Mange kimambi

Mange kimambi Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mange kimambi, News & Media Website, Dar es Salaam.
(1)

01/01/2025

Mama yake Rayvan amekataa gari aliyo pewa na Rayvan asema anataka kumtoa kafara kwa sababu yuko freemason yeye na Daimond, amesema siyo gari ni jeneza.🙄 toa maoni yako

Huyu mwanamke ameamua kuolewa na mtoto wake  kwasababu hayupo tayari mtu mwingine ale matunda ya uchungu aliyoyapata.😏 t...
01/01/2025

Huyu mwanamke ameamua kuolewa na mtoto wake kwasababu hayupo tayari mtu mwingine ale matunda ya uchungu aliyoyapata.😏 toa maoni yako

01/01/2025

Hata k**a ungekuwa wewe unahisi ungefanyaje?😆🤣😂

Nasikia Tanzania 🇹🇿 wamepiga marufuku kupikia kuni na mkaa sasa watu wa vijijini wataishije?
01/01/2025

Nasikia Tanzania 🇹🇿 wamepiga marufuku kupikia kuni na mkaa sasa watu wa vijijini wataishije?

Nik**a kweli
01/01/2025

Nik**a kweli

Naomba DNA ifanyike kati ya marehemu Mtoto na huyu muuwaji Kuna kitu nmehisi, lakin mama wa Mtoto atueleze ukweli kabla ...
31/12/2024

Naomba DNA ifanyike kati ya marehemu Mtoto na huyu muuwaji Kuna kitu nmehisi, lakin mama wa Mtoto atueleze ukweli kabla hatujajua ukweli kupitia njia zisizorasmi.

NIKAMA NIMEMUELEWA.Wanawake wanaweza kulala na watu kwa wiki moja na kununua iPhone 14, wanaweza kuamua kulala na watu k...
31/12/2024

NIKAMA NIMEMUELEWA.
Wanawake wanaweza kulala na watu kwa wiki moja na kununua iPhone 14, wanaweza kuamua kulala na watu kwa wiki mbili na kununua gari, wanaweza kuongeza wiki chache za kulala na watu na kuanza kusafiri kote ulimwenguni. Wakihitaji kushinda jackpot, wanatafuta mwanamume tajiri asiyejua nia yao na kuolewa naye, na hapo wanakuwa wameshapata wanachotaka.

Unashangaa kwa nini wanawake ni wavivu lakini wanadhani wanastahili kutendewa kifalme? Ni kwa sababu kwao mafanikio si ya lazima; wamezaliwa na thamani, wanachotakiwa kufanya ni kuilinda, kuiimarisha, na kuipa mvuto zaidi.

Kwa mwanamume, mafanikio ni lazima. Huna chaguo lingine zaidi ya kufanikiwa, la sivyo jamii itakuharibu kwa kuwa mtu wa kushindwa.

Kwa mwanamume, umuhimu wako, heshima, thamani, na ubora wa mahusiano yako vinategemea mafanikio yako.
Kwa mwanamke, umuhimu wake hauhusiani na mafanikio yake, bali unahusiana na uzuri wake, uanamke wake, na thamani yake ya kijinsia.

Wanaume hucheza mchezo kwenye kiwango kigumu, wakati wanawake hucheza kwenye kiwango rahisi.

Hii ndiyo sababu k**a mwanamume, unapaswa kujali zaidi kuboresha maisha yako kuliko kufikiria jinsi ya kuboresha maisha ya mwanamke.

Unahitaji kuacha mawazo ya kushindana na kupima mafanikio yako kwa kuyalinganisha na ya mwanamke.

Waache wanawake na anza kuchukulia maisha yako kwa uzito zaidi. Jenga thamani yako na umuhimu wako.

Kuwa na hekima.

Simama imara.

Wanaume vile wanavyo waona wanawake wakiwaomba pesa😁😅
31/12/2024

Wanaume vile wanavyo waona wanawake wakiwaomba pesa😁😅

Hiyu ndiyo Jojo mwanamke ambae aliacha mtoto kwa boda boda na kwenda kula sitarehe na wanaume mpaka mtoto akauwawa. Huyu...
31/12/2024

Hiyu ndiyo Jojo mwanamke ambae aliacha mtoto kwa boda boda na kwenda kula sitarehe na wanaume mpaka mtoto akauwawa. Huyu ni moja ya wabawake wasiyokuwa na uchungu na watoto ambao hawakusitahili kuwa na watoto, yani unahendekeza mapenzi kuliko mtoto wako wakumzaa daah, na alivyo laaniwa connection yake imevuja sasa baba wamtoto kwahasira kamwaga ladhi soon nawawekea hapa ili akome kabisa.

Squid game 2 k**a umeiona hii session 2 umeunganishwa na freemason☠️🤡 tayari bila wewe kujua. Imetoka iko Netflix🎈🧧
31/12/2024

Squid game 2 k**a umeiona hii session 2 umeunganishwa na freemason☠️🤡 tayari bila wewe kujua. Imetoka iko Netflix🎈🧧

Hivi hawa huwa wana nini cha tofauti na wengine? Toa maoni yako
31/12/2024

Hivi hawa huwa wana nini cha tofauti na wengine? Toa maoni yako

Sijawahi kula ugari wala wali tangu ni zaliwe nakula maziwa na viazi tu. Ndiyo maana mimi nimzuri kuliko mtu yeyote Tanz...
31/12/2024

Sijawahi kula ugari wala wali tangu ni zaliwe nakula maziwa na viazi tu. Ndiyo maana mimi nimzuri kuliko mtu yeyote Tanzania 🇹🇿. Toa maoni yako😅

31/12/2024

Vijana tafuteni pesa sikilizeni huyo babu anivyomzalilisha huyo binti mdogo hivo mbele ya wazazi wake😪😳

31/12/2024

Hivi Wema Sepetu anapata wapi ujasiri wa kudeka wakati amekomaa hivo?😍

Amkeni amkeni balaa la huyu dada nizito kuna wadada wamelaniwa jamani daah alitakiwa akutane na Balthazar huyu daah
30/12/2024

Amkeni amkeni balaa la huyu dada nizito kuna wadada wamelaniwa jamani daah alitakiwa akutane na Balthazar huyu daah

“Kuna muda mtu anakuwekea milioni 10 mezani anakuambia mimi nataka mara 1 tu, nikiitazama hela macho yananitoka, ukimkub...
30/12/2024

“Kuna muda mtu anakuwekea milioni 10 mezani anakuambia mimi nataka mara 1 tu, nikiitazama hela macho yananitoka, ukimkubalia anakurekodi ili abaki na kumbukumbu kwamba amewai kulala nawewe kwakua nikitu ambacho hakuzani kwamba kingetokea maishani mwake maana anajua wewe ni star nayeye ni shabiki yako sana, ila chakusikitisha anashindwa kuitunza iyo kumbukumbu na mwisho wa siku video anaisambaza kwa marafiki zake ili kuwaaminisha kwamba amewai kukulala” Maneno ya — Gigy money. Baada ya connection yake nyingine kuvuja

Hivi huyu bibi anajikuta nani na likitovu lake baya
29/12/2024

Hivi huyu bibi anajikuta nani na likitovu lake baya

28/12/2024

KUNATOFAUTI GANI KATI YA UREMBO NA UZURI? NAOMBA MAJIBU

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mange kimambi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Videos

Share