NELOC Tanzania

NELOC Tanzania Karibu kwa taarifa mbalimbali ulimwenguni kote k**a vile ,matukio,michezo,siasa,dini,na kadhalika.

NELOC LIMITED, ni kampuni ya kibiashara yenye makao yake makuu mkoani Dodoma imefanya vizuri kwa kuzalisha vijana ajira ...
04/05/2024

NELOC LIMITED, ni kampuni ya kibiashara yenye makao yake makuu mkoani Dodoma imefanya vizuri kwa kuzalisha vijana ajira zaidi ya 30 na inaendelea kutoa saport kwa vijana mbalimbali .shughuli zinazofanywa na NELOC LIMITED ni k**a zifuatazo
1.uzalishaji wa bidhaa mbalimbali za matumizi ya binadamu.
2.shule za watoto huku ikiwa na mpango wa kujenga vituo mbalimbali vya kielimu k**a vyuo na shule
3.kilimo taasisi hii pia inajishughulisha na maswala ya kilimo .k**a kulima kuchakata na kusindika mazoa. Na huduma nyingi mbalimbali.
Ndugu mtanzania unakalibishwa wewe kuja kuwekeza kwenye kampuni hii mpya iliyobeba maono ya maendeleo yako .wasiliana na kitengo cha mawasiliano NELOC LIMITED kupitia namba zifuatazo

Email:[email protected]
Phone no:0750656702 au 0629 276 246
WhatsApp number. 0656853143

nitaendelea kukukumbuka mwamba.kesho nitaleta simulizi juu ya mwamba huyu
15/01/2023

nitaendelea kukukumbuka mwamba.kesho nitaleta simulizi juu ya mwamba huyu

13/01/2023
09/01/2023

Hello we learn we care

05/01/2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Kamishna Diwani Athumani Msuya, aliyemteua tarehe 03 Januari, 2023 kuwa Katibu Mkuu Ikulu.



Aidha, Rais Samia amemteua Bw. Mululi Majula Mahendeka kuwa Katibu Mkuu Ikulu. Bw. Mahendeka alikuwa Afisa Mwandamizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu.

05/01/2023

Found on Google from sw.wikipedia.org

Tumeweza na tunaimani na tunajiamini tutafika karibu mwaka 2023
05/01/2023

Tumeweza na tunaimani na tunajiamini tutafika karibu mwaka 2023

Address

Ipagala
Dodoma
123

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when NELOC Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share