05/10/2024
πππππ πππ πππππππ πππππππ πππππππ
Follow Lexy Media π₯°
Click the link below to join our WhatsApp team to watch NEEMA FULL EPISODES
https://chat.whatsapp.com/CLFPsN5nJSUCMsbkzcGHlt
ππππ π
Woiye Val.msichana halali,alimcall Jojo kumuuliza k**a ameongea na Jayden but Jojo ako busy anasoma akamwambia zii hakuweza. Val akamwambia aki Jojo ongea tu na Jayden umwambia venye nampenda,si kupenda kwangu,manze ni mapenzi tu kwake. Jojo alimwambia its ok,for now nasomea exam will talk to him kesho. Yani Val,anajua tu uzuri Jayden haezi mtaka shida ni hataki Jojo awe an Jayden. K**a wewe tu na yule ex wakoπππsi ulijua tu hakuna pahali mnaenda...nimekukumbusha,si nimesema pole ama uko na maneno ingine.
Sharon na yeye after kutoka kwa Baraza alikuja kwa Mark kusemana,akasema venye Jayden alipiga Kevo ju ya Jojo. Neema akamuuliza Kevo ni nani? Sharon akamwambia yule boy alikua anapeleka Jojo shuleni ndio Jojo aionekani sonko na hata akampea watch yake. Mark yeye hajui anything hadi akauliza Neema,whats going on? Neema akamwambia nitakuambia baadaye Mark. Sharon ndio hata anajua kumbe hata Mark hakua anajua. Mark aliambia Sharon sikiza,kuna story ya scorpion na turtle nataka nikuambie. "Turtle aliulizwa na Scorpion k**a anaeza msaidia wacross Island but Turtle alikua anakataa akisema manze wewe Scorpioni utanidunga but Scorpioni akasema akiangai sitakutunga lakini after turtle kusaidia Scorpion kucross guess what,Scorpioni alimdunga na kuulizwa mbona umefanya hivyo,Scorpioni akasema,mimi huwa hivyo, huyo ndio kazi yangu,kazi yangu ni kudunga kila sehemi. Hii ilikua direct message ya Mark kwa Sharon, kila kitu yeye ni udaku tu,hadi kila mtu akamcheka Sharon akaibika akaendaπππππ
Sharon alitoka akiwa amejam sana hadi Isabelle akamfuata akamwambioa unaona venye mdomo yako inakasirisha watu..ndio usikie lakini Sharon akaambia Isabelle, chunga sana mdomo yakoππMark ameeka Sharon where she deserves to be.
Neema alikuja kwa room ya Jojo ashajua kuna kitu kinaendelea kati yake na Jayden. Neema akauliza Jojo,whats going on kati yako na Jayden? Jojo akamwambia zii,I only have one boyfriend lakini mamake akamuuliza mbona anasikia vitu mara anapigana kwa ajili yako lakini Jojo akamwambia sina cha kufanya, na hata ningekuambia wewe hakuna chenye ungefanya na niliambia Jayden ju at least it made sense huyo boys angeambia classmates wabgu niaibike. Neema akamwambia sikiza, Iam your mum na hata ungeniambia ningeenda polisi na ukiendelea hivi,mimi mwenyewe nitakuja shule na niambie watu kila kitu uaibike vizuri sasa,wee endelea kucheza na mimi. Neema akaenda.
Jojo na yeye akamcall nani? Naomi,akamwambia aunty Naomi,kuna kitu nataka kukuambia,Sharon ameanza zile story zake tena. Naomi alikua amemuwarn Sharon na ju sasa ameanza tena, mnakumbuka ile CCTV video? Its about to go down.
Sharon amerudi kwao akaambia Val venye amefanya but Val hapendi kabisa,hataki mamake kujihuzisha kwa hii maneno, Sharon alimwambia k**a hutaki kuishi na regrets kwa maisha Yako hadi ukufe,usiache Jayden achukue Jojo fight for LOVE.
ππππ π
Eddy na yeye ndio kurudi Mombasa,kufika akaambiwa Madam Caren alitoka leo mchana around saa sita na nik**a hakua anafeel better. Eddy hata hakusema anything,huyoo akakuja hadi kwa room na kufika,enyewe hamna mtu na kwa bed bags ziko hapo it seems Caren alikua anapack vitu akaachia kwa njia. Eddy alimcall Caren but Caren hakupick call, already ashachukua room ingine huko kwa hotel ingine analala na huko ndio yafaa afanyie fake miscariage.
Siku iliyofuata,Jojo alikutana na Val. Val akamuuliza,mbona hii issue hujai ambia Mark na maybe hata yeye angeongelesha Kevo? Jojo akamwambia wee huwezi elewa lakini Val akamuliza ama unafanya hivi ju nilikuambia napenda Jayden? Jojo akamwambia basi kutoka leo sitakua naambia Jayden personal issues. Val akamwambia yeah ju hata wewe huezi sikia poa ukiona Ben akipigania dem mwingine.
Kumbe Kevo na yeye ashatafuata maboys wa kutandika Jayden. Jayden yeye hana habari,yuko hapo stage anamngoja Jojo akuje waende shule lakini ebu cheki change of events. Jojo hata hakumsalimia Jayden na hata hakungoja wapande gari wote,alichukua kifikifiππThat was soo unsual of him na hata Jayden akanotice that but akanyamazia.
Caren na yeye alicall reception akaambia kale kadem achukue bags kwa room yake apeleke kwa hotel fulani,with immediate effect. Receptionist alimfuata Eddy akamwambia Caren amesema nimpeleke suitcase yake,sijui nifanye aje? Eddy akamwambia don't do anything,akitaka cases akujie yeye mwenyewe.
Hebu tufike kwa hotel sasa,ju wueh..kuna maneno. Neema ndio amefika kazini akasalimia akina Serenge but hawakujibu kisha akaona haya,mbona leo madondo inapikwa akauliza Paul ile list alimpea iko wapi? Paul akamwmabia mimi nilimpa na akararua. Neema akaona sasa hapa ni ujinga unafanywa sasa, akachukua machakura za Paul akamwaga ndani ya majiπππkisha akaandika list ingine akapeana na akasema vitu zinunuliwe Serenge apike na akaambia Serenge ole wako ukose kupika. Serenge aliumwa,mbaya mbovu ju chakula yake yote na ve nye alikua ameeka mafuta,imemwagwa kwa maji.
Eddy ashajua kwenye Carren ako,badala ya kukuja na bags,alijileta yeye mwenyewe. Eddy alimshika Carren na hasira akamuuliza what are you trying to do? Caren alimwambia niache iam in pain. Eddy akamwambia hebu twende hosi siezi taka kupoteza huyo mtoto? Carren akamwmabia hata mtoto you don't have to worry anymore, I lost the baby. Eddy alishtuka,mbaya mbovu. wah! Huh,akijua ni game imefanywa kati ya Caren na Naomiππ
On other side,Naomi ashafanya connections na kampuni na anataka kuwapea loan na akamcall mwenye kampuni akamwambia,itabidi payments za Mark na Cliff zipitie kwa bank kwanza ndio wapate na tena wakupe copies za ID zao. Naomi anataka kuweka akina Mark kwa fix pole pole swali ni will Mark accept? Tutakuja kujua.
Naomi tena alimcall jamaa fulani now that ashapata information za Mark na Cliff,akacall someone akamwambia specifically anataka kujua more details about Mark Michael. Woiye Mark wetu hadi anaitwa mfungwa,its soo sad...things are etting more worse.
Have a blessed Day.