
15/02/2025
Jana si nliamua kutembelea yule mmama nlikuwa nawapasha kumuhusu wueh ilikuwa the first time 😆mimi huyo nikaamka Jana kitu satano na kukimbia bafu teketeke bila kupoteza wakati nikapiga Loksafi yani ungeniona ungethani ni Dt kelvin 😆 mimi huyo adi supermarket nikachukua Maua ya 2thausad ka yorgat litre tatu mzinga ya four cousin na chocolate😂😆 wueh nikajua sasa huyu nitampindua k**a chapo anywa mimi huyo adi kwake 😆vile nlifika hivi nikapa amepika kamukimo ya waruu 😌nikajiuliza kwa huyu anataka nimuue nikiwa juu nifungwe 😂😆🔥 si sasa nikampea hile shopping yangu We nakwambia tulijiejoy bt usiwai pelekea mmama mzinga ya four cousin 😌anywa mimi niko hapo namuonyesha maisha randani bt tuko meru si sana nikaamua kumpeleka bed 😌hiyo siku sitawai sahau maishani😭😭😥 si Mmama wangu akaniambia nitoe nguo dio tuanze kazi 😥😥acha sasa niachwe uchi wa mnyama alafu aanze kunisomea vile atuna ata haibu acha nikamwambie nlipewa msomo ata sai dio nimefika kwa nyumba coz nlijama nikaamua kutoka miguu😭😥😥😥😥😭😭