SIMON XADO Ké

SIMON XADO Ké Humbled

07/10/2024

Waz up peepo

NDIO KUNDONJO
26/09/2024

NDIO KUNDONJO

Kutoka kesho nawaletea memes maarif
25/09/2024

Kutoka kesho nawaletea memes maarif

25/09/2024
Hello friends 🤜🤛
29/06/2024

Hello friends 🤜🤛

This version of Facebook uses less data and works in all network conditions.

11/05/2024

Hi everyone 👋👋

❤️❤️Kuna mrembo huku FB huwa namtamani sana hadi nazoom pic yake Niki💋💋, watoto Kwa boxer wananiambia tu si ufanye plan ...
06/05/2024

❤️❤️Kuna mrembo huku FB huwa namtamani sana hadi nazoom pic yake Niki💋💋, watoto Kwa boxer wananiambia tu si ufanye plan huyu akuwe tu mama yetu 😛uko wapi Leo sijakuona darling ❤️ama nimtag Sahi labda ni wewe ❤️❤️👈

12/04/2024

Leo nimeingia club nikaitisha Captain Morgan Mzinga😎🍾🍸But nikaona watu wameniangalia sana nikasema siwezi kunywa na watu wameniangalia😏so nikashout 🗣Waitor..Siwezi kunywa na watu wananiangalia pea kila Mtu Mzinga yake😎..Watu kuskia hivo wakafurahi🥳🤗wengine wakaanza kudance💃🕺Baada ya kila mtu kupewa pombe..nikaitisha Chips kuku😎🤓..Tena nikaona watu wananiangalia nikaambia waitor siwezi kula na watu wananiangalia..Pea kila mtu Chips kuku yake😎😎🤓wacha watu wafurahi🕺🕺wakaanza kuniita majina poa poa eti ooh Mkuu..Ooh our incoming President👉..wewe ndio budah boss sasa💪💪🤗...
Baada ya kumaliza kukula nikiitisha Bill nikaona tena watu wote wakaniangalia🙄..Nikashout🗣..Waitor Siwezi lipa na watu wameniangalia..pea kila mtu Bill yake😎🤓...Sai vile naongea hivi sina Meno Nne kwa mdomo wakuu😭😭😰wacha nipakwe dawa narudi kumalizia story🤕🤕. Simon xado ke

Aki binadamu wewe utaniua nakupenda
12/04/2024

Aki binadamu wewe utaniua nakupenda

12/04/2024

STUPID QUESTIONS WELL ANSWERED
Q: Unaenda tao na hii mvua?
A: Hapana naenda na ile ingine.
Q: kwani umesukwa nywele?
A: Hapana nimechange kichwa.
Q: Kwani gari imeanguka?
A: Hapana ni dere amepack upside down.
Q: How was your night?
A: sijui nilikua nimelala
Q: Hiyo gazeti ni ya leo?
A: Hapana niyangu.
Q:(HOD)...Umemwona prefect?
A:(stude)...Hapana sikua namtafuta.
Q: News leo zinasemaje?
A: Sijui sijaongea nazo!.. 🤣🤣QuQuick loans

Address

145
Ruiru

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 04:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+254743645201

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SIMON XADO Ké posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SIMON XADO Ké:

Share