R Kay

R Kay Welcome to R Kay. Digital Journalist. Content Creator. Football Reporter. Teacher. R Kay Yanga Sc Fan Page
(1)

Imeeandikwa kitaalam sana na   Allan Okello ni talented player katika generation hii ya sasa ,Kusajiliwa kwenda Yanga ni...
09/01/2026

Imeeandikwa kitaalam sana na

Allan Okello ni talented player katika generation hii ya sasa ,Kusajiliwa kwenda Yanga ni hatua kubwa sana kwake ukizingatia kwasasa klabu zetu za Tanzania zinafanya vizuri sana kimataifa kuliko klabu za Uganda.

K**a Allan atafanaikiwa katika ligi ya Tanzania naona future bora kwake na kwa Yanga kufanya biashara yake kimataifa.

Allan anaheshimika sana Uganda ,ukiachilia mbali umri wake lakini nchini humo anaonekana ni star mkubwa sana ...Yanga wamempata Mchezaji mzuri huyu anaweza kuwa Okwi mwingine katika ligi yetu.

03/01/2026
PICHA ZA KUTISHA ZIMETINGA ZANZIBAR  Young Africans Sports Club wametuga Zanzibar asubuhi ya leo tayari kwa michuano ya ...
03/01/2026

PICHA ZA KUTISHA ZIMETINGA ZANZIBAR


Young Africans Sports Club wametuga Zanzibar asubuhi ya leo tayari kwa michuano ya .

Sasa kunaanza kunoga 😂🤔

27/12/2025

Upuuzi mtupu.
Hivi hatuwezi kuwaambia na kuwa Tanzania hatuna timu ili wasitushirikishe kwenye mashindano yao. Kwa maana kiukweli hatuyawezi kabisa 😭😭😭

  Manchester United   anasema, "Nilikuwa free na nikaona mpira umedondoka, nikasema ngoja niupige, nikaupiga vizuri na u...
27/12/2025

Manchester United
anasema,

"Nilikuwa free na nikaona mpira umedondoka, nikasema ngoja niupige, nikaupiga vizuri na ukazama nyavuni."

Dogo kafurshi sana jana kaibeba

  Misri vs Afrika Kusini Mechi kati ya Misri na Afrika Kusini imeisha na Misri imeshinda 1-0. Goli la ushindi lilifungwa...
26/12/2025

Misri vs Afrika Kusini

Mechi kati ya Misri na Afrika Kusini imeisha na Misri imeshinda 1-0. Goli la ushindi lilifungwa na Mohamed Salah kwa mpira wa penati. Hii ni mechi ya pili ya Kundi B katika AFCON 2025, na Misri inakuwa na pointi 6, huku Afrika Kusini ikibaki na pointi 3.

*Uchambuzi wa Mechi:*

- Misri ilionyesha ubora wake katika kipindi cha kwanza, lakini Afrika Kusini ilikuwa hatari katika mashambulizi yake.
- Goli la penati la Mohamed Salah liliamua mchezo na kuipa Misri ushindi muhimu.
- Afrika Kusini ilijaribu kusawazisha, lakini ulinzi wa Misri ulikuwa imara.

*Matokeo ya Mechi Zingine:*

- Angola 1-1 Zimbabwe
- Mechi ya saa 2:30 ni Zambia na Comoros

*Ratiba ya Mechi Zijazo:*

- Desemba 29, 2025: Misri vs Angola
- Desemba 29, 2025: Zimbabwe vs Afrika Kusini

  “Uganda tumecheza nao mechi nyingi sana tangu nimeanza kucheza timu ya taifa, nadhani kesho tutuwafunga bila shaka” “K...
26/12/2025

“Uganda tumecheza nao mechi nyingi sana tangu nimeanza kucheza timu ya taifa, nadhani kesho tutuwafunga bila shaka”

“Kila mmoja anaweza kushinda lakini kwetu huu ni mchezo wa ushindi, tunajua wamejipanga na sisi tuko tayari kwa ajili ya ushindi hatuna jambo jingine zaidi ya ushindi. Tunawaheshimu uganda ila tunataka ushindi.” - Simon Msuva akizungumzia kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Uganda kundi A.



 Unaambiwa katika mechi ambazo zinasubiriwa sana kuwavutia watu ni Tunisia vs Nigeria. Mechi zao za ufunguzi wote walish...
26/12/2025


Unaambiwa katika mechi ambazo zinasubiriwa sana kuwavutia watu ni Tunisia vs Nigeria.

Mechi zao za ufunguzi wote walishinda. Nigeria akimpiga Tanzania 2-1 huku Tunisia akimuwasha bila huruma Uganda kwa 3-1. Hivyo wote wana pointi 3 kwa tofauti ya magoli.

Baada ya kufanikiwa kuzichukua pointi kutoka nchi za Afrika Mashariki, sasa wataenda kuvaana wao kwa wao. Wakubwa kwa wakubwa katika soka.

Hii itakuwa mechi ya kuviziana sana na yenye mbinu mno kwani kila mmoja anataka kuliongoza kundi.

Unadhani au unatarajia matokeo yatakuwaje baada ya dakika 90?

Tuandikie 👇

Usisahau ku follow page yetu 👉 R Kay


Kesho jumamosi tar 27 Disemba 2025 linakuja Dabi moja kali la Afrika Mashariki. Ni Tanzania v Uganda kwenye michuano ya ...
26/12/2025

Kesho jumamosi tar 27 Disemba 2025 linakuja Dabi moja kali la Afrika Mashariki. Ni Tanzania v Uganda kwenye michuano ya .

Tanzania walichapwa 2-1 na Nigeria wakati Uganda walicharazwa 3-1 na Tunisia. Kwa hivyo, timu hizi mbili zitakuwa zikitafuta ushindi wao wa kwanza baada ya kupoteza zile za ufunguzi. Hiki ndicho kitafanya mechi ya kesho kuwa kali, ngumu na tamu kuitazama. Usiikose!

Toa maoni yako kuhusu mpambano huu 👇👇

Nifollow👉 R Kay





Young Africans Sports Club wamethibitisha kuwa mechi yao ya tar 4 Disemba dhidi ya   itakuwa maalumi kwa ajili ya goliki...
02/12/2025

Young Africans Sports Club wamethibitisha kuwa mechi yao ya tar 4 Disemba dhidi ya itakuwa maalumi kwa ajili ya golikipa bora sana kwa sasa kwenye Djigui Diarra yaani .

Hivi karibuni hasa ukirejea mchezo wao dhidi ya wapenzi na wanachama wa YangaSc wameonesha kupendezwa mno na kiwango cha golikipa Diarra. Alifanya uokoaji muhimu mara kadhaa na kuisaidia club yake kufanikiwa kutoka na clean sheet japo pia hawakushinda mechi hiyo.

Kabla ya kupangwa kwa , wapenzi kadhaa wa YangaSc walifanya changizo la pesa lililofikia takribani milioni mbili na kupitia ndugu aitwaye walimkabidhi Diarra pesa hiyo mara walipowasili Airport wakitokea Algeria.

Nini maoni yako?
Tuandikie 👇
Follow R Kay

   Makocha wauchambua mchezo waoEnzo Mareska wa Chelsea "Tulikuwa na timu nzuri zaidi zaidi yao kwenye 11 vs 11 lakini t...
01/12/2025


Makocha wauchambua mchezo wao

Enzo Mareska wa Chelsea
"Tulikuwa na timu nzuri zaidi zaidi yao kwenye 11 vs 11 lakini tukiwa na wachezaji 10, ni ngumu zaidi lakini tulishughulika vilivyo."

Mikel Arteta wa Arsenal
" Kwa ujumla nadhani k**a hutakishinda kikosi cha watu 10 kwa dakika 45 lazima ukatishwe tamaa. Lakini yapaswa ujue wiki tuliyokuwa nayo, mpinzani ni mgumu. "

Nini maoni yako kuhusu mechi hii?
Tuandikie 👇

Follow and Like R Kay

*Stade Malien vs Simba SC : Résumé du Match*Le match entre Stade Malien et Simba SC s'est terminé par une victoire de St...
01/12/2025

*Stade Malien vs Simba SC : Résumé du Match*

Le match entre Stade Malien et Simba SC s'est terminé par une victoire de Stade Malien avec un score de 2-1. Le match a eu lieu le 30 novembre 2025 au Stade du 26 Mars à Bamako, dans le cadre de la Ligue des Champions de la CAF.

*Détails du Match*

- *Score final* : Stade Malien 2-1 Simba SC
- *Buts* : Taddeus Nkeng (16') et Ismaila Simpara (23') pour Stade Malien, Neo Maema (54') pour Simba SC
- *Possession du ballon* : Stade Malien 33%, Simba SC 67%
- *Tirs au but* : Stade Malien 16, Simba SC 14

*Réaction de l'Entraîneur*

L'entraîneur de Simba SC, Dimitar Pantev, a exprimé sa déception après le match, déclarant que ses joueurs n'ont pas joué à leur niveau.

Commentez 👇

Suivez-moi par R Kay

Address

Arusha

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00

Telephone

+255676783387

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when R Kay posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share