wabunge wameikubali na kupitisha maazimio ya k**ati hiyo likiwemo hilo la PEPMIS.

Kwa Mujibu wa Utafiti wa Jarida Moja Linashughulikia mahusiano inasemekana kuwa "Baada ya kuachana , 80% ya wanawake hui...
04/02/2025

Kwa Mujibu wa Utafiti wa Jarida Moja Linashughulikia mahusiano inasemekana kuwa

"Baada ya kuachana , 80% ya wanawake huingia kwenye uhusiano na mwanaume ambaye tayari alikuwa akizungumza naye wakati yupo bado kwenye mahusiano na wewe."

Na haichukui hata wiki, unaachwa leo kesho kutwa yupo na mwingine!! ๐Ÿ˜ช

STORI YA KUCHEKESHA KWA UFUPI KATIKA PICHA ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃSHUKA NAYO..
04/02/2025

STORI YA KUCHEKESHA KWA UFUPI KATIKA PICHA ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

SHUKA NAYO..

Mtangazaji: Ngโ€™ombe wako hutoa maziwa kiasi gani?  Masai: Yupi, yule mweusi au mweupe?  Mtangazaji: Yule mweusi.  Masai:...
31/01/2025

Mtangazaji: Ngโ€™ombe wako hutoa maziwa kiasi gani?

Masai: Yupi, yule mweusi au mweupe?

Mtangazaji: Yule mweusi.

Masai: Lita mbili kwa siku.

Mtangazaji: Na yule mweupe?

Masai: Lita mbili kwa siku.

Mtangazaji: Wanalala wapi?

Masai: Yule mweusi au mweupe?

Mtangazaji: Yule mweusi.

Masai: Kwenye banda la ngโ€™ombe.

Mtangazaji: Na yule mweupe?

Masai: Kwenye banda la ngโ€™ombe pia.

Mtangazaji; Ngโ€™ombe wako wanaonekana kuwa na afya nzuri... Unawalisha nini?

Masai: Yupi... yule mweusi au mweupe?

Mtangazaji: Yule mweusi.

Masai: Majani.

Mtangazaji: Na yule mweupe?

Masai: Majani.

Mtangazaji: (Akiwa amekasirika) Mbona unaendelea kuuliza k**a ni mweusi au mweupe ilhali majibu ni yale yale?

Masai: Kwa sababu yule mweusi ni wangu.

Mtangazaji: Na yule mweupe?

Masai: Ni wangu pia.

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

31/01/2025

Ukisikia stori mbaya kuhusu mimi, elewa kuna wakati nilikuwa mwema kwa hao hao lakini hawatakwambia Wema Wangu Kwao.

Hii ni picha ya hivi karibuni iliyozua gumzo mitandaoni , Msanii kutoka Naija Ayra Star mwanamuziki huyu maarufu wa Nige...
31/01/2025

Hii ni picha ya hivi karibuni iliyozua gumzo mitandaoni ,

Msanii kutoka Naija Ayra Star mwanamuziki huyu maarufu wa Nigeria anasema hajawahi kutana na mwanaume kimwili ila mashabiki zake wamekuwa na wasi wasi na maendeleo ya kifuani wanaamini kuna mtu anapita kimya kimya.

Nini Maoni Yako.

Mashangazi wa miaka ya 1995 mpaka 2002
30/01/2025

Mashangazi wa miaka ya 1995 mpaka 2002

25/01/2025

"Usilie Juu Ya Kile ambacho huna; Tumia Vizuri Kile Ulichonacho" Wahenga walinena; Usiache Mbachao Kwa Msala Upitao

MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOKWENDA KUNUNUA WANAWAKE WANAOJIUZA (DADA POA)Mambo haya pengine ni ya aibu na hayasemeki kwa ur...
23/01/2025

MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOKWENDA KUNUNUA WANAWAKE WANAOJIUZA (DADA POA)

Mambo haya pengine ni ya aibu na hayasemeki kwa urahisi tena hayafurahishi kusemwa hadharani.

Lakini leo nitayasema kwa uchache kwa nia ya kujenga na wala sikusudii kuhamasisha uzinzi wala biashara hiyo

1. Usiende na nguo ambazo unazitumia katika shughuli zako za uzalishaji, iwe ni kazi ya kuajiriwa au kujiajiri. Na k**a utaenda nazo basi ukimaliza usizitumie tena katika shughuli zako hizo

2. Usiende na pesa nyingi ikiwa utaenda katika makazi yao. K**a bei ya kumnunua ni Tsh 5,000 basi nenda na walau 10,000 tu

3. Usifike na kuchagua papo hapo. Bali fika na usimame umbali kidogo utakaokuruhusu kuwaona vizuri na kuchagua umtakae. Usiwakaribie kabla hujachagua ukiwa mbali.

4. Chagua malaya ambaye ngozi yake bado inanuru, pia zingatia umri wake usiwe mdogo sana wala usiwe mkubwa sana.

5. Usimuulize ulize maswali personal, wala usiombe namba zake za simu ikiwa ndio mara yako ya kwanza au ya pili kupata huduma yake.

6. Bila shaka hatakuruhusu kumnyonya romance, labda utoe dau kubwa. Hata uvutiwe naye kwa kiwango kipi, kamwe usikutanishe mdomo wako na wake, wala ulimi wako na wake.

7. Usiwe na vitu vingi na wala usivue suruali yote wakati wa tendo (short time) Na K**a umemchukua kwa full time ili umtumie usiku mzima. Basi asubuhi isikukute naye kahaba huyo. Hakikisha unaondoka kabla jogoo wa asubuhi hajawika au aondoke kabla ya jogoo wa alfajiri hajawika

8. Usimpeleke malaya katika geto au nyumba yako unayoitumia wewe na mkeo, wanao wakuwazaa au ndugu zako.

9. Usimdhulumu malaya malipo yake. Mpe kadiri ya mapatano yenu mlivyoelewana

10. Usitumie ulimi wako kumlamba mahala popote malaya

11. Usionyeshe ubora wa nguvu zako Kwa malaya pindi ufanyapo naye mapenzi. Kwa maana huwezi shindana na kahaba, na wala huwezi onyesha nguvu zako kwake. Utakuja ujifie

12. Usitumie Dawa za kusisimua kuongeza nguvu za kiume au urijali ufanyapo mapenzi na Kahaba.
Huwezi pata sifa popote Kwa kufanya hivyo.
Ni afadhali utumie mbinu hizo kwa mkeo wa ndoa. Utasifiiwa na hakuna atakayekulaumu.

13. Usiogope magonjwa ya zinaa K**a UKIMWI n.k ufanyapo mapenzi na Kahaba isipokuwa ogopa dhambi ya uzinzi unayoifanya.

14. Usikae chini alafu kahaba aje juu yako, bali wewe ndio uwe juu Kwa mitindo yote mtakayoitumia.
Kwa sababu mwanaume ndiye anapaswa kuwa juu. Na K**a kuna mwanamke anayestahili kuwa juu basi ni Mkeo uliyemuoa ukamuacha nyumbani.

15. Utakapofika mshindo, usiache shahawa zako kwenye kondomu kiholela. Ikiwezekana ondoka nazo ukazitupie mbele Kwa mbele, uwa wanazitumia kwenye uganga wa kienyeji kuvutia Watu madukani huku wewe unafirisika hela haikai mfukoni.

16. Usiwekeane ahadi na nadhiri na malaya. Usimuahidi ahadi yoyote kwa maana wengi wao wamejawa na hila za falme za giza

17. Usiguse Jambo lolote nyumbani kwako utakaporudi kabla haujajitakasa.
Usimkumbatie Mkeo, wala watoto wako, wala wajukuu wako utokapo kufanya uzinzi na kahaba

18. Usije ukajisahau ukazaa na malaya ilhali unajua unamke.

19. Usifanye mapenzi na malaya taa zikiwa zimezimwa, k**a huna D mbili huwezi kuelewa hapa ๐Ÿ˜‚

20. Usifanye mapenzi na malaya ukiwa haupo timamu kiakili, aidha ukiwa umelewa pombe au kutumia vilevi vingine vinavyoathiri ubongo

21. K**a vile usivyomjua vizuri huyo malaya nawe asikujue vizuri.
Jitahidi kudanganya karibu kila kitu hasa mambo yanayohusu familia yako, na kazi yako.

22. Usiende kununua malaya k**a hujiwezi Kwa self-defence na kupigana. Hii itakusaidia K**a itatokea dharura za yeye kukufanyia uhuni kwa kukuuza Kwa ving'asti kwa kukusingizia haujamlipa au umemlipa Pungufu ilhali ulimlipa mlivyokubaliana

23. K**a amekufurahisha Sana unaweza mpa bonus Kwa kuifanya roho yako ijisikie Raha.

24. Ikiwa umenunua malaya kwa Tsh 30,000/= basi hakikisha NYUMBANI siku hiyo umeacha mara mbili ya hiyo

25. Ikiwa utaundiwa zengwe na kuk**atwa na huyo kahaba basi suluhisha uwezavyo ishu isifike nyumbani kwa familia yako.

Mwisho usinunue malaya eneo ambalo ni mbali na barabara. Eneo ambalo limejitenga sana usiende kununua, utakuja kunishukuru

K**a hakuna ulazima wa kununua Malaya mwaka huu nakushauri acha kwani sio kitu kizuri kiroho kwani miili yao mingi imebeba laana, mikosi na mabalaa kwa kua wanalala na kitu mtu mwenye kila aina ya changamoto kwa sababu tu ya pesa.

MDAU ANAOMBA USHAURI KUOKOA NDOA YAKE:Siku moja, mimi na mke wangu tulihudhuria sherehe kubwa karibu na nyumba yetu usik...
13/01/2025

MDAU ANAOMBA USHAURI KUOKOA NDOA YAKE:

Siku moja, mimi na mke wangu tulihudhuria sherehe kubwa karibu na nyumba yetu usiku. Wakati huo mke wangu alikuwa na ujauzito wa miezi nane! Tulipokuwa tukirudi, tulipitia njia ya mkato kwenye njia ya vichochoro, na ghafla kundi la Vibaka likaibukia kwa Nyuma.

Hawa Vibaka Walikuwa Wakali sana! Kwanza walitaka mkoba wa mke wangu. Yeye alikuwa tayari kupambana, lakini haraka nikamwambia, โ€œMpenzi, tafadhali wape tu mkoba!โ€ Sikupenda ugomvi hata kidogo. Miguu na Mikono Yangu ilikuwa inatetemeka k**a niko kwenye mashindano ya kucheza kwa kushake!

Nilipokuwa karibu kutoa simu yangu, nilimuona kwa Mbali Big mmoja mkubwa akija kwangu na panga mkononi!

Niliingiwa na hofu na nikasahau kabisa kuwa niko na mke wangu. Nikatoka Nduki Spidi Kali k**a Usain Bolt mwenyewe! Ungeona jinsi nilivyokuwa natimua vumbi k**a upepo, hata ungeshindwa kutambua ni mimi! Baada ya mita k**a 50, nikasikia k**a mtu anakuja kwa nyuma yangu, nikafikiri ni wale Vibaka wananifuata. Nikazidisha kasi yangu, nikiongeza Spidi k**a Mtu mwenye Mapepo!

Ghafla, nilipogeuka nyuma nikamuona mke wangu akiwa na tumbo lake kubwa, akikimbia kwa kasi Utadhani anataka kuvunja rekodi ya dunia! Alikuwa anakimbia kwa Spidi Kali sana, k**a ndege ndogo ikiruka, vumbi likiwa linapanda kila mahali!

Nikapiga Yowe โ€œMpenzi, tafadhali nisaidie! Usiniachie, Hawa Vibaka watanimaliza!โ€ Oooho, ilikuwa kila mtu ajisaidie mwenyewe Kivyake!

Mke wangu akazidisha kasi zaidi, na kabla sijatambua, alikuwa amepitiliza hadi nyumba yetu! Sikuamini macho yangu! NiKajiwazia โ€œKwa kweli, unakimbia hivyo haraka ukiwa na ujauzito? Ametisha k**a shujaa!โ€ Kwa kweli, ujauzito unawafanya wanawake kuwa mashujaa!

Tangu usiku ule wa Lile Tukio, mke wangu hataki hata kuniangalia. Ananiita majina ya kila aina, k**a muoga, goigoi na mzembe yaani, bure kabisa.

Anasema nilimuacha apambane na Vibaka peke yake na hawezi kuniamini tena. Hata anafikiria kuniacha! Nimekuwa nikiomba msamaha, nikimwambia haikuwa kosa langu! Nilishindwa kuzuia hofu Yangu!

Lakini hataki hata kusikiliza. Lakini Nikamuuliza mbona hata Yeye aliniacha nyuma pia Akatimua mbio? Mimi si mume wake?!

Nilimwambia nilikimbia kutafuta msaada, lakini ananikazia macho tu na kunikejeli. Nifanye nini ili mke wangu anielewe? Siwezi kuvumilia hali hii tena!

Naomba msaada Hata wa Ushauri Nifanyeje.

Msaada Guys Natamani kujua hii Kitu inaitwaje kwa Kiingereza.
13/01/2025

Msaada Guys Natamani kujua hii Kitu inaitwaje kwa Kiingereza.

Napenda kuwajulisha kuwa Katika maandalizi ya kuukaribisha mwaka mpya, kesho nitachoma Kuku na nyama ya mbuzi nyumbani k...
28/12/2024

Napenda kuwajulisha kuwa Katika maandalizi ya kuukaribisha mwaka mpya, kesho nitachoma Kuku na nyama ya mbuzi nyumbani kwangu Ya Kutosha. Pia kutakuwa na cocktails pamoja na vinywaji mbalimbali Vikisindikzwa na muziki wa Rhumba. K**a utakuwa free unaweza ukafanya hivi pia nyumbani kwako.

Ahsanteni.

Kuwa mzazi Sio Rahisi, ๐Ÿ‘‰๐ŸฟUnapaswa Kuwa mzazi Wakati Umeshuka, ๐Ÿ‘‰๐ŸฟUkiwa na Msongo wa Mawazo, ๐Ÿ‘‰๐ŸฟUkilia au Kuhangaika na Huw...
28/12/2024

Kuwa mzazi Sio Rahisi,
๐Ÿ‘‰๐ŸฟUnapaswa Kuwa mzazi Wakati Umeshuka,
๐Ÿ‘‰๐ŸฟUkiwa na Msongo wa Mawazo,
๐Ÿ‘‰๐ŸฟUkilia au Kuhangaika na Huwezi Kuwaacha Wakuone Unashuka.
๐Ÿ‘‰๐ŸฟWazazi Ni Mashujaa..
๐Ÿ‘‰๐ŸฟWatie Moyo wazazi wako wamepitia magumu mpaka umekuwa hivo ulivyo!

๐Ÿ“š๐Ÿ“š๐Ÿ“ถ๐Ÿ“ถ

16/12/2024

1.Kunyamaza Kuna punguza hasira ya mtu unayejibizana naye
2.Kunyamaza Ni njia ya kuficha madhaifu yako kwa watu K**a hasira,wivu, matusi etc
3.Kunyamaza Ni njia ya kuwachanganya adui zako wasikujue wewe Ni Nani hasa? Msimamo wako?
4.Kunyamaza Ni njia ya kumsubiria Mungu akujibu kwa wakti wake ...Maana kusema sema kunaweza kukufanya umlaumu au kumkufuru Mungu.
5.Kunyamaza kunakupunguzia Maadui.

K**a ulikuwa hujui mtu mwongeaji anamaadui wengi kuliko mkimya.

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟTANGAZO TANGAZO.๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟKwa wale mnaokuja kula christmas vijijini zingatia yafuatayo:1. Huku pia tuna TV lakini chaneli zetu...
15/12/2024

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟTANGAZO TANGAZO.๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Kwa wale mnaokuja kula christmas vijijini zingatia yafuatayo:

1. Huku pia tuna TV lakini chaneli zetu ni TBC na ITV hakuna mambo ya kuangalia series na TV tunawasha kuanzia saa 2 usiku hivyo mkae kwa kutulia.

2. Mje na dada wa kazi huku hakuna mtu wa kubeba mtoto wako.

3. Hakuna kuchotewa maji ya kuoga mtoni unaenda mwenyewe.

4. Mje na midoli ya kuchezea watoto wenu wasije kutunyongea vifaranga.

5. Hakuna kuchinjiwa kuku hadi siku ya christmas.

6. Ukimaliza kuoga toka na sabuni kwa sababu hiyo hiyo ndo tunaoshea vyombo.

7. Ukija na mke au mume wako asianze kusema mboga hii akila anaumwa tumbo sisi tunakujua tangu ulivyokuwa mdogo ulikuwa unakula maembe yenye wadudu na haukuwahi kuumwa tumbo kwa hiyo mtakula chochote kitakachopikwa.

8. Huku hakuna kumbembeleza mtoto wakati wa kula akikataa kula sisi tunakula na tunamaliza.

9. Usiku hakuna kumulikiwa tundu la choo unapapasa na mguu tu.

10. Hakuna Kutupa ugali uliolala huo ni mkate wetu asubuhi.

11. Hakuna mto wa kulalia huku unalalia mikono tu.

12. La mwisho wale mliopo kwenye ajira zaidi ya miaka 10 na huku nyumbani hamjajenga mtakuwa mnalala kwa mwenyekiti.

Ahsanteni na karibuni sana ๐Ÿ™๐Ÿ™

MJUE SNOWDEN GENIUS ALIYEVUJISHA SIRI NZITO ZA MAREKANI NA KUKIMBILIA URUSI.Ukifuatilia kuhusu watu walioihuzunisha sana...
12/12/2024

MJUE SNOWDEN GENIUS ALIYEVUJISHA SIRI NZITO ZA MAREKANI NA KUKIMBILIA URUSI.

Ukifuatilia kuhusu watu walioihuzunisha sana serikali ya Marekani, basi utataja wote lakini hutolikosa jina la mwanaume aliyeitwa kwa jina la Edward Snowden.

Huyu jamaa ni wale watu tunaowaita magenius kutokana na mambo waliyokuwa wakiyafanya kwa kutumia teknolojia ya kisasa.

Huyu mwamba alikuwa mfanyakazi wa serikali katika shirikala kijasusi liitwalo NSA.

NSA hili ni shirika la kijasusi linalodili zaidi na masuala ya ndani ya Marekani katika maeneo mbalimbali hasa ya ulinzi wa nchi hiyo, hasa kupitia teknolojia za kisasa (Internet).

Kwahiyo ikitokea umevujisha siri za Marekani kupitia masuala ya teknolojia, hawa majamaa ndiyo ambao watadili na wewe ipasavyo, na watakutafuta popote pale ulipo.

Sasa bwana hapo NSA kulikuwa na huyu mchizi wa kuitwa Edward Snowden, jamaa alikuwa mtu pia kabisa aliyekuwa akiamka asubuhi na mapema kuwahi kazini.

Alikubalika kwa kuwa alikuwa genius sana na akiwa hapo, akaamua kutengeneza programu maalumu iliyoitwa PRISM.

Hii program ilikuwa na kazi ya kukusanya taarifa za wananchi kwa siri sana, yaani taarifa zako zilikuwa zikichukuliwa kwa siri bila wewe kujua.

K**a unachati na mrembp wa Facebook au whatsapp serikali ilikuwa ikikusanya taarifa hizo, zinapata hata zile picha za faragha za saa sita alizokuwa akikutumia.

Hili lilikuwa kosa kubwa sana kwa serikali ya Marekani kwani huyu Snowden baadaye akaamua kuvujisha nyaraka za siri kwa waandishi wa habari ambao sasa nao wakazichukua na kuzivujisha kwa wananchi.

Ilikuwa balaa sana, wananchi wakachachamaa kwa kuuliza imekuwaje serikali kuwasnitch namna hiyo?

Yaani kwa nini wachukue taarifa zao, ilikuwa ni balaa, serikali ikasema huyu mpuuzi lazima tumtie ndani, akae maisha yake yote.

Alichokera zaidi, yaani hata taarifa za kijeshi za Marekani huyu jamaa akazivujisha na kuwapa Urusi, yaani Marekani ikawa uchi wa mnyama kwa Warusi.

Ni k**a machale yalimcheza Snowden, akaona kwa namna nilivyoharibu, hawa majamaa watanifanya mbuzi wa kafara,akakimbilia nchini Hong Kong. Kumbuka ilijitenga kutoka China.

Akaanzakuishi k**a digidigi. Marekani wakapewa taarifa kwamba mchizi alikuwa huko Hong Kong, k**a vipi waende wakamtwae chap, harakati zikaanza.

Kabla ya kufanya harakati za kutaka kumtia mikononi, kwanza Marekani ilikuwa ni lazima iwasiliane na Hong Kong na kuwaambia walikuwa wanamtaka mtu wao, k**a vipi arejeshwe nchini Marekani ili ashtakiwe.

Sasa hapa kuna usnitch ukafanyika, Urusi akaingilia, akamwambia Hong Kong hebu chelewachelewa kidogo kutoa ushirikiano na hawa majamaa, huyo mchizi na mimi namtaka.

Hong Kong wakaanza kujizungusha.

Wakati huo Snowden hakuwana pa kukimbilia, akaomba hifadhi katika nchi mbalimbali lakini akakataliwa.

Inakuwaje unamchukua mtu anayetafutwa na Marekani na kumpa ulinzi? Unaijua Marekani wewe? Watu wakasanda, wakaona tutaharibu ushirikiano na mtu huyu.

Warusi hawakutaka kuchelewa, haraka sana ndege ikatumwa mpaka nchini Hong Kong, jamaa akachukuliwa na majamaa nakuondoka nao kwa kutumia ndege ya Shirika la Ndege la Aeroflot la huko Urusi.

Mchizi alipofika Urusi, akachukuliwana kupewa uraia wa nchi hiyo kabisa.

Unawezaje kumuachia mtu anayezijua siri nyingi za kijeshi za adui yako?

Baada ya hapo, hata jeuri ya Urusi kwa Marekani ikaongezeka zaidi kwa sababu tu tayari anao utupu wa Mmarekani na kuuangalia kila muda anaotaka kufanya hivyo.

Unaweza kwenda kutazama movie yake iitwayo SNOWDEN ipo Ofisini kwetu Pia, lakini pia kuna documentaries zake mbalimbali k**a Snowdenโ€™s Great Escape, Edward Snowden-Das Interview, Verax na nyingine kibao.

cc: PB

12/12/2024

Muombe msamaha hata k**a yeye ndiye aliyekosea. Mwachie kazi ya kugundua kosa au kusahau kosa lake. Hakika upande uliochagua ni upande sahihi na uliojaa utu, hekima na ubinadamu"

Maisha haya ni mafupi, ukipata nafasi ya kumwambia mtu unampenda mwambie, akiumwa kampe pole, akikuomba msamaha samehe, ...
12/12/2024

Maisha haya ni mafupi, ukipata nafasi ya kumwambia mtu unampenda mwambie, akiumwa kampe pole, akikuomba msamaha samehe, ukimkumbuka mjulie hali..

Usiyape majivuno nafasi, tuna muda mchache duniani... Uhai ni zawadi, kifo ni lazima.. Ama namna gani Ndugu zangu!
๐Ÿ“š๐Ÿคฒ๐Ÿพ

Address

African Dream
Dodoma
41104

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ambokile Francis posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ambokile Francis:

Videos

Share