Dodomafm

Dodomafm DODOMA FM
Is a local radio station with community content has grown to
be one of the leading radio station in central region.

This is what we do:-
create good programs,
drama,
radio jingles,
PA,
We also have 6 billboards

31/01/2025

Wiki hii katika kipindi cha Sanuka tunakuuliza ...
WATU WA KARIBU WANASHIRIKI VIPI KUSAPOTI FANI ZA KIJANA WAO?
tupe maoni yako hapa au kwenye Namba yetu ya Studio 0710666 984.

Kwa niaba ya familia ya Dodoma Media Group (Dodoma FM na Dodoma TV,) tunapenda kuchukua fursa hii kukutakia heri ya mwak...
31/12/2024

Kwa niaba ya familia ya Dodoma Media Group (Dodoma FM na Dodoma TV,) tunapenda kuchukua fursa hii kukutakia heri ya mwaka mpya 2025 ewe mtazamaji na msikilizaji wetu.

Tunashukuru kwa kuwa nasi katika kipindi chote cha mwaka uliopita, 2024 na tunatarajia kuendelea kushirikiana na wewe katika mwaka huu mpya 2025, kwa furaha, mafanikio na maendeleo zaidi.

Mwaka mpya ukawe ni mwaka wa amani, furaha, na afya njema kwa Kila mmoja.

Asanteni kwa uaminifu wenu, na tutaendelea kuwa pamoja katika safari hii.

Heri ya mwaka mpya 2025.






Dodoma Media Group DMG inakutakia heri ya sikukuu X Mass  njema kwako Mdau wetu. Tusherehekee Kwa Amani๐Ÿ™๐Ÿ™
25/12/2024

Dodoma Media Group DMG inakutakia heri ya sikukuu X Mass njema kwako Mdau wetu. Tusherehekee Kwa Amani๐Ÿ™๐Ÿ™






Dodoma FM & Dodoma TV inakutakia Heri ya kumbukizi ya kuzaliwa Mkurugenzi wa Happy Kessy Alluminium
22/12/2024

Dodoma FM & Dodoma TV inakutakia Heri ya kumbukizi ya kuzaliwa Mkurugenzi wa Happy Kessy Alluminium




Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar Es Salaam imefanikiwa kukamata kundi la wahalifu wanane wanaotuhumiwa kula njama kwa pa...
04/12/2024

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar Es Salaam imefanikiwa kukamata kundi la wahalifu wanane wanaotuhumiwa kula njama kwa pamoja na baadae kufanya tukio la kumteka Deogratius Tarimo

Watuhumiwa hao wamekamatwa kwa nyakati tofauti Dar es salaam, Songea Ruvuma na eneo la Mbungu Mlima Morogoro. Pia lilipatikana gari aina ya Toyota Raum ambayo lilitumiwa wakati wa tukio holo huku ikitumia namba isiyo halisi T 237 EGE na baada ya ufuatiliaji namba halisi ya gari hiyo ni T 237 ECF





Mo Maisha Unga wa Ngano sasa umewafikia wakazi wa Kanda ya kati Dodoma unaopatikana katika maduka mbalimbali ya Jumla na...
04/12/2024

Mo Maisha Unga wa Ngano sasa umewafikia wakazi wa Kanda ya kati Dodoma unaopatikana katika maduka mbalimbali ya Jumla na Rejareja.

Wiki hii tupo mtaani kwako kukuthibitishia siri ya Ngano maisha, tunapokuambia chapati mnyambuko laini na tamu tunamaanisha na tutapika na kula pamoja, uonapo gari letu sogea karibu ujipatie zawadi mbalimbali.

Mawakili kutoka  watakuwa mubashara kupitia kipindi cha Kapu Kubwa kuanzia saa 5:00 Asubuhi wakizungumzia kuelekea miaka...
04/12/2024

Mawakili kutoka watakuwa mubashara kupitia kipindi cha Kapu Kubwa kuanzia saa 5:00 Asubuhi wakizungumzia kuelekea miaka 30 ya Beijing Chagua Kutokomeza Ukatili.





Habari.Jina langu ni * Mariam Maulid Matundu nimechaguliwa kuwania tuzo za Samia KalamuNAMNA YA KUPIGA KURAIngia katika ...
12/11/2024

Habari.
Jina langu ni * Mariam Maulid Matundu nimechaguliwa kuwania tuzo za Samia Kalamu

NAMNA YA KUPIGA KURA

Ingia katika tovuti ya www.samiaawards.tz

1. Nenda sehemu iliyoandikwa โ€œPiga Kuraโ€
2. Bonyeza neno lililoandikwa NEXT
3. Utaona Makundi ya tuzo, bofya lililoandikwa TUZO ZA KISEKTA kisha libonyeze hilo neno lililoandikwa Tuzo za kisekta
4. Utaona sehemu imeandikwa Aina ya TUZO, kisha tafuta *TEHAMA NA UBUNIFU
5. Baada ya hapo utaona jina langu MARIAM MATUNDU Kisha bonyeza kitufe kilichoandikwa *PIGA KURA

Ukikamilisha hatua hiyo, utakuwa umenipigia kura, asante sana na ubarikiwe ๐Ÿ™

https://youtu.be/db11oidK0oI
30/10/2024

https://youtu.be/db11oidK0oI

DODOMA TV๐Ÿ“บSTAR TIMES - 113 || DODOMA CABLE 102 || MANENO CABLE - 18Copyright ยฉ 2022 Dodoma Media Group. All ...

Msanii wa filamu na mchekeshaji nchini Pembe Amefariki DuniaMungu ailaze mahala pema peponi๐Ÿ™
20/10/2024

Msanii wa filamu na mchekeshaji nchini Pembe Amefariki Dunia

Mungu ailaze mahala pema peponi๐Ÿ™

Dodoma Fm inaungana na Watanzania wote kuenzi na kuadhimisha kumbukizi ya kifo ha Baba wa Taifa Mwl Julias Kambarage Nye...
14/10/2024

Dodoma Fm inaungana na Watanzania wote kuenzi na kuadhimisha kumbukizi ya kifo ha Baba wa Taifa Mwl Julias Kambarage Nyerere.



Ikiwa ni wiki ya huduma Kwa wateja, Mtandao wa simu nchini  inaendelea kutoa huduma Bora muda wote.Tigo inaendelea kuwa ...
08/10/2024

Ikiwa ni wiki ya huduma Kwa wateja, Mtandao wa simu nchini inaendelea kutoa huduma Bora muda wote.

Tigo inaendelea kuwa na mambo ni ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅukiwa unatumia tigo kwani Kwa miaka 30 Sasa tigo ndio baba lao.

Endelea kufurahia huduma za Tigo









Mtangazaji wa Kituo Cha   Dida Shaibu Amefariki Dunia.Taarifa zaidi zitaendelea kukujia kupitia mitandao yetu ya kijamii...
04/10/2024

Mtangazaji wa Kituo Cha Dida Shaibu Amefariki Dunia.

Taarifa zaidi zitaendelea kukujia kupitia mitandao yetu ya kijamii.

Dodoma Media Group Inatoa Pole Kwa familia ya Dida na Wasafi Media Kwa ujumla.

๐Ÿ’”๐Ÿ’”





Karibu kwenye   muda huuHebu tuambie Leo umejifunza Nini Leo kanisani? atasoma Coment Yako
18/08/2024

Karibu kwenye muda huu

Hebu tuambie Leo umejifunza Nini Leo kanisani?

atasoma Coment Yako




16/08/2024

Katika Ijali Afya Yako Tunakuuliza

Unaelewa nini kuhusu tumbo kujaa gesi au Asidi?

Leo kwenye Karata 2 Tunakuuliza X WAKO ANASEMA SHIDA YAKO KUBWA NI NINI?Acha Coment yako hapa
16/08/2024

Leo kwenye Karata 2 Tunakuuliza X WAKO ANASEMA SHIDA YAKO KUBWA NI NINI?

Acha Coment yako hapa







https://youtu.be/FZnsKheuedc
16/08/2024

https://youtu.be/FZnsKheuedc

DODOMA TV๐Ÿ“บSTAR TIMES - 113 || DODOMA CABLE 102 || MANENO CABLE - 18Copyright ยฉ 2022 Dodoma Media Group. All ...

Karibu kwenye Dodoma live muda huu..Leo tunakuuliza Unaelewa Nini kuhusu Rushwa ya Ngono? Na je hali ikoje kuhusu jambo ...
16/08/2024

Karibu kwenye Dodoma live muda huu..

Leo tunakuuliza Unaelewa Nini kuhusu Rushwa ya Ngono? Na je hali ikoje kuhusu jambo Hilo kwenye eneo lako??









Address

Kato Plaze SIMBA/UMOJA STREET(FATINA) BOX 2399
Dodoma
41106

Opening Hours

Monday 07:00 - 17:45
Tuesday 07:00 - 17:45
Wednesday 07:00 - 17:45
Thursday 07:00 - 17:45
Friday 07:00 - 17:45
Saturday 07:00 - 17:45
Sunday 07:00 - 17:45

Telephone

+255767244704

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dodomafm posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dodomafm:

Videos

Share

Category