24/08/2024
Fununu za uhamisho
Juventus wanazungumza na man united kuhusu sancho
Arsenal yatarajiwa kukata tamaa kumnunua nico williams
Napoli yamtaka scott mctominay
This is the back up fan page for Look UP TV. We are a free to air fully commercial and solutions focused TV station.
(3)
We are available on GoTV and StarTimes VIA SIGNET FREE TO AIR COUNTRYWIDE +254 700 893 542
Fununu za uhamisho
Juventus wanazungumza na man united kuhusu sancho
Arsenal yatarajiwa kukata tamaa kumnunua nico williams
Napoli yamtaka scott mctominay
fununu Za Uhamisho Ulaya
ULINGO WA SPOTI || POLICE BULLETS YATAMBA
Fununu Za Uhamisho Ulaya
Crystal Palace Wanatazamiwa Kukataa Ofa Ya Nne Yenye Thamani Ya Pauni Milioni 65 Pamoja Na Nyongeza Kutoka Kwa Newcastle Kwa Ajili Ya Beki Wa Kati Wa England Marc Guehi, 24. Newcastle Haiko Tayari Kuachana Na Mpango Wa Kumnunua Guehi Kwa Sasa Lakini Klabu Hiyo Inazingatia Chaguo Lao.
Wanariadha mbalimbali wajiunga na familia zao Eldoret.
Fununu za uhamisho - Napoli wameanza mazungumzo na Manchester united kuhusu uwezekano wa kumsajili kiungo wa kati wa scotland Scott Mctominay
Ulingo Wa Spoti:
Timu ya taifa ya riadha imekaribishwa kwa mbwembwe na bashasha baada ya kurejea nchini usiku wa kuamkia leo
MOJA KWA MOJA: ULINGO WA SPOTI - MASHINDANO YA MICHEZO YA OLIMPIKI YAANZA RASMI JIJINI PARIS UFARANSA
MAANDALIZI YA MICHEZO YA OLIMPIKI NCHINI UFARANSA
Mwisho Wa Kipindi Cha Ulingo Wa Spoti
Brian Mose Awahaga Mashabiki Na Watazamaji Wa Kipindi Cha Ulingo Wa Spoti
Fununu Za Uhamisho Ulaya
Manchester United Imempa Kiungo Bruno Fernandes, 29, Ruhusa Ya Kuanza Mazungumzo Na Saudi Arabia, Huku Klabu Mbili Za Ligi Ya Saudia Zikimtaka Mchezaji Huyo Wa Kimataifa Wa Ureno.
Kiungo Wa Kati Wa Manchester City Kevin De Bruyne, 33, "Amekubali Kwa Maneno" Kujiunga Na Klabu Ya Saudi Arabia Al-Ittihad, Na Sasa Ni Man City Kuidhinisha Kuondoka Kwake
Liverpool Wanatumai Fowadi Wa Misri Mohamed Salah, 32, Atasaini Mkataba Mpya Mkataba Wake Wa Sasa Utakapokamilika 2025.
Toni Kroos Astaafu
Mchezaji Wa Timu Ya Taifa Ya Ujerumani Toni Kroos Amestaafu Kucheza Kandanda.Kando Na Timu Ya Taifa Ya Ujerumani Kroos Amezitumikia Timu Kadhaa Ikiwemo Real Madrid.Aidha Mchezaji Huyo Ameshinda Mataji Kadhaa.6 Ya Ligi Ya Mabingwa Ulaya,1 La Kombe La Dunia,4 Ya Ligi Ya La Liga,3 Ya Bundesliga Miongoni Mwa Mataji Mengine.
Ten Hag Aongeza Mkataba Na United
Kocha Wa Manchester United Erik Ten Hag Kuendelea Kuitumikia Timu Hiyo K**a Kocha Mkuu Hadi Mwezi Wa Juni Mwaka Wa 2026.Ten Hag Ni Kocha Wa Tano Wa Manchester United Tangia Kustaafu Kwa Alex Ferguson Mwaka Wa 2013.Ten Hag Alitua Old Trafford Mwaka Wa 2022 Akitokea Ajax Na Ameisaidia United Kutwaa Kombe La Carabao Na Lile La Fa.
Matokeo Ya Dimba La Euro
Ujerumani 1-2 Uhispania
Ureno 0(3) – (5) 0 Ufaransa
Ratiba Ya Dimba La Euro
Uingereza – Uswizi – 19:00
Uholanzi – Uturuki – 22:00
Ratiba Ya Copa Amerika
Colombia – Panama – 1:00
Uruguay – Brazil – 4:00
Matokeo Ya Copa Amerika
Venezuela Canada
1(3) Mabao 1(4)
55% Umilisi 45%
16 Majaribio 16
5 Mashuti 7
307 Pasi 290
1 Kadi Ya Majano 2
Kipute Cha CECAFA Kagame Cup
Mabingwa Mara 21 Wa Ligi Kuu Ya Kandanda Nchini Gor Mahia Wako Kundini B Katika Kipute Cha Cecafa Kagame Cup Pamoja Na Al Hilal Ya Sudan, Red Arrows Ya Zambia Na Telecom Fc Ya Djbouti.Kipute Hicho Kuanza Julai 9 Hadi 21 Mwaka Huu Nchini Tanzania.
Droo Ya Afcon 2025
Timu Ya Taifa Ya Kandanda Harambee Stars Iko Kundini J Pamoja Na Cameroon, Namibia Na Zimbabwe.Timu Mbili Za Kwanza Kutoka Kwa Kila Kundi Zitafuzu Kucheza Kipute Cha Afcon Mwaka Wa 2025 Nchini Morocco.
FKFPL: Mechi Ya Mchujo
Timu Ya Kandanda Ya Sofapaka Itacheza Dhidi Ya Naivas Kwenye Mechi Ya Mchujo Ya Kutambua Timu Ambayo Itabaki Ama Kupanda Ligi Kuu Msimu Ujao.Sofapaka Ilimaliza Ya 16 Kwa Alama 36 Kwenye Msimamo Wa Ligi Kuu Msimu Uliopita Nao Naivas Wakamaliza Wa 3 Kwa Alama 76 Kwenye Ligi Ya Nsl.Mchi Ya Mkondo Wa Kwanza Itachezwa Jumamosi Hii Ugani Police Sacco Huku Ile Ya Mkondo Wa Pili Ikiratibiwa Tarehe 14 Ugani Dandora Mwezi Huu
Gofu Ya Kcb
Zaidi Ya Wanagofu 120 Kushiriki Mashindano Ya Mkondo Wa 12 Wa Gofu Ya Kcb Ukanda Wa Afrika Mashariki Jumamosi Hii Katika Uga Wa Gofu Wa Klabu Ya Nanyuki.Timu Mbili Za Kwanza Kupambana Na Timu Zingine Kutoka Kaunti Za Nairobi, Uasin Gishu, Kiambu, Nyeri Miongoni Mwa Kaunti Zingine Kwenye Fainali Ambapo Timu Ambayo Itashinda Itazawadiwa Kitita Cha Shilingi Milioni Moja Na Tiketi Ya Kushiriki Mashindano Ya Magical Kenya Open Mwaka Wa 2025.
Mashindano Ya Olimpiki
Rais William Ruto Ameipa Bendera Timu Ambayo Itawakilisha Taifa Katika Mashindano Ya Olimpiki Mwaka Huu.Mashindano Hayo Ya Olimpiki Kuanza Julai 26 Hadi Agosti 11 Mwaka Huu Paris, Ufaransa.
MOJA KWA MOJA: ULINGO WA SPOTI |RAIS WILLIAM RUTO AMEIPA TIMU YA KENYA BENDERA
Unatutazama Ukiwa Wapi?
Fununu Za Uhamisho Ulaya
Manchester City Wanajiandaa Kupokea Ombi La Saudi Arabia La Kumnunua Mlinda Mlango Ederson Na City Wanataka Zaidi Ya Pauni Milioni 30 Kumuuza Mchezaji Huyo Wa Kimataifa Wa Brazil, Ambaye Anahusishwa Na Klabu Ya Al-Nassr.
Manchester United Wanataka Kumuuza Kiungo Wao Wa Kati Donny Van De Beek Msimu Huu Badala Ya Kumpoteza Kwa Uhamisho Wa Bure Wakati Mkataba Wa Mchezaji Huyo Mwenye Umri Wa Miaka 27 Utakapokamilika Msimu Ujao Wa Joto.
Barcelona Wanaongoza Katika Mbio Za Kumsajili Winga Wa Athletic Bilbao Na Uhispania Nico Williams, Huku Arsenal Na Chelsea Wakikabiliwa Na Hatari Ya Kumkosa Mchezaji Huyo Mwenye Umri Wa Miaka 21.
Beki Wa Lille Leny Yoro Anataka Kuhamia Real Madrid Na Mfaransa Huyo Mwenye Umri Wa Miaka 18 Anasubiri Vilabu Kuafikiana, Wakati Liverpool Na Paris St-Germain Ziko Tayari Kumnyakua Iwapo Dili Hilo Litasambaratika.
MOJA KWA MOJA: ULINGO WA SPOTI |ZAIDI YA WANAGOFU 120 KUSHIRIKI
Unatutazama Ukiwa Wapi?
MOJA KWA MOJA: ULINGO WA SPOTI |EMERGING STARS 2 – 0 ZIMBABWE
Unatutazama Ukiwa Wapi?
MOJA KWA MOJA: ULINGO WA SPOTI |KENYA POLICE BULLETS NDIO MABINGWA FKFWPL
Unatutazama Ukiwa Wapi?
MOJA KWA MOJA: ULINGO WA SPOTI || EMERGING STARS 2 – 0 ZAMBIA
Unatutazama Ukiwa Wapi?
MATOKEO YA MECHI ZA EURO 2024 || LIGI YA FKF KWA AKINA DADA || FUNUNU ZA UHAMISHO ULAYA ||
MOJA KWA MOJA: ULINGO WA SPOTI || RATIBA YA LIGI YA FKF
Unatutazama Ukiwa Wapi?
Fununu Za Uhamisho Ulaya
Lazio Wameanza Mazungumzo Na Manchester United Kuhusu Uhamisho Wa Pauni Milioni 30 Kumnunua Mshambuliaji Wa Zamani Wa Uingereza Mason Greenwood, 22. Juventus Na Napoli Pia Wanapambana Katika Harakati Za Kumsajili Greenwood.
Amboseli Gardens, Opposite FIDA Kenya, Amboseli Road
Nairobi
00100
Be the first to know and let us send you an email when LOOK UP Digital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Send a message to LOOK UP Digital:
Fununu za uhamisho Juventus wanazungumza na man united kuhusu sancho Arsenal yatarajiwa kukata tamaa kumnunua nico williams Napoli yamtaka scott mctominay
Fununu Za Uhamisho Ulaya Crystal Palace Wanatazamiwa Kukataa Ofa Ya Nne Yenye Thamani Ya Pauni Milioni 65 Pamoja Na Nyongeza Kutoka Kwa Newcastle Kwa Ajili Ya Beki Wa Kati Wa England Marc Guehi, 24. Newcastle Haiko Tayari Kuachana Na Mpango Wa Kumnunua Guehi Kwa Sasa Lakini Klabu Hiyo Inazingatia Chaguo Lao.
Wanariadha mbalimbali wajiunga na familia zao Eldoret. Fununu za uhamisho - Napoli wameanza mazungumzo na Manchester united kuhusu uwezekano wa kumsajili kiungo wa kati wa scotland Scott Mctominay
Ulingo Wa Spoti: Timu ya taifa ya riadha imekaribishwa kwa mbwembwe na bashasha baada ya kurejea nchini usiku wa kuamkia leo
MOJA KWA MOJA: ULINGO WA SPOTI - MASHINDANO YA MICHEZO YA OLIMPIKI YAANZA RASMI JIJINI PARIS UFARANSA
MAANDALIZI YA MICHEZO YA OLIMPIKI NCHINI UFARANSA
Mwisho Wa Kipindi Cha Ulingo Wa Spoti Brian Mose Awahaga Mashabiki Na Watazamaji Wa Kipindi Cha Ulingo Wa Spoti
Fununu Za Uhamisho Ulaya Manchester United Imempa Kiungo Bruno Fernandes, 29, Ruhusa Ya Kuanza Mazungumzo Na Saudi Arabia, Huku Klabu Mbili Za Ligi Ya Saudia Zikimtaka Mchezaji Huyo Wa Kimataifa Wa Ureno. Kiungo Wa Kati Wa Manchester City Kevin De Bruyne, 33, "Amekubali Kwa Maneno" Kujiunga Na Klabu Ya Saudi Arabia Al-Ittihad, Na Sasa Ni Man City Kuidhinisha Kuondoka Kwake Liverpool Wanatumai Fowadi Wa Misri Mohamed Salah, 32, Atasaini Mkataba Mpya Mkataba Wake Wa Sasa Utakapokamilika 2025.
Toni Kroos Astaafu Mchezaji Wa Timu Ya Taifa Ya Ujerumani Toni Kroos Amestaafu Kucheza Kandanda.Kando Na Timu Ya Taifa Ya Ujerumani Kroos Amezitumikia Timu Kadhaa Ikiwemo Real Madrid.Aidha Mchezaji Huyo Ameshinda Mataji Kadhaa.6 Ya Ligi Ya Mabingwa Ulaya,1 La Kombe La Dunia,4 Ya Ligi Ya La Liga,3 Ya Bundesliga Miongoni Mwa Mataji Mengine.
Ten Hag Aongeza Mkataba Na United Kocha Wa Manchester United Erik Ten Hag Kuendelea Kuitumikia Timu Hiyo Kama Kocha Mkuu Hadi Mwezi Wa Juni Mwaka Wa 2026.Ten Hag Ni Kocha Wa Tano Wa Manchester United Tangia Kustaafu Kwa Alex Ferguson Mwaka Wa 2013.Ten Hag Alitua Old Trafford Mwaka Wa 2022 Akitokea Ajax Na Ameisaidia United Kutwaa Kombe La Carabao Na Lile La Fa.
Matokeo Ya Copa Amerika Venezuela Canada 1(3) Mabao 1(4) 55% Umilisi 45% 16 Majaribio 16 5 Mashuti 7 307 Pasi 290 1 Kadi Ya Majano 2
Droo Ya Afcon 2025 Timu Ya Taifa Ya Kandanda Harambee Stars Iko Kundini J Pamoja Na Cameroon, Namibia Na Zimbabwe.Timu Mbili Za Kwanza Kutoka Kwa Kila Kundi Zitafuzu Kucheza Kipute Cha Afcon Mwaka Wa 2025 Nchini Morocco.
Kipute Cha CECAFA Kagame Cup Mabingwa Mara 21 Wa Ligi Kuu Ya Kandanda Nchini Gor Mahia Wako Kundini B Katika Kipute Cha Cecafa Kagame Cup Pamoja Na Al Hilal Ya Sudan, Red Arrows Ya Zambia Na Telecom Fc Ya Djbouti.Kipute Hicho Kuanza Julai 9 Hadi 21 Mwaka Huu Nchini Tanzania.
FKFPL: Mechi Ya Mchujo Timu Ya Kandanda Ya Sofapaka Itacheza Dhidi Ya Naivas Kwenye Mechi Ya Mchujo Ya Kutambua Timu Ambayo Itabaki Ama Kupanda Ligi Kuu Msimu Ujao.Sofapaka Ilimaliza Ya 16 Kwa Alama 36 Kwenye Msimamo Wa Ligi Kuu Msimu Uliopita Nao Naivas Wakamaliza Wa 3 Kwa Alama 76 Kwenye Ligi Ya Nsl.Mchi Ya Mkondo Wa Kwanza Itachezwa Jumamosi Hii Ugani Police Sacco Huku Ile Ya Mkondo Wa Pili Ikiratibiwa Tarehe 14 Ugani Dandora Mwezi Huu