Ni Rahim KE

Ni Rahim KE Chelsea fun👌
F**k s**t

02/07/2024

Unachekesha mpoa wako kidogo anakuambia 'imagine Landlord hajatahiriwa'😂

07/06/2024

Unatumia dem yako pesa ya supper, yeye anatumia chali yake, makofi 😂😂.chali yake anaenda kununua pombe wakunywe na dem yake, wapi makofi huko nyuma😂😂.Dem yake akilewa anaanza kusema apelekwe kwa chali yake, alafu huyo chali yake ni wewe, analetwa kwako mbona sisikii shangwe na nderemo huko nyuma😂😂😂😂

kipindi nipo shule nilikuwaga napenda kukaa upande wa dirishan unaotazamana na jiko la shule.sasa sikumoja nikawa naona ...
06/06/2024

kipindi nipo shule nilikuwaga napenda kukaa upande wa dirishan unaotazamana na jiko la shule.sasa sikumoja nikawa naona baba mpishi amefungua sufuria la maharaghe akaeka chumvi.eeh tena ni nyingi had akawa k**a anawasiwasi kazidisha ikabidi atoetoe na kijiko lakin nahisi hakufanikiwa namtazama tuu.baada ya muda tena akaja mpishi mwingine nikamuona anafunguaa chumvi anamimina Aseee weeeh nilipiga keleleee sikujali mwalimu yuko darasan...... Usiwekee Ameshawekaaaa..😁 ....

06/06/2024

GOOD MORNING 🌞🌄
Bado anakudrive crazy ama mlipata accident?

Address

Webuye

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+254759095201

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ni Rahim KE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Ni Rahim KE:

Share