Prïñçè kèlvíñ

Prïñçè kèlvíñ Gods of another chance 💪
(4)

Jana si nliamua kutembelea yule mmama nlikuwa nawapasha kumuhusu wueh ilikuwa the first time 😆mimi huyo nikaamka Jana ki...
15/02/2025

Jana si nliamua kutembelea yule mmama nlikuwa nawapasha kumuhusu wueh ilikuwa the first time 😆mimi huyo nikaamka Jana kitu satano na kukimbia bafu teketeke bila kupoteza wakati nikapiga Loksafi yani ungeniona ungethani ni Dt kelvin 😆 mimi huyo adi supermarket nikachukua Maua ya 2thausad ka yorgat litre tatu mzinga ya four cousin na chocolate😂😆 wueh nikajua sasa huyu nitampindua k**a chapo anywa mimi huyo adi kwake 😆vile nlifika hivi nikapa amepika kamukimo ya waruu 😌nikajiuliza kwa huyu anataka nimuue nikiwa juu nifungwe 😂😆🔥 si sasa nikampea hile shopping yangu We nakwambia tulijiejoy bt usiwai pelekea mmama mzinga ya four cousin 😌anywa mimi niko hapo namuonyesha maisha randani bt tuko meru si sana nikaamua kumpeleka bed 😌hiyo siku sitawai sahau maishani😭😭😥 si Mmama wangu akaniambia nitoe nguo dio tuanze kazi 😥😥acha sasa niachwe uchi wa mnyama alafu aanze kunisomea vile atuna ata haibu acha nikamwambie nlipewa msomo ata sai dio nimefika kwa nyumba coz nlijama nikaamua kutoka miguu😭😥😥😥😥😭😭

14/02/2025

After kukula chipo na fanta baridi sasa ni payback time. Kupinduliwa kaa chapo

14/02/2025

Happy valentines to all single mothers ❤️❤️nyinyi ni watu wa maana sana

14/02/2025

Bt seven pm nitakua nimepata pesa za maua

14/02/2025

Leo uletewe maua ama uletewe maembe

Sai Kuna mtu anajitayalisha haende kuuma mbegu  😥anywa ukitoka usisahu hile mpira ya kuzuia ball
14/02/2025

Sai Kuna mtu anajitayalisha haende kuuma mbegu 😥anywa ukitoka usisahu hile mpira ya kuzuia ball

13/02/2025

Unalia baridi 🥶Na uko Na elfu 🤑Saba jishikie a brand new Infinix 🤳

13/02/2025

Sasa Yule Jamaa alinotoce MTU anaweza Chana jaba alikua anafanya nn sasa🤣🤣

13/02/2025

Thirty three 33
Twenty two 22
11 onety one ama niendee fee wakuu😁😁

13/02/2025

Kesho ..utaona vile
madem wafupi watavaa red wakae fire
extinguisher

Uliwahi enda church,Cute couple wakaingia.Dem tu mrembo mweupe,amepaka makeup vizuri ako na shape.Alafu akakam na bwanak...
13/02/2025

Uliwahi enda church,Cute couple wakaingia.Dem tu mrembo mweupe,amepaka makeup vizuri ako na shape.Alafu akakam na bwanake.Bwanake ni mcute ako na ndevu😋 na ameunga smart.Then bwana ndo amebeba katoto😍..bibi amebeba tu handbag.Wanaketi pamoja.Katoto kakilia kanaongeleshwa kizungu "Baby Jill,stop crying,here is your chocolate" .Kanapewa chocolate.Kidogo kidogo domestic manager anaitwa .Anapewa funguo za gari anaambiwa akafungue achukulie mtoto kipande ya pizza na maji fresh😋.Sahio bwanako amekaa mbele wewe umekaa nyuma😥.Mlitoka nyumbani akiwa amekuslap.Mtoto wenu akilia anapewa kdf na quencher ya 15 bob😣.Time ya kutoa sadaka couple wanaenda mbele wakiwa wawili kutoa.Kila mtu anatoa fae handred.Wewe ukitafuta kwa kibeti unaona tu kobole yaani fae bob.Unaifunika kabisa unaenda kuitumbukiza kwa kikapu ya sadaka.Mtoto wako akienda kucheza nje anaekelewa kofi na wengine.Haka katoto ka matajiri kakienda kucheza nje wengine wanakaogopa juu mwanzo kanaongea kizungu ya mapua.Yaani kizungu cha 🤥
Dear God,if I'm an antelope return me to the zoo😥😭😭

13/02/2025

"So utanipeleka out ama nijipange?"😂😂😂😂😂🖐️ jibu k**a mtu ako na one fifty

13/02/2025

Kesho chuma zote ziko buzy i mean za kushikilia hema 🤣🤣🤣

13/02/2025

Wewe umeskia Kuna upungufu wa mipira ya kuzuia ball 😟aki tunaelekea wapi

Kwenye upishi mimi sipendi maji mingi😕 afadhali maziwa. Najua unashindwa kwani hii ni upishi gani🤣 mimi sipendi kupika c...
13/02/2025

Kwenye upishi mimi sipendi maji mingi😕 afadhali maziwa. Najua unashindwa kwani hii ni upishi gani🤣 mimi sipendi kupika chakula na moto mingi,🫢💯 napenda moto kiasi chakula iive pole pole🤗

Huwa nahakikisha kila kitu kimefanywa Kwa mpangilio..🤗 sufuria lazima zote ziwe safi🤣 si unaanza kupika na sufuria ikona uchafu ya maziwa ya Jana🙄 mi kwenye shughuli za upishi Huwa nahakikisha nimeguza kila kitu. Yaani nimetumia kila kitu, k**a spices, tap ya sink, sufuria, etc🫢😁

Kuna siku nimeenda kupika chakula, tap ya sink ilikuwa inatoa maji mingi sana, hata nikifungulia polepole😟🥹 kupika nilipika ndio, lakini kitchen yote ilikuwa maji, then nikafanya ufala, hiyo maji haikukaushwa saa hio hio...😕sema hiyo maji kunuka😖😖siku ingine nikaitwa na rafiki yangu dem tulijuana last month. Kitchen yake ilikuwa very clean,🤗 sufuria ilikuwa ndogo, juu chakula ni yake tu, na amekuwa peke yake so hangekua na sufuria kubwa🤣

Mimi nikabahatika tu, hiyo siku nikakuwa WA kwanza kufanya shughuli za upishi🤗alikuwa na maziwa, spices zilikuwepo😌 moto kawaida nilitumia kidogo ndo afurahie upishi yangu, chakula kiive pole pole.🤗 Tap yake ya sink ilikuwa very amazing, sikuwahi ona k**a hiyo tena🫢yaani tap haustruggle kufungua. Alafu ilikuwa ya brown..tumaji inatoa pole pole na hakuna kelele 😁🏃🙄

Aki siezi sahau hiyo siku..hiyo siku nilipika Hadi nikakula na nikashiba kweli🤗Sasa kesho ni siku ya valentine nikimpelka out kidogo tutarudi tupike kwake tena ...ameniita😍😍nitaenda hivi nihamie kwake..juu ukweli napenda hii sufuria, kitchen na sana sana tap yake😍😍

K**a Bado uko upishini kweli wewe umeokoka🤣??🙌

Na nimeenda🤣🤣🏃🏃

12/02/2025

Ukipewa KSH.80 MILLION 🤔 unaeza choma KCSE certificate yako...

12/02/2025
12/02/2025

Wale wanajua hii kazi mikono juu

Address

Kahawa East
Nairobi

Telephone

+254115569808

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Prïñçè kèlvíñ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Prïñçè kèlvíñ:

Videos

Share