Sports Halisi

Sports Halisi We provides a wide range of Sports News , in Kiswahili and English, and highlights sports events, Sports Match...

Kampuni ya Azam Media Group imelaani vikali mfululizo wa matukio yaliyojitokeza jana katika Uwanja wa Dandora jijini Nai...
22/12/2025

Kampuni ya Azam Media Group imelaani vikali mfululizo wa matukio yaliyojitokeza jana katika Uwanja wa Dandora jijini Nairobi, Kenya wakati wa matangazo ya moja kwa moja ya mechi kati ya Nairobi United FC na Gor Mahia FC saa 10:00 jioni, ambapo gari la OB (Outside Broadcast) lilivamiwa na wahuni hivyo vifaa vya Matangazo vilivyokuwepo ndani ya gari hilo kuharibiwa

Wakati Azam Media Group ikiendelea kujitahidi kuinua na kuunga mkono ukuaji wa Ligi Kuu ya Kenya kwa kuhakikisha ligi hiyo inaonekana kwa kiwango cha juu kupitia matangazo ya moja kwa moja, matukio k**a haya ya uharibifu si tu kikwazo bali pia yanaonyesha taswira ya kusikitisha ya Ligi Kuu ya Kenya.

Nani ndiye Mchambuzi Bora wa Michezo Tanzania kwa Mwaka 2025 ametisha zaidi?
21/12/2025

Nani ndiye Mchambuzi Bora wa Michezo Tanzania kwa Mwaka 2025 ametisha zaidi?

21/12/2025

MAMA AMINA ALIVYOONDOKA NA KIJIJI KWENYE MECHI YA SIMBA NA YANGA

Mchezo uliowakutanisha mashabiki wa timu hizo katika uwanja wa KMC COMPLEX

SIMBA YAIPIGA YANGA K**A NGOMA KMC COMPLEX Mashabiki wa Simba SC wamewachapa Mabao 2-0 Mashabiki wa Young Africans katik...
21/12/2025

SIMBA YAIPIGA YANGA K**A NGOMA KMC COMPLEX

Mashabiki wa Simba SC wamewachapa Mabao 2-0 Mashabiki wa Young Africans katika mchezo uliofanyika Katika Dimba la KMC Complex

Hizi ni Dalili njema huu unaweza ukawa msimu mzuri Kwa Simba SC

Umemtambua mchezaji gani hapaa??,πŸ˜‚Wengi watakosa??
20/12/2025

Umemtambua mchezaji gani hapaa??,πŸ˜‚
Wengi watakosa??

Siku chache zilizopita MO DEWJI alipost hii Picha akiwa na Tycoon, Tajiri wa Stellenbosch Johan Rupert, Nyuma ya Stellen...
20/12/2025

Siku chache zilizopita MO DEWJI alipost hii Picha akiwa na Tycoon, Tajiri wa Stellenbosch Johan Rupert, Nyuma ya Stellenbosch yupo Rupert nyuma ya Simba yupo Dewji, Kocha wa Stellenbosch yupo Simba SC na hakutuma CV ya kuomba kazi. Ilikua CODE?😜

Wadau wameshauri TAIFASTARS ingetua Hivi Nchini Morocco πŸ‡²πŸ‡¦ kwenye AFCON wangetisha sanaSwali je Vazi la kimasai ndio Uta...
19/12/2025

Wadau wameshauri TAIFASTARS ingetua Hivi Nchini Morocco πŸ‡²πŸ‡¦ kwenye AFCON wangetisha sana

Swali je Vazi la kimasai ndio Utambulisho wa Vazi Mtanzania??

Mtoko wa Golikipa Djigui Diara alivyotinga Morocco πŸ‡²πŸ‡¦ na timu yake yanTaifa ya Mali πŸ‡²πŸ‡± rasmi kwa Fainali za AFCON
19/12/2025

Mtoko wa Golikipa Djigui Diara alivyotinga Morocco πŸ‡²πŸ‡¦ na timu yake yanTaifa ya Mali πŸ‡²πŸ‡± rasmi kwa Fainali za AFCON

Wachezaji wa Taifa Stars πŸ‡ΉπŸ‡Ώ wenye umri mdogo ndani ya AFCON 2025 πŸ‡²πŸ‡¦Seleman Mwalimu (2006)Haji Mnoga (2004)Alphonce Mabul...
19/12/2025

Wachezaji wa Taifa Stars πŸ‡ΉπŸ‡Ώ wenye umri mdogo ndani ya AFCON 2025 πŸ‡²πŸ‡¦

Seleman Mwalimu (2006)
Haji Mnoga (2004)
Alphonce Mabula (2003)
Morice Abraham (2003)
Kelvin John (2003)
Yakoub Suleiman (2003)
Pascal Msindo (2003)
Novatus Dismas (2002)

Huyu kocha mpya Simba SC wamemkagua vyeti vyake Steve Barker?
19/12/2025

Huyu kocha mpya Simba SC wamemkagua vyeti vyake Steve Barker?

Address

Mbezi
Temeke

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sports Halisi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Sports Halisi:

Share