PEMBA PRESS CLUB

PEMBA PRESS CLUB Pemba Press Club
(5)

Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar limejipanga kuimarisha ulinzi katika kipindi hiki cha Sikukuu  ya Chiristmas, Mwak...
22/12/2023

Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar limejipanga kuimarisha ulinzi katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Chiristmas, Mwaka mpya na Sherehe za kutimiza miaka sitini ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Akizungumza na waandishi wa Habri huko Forodhani mjini Unguja Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamad Khamis Hamad amesema hali ya Usalama Zanzibar ni shuari na hatua zitachukuwa kwa mtu yoyote atakae sababisha uvunjifu wa Amani.
Aidha Kamishna Hamad amewashukuru Askari wa Jeshi la Polisi na Wananchi kwa kushirikiaana katika kuzuia uhalifu na wahalifu.
Nae Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Kamishna Msaidizi wa Polisi Richard Tadei Mchomvu amesema Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharib limejipanga kufanya doria katika maeneo mbali mbali ya starehe na sehemu za ibada.

Address

Misufini Street
Chake Chake

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when PEMBA PRESS CLUB posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Videos

Share


Other Chake Chake media companies

Show All

You may also like