Himaxafrika

Himaxafrika Himax Afrika Tunawasaidia Wafanyabiashara na Wajasiriamali Kuandika Matangazo Yenye Kuuza

Nianze kwa kusema Free Offer kwa watu 10 tu wa mwanzo kwa sababu napenda tukue kwa pamoja.Twendelee...Unajua ni kwa nini...
28/10/2024

Nianze kwa kusema Free Offer kwa watu 10 tu wa mwanzo kwa sababu napenda tukue kwa pamoja.

Twendelee...

Unajua ni kwa nini wateja wengi wanatembelea profile yako Instagram lakini wanaondoka bila kununua?

Najua unajua hujui basi tega umakini wako nikupe sababu.

Wewe akaunti yako mtandaoni inatambulika k**a aina ipi ya Personal Account au Business Account?

Sasa hapa naongea na watu wa business account ambao ndio walengwa wa ujumbe huu.

Naomba nikwambie kwamba mteja anapokuja katika akaunti yangu ndani ya sekunde 10 akaunti yako inatakiwa ijibu maswali ya mteja haya:

1. Akaunti inahusika na nini?
2. Je, ni salama na ninaweza kuiamini?
3. Nifanye nini baada ya hapa?

Hayo ni maswali ya msingi sana ambayo yanatakiwa yajibiwe na yako ndani chini ya sekunde 10.

K**a itashindwa kujibu maswali hayo basi mteja ataondoka kwa sababu hajajibiwa maswali yake.

Sasa nikuulize angalia sasa hivi bio yako halafu uniambie nilichokwambia ni sahihi au umeamua kukaza fuvu 😂

Mfano angalia uandishi wa Bio yangu uone ilivyoandikwa imekujibu maswali yako.
By the way.
Mimi nafanya Page Audit and Optimization yaani Ukaguzi wa Page na Urekebishaji. Nakagua Page yako na kuangalia makosa na mapungufu halafu nayafanyia marekebisho.

Kwa kuwa leo ni siku ya rafiki yangu ya kuzaliwa napenda kuwapa OFA watu 10 wa mwanzo kuwafanyia Free Page Audit and Optimization.

Nitumie sms Whatsapp: 0623475974

PS:
OFA hii inaisha saa 6:00am leo usiku. Kumbuka nafasi ni watu 10 tu na hapa zimebaki 7 kwa sababu watu wa 3 waliniomba nifanye hii kwa hiyo wameshazichukua.

Kabla ya kuwa hivi nilivyo nilikuwa k**a wewe miaka mitatu nyuma. Pesa nyingi zilikuwa zikinipita kwa sababu sikujua nji...
14/10/2024

Kabla ya kuwa hivi nilivyo nilikuwa k**a wewe miaka mitatu nyuma. Pesa nyingi zilikuwa zikinipita kwa sababu sikujua njia sahihi za kufanya biashara mtandaoni.

Lakini nilipogundua njia sahihi ya kufanya biashara mtandaoni leo hii naingiza pesa mara 10x zaidi kupitia katika mitandao ya kijamii.

K**a na wewe unapitia changamoto hii, basi ujumbe huu ni kwa ajili yako.

Hapa nimekuwekea sababu 5 ambazo zinakufanya usiuze mtandaoni lakini zipo nyingi sana.

1. Ukosefu wa uaminifu na ushawishi kwa wateja
2. Ujumbe mbaya na maudhui yasiyoeleweka vizuri
3. Kutokuwa na mkakati sahihi wa masoko na mauzo
4. Huduma mbaya kwa wateja
5. Kutotumia Matangazo au kujitangaza vizuri

Kufanikiwa mtandaoni kunahitaji mchanganyiko wa mikakati sahihi ya mauzo, maudhui Bora, uzoefu mzuri wa wateja na mbinu nyingine nyingi.

Naomba kujua katika comment je, wewe unapitia changamoto zipi.

Siri hii niliyoeleza katika picha hapo juu itakusaidia wewe unaeangaika kuongeza mauzo mtandaoniNiambie wewe unasumbuliw...
11/10/2024

Siri hii niliyoeleza katika picha hapo juu itakusaidia wewe unaeangaika kuongeza mauzo mtandaoni
Niambie wewe unasumbuliwa na nini katika biashara yako.

*Hupati Mauzo kwa Sababu Hii h Hapa Chini.*Unajifunza au unakuwa motivated na Coach, mentor, consultant kwamba ukita kuu...
09/10/2024

*Hupati Mauzo kwa Sababu Hii h Hapa Chini.*

Unajifunza au unakuwa motivated na Coach, mentor, consultant kwamba ukita kuuza zaidi mtandaoni mfano Facebook, Instagram na TikTok inatakiwa ujifunze kufanya Sponsored Ads au umtafute mtaalam akufanyie badala yako.

Ili uweze kuuza kuna skills nyingi zinahitajika uwe nazo ili ukizichanganya kwa pamoja unapata pesa.

Jifunze *Sales + Closing + Sponsored Ads = Money*

Unaweka dollar $100, unapata leads sms 100 halafu una close deal 2 huku ni kupoteza pesa.

Niambie wewe una ujuzi wote *sales, closing na sponsored ads* au kuna kitu unakikosa.

08/10/2024

Siri ya mafanikio ipo katika kitu kinachoitwa uaminifu.Achana na stori za vijiweni kwamba ukiongeza followers ndo utauza...
01/10/2024

Siri ya mafanikio ipo katika kitu kinachoitwa uaminifu.
Achana na stori za vijiweni kwamba ukiongeza followers ndo utauza zaidi huo ni uongo.
Kujua nini maana ya kuongeza follower soma Slide ya kwanza katika picha juu.

Nimeugundua Mapema Mwaka 2025 Inshaallah Kuna muda inakulazimu kufanya vitu vingi hata husivyokuwa na uzoefu navyo ilimr...
15/09/2024

Nimeugundua Mapema Mwaka 2025 Inshaallah
Kuna muda inakulazimu kufanya vitu vingi hata husivyokuwa na uzoefu navyo ilimradi upate chochote kitu wewe na uliowabeba mikono iende kinywani.

Anaefanya kitu kwa kujua na anaefanya kwa kubahatisha siku zote matokeo huwa hayalingani. Fursa inakutana na waliojiandaa.

Mwaka 2024 unaisha 2025 unakuja kwa staili hii
Nipo darasani inshaallah tukutane mwakani wana mabadiliko wenzangu.

Fanya Hivi Kuongeza Mauzo Yako.Ili uongeze Mauzo katika biashara yako ni lazima kutengeneza mikakati kabambe ambayo itak...
05/09/2024

Fanya Hivi Kuongeza Mauzo Yako.
Ili uongeze Mauzo katika biashara yako ni lazima kutengeneza mikakati kabambe ambayo itakusaidia kuongeza mauzo na kuwashinda washindani wako.

Katika siku ya leo naomba nikupe kipengere hiki kimoja kati ya vipengere vinne vya kuongeza mauzo.

Endapo utakizingatia kipengere hiki basi wewe utakuwa mtu hatari sana sokoni na utashangaa pesa zinamiminika hata wewe bila ya kujua zinatokea wapi.

Kipengere cha Hoja ya Thamani

Utaniuliza hiki kipengere kipoje yaani maana yake, basi ngoja nikuelezee hapa chini.

Kipengere hiki kinajibu swali la muhimu: Yaani ni kwa nini wateja wanunue kwako badala ya kwenda kununua kwa washindani wako.
Ni vitu gani muhimu au utofauti gani unao ambao mteja hawezi kupata sehemu yoyote Ile.

Sehemu hii ni moyo wa mkakati wako ukitoka sababu za msingi na zenye kueleweka basi wewe utakuwa umefanikiwa kufika lengo ingawaje hazitoshi thamani peke yake kukamilisha lengo.

By the Way. Uki slide kuelekea kushoto tutaona nimeambatanisha picha za hiyo mashine ni kwa sababu tunapenda kuwafahamisha wateja wetu kuwa tumeboresha huduma zetu kwa upande wa kufanya Cold na Hot Lamination.

Tumetatua tatizo la muda badala ya kuchukua muda mrefu sasa hivi ni mwendo wa kupepesa jicho kazi imekamilika.

Ukisema uielezee uzuri wa Tanzania basi huwezi kuacha kuelezea uzuri wa Rock City Mwanza.Credit to
31/08/2024

Ukisema uielezee uzuri wa Tanzania basi huwezi kuacha kuelezea uzuri wa Rock City Mwanza.
Credit to

Nisikilize Mimi Kwanza...K**a leo hii utasoma ujumbe huu mpaka mwisho nakuahidi kwamba utakuwa moja ya watu wanaoenda ku...
14/08/2024

Nisikilize Mimi Kwanza...
K**a leo hii utasoma ujumbe huu mpaka mwisho nakuahidi kwamba utakuwa moja ya watu wanaoenda kuongeza wateja.
Wauzaji wengi wanapoteza wateja kwa sababu hii moja ambayo imekuwa ikiwakosesha wateja kila siku.
Unapokuwa unatoa huduma au unafanya biashara epuka kuongea kabla ya kumsikikiza mteja.
Unapokuwa muongeaji zaidi ya mteja hutoweza kumwelewa mteja tatizo lake ni nini. Wateja siku zote wanapendwa kusikilizwa.
Unapomsikiliza mteja nini anataka ndipo utakuwa na uwezo wa kutatua tatizo lake lakini pia kupunguza vipingamizi juu ya huduma au bidhaa yako.
Weka hii kichwani leo kwamba wateja huwa hawapendi kuuziwa au kuuzwa bali wateja huwa wanapenda kununua hivyo kuwa msaada kwa wateja kuwasaidia kununua.
Picha hii imetengenezwa na Ai siyo halisia.

Wateja hawapendi mchakato mrefu wakati wa kufanya maamzi katika bei.K**a wewe unauza bidhaa/huduma halafu umetoa Ofa ya ...
03/08/2024

Wateja hawapendi mchakato mrefu wakati wa kufanya maamzi katika bei.
K**a wewe unauza bidhaa/huduma halafu umetoa Ofa ya punguzo basi epuka kuandika kwamba bidhaa hii Ina punguzo la 50% hii inampaka mteja wakati mgumu kuibadikisha ili ajue ni shilingi ngapi ataokoa.
Badala yake andika kabisa kwamba k**a bidhaa inauzwa 100000 andika kwamba bidhaa inapunguzo la elfu 50000 badala ya kuipata kwa 100000 leo utaipata kwa gharama ya elfu 50000.
Follow kwa tips mbalimbali

Ujuzi Muhimu wa Kuwa Nao Baadha ya Kuwa na Bidhaa au HudumaNi suala zima la ujuzi wa Mauzo yaani Sales..Asubuhi njema ja...
30/07/2024

Ujuzi Muhimu wa Kuwa Nao Baadha ya Kuwa na Bidhaa au Huduma
Ni suala zima la ujuzi wa Mauzo yaani Sales..
Asubuhi njema jamani

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Himaxafrika posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Himaxafrika:

Share