"Huku mtaani ni Mitano tena kwa Samia Suluhu Hassan" Raymond John
Rafiki wa mabalozi anamzungumzia Mzee Wasira
#orkonereifmradio #Masai #ccm2025
Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Raymond John akijiita Rafiki wa Mabalozi anasema kuwa Simanjiro itageuka kuwa kama Jiji la Paris Ufaransa ikiwa tu rais wa sasa wa Tanzania atashinda tena nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Raymond ameyasema hayo katika mahojiano kwa njia ya Simu na mwandishi wetu @isackdickson kuhusu mkutano maalumu wa CCM uliofanyika kati ya tarehe 18-19 January jijini Dodoma.
Sikiliza alichosema hapa #SIASA #masai #orkonereifmradio #uchaguzi #CCM #ccm
WAKATI WA KAZI, KAZI! WAKATI WA BURUDANI, BURUDANI! 🎶💃🕺
Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, Fakih Lulandala, akionyesha ujuzi wake wa kucheza kwenye kikao cha CCM kilichomalizika jana, Januari 19, 2025. Baada ya siku za mijadala na maamuzi muhimu, ilifika wakati wa kucheza sasa.
Aachiwe bendi ya TOT ?! 😂🔥
#SimanjiroVibes #CCM2025 #FurahaKwanza #SimanjiroInawezekana #KaziNaBurudani #UmojaNiNguvu
"Ni vyema mgogoro huu ukashuhulikiwa na kila mtu apate haki yake"Saitabau Laadapi -Mwananfunzi wa shahada ya Sheria Chuo kikuu Makumira Arusha
Ili kusikiliza mahojiano kamili tembelea website yetu www.ors-radio.co.tz
#Rushwa #ardhi
"Kijiji kihakikishe ugawaji wa ardhi kwa usawa kabisa"Saitabau Laadapi-Mwananfunzi wa shahada ya Sheria Makumira Arusha
"Moja kati ya kanuni hizo inaeleza kunakuwa na usawa katika ugawanywaji wa ardhi hiyo" Saitabau Laadapi, Mwanafunzi wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira Arusha
"Mzee Sangeti atatakiwa kuonesha kumbukumbu za mkutano wa kijiji uliokaa tarehe fulani kupitisha,... kama mzee Marko Sangeti atakuwa na nyaraka hizo basi atakuwa mmiliki halali wa eneo hilo"Saitabau Laadapi, Mwanafunzi wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira jijini Arusha
Mtaalamu wa sheria, Ndg. Saitabau Laadapi, mwanafunzi wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira jijini Arusha anasema kijiji kisajiliwe ila kwa mtu binafsi basi hakikisha umekabidhiwa ardhi kisheria.
Afisa Tarafa ya Terrat, Bwana Lekishon Kiruswa, amewakumbusha viongozi na wakuu wa idara za Tarafa ya Terrat kuhusu umuhimu wa kushirikiana na kutekeleza majukumu yao kwa weledi. 🌟
🚨 Suala la ulinzi na usalama pia limepewa kipaumbele! Kamanda wa Polisi James Matei amesisitiza mpango wa kuwatambua askari mgambo ili kuimarisha usalama vijijini. 👮♂️
🎥 Tazama sehemu ya kikao hicho kwenye video. Je, ushirikiano wa viongozi ni suluhisho la changamoto za maendeleo?
📌 #UongoziBora #TerratTarafa #OrkonereiFmRadio #HabariZaKijamii
Wanao fungua Biashara hadi usiku wa manane kupewa onyo