Je, umewahi kufikiria kuwa unaweza kuwa mmiliki wa gari la kifahari? Huu ni wakati wako! Weka oda yako leo kwa @silent_ocean_ltd na ingia kwenye droo ya ndoto zako. Kila oda yako ni hatua moja karibu na Harrier Anaconda โ gari ambalo linaleta nguvu, ustaarabu, na muonekano wa kisasa.
โUkiagiza hujapotezaโ โ kauli hii si maneno tu, bali ni fursa ya kipekee kwako. Kila agizo unalofanya linakufanya uwe sehemu ya safari ya ushindi, ambapo hatua zako za sasa zinajenga mafanikio ya kesho.
Hii si tu bahati โ ni kujitolea na kuamini kwamba unastahili bora zaidi. Hivyo, agiza sasa na usikose nafasi hii ya kubadilisha maisha yako. Safari yako ya ushindi inaanzia hapa.
#AgizaNaShinda #SilentOcean #SimbaWaBahari #21YearsOfExperience #HarrierAnaconda โ Hakuna kikomo kwenye ndoto zako.
@DjSma255 afungua T-REX 3 kwa mara ya kwanza. Je, unadhani itakuwaje? Tazama teknolojia ya kisasa ikionekana kwenye mikono ya mkali wa #FuseTech!
HAPA DUBAI TUNAKWENDA NA WAKATI ๐
NJOO Dubai.. TUTAKUPOKEA Airport, TUTAKUFIKISHA Hotelini, na TUTAKUPELEKA Katika Masoko ya BIDHAA UNAZOZIHITAJI, Kwa wepesi na kutumia muda Mfupi sana, @kilimanjarostarcargo TUMEJIPANGA.
Wasiliana Nasi:
๐ +255 746 813 813 (Tanzania Office)
๐ +971 56 198 9458 (Dubai Office)
#SimbawaBahari
#21YearsOfExperience
jojo
Grayson Kanyenye (6), mtoto wa mfanyabiashara maarufu wa Dodoma, Jojo, ameuawa kwa kupigwa kichwani usiku wa kuamkia Desemba 25, 2024.
Tukio lilitokea saa 1:00 asubuhi katika Mtaa wa Bwawani, Ilazo Extension, wakati mama yake akiwa matembezini na mpenzi wake, Hamis Mohamed.
Mwili wa mtoto huyo ulikutwa na majeraha shingoni, chini ya uangalizi wa dereva bodaboda, Kelvin Gilbert. Polisi wanaendelea kuchunguza. ๐๐๏ธ
Powered by @e360mart_
Lugumi Said Akabidhi Nyumba ya Ghorofa 6 kwa Watoto Yatima
Mfanyabiashara maarufu, @lugumisaidi amekabidhi rasmi nyumba yenye ghorofa sita kwa ajili ya makazi ya watoto yatima. Akizungumza na wanahabari wakati wa hafla hiyo, Lugumi alisema kuwa nyumba hiyo ni moja kati ya miradi kadhaa anayotekeleza kwa ajili ya kuwasaidia watoto yatima wenye uhitaji wa makazi.
Akitumia siku ya Krismasi kuleta furaha kwa watoto hao, Lugumi alisisitiza dhamira yake ya kuendelea kujenga nyumba zaidi kwa ajili ya kundi hilo lenye uhitaji mkubwa. "Ni jukumu letu kama jamii kuwapa watoto hawa matumaini na mahali salama pa kuishi," alisema.
Watoto waliopokea msaada huo walionekana wakiwa na furaha tele, wakimshukuru Lugumi kwa upendo na ukarimu wake.
Eliya
@prophet_eliya_mahela amesema kuwa amefanya maombi ya kufunga kwa saa 408 (sawa na siku 17) bila kula chochote isipokuwa kunywa maji tu, akimuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. @samia_suluhu_hassan.
Pia, ametoa ombi kwa Msemaji Mkuu wa Serikali, @gersonmsigwa, kumsaidia kukutana na Rais Samia, akieleza kuwa ana ujumbe muhimu alioupata kupitia maono wakati wa maombi hayo.
Kampuni ya @metlgroup imezindua kampeni ya Kitaifa inayoitwa ONJA NA USHINDE kwaajili ya kuleta furaha na zawadi kwa wateja katika msimu huu wa sikukuu.
Mwijaku, anayejulikana kwa ushawishi wake mkubwa kama DC wa Instagram, ameteuliwa rasmi kuwa balozi wa jengo jipya la kibiashara, East African Commercial & Logistic Center, lililopo Ubungo.
Kupitia ushawishi wake mtandaoni, Mwijaku ametoa wito kwa wafanyabiashara wa ndani na nje ya nchi kuchangamkia nafasi za maduka kwenye jengo hilo ambalo linatarajiwa kuanza shughuli hivi karibuni.
Jengo hili limebuniwa kuwa kitovu cha biashara chenye miundombinu ya kisasa, likiwa ni sehemu bora kwa wajasiriamali kupanua shughuli zao na kufanikisha malengo yao ya kibiashara, hasa katika soko la Afrika Mashariki.
Mwijaku amewahimiza wajasiriamali kufuatilia ukurasa rasmi wa @eaclc_official kwenye mitandao ya kijamii ili kupata taarifa zaidi na nafasi muhimu za biashara.
Powered By: @lapexproperties
Staa wa R&B, Usher Raymond pamoja na mke wake, Jennifer Goicoechea, walihudhuria siku ya kazi shuleni kwa binti yao, Sovereign Bo, anayesoma chekechea.
Wanandoa hao walijitambulisha kwa walimu na wanafunzi, ambapo Usher alizungumza kuhusu kazi yake kama msanii wa burudani kwa lengo la kuwahamasisha watoto kufuata ndoto zao.
Baadaye, Usher alijumuika na watoto kwa furaha, akiwafundisha kucheza, hatua iliyochangamsha siku hiyo na kuwapa watoto kumbukumbu nzuri.
Hii inaonesha kuwa Usher hajali tu kazi yake bali pia anaweka kipaumbele kwenye maisha ya familia yake.
Elon Musk, ambaye ana ushawishi mkubwa kwenye utawala wa Trump unaokuja, anaweza siku moja kuwa rais? Jumapili, Donald Trump alijibu kwa msisitizo wa hapana, akitoa mfano wa sheria za Marekani kuhusu kuzaliwa nchini humo.
'Yeye hatakuwa rais, hilo naweza kukuambia,' Trump alisema kwenye mkutano wa Republican huko Phoenix, Arizona.
'Unajua kwa nini hawezi kuwa? Hakuzaliwa katika nchi hii,' Trump alisema kuhusu bosi wa Tesla na SpaceX, ambaye alizaliwa Afrika Kusini."
Powered By: @silent_ocean_ltd
Furahia msimu huu wa sikukuu kwa kujizawadia zawadi ya kudumu (kiwanja) kutoka @lapexproperties properties
Tembela miradi yetu iliyopo:-
โ
Mapinga kiharaka karibu na ufukwe wa Bahari ( Beach )
โ
Kigamboni Muhimbili
KUBWA KULIKO NA YA KWANZA KUFANYIKA TANZANIA. MASAA 250 YA WAVUVI KEMPU!!
Coco Beach, Dar es Salaam - Kuelekea shamrashamra za sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya, mgahawa maarufu wa Wavuvi Kempu uliopo kwenye ukondo wa Bahari, Coco Beach umetangaza kufanya tukio kubwa la kihistoria kuendesha party ya masaa 250 bila kikomo ijulikanayo kama THE TRANSITION itakayofanyika kuanzia saa nne asubuhi ya Disemba 24, 2024 mpaka Januari 2, 2025.
Mmiliki wa Mgahawa huu, Carlos Bastos maarufu kwa wengi kama Kalito Samaki amesema lengo la kuwa na shamrashamra hizi za masaa marefu ni kutoa burudani ya kipekee na ya kusisimua kwa wateja wake ambao wategemee kuenjoy line up ya kusisimua ya Djs wakali ni vitu vingine tofaut.
"Tutahakikisha tunawapa burudani nzuri sana pamoja na ulinzi wa kutosha kuimarisha usalama wa kila mtu kipindi hiki chote cha The Transition"- Kalito Samaki.
โTunawapenda wateja wetu RESERVE YOUR TABLE MAPEMA ili kuepuka usumbufu na kwa namba hizi 0698128221โ