Kaizari

Kaizari Writer || Certified Media Personality. HABARI, BURUDANI, MICHEZO na TEKNOLOJIA.
(11)

Ofa juu ya meza kwa Vini Jr hivi sasa.Madrid inampa €15M kwa mwaka.Saudia inampa €200M kwa mwaka (Mara 13 ya ofa iliyoto...
07/02/2025

Ofa juu ya meza kwa Vini Jr hivi sasa.

Madrid inampa €15M kwa mwaka.
Saudia inampa €200M kwa mwaka (Mara 13 ya ofa iliyotolewa na Real Madrid).

Abakie Madrid kushinda tuzo na mataji au aende zake Saudia kula 💰... Afrika tutakimbilia Saudia

Real Madrid wameanza mazungumzo na Vini Jr juu ya kuongeza mkataba wake lakini Vinicius Jr ameikataa ofa ya kwanza ya ku...
07/02/2025

Real Madrid wameanza mazungumzo na Vini Jr juu ya kuongeza mkataba wake lakini Vinicius Jr ameikataa ofa ya kwanza ya kuongeza mkataba.

Vini Jr na wawakilishi wake wanatafuta nyongeza ya mishahara ili kuonyesha vyema hali yake k**a mmoja wa wachezaji bora zaidi duniani.

Mshahara wake wa mwaka Madrid ni takriban €15M.. Saudia wanamtaka na mkataba wa miaka mitano, mshahara wa Euro 1B, kwa mwaka Euro 200M.

Jux muda wowote kutoka sasa anatarajiwa kufunga ndoa na mpenzi wake kutoka Nigeria, Priscy.Sherehe za kwanza zitafanyika...
07/02/2025

Jux muda wowote kutoka sasa anatarajiwa kufunga ndoa na mpenzi wake kutoka Nigeria, Priscy.

Sherehe za kwanza zitafanyika usiku huu Tanzania kisha imaliziwe nchini Nigeria.

Mpinzani unayemkubali?Pedri: Manchester City Mchezaji unayemkubali?Pedri: Baada ya Andres Iniesta, Kevin De BruyneUna sh...
07/02/2025

Mpinzani unayemkubali?
Pedri: Manchester City

Mchezaji unayemkubali?
Pedri: Baada ya Andres Iniesta, Kevin De Bruyne

Una shati ya De Bruyne?
Pedri: Hapana

Je, ingetokea mmekutana ungemuomba?
Pedri: Ndiyo, kwa nini nisifanye hivyo?

Mpenzi wa Burna Boy kutoka Marekani, Chloe Bailey, ameacha kazi yake kwa muda ili kuwa na mume wake, Burna Boy. Anasafir...
07/02/2025

Mpenzi wa Burna Boy kutoka Marekani, Chloe Bailey, ameacha kazi yake kwa muda ili kuwa na mume wake, Burna Boy. Anasafiri naye kila mahali, na kwa sasa wako Nigeria pamoja.

Chloe Bailey amesema kwamba kuna kitu kuhusu Burna Boy hajawahi kuona kwa mwanaume yeyote huku akiongeza kuwa Wanigeria wamebarikiwa, na anataka kuwa na Burna Boy wakati wote.

"Birthday ya Ronaldo inafaa kuwa public holiday, the world will never see a sportsman close to him"Unakubaliana na kauli...
06/02/2025

"Birthday ya Ronaldo inafaa kuwa public holiday, the world will never see a sportsman close to him"

Unakubaliana na kauli hii.. ulimwengu hautawai kumpata mchezaji wa kumkaribia Cristiano.. Messi je hajamkaribia?

Ikiwa Shirikisho la Uhispania halitakabidhi mazungumzo ya sauti kati ya refa na afisa wa VAR kutoka kwa mechi ya Espanyo...
06/02/2025

Ikiwa Shirikisho la Uhispania halitakabidhi mazungumzo ya sauti kati ya refa na afisa wa VAR kutoka kwa mechi ya Espanyol kabla ya Ijumaa, inasemekana kwamba Real Madrid itapeleka suala hilo mahak**ani.

Marekani wamemtengenezea Cristiano Ronaldo sanamu na kuwekwa 'Times Square New York) k**a zawadi maalum ya kusherehekea ...
05/02/2025

Marekani wamemtengenezea Cristiano Ronaldo sanamu na kuwekwa 'Times Square New York) k**a zawadi maalum ya kusherehekea miaka 40.

Muda wa mapumziko Arsenal ugenini wako chini goli moja dhidi ya Newcastle.Newcastle 1-0 Arsenal.⚽ Jacob Murphy.🎯 Isak.Ar...
05/02/2025

Muda wa mapumziko Arsenal ugenini wako chini goli moja dhidi ya Newcastle.

Newcastle 1-0 Arsenal.
⚽ Jacob Murphy.
🎯 Isak.

Arsenal wanatakiwa kufunga magoli 4 kipindi cha pili ili kufuzu Carabao.

Nchini Nigeria, kijana mmoja aitwae Muhammadu  ameishi ndani ya pango la mbuyu kwa miaka sita ili kukwepa kulipa kodi na...
05/02/2025

Nchini Nigeria, kijana mmoja aitwae Muhammadu ameishi ndani ya pango la mbuyu kwa miaka sita ili kukwepa kulipa kodi na pia akiamini kwamba itakuwa rahisi kwake kumpata mwanamke ambaye atampenda jinsi alivyo, si kwa sababu ya mali.

Alieleza kuwa amekuwa akilala kwa raha ndani ya pango hilo kwa muda wa miaka sita lakini kila mwanamke anayempenda yeye, huachana mara baada ya kumwalika kuja kutembelea jumba lake la kifahari (pango hilo).

"Justin Bieber alinipigia simu akiwa na wasiwasi sana na kusema anataka tuongee haraka. Nilimkaribisha ofisini kwangu na...
05/02/2025

"Justin Bieber alinipigia simu akiwa na wasiwasi sana na kusema anataka tuongee haraka. Nilimkaribisha ofisini kwangu na alipoingia ndani alikuwa anatazama chini sana na nikamkumbatia. Nilimuuliza tatizo ni nini hakusema kitu kwa muda wa dakika 5 kisha akaanza kudondokwa na machozi na kuanza kulia kwa takriban saa nzima."

"Aliishia kutoniambia chochote. Ninatumai sana atakuwa sawa. Hakika yote si sawa na Justin Bieber."Amefichua mtaalamu wa matibabu (Therapist) wa Justin Bieber.

05/02/2025

Diamond Platnumz hatimaye ametoa tamko lake kuhusu kuondoka kwa Mbosso WCB..

"Mbosso aliniomba aanze kujisimamia mwenyewe, nikampa baraka zote... Alitaka kunilipa ila nikamruhusu bila kulipa chochote"

Harmonize na Rayvany baada ya kuondoka WCB kila mmoja alikuja na Lebo yake, Konde Gang na Next Level Music mtawalia.Kond...
05/02/2025

Harmonize na Rayvany baada ya kuondoka WCB kila mmoja alikuja na Lebo yake, Konde Gang na Next Level Music mtawalia.

Konde Gang imemsaini msanii mmoja ambaye ni Ibraah na Next Level Music, msanii mmoja pia ambaye ni Mac Voice.

Mpaka sasa ipi kati ya hizi mbili imeonyesha ubora na mafanikio..

Ungependa kurudi Sporting Lisbon?Cristiano Ronaldo 🗣️"Hapana, kamwe, nadhani haina maana. Nilianzia Ureno, sio kwa sabab...
05/02/2025

Ungependa kurudi Sporting Lisbon?

Cristiano Ronaldo 🗣️

"Hapana, kamwe, nadhani haina maana. Nilianzia Ureno, sio kwa sababu sipendi ligi ya Ureno au kuiona k**a haina ubora. Lakini nadhani kila kitu kina wakati na kikomo, na sikuwahi kufikiria hilo.”

Jioni ya Februari 5, 1985, kwenye kisiwa cha Madeira, moja ya vipaji vikubwa alizaliwa..UNITED WALIKIONA KIPAJI CHAKE VI...
05/02/2025

Jioni ya Februari 5, 1985, kwenye kisiwa cha Madeira, moja ya vipaji vikubwa alizaliwa..

UNITED WALIKIONA KIPAJI CHAKE VIPI..

Hakukuwa na mazungumzo yoyote kati ya Manchester United na Sporting, mpaka pale Manchester ilipocheza mechi ya kirafiki dhidi ya klabu hiyo ya Ureno. Wakati wa mchezo huo, Sir Alex Ferguson alimwambia John O'Shea amkabe Ronaldo. Lakini.. kila wakati Cristiano alipopokea mpira, alimpiga chenga O’Shea kwa urahisi sana.

Alex Ferguson alionyesha kukasirishwa na O’Shea, akimwambia asimruhusu Ronaldo kumpiga chenga. Wakati huo, uso wa O’Shea ulionyesha kukata tamaa kabisa huku akionyesha kushtushwa na maelekezo ya Ferguson kumzuia kijana huyu mdogo ambaye alikuwa akipigania maisha yake ya soka baadaye.

Kila mtu kwenye benchi la Manchester United, hasa Rio Ferdinand, alisema 'Mpatie mkataba, mpe nafasi asaini United." .....

Happy Birthday Cristiano Ronaldo (40yrs).

Diamond Platnumz vs W***y Paul YouTube..  baada ya kutokea utafaouti wawili hawa W***y Paul alidai yeye ndiye Simba 😂, j...
04/02/2025

Diamond Platnumz vs W***y Paul YouTube.. baada ya kutokea utafaouti wawili hawa W***y Paul alidai yeye ndiye Simba 😂, jina limemkaa yupi sasa kwa namba za YouTube..

Rio Ferdinand amemtaka Ruben Amorim amrejeshe Paul Pogba Man United na kumruhusu kufanya mazoezi.."Ningemwambia Pogba, '...
04/02/2025

Rio Ferdinand amemtaka Ruben Amorim amrejeshe Paul Pogba Man United na kumruhusu kufanya mazoezi..

"Ningemwambia Pogba, 'Njoo ufanye mazoezi nasi', nimruhusu nione ana nini. Ningekuwa nishafanya hivyo tayari. Ingia ndani ujiweke sawa."

Enzo Fernandez alitoa 'short' yake na kumpa shabiki baada ya mechi ya Chelsea dhidi ya West Ham, baadae camera zikamnasa...
04/02/2025

Enzo Fernandez alitoa 'short' yake na kumpa shabiki baada ya mechi ya Chelsea dhidi ya West Ham, baadae camera zikamnasa shabiki huyo akinusa short hiyo.

Address

Taveta
Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kaizari posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Kaizari:

Videos

Share