๐—ž๐—˜๐—ฉ๐—œ๐—ก ๐”Ž๐”ˆ

  • Home
  • Kenya
  • Nyanza
  • ๐—ž๐—˜๐—ฉ๐—œ๐—ก ๐”Ž๐”ˆ

๐—ž๐—˜๐—ฉ๐—œ๐—ก ๐”Ž๐”ˆ ๐…๐š๐ค๐ž ๐ข๐ญ ๐ฎ๐ง๐ญ๐ข๐ฅ ๐ฒ๐จ๐ฎ ๐Ÿ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ญ .
๐ฒ๐ž๐š๐ซ๐ง๐ข๐ง๐  ๐ญ๐จ ๐›๐ž ๐š ๐ ๐ซ๐ž๐š๐ญ ๐Ÿ๐š๐ญ๐ก๐ž๐ซ

Wanawake ni ...... Viumbe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’‰๐Ÿ’‰ama acha tu๐Ÿ’”๐Ÿ’”
23/07/2024

Wanawake ni ...... Viumbe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’‰๐Ÿ’‰ama acha tu๐Ÿ’”๐Ÿ’”

30/04/2024

USICHOMOE 01

"Jose usichomoe bwana....๐Ÿ˜ž๐Ÿค”๐Ÿ™… utasababisha tugombane๐Ÿคจ......๐Ÿ‘‰we jose usichomoeee....." haya ni maneno aliyokuwa akiniambia rafiki wa dada yangu aitwaye Arafa kipindi nikiwa kwa bro huko Mererani kitendo kilichofanya nicheke

"Hahaah๐Ÿ˜‚ nisichomoe nini??" Nilimuuliza huku nikicheka sana

"Si hiyo chaja yako unayoniringia nayo Jose, siku moja ntanunua ya kwangu" alijitetea "au ulifikiri nakuambia usichomoe nini?"

"Nikajua mashine" nilitamka

"Mashine gani unayoijua wewe?" Aliniuliza kwa jeuri binti huyu ambaye alishaninyima sana penzi lake nilikuwa nimemtongoza zaidi ya miezi sita bila kukubaliwa mzee.

"Lakini Arafa kwanini huwa unaninyima hiyo kitu ninayokuombaga kila mara?" Niliuliza

"Samahani Jose usinichefue, kwanza nina hasira sana"

"Hasira gani?" Alisema

"Anitha yuko wapi?" Aliniuliza kwa hasira utadhani alikuwa anamuulizia mume wake lakini cha kushangaza ni kwamba alikuwa anamuulizia dada yangu ambaye nilikuwa ninaishi kwake.

"Mi sijui bwana"

"Ameenda kudanga ee?" Aliuliza tena kwa hasira

Mara ghafla simu yangu iliita na ilikuwa chumbani kwangu niliifata na Arafa alibaki sebleni

Nilipofika chumbani nilikuta shemeji (mume wa dada yangu) ndiye anapiga.

"Ninja" nilimuita kwani ndiyo msemo ambao tulikuwa tumezoea kuitana

"Nambie ninja wangu uko home?"

"Nipo"

"Nipo bro kwani vipi mzee?"

"Vipi upo mwenyewe au upo na Anitha" aliniuliza

"Hapana mzee nipo chumbani kwangu" sikutaka kumuambia kwamba mkewe hayupo nilikausha kwanza

"Sasa sikiliza ninja, kuna kamchezo sielewi kati ya Arafa na Anitha dada yako"

"Kwanini?" Nilimuuliza

"Nahisi wanasagana mzee, sasa sikiliza embu wachunguze hapo home halafu unipe takwimu" alisema

Kidogo wazo lilinijia nikasema labda ndio maana Arafa anamuulizia kwa hasira sana may be wanafanyaga matendo hayo kweli, embu nifuatilie

Baadaye nilimuacha Arafa sebleni nikamuaga naenda kijiweni, kwa sababu ndani kwetu alikuwa akiishi muda mrefu tu tulimzoea hata kumuacha home ilikuwa ni jambo la kawaida

I smile always because I know God is always a game changerโค๏ธ๐Ÿ’™โค๏ธ๐Ÿ’™ #๐–๐–Š๐–›๐–Ž๐–“๐Ÿ’•๐ŸŒบ๐Ÿ’•๐ŸŒบ
21/04/2024

I smile always because I know God is always a game changerโค๏ธ๐Ÿ’™โค๏ธ๐Ÿ’™
#๐–๐–Š๐–›๐–Ž๐–“๐Ÿ’•๐ŸŒบ๐Ÿ’•๐ŸŒบ

Nothing serious here, just a pictorial representation of Relationships in Nairobi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜ #๐–๐–Š๐–›๐–Ž๐–“ โฅโคโ™ฅโฅโฆโฆ
04/04/2024

Nothing serious here, just a pictorial representation of Relationships in Nairobi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜
#๐–๐–Š๐–›๐–Ž๐–“ โฅโคโ™ฅโฅโฆโฆ

K**a we ni mrembo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃnyoa hio nywele,alafu uvae Jessey ya man u๐Ÿ˜‚...ndo tujue
31/03/2024

K**a we ni mrembo ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃnyoa hio nywele,alafu uvae Jessey ya man u๐Ÿ˜‚...ndo tujue

29/03/2024

When a man is handsome, well educated, wealthy but single!

What could be the problem?
โ™ ๏ธโ™ ๏ธ๐Ÿ–ค๐Ÿ–ค๐Ÿ’ž๐Ÿ’ž

๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’: ๐๐„๐‚๐Š๐˜ ๐Ÿ๐Ÿ—๐“๐‡ ๐Œ๐€๐‘๐‚๐‡ ๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ Please before usome update ya kesho take one second tufollow PUPAonBecky haya tusome Sa...
29/03/2024

๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’: ๐๐„๐‚๐Š๐˜ ๐Ÿ๐Ÿ—๐“๐‡ ๐Œ๐€๐‘๐‚๐‡

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Please before usome update ya kesho take one second tufollow PUPAonBecky haya tusome Sasa ๐Ÿคฃ,Lexy amefika nyumbani amejam mbaya sana anafikiria tu maneno ya Pupa akimwambia k**a anafikiria kumpenda ni njaa inamsumbua atafute mutura akule atakua sawa. Hii kitu inamuuma Lexy mbaya sana. Amelia alikuja kwa room yake akamuuliza unataka nini mum? Amelia akamwambia naelewa uko na right ya kunikasirikia but iam very sorry sikujua utajam hivyo but mikono zangu zilikua tight na singeeza kukuambia ju ulikua ushanifukuza na Becky ndio alikua ananihost. Lexy akamuuliza mbona hungeenda polisi ureport Moh? Amelia akammwambia ningekosa place ya kulala,so ilibidi nikanyagie.

Lexy akamuuliza na story ya Pupa,unajua yeye ni gondi? Amelia akamwambia zii,sina idea ju aliniambia aliacha. Lexy akamwambia Pupa bado ni gondi na ako na gun na alisema hataacha anytime soon. Hii sasa ni Lexy kumchomea Pupa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Lexy akamwambia so acha nione utachose nini,gondi ama mimi mtoto wako.

Becky na yeye ashafika nyumbani,akaulizwa kazi ilikua aje? Becky akamwambia ilikua sawa,nilipata mdosi mzuri ako na pesa na anakaa peke yake hata amesema k**a anaeza nihire permanently. Junior akamuuliza, uko sure huyu jamaa hamake moves kwako? Ju how now? Becky akamwambia relax,sijaconfirm job bado relax. Kumbe Becky alisahau charger yake kwa huyo jamaa,sasa Junior kusikia hivyo,anakula nare mbaya๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Baadaye kiasi, Lexy alikuja kwa room ya mamake akamkosa akaona kuna cratch yake hapo chini akashindwa kwani leo madhe hatumii cratch. Akachungulia bafu,Amelia hayuko,akashindwa sana ameenda wapi. Simu yake iko hapo kwa bed.Lexy anashindwa sana madhe ameenda wapi,simu ameacha hapa na hayuko. Kumbe Amelia amekuja kwa Pupa.

Pupa aliona madhe akamuuliza rada,kuna shida? Amelia akakaa chini kwanza,akauliza Pupa,unajiona wewe ni mjanja sana sindio? Pupa akauliza madhe nimefanya nini? Amelia akamwambia sikiza, mimi si rika yako,kumbe maisha ya ukora hujawai acha hadi unaonyesha Lexy gun ukimwambia hutawai acha? Pupa akamwambia mum,ndio nilisema lakini nina reason na sijui k**a itakubamba. Amelia akamwambia ongea sai nataka kusikia. Pupa akamwambia madhe sikiza, Lexy anafall in love na mimi na nilimwambia hivyo ndio achoree hiyo story ju mimi sitaki na ilibdi nimwabia hivyo ndio aachane na mimi kabisa. Amelia hajawai shtuka hivyo wueh....kisha punde si punde, Lexy mwenyewe akamcall Pupa na Amelia akamwambia pokea na uweke loud speaker. Lexy akauliza Pupa k**a madhe amekuja huko,Amelia akasignal Pupa akamwambia sema sijakuja na hivyo ndio Pupa alisema. Amelia sasa ashajua ukweli wa mambo,Pupa aliacha ugondi but he had to lie ndio Lexy amuondokee.

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Junior wanapelekana mbio na Moh na Junior anaambia Moh itabidi umeniheshimu sawa,mimi si Sanchez. Becky alikuja akauliza shida ni nini? Moh akamwambia ni hiki kimtu lakini Becky alimwambia wee hutaniongeleshea bwana hivi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Becky aliuliza Junior shida ni nini? Junior akamwambia just because nilimwambia aachane na mali ya wenyewe hakusikia.

Amelia akiwa amekaa ndio akaanza kukumbuka,first day Lexy kumuona Pupa kuna venye aliact na venye aliambia Pupa kuhusu kumfanyia massage. Sai sasa ndio Amelia anajua ooh,so Lexy all along she has been "wanting" Pupa? Pupa alikua mkweli akaambia Amelia ilibidi adanganye ndio amuache. Lakini Amelia akamwambia mimi siezi kuwa comfrortable ukitembea na hiyo gun,sijui k**a unanielewa? Pupa akamwambia yeah nakuelewa kabisa madhe. Amelia akamuuliza,so hii gun uko na business gani nayo? Pupa alimwambia hii kitu ni fake na niliichukua ile siku Trisha alituma niuliwe na sitaki kupeana iende kwa mtu wrong.

Lexy amejaribu kumake calls lakini zii hampati mamake,ashauliza Sanchez,Sanchez pia hajui. Lexy akaona acha amcall Becky ju Moh hawaongei na Junior hawaelewani,ikabidi tu amcall Becky.

Kwa Becky alimwambia Junior please babe, story za Moh chorea ju yeye anakuanga mtu haeleweki ju sai natoka kiasi narudi. Junior akamuuliza unaenda wapi? Becky akamwambia come on babe, naendea charger kwa yule jamaa. Junior akamuuliza ooh kwa yule bachelor guy,ama twende wote๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Becky akauliza Junior kwani huniamini ama? Junior akamwambia unajua kuna venye eeeh unajua wee unajua tu. Becky alimwambia sikiza babe, I love you and I respect you,wewe enda kazi acha niendee charger I promise hakuna charger ingine nitapewa,ni ile yangu tu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Amelia alifikiria akamwambia sasa hii gun tunaeza enda the legal way tuipeane. Pupa akamuuliza hutakua unanipeana kwa polisi? Amelia akamwambia apana,I have a lawyer friend,I know what to do. Pupa na Ameia wakaelewana na ubeshte ukarudi.

Kuna job Sanchez ameorganizia Junior ya mjengo. Junior akamwambia manze kuna story nataka kukuchapia,ni wewe ulionyesha Becky place ya Job? Sanchez akamwambia yeah,kuna noma? Junior akamwambia alipata but manze hii job iko kwa msee bachelor hana mtu. Sanchez akamwambai relax, Becky ni mjanja anajua kitu anafanya so usiwe na wasiwasi na yeye,lakini Junior akamwambi

K**a unaweza kula ugali mwaka mzima niite tuanze kuishi pamoja my love๐Ÿคฃ
28/03/2024

K**a unaweza kula ugali mwaka mzima niite tuanze kuishi pamoja my love๐Ÿคฃ

my attitude will always be based on how you treat me๐Ÿฅบโ™ฅ๏ธ๐Ÿ’œ ๐Ÿ–ค๐Ÿ’›๐Ÿ–ค๐Ÿ’›
26/02/2024

my attitude will always be based on how you treat me๐Ÿฅบโ™ฅ๏ธ๐Ÿ’œ
๐Ÿ–ค๐Ÿ’›๐Ÿ–ค๐Ÿ’›

Never lose hope,you neverknow what tomorrow maybring๐Ÿ”ฅโค๏ธ๐Ÿฅบ๐Ÿซต
20/02/2024

Never lose hope,you never
know what tomorrow may
bring๐Ÿ”ฅโค๏ธ๐Ÿฅบ๐Ÿซต

โ€” Aprenda a amar o Que vocรช fazโ€š e faz com Amor!! ๐Ÿ–ค๐Ÿˆโ€โฌ›
18/02/2024

โ€” Aprenda a amar o Que vocรช fazโ€š e faz com Amor!! ๐Ÿ–ค๐Ÿˆโ€โฌ›

โ€œBe Addicted to your Success not your distractionโ€๐Ÿ’๐Ÿฅฐ๐Ÿซ‚!!
16/02/2024

โ€œBe Addicted to your Success not your distractionโ€๐Ÿ’๐Ÿฅฐ๐Ÿซ‚!!

Finally I have decided to address this issue ๐Ÿ™„,,,first of all am not single โค๏ธโค๏ธโค๏ธand am not hiding my relationship,,I j...
29/01/2024

Finally I have decided to address this issue ๐Ÿ™„,,,first of all am not single โค๏ธโค๏ธโค๏ธand am not hiding my relationship,,I just think it's nobody's business ๐Ÿ˜ secondly,,,,,yes we are getting married ๐Ÿ’soon. it seems kinda rushed but I can't wait to spend the rest of my life with someone I loveโค๏ธโค๏ธ, lastly I stole this post from someone else because I knew you will read it,,so I thought it's the best way to tell you to drink water regularly , avoid stress and be at peace and try minding your own business ๐Ÿšฎ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜Rusheni mawe najenga๐Ÿ™Œ๐Ÿคธ๐Ÿคธ
๐Ÿ’–๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’–

Don't force bonds. if they think they found better people than you, let them go ๐Ÿฅบ๐Ÿคฒ๐Ÿ’‰๐Ÿคฒ๐Ÿ’‰ ๐ŸŒนโค๏ธ
06/11/2023

Don't force bonds. if they think they found better people than you, let them go ๐Ÿฅบ๐Ÿคฒ๐Ÿ’‰๐Ÿคฒ๐Ÿ’‰
๐ŸŒนโค๏ธ

Life doesn't require you to be the best. It just wants you to try your best.๐Ÿ’๐Ÿ’
06/11/2023

Life doesn't require you to be the best. It just wants you to try your best.๐Ÿ’๐Ÿ’

Don't spent so much time proving your worth just to keep a person away from leaving.๐ŸŒนโค๏ธNew month ๐ŸŒน๐ŸŒบ
01/11/2023

Don't spent so much time proving your worth just to keep a person away from leaving.๐ŸŒนโค๏ธNew month ๐ŸŒน๐ŸŒบ

Address

Keroka
Nyanza

Telephone

+254719273470

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ๐—ž๐—˜๐—ฉ๐—œ๐—ก ๐”Ž๐”ˆ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to ๐—ž๐—˜๐—ฉ๐—œ๐—ก ๐”Ž๐”ˆ:

Share