Fountain Gate Academy kupitia Shule zake zunazopatika Mkoa wa Mwanza, Morogoro, Dar es Salaam na Dodoma ilitambua mapema sana athari ya adhabu ya viboko kwa Wanafunzi wake.
Kufuatia kutambua hali hiyo ikaamua kuanzisha sera maalumu ya kuwalinda Wanafunzi wake na adhabu ya viboko ifahamikayo kama Child Protection Policy.
Katika sera hiyo Walimu wameelezwa kuwa viboko sio adhabu nzuri Kwa Watoto, Hivyo sera imewaeleza kutoa adhabu chanya na zenye kumjenga mtoto na sio adhabu hasi zenye kumuumiza na kuharibu saikolojia yake.
Hakika Shule za Fountain Gate ni wakombozi wa kweli wa adhabu zisizofaa kwa Watoto.
CC: @officialshetta
@fountaingatesecondary @fountaingate_elite @fountaingatedodoma @fountaingatehighschool @fountaingateacademy_tabata Fountain Gate Academy Morogoro @fountaingate_mwanza @fountaingate_maureenmemorial
#webrandyourfuture #fountaingateacademy #schools
Katika mchezo wa kirafiki kaot ya Manchester United na Arsenal hapo Jana, Mashabiki wengi wa Manchester United wameonekana kulikosoa hili Goli lililofungwa na Gabriel Jesus.
Mchezo huo ulitamatika Kwa Manchester United kupoteza 2-1 katika mchezo uliopigwa huko Marekani.
#webrandyourfuture #soccer #gameday
DAY 2 U20 Trails in Babati, Manyara 🔥🔥
Hivi ndivyo Kyllian Mbappe ametinga ndani ya Uwanja wa Santiago Bernabeu na kupokelewa na mashabiki takribani 85,000.
@realmadrid
#soccer
MACHO YAKO YAMEONA NINI?
Afisa Habari wa Fountain Gate FC Issah Mbuzi akizungumza juu ya kambi ya Klabu hiyo ambayo imeanza huko Karatu.
Umegundua nini kwenye video hii?
@issambuzi_tz @fountaingate_fc
#webrandyourfuture #GameOn #football