Msumbiji:
#7n_Gu media
Mchungaji aliye fariki akijaribu kufunga kwa siku 40..
#mlacAirTv
Hili ndilo tangazo la young African sports club,baada ya kupata udhamini na kampuni ya HAIER ya nchini china inayohusisha na utengenezaji wa vifaa vya kielektroniki,
Ambapo club hiyo ya young African itazitumia jezi hizo katika michuano ya kombe la shirikisho Africa 2023 pia young imepata bilioni 1.5 pia tangazo hilo limepata kurushwa masaa machache katika channel za television..
#mlac_updates
LIVE: ANGELINA ASITISHA VIBALI VYA UJENZI WA VITUO VYA MAFUTA SIKU YA 12 NOVEMBER 2022...πΉπΏ
#mlacAirTv..
TAZAMA SAKO... ALIVYOUNYOOSHA MGUU DHIDI YA IHEFU..ππ
SIMBA SC 1 VS IHEFU 0
#MLACSPORTS
FUATA UKURASA KWA HABARI ZAIDI..
NDEGE YAFIKISHWA NCHI KAVU BAADA YA KUVUTWA.....
#MLAC_UPDATES
#MUHUTASARI...
Nov 2
BODABODA auawa mkoani geita kwa kupigwa risasi hii leo wakati akimnusuru mfanya biashara ambaye aliporwa na majambazi hao..
Kwa muhutasari zaidi #mlacAirTv follow kisha like..
#mlac_updates
#MICHEZO..
Hivi ndivyo magoli yalipatikana kati ya simba sports club na young African sports club...
Mchezo ulikuwa ni tough kati ya watani hawa..
Tazama Ufundi wa AZIZ KI...alivyoifunga simba.
Oct 23 kwa mkapa.β½οΈβ½οΈπ₯
#MUHUTASARI
RAIS WA UGANDA YOWERI MUSEVENI AMETANGAZA KUTOKUWA NA KARANTINI YA EBOLA
HUKU NCHINI TANZANIA GWAJIMA KUITAKA SERIAKLI KWA UJUMLA KUTOA MFUMO MZURI KWA VIJANA WANAOISHI KWA KUOMBA ILI BAADAE FEDHA HIZO ZIWASAIDIE VIJANA HAO KUGIKIA NDOTO ZAO.....
#MUHUTASARI WA HABARI
21 September..
BARUA YA WAZI YAPOKELEWA NEW YORK AMBAPO IMETOA TAHADHARI KWA NCHI ZINAZOKABILIWA NA JANGA LA NJAA..
#MUHUTASARI WA HABARI...
FOLLOW MY PAGE FOR MORE UPDATES...