Becky updates

Becky updates Digital content creator and media influencer
(3)

๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐Ÿ”๐“๐‡ ๐’๐„๐๐“๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ ๐ˆ๐š๐ง ๐ญ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐š๐ฉ๐š๐ญ๐ž ๐ค๐š๐ฌ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ซ๐š,๐ฆ๐š๐ง๐ณ๐ž ๐ฆ๐ญ๐จ๐ญ๐จ ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ๐ก๐ข๐ณ๐ข ๐ง๐ข ๐ฒ๐ž๐ฒ๐ž ๐ง๐š ๐ฌ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ซ๐š,๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐ฅ๐š๐ฅ๐š ๐ฅ๐š๐ณ๐ข๐ฆ๐š ๐ฉ๐ข๐š ๐ข๐ฅ๐š๐ฅ๐ž ๐ง...
06/09/2024

๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐Ÿ”๐“๐‡ ๐’๐„๐๐“

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
๐ˆ๐š๐ง ๐ญ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐š๐ฉ๐š๐ญ๐ž ๐ค๐š๐ฌ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ซ๐š,๐ฆ๐š๐ง๐ณ๐ž ๐ฆ๐ญ๐จ๐ญ๐จ ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ๐ก๐ข๐ณ๐ข ๐ง๐ข ๐ฒ๐ž๐ฒ๐ž ๐ง๐š ๐ฌ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ซ๐š,๐ค๐š๐ฆ๐š ๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐ฅ๐š๐ฅ๐š ๐ฅ๐š๐ณ๐ข๐ฆ๐š ๐ฉ๐ข๐š ๐ข๐ฅ๐š๐ฅ๐ž ๐ง๐๐š๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐›๐š ๐ก๐š๐๐ข ๐‚๐š๐ญ๐ž ๐š๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ฃ๐š ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ฐ๐š๐ฆ๐›๐ข๐š ๐ค๐š๐›๐š๐›๐š,๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐›๐š ๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐›๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฌ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ซ๐š ๐ฅ๐š๐ณ๐ข๐ฆ๐š ๐š๐ฅ๐š๐ฅ๐ž ๐ค๐ฐ๐š ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐›๐š. ๐‚๐š๐ญ๐ž ๐š๐ฆ๐ž๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ฆ๐ค๐š ๐ฅ๐ž๐จ ๐ก๐ข๐ข,๐›๐š๐š๐๐š ๐ญ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ž๐š ๐ง๐š ๐“๐จ๐ฆ ๐ฐ๐š๐ค๐ž.
๐Œ๐š๐ฆ๐š ๐Ÿ๐ฎ๐š ๐ง๐š ๐ฒ๐ž๐ฒ๐ž,๐š๐š๐ก ๐ฌ๐จ๐ซ๐ซ๐ฒ ๐ˆ ๐ฆ๐ž๐š๐ง ๐’๐ก๐š๐ซ๐จ๐ง ๐ง๐š ๐ฒ๐ž๐ฒ๐ž,๐š๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐š๐ง๐š๐š๐ง๐ข๐ค๐š ๐ฆ๐š๐ง๐ ๐ฎ๐จ,๐š๐ค๐š๐ฆ๐ฎ๐จ๐ง๐š ๐‚๐š๐ญ๐ž ๐š๐ค๐ข๐œ๐ก๐ž๐ณ๐š ๐ง๐š ๐ˆ๐š๐ง. ๐’๐ก๐š๐ซ๐จ๐ง ๐š๐ฅ๐ข๐ฃ๐š๐ฆ ๐ฌ๐š๐ง๐š ๐ก๐š๐๐ข ๐š๐ง๐š๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐ฐ๐š,๐ก๐ฎ๐ฒ๐ฎ ๐š๐ค๐ข๐ฅ๐ข ๐ข๐ฆ๐ž๐ซ๐ฎ๐ค๐š ๐š๐ฆ๐š? ๐Œ๐›๐จ๐ง๐š ๐š๐œ๐ก๐ž๐ณ๐ž ๐ง๐š ๐ฆ๐ญ๐จ๐ญ๐จ ๐ฐ๐š ๐๐ž๐ž๐ฆ๐š. ๐ˆ๐ฆ๐š๐ ๐ข๐ง๐ž ๐’๐ก๐š๐ซ๐จ๐ง ๐š๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ฃ๐š ๐š๐ค๐š๐ฆ๐œ๐š๐ฅ๐ฅ ๐๐š๐จ๐ฆ๐ข,๐š๐ค๐š๐ฆ๐ฐ๐š๐ฆ๐›๐š ๐ข๐ฆ๐š๐ ๐ข๐ง๐ž ๐‚๐š๐ญ๐ž ๐š๐ง๐š๐œ๐ก๐ž๐ณ๐š ๐ง๐š ๐ฆ๐ญ๐จ๐ญ๐จ ๐ฐ๐š ๐๐ž๐ž๐ฆ๐š? ๐๐š๐จ๐ฆ๐ข ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐š ๐ฌ๐จ ๐ฐ๐ก๐š๐ญ? ๐‡๐š๐ฎ๐ง๐š ๐ค๐ข๐ญ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ง๐ข๐š๐ฆ๐›๐ข๐š ๐š๐ฆ๐š? ๐๐š๐จ๐ฆ๐ข ๐š๐ฅ๐ข๐ค๐š๐ญ๐š ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ก๐š๐๐ข ๐š๐ค๐š๐ฌ๐ž๐ฆ๐š ๐ก๐ข๐ข ๐ง๐ '๐จ๐ฆ๐›๐ž ๐ฒ๐š ๐ฐ๐š๐ฉ๐ข ๐ญ๐ž๐ง๐š
๐˜๐š๐ง๐ข ๐’๐ก๐š๐ซ๐จ๐ง ๐ญ๐ฎ! ๐€๐ฅ๐ฅ ๐ข๐ง ๐š๐ฅ๐ฅ,๐๐ž๐ž๐ฆ๐š ๐š๐ฌ๐ก๐š๐ซ๐ฎ๐๐ข ๐š๐ง๐ ๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ง๐ฒ ๐ญ๐ก๐ข๐ง๐ ,๐ฐ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข ๐ญ๐ฎ ๐š๐ฆ๐ž๐Ÿ๐ข๐ค๐š,๐‚๐š๐ญ๐ž ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ค๐ข๐ฆ๐›๐ข๐ฅ๐ข๐š ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ก๐ฎ๐ ,๐ก๐š๐๐ข ๐๐ž๐ž๐ฆ๐š ๐ฉ๐ข๐š ๐ค๐š๐ฌ๐ก๐ข๐ง๐๐ฐ๐š ๐ฐ๐š๐ข๐ญ, ๐ญ๐ก๐ข๐ฌ ๐ข๐ฌ ๐ฌ๐จ๐จ ๐ฎ๐ง๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐š๐ฅ, ๐ฆ๐›๐จ๐ง๐š ๐‚๐š๐ญ๐ž ๐š๐ง๐š๐ค๐š๐š ๐ค๐ฎ๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ฆ๐ค๐š ๐ก๐ข๐ฏ๐ข ๐ก๐š๐๐ข ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐š ๐ฐ๐ž๐ž,๐ฆ๐›๐จ๐ง๐š ๐ฎ๐ค๐จ ๐ก๐š๐ฉ๐ฉ๐ฒ ๐ก๐ข๐ฏ๐ข? ๐‚๐š๐ญ๐ž ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ฐ๐š๐ฆ๐›๐ข๐š ๐ฅ๐ž๐จ,๐ง๐ข ๐จ๐ง๐ž ๐จ๐Ÿ ๐ญ๐ก๐จ๐ฌ๐ž ๐๐š๐ฒ๐ฌ๐Ÿ˜‚๐๐ž๐ž๐ฆ๐š ๐ก๐š๐๐ข ๐š๐ง๐š๐ฌ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐š ๐‚๐š๐ญ๐ž ๐š๐ฌ๐ก๐š๐ฅ๐ฅ๐จ๐ฐ ๐ˆ๐š๐ง ๐ค๐ฎ๐ข๐ง๐ ๐ข๐š ๐ง๐š ๐ฌ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ซ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ก๐š๐จ.
๐๐ž๐ž๐ฆ๐š ๐š๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ๐ข๐ญ๐š ๐›๐š๐›๐š๐ค๐ž ๐ฐ๐š๐จ๐ง๐ ๐ž๐ž ๐ค๐ข๐š๐ฌ๐ข ๐›๐ฎ๐ญ ๐‚๐š๐ญ๐ž ๐š๐ค๐š๐จ๐ง๐š ๐ก๐š๐ข๐ง๐š ๐ก๐š๐ฃ๐š,๐š๐œ๐ก๐š ๐ฆ๐ข๐ฆ๐ข ๐ง๐ข๐ž๐ง๐๐ž ๐ค๐ฐ๐š ๐ซ๐จ๐จ๐ฆ ๐ง๐ข๐ฐ๐š๐š๐œ๐ก๐ž ๐ฆ๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ž๐ž. ๐๐ž๐ž๐ฆ๐š ๐š๐ฅ๐ข๐ฃ๐ข๐ฉ๐š๐ญ๐š ๐ญ๐ฎ ๐š๐ฌ๐ก๐š๐š๐ง๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ฅ๐ข๐š ๐ก๐š๐ญ๐š ๐›๐ž๐Ÿ๐จ๐ซ๐ž ๐š๐š๐ฆ๐›๐ข๐ž ๐›๐š๐›๐š๐ค๐ž ๐ฌ๐ก๐ข๐๐š ๐ง๐ข ๐ง๐ข๐ง๐ข. ๐Œ๐ณ๐ž๐ž ๐š๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ง๐š ๐ง๐ข๐ง๐ข? ๐๐ž๐ž๐ฆ๐š ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ฐ๐š๐ฆ๐›๐ข๐š ๐๐š๐๐๐ฒ ๐ž๐ž๐ก, ๐ง๐ข๐ฆ๐ž๐จ๐ง๐ ๐ž๐š ๐ง๐š ๐„๐๐๐ฒ. ๐Œ๐ณ๐ž๐ž ๐š๐ค๐š๐ฌ๐ก๐ญ๐ฎ๐ค๐š ๐ฌ๐š๐ง๐š.๐”๐ฉ๐š๐ง๐๐ž ๐ฐ๐š ๐„๐๐๐ฒ,๐Š๐š๐ซ๐ž๐ง ๐ง๐๐ข๐จ ๐š๐ง๐š๐ญ๐จ๐ค๐š ๐ก๐จ๐ฌ๐ข ๐ง๐š ๐ฐ๐š๐ค๐š๐ญ๐ข ๐„๐๐๐ฒ ๐š๐ง๐š๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ž๐ž๐ง๐๐š๐ฃ๐ž,๐Š๐š๐ซ๐ž๐ง ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ฐ๐š๐ฆ๐›๐ข๐š ๐ฆ๐š๐ง๐ณ๐ž ๐ค๐ฎ๐ง๐š ๐›๐š๐ ๐ง๐ž๐ฐ๐ฌ,๐๐š๐ค๐ญ๐š๐ซ๐ข ๐š๐ฆ๐ž๐ง๐ข๐š๐ฆ๐›๐ข๐š ๐ก๐ฎ๐ž๐ง๐๐š ๐ง๐ข๐ค๐š๐ฉ๐š๐ญ๐š ๐ฆ๐ข๐ฌ๐œ๐š๐ซ๐ซ๐ข๐š๐ ๐ž. ๐„๐๐๐ฒ ๐š๐ฅ๐ข๐ฌ๐ก๐ญ๐ฎ๐ค๐š ๐›๐ฎ๐ญ ๐๐ž๐ž๐ฉ ๐๐จ๐ฐ๐ง ๐Š๐š๐ซ๐ž๐ง ๐š๐ง๐š๐ฃ๐ฎ๐š ๐ก๐ข๐ข ๐ง๐๐ข๐จ ๐œ๐š๐ซ๐ ๐š๐ง๐š๐ญ๐š๐ค๐š ๐ค๐ฎ๐œ๐ก๐ž๐ณ๐š ๐ฃ๐ฎ ๐ก๐š๐ค๐ฎ๐ง๐š ๐›๐š๐ฅ๐ฅ ๐š๐ค๐จ ๐ง๐š๐ฒ๐จ.
๐๐ž๐ž๐ฆ๐š ๐š๐ฅ๐ข๐ž๐ฅ๐ž๐ณ๐ž๐š ๐›๐š๐›๐š๐ค๐ž ๐ค๐ข๐ฅ๐š ๐ค๐ข๐ญ๐ฎ,๐ฏ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐š๐ฅ๐ข๐จ๐ง๐ ๐ž๐š ๐ง๐š ๐„๐๐๐ฒ,๐ฏ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐š๐ฌ๐ก๐š๐š๐ฆ๐›๐ข๐ฐ๐š ๐š๐ค๐จ ๐ง๐š ๐ฐ๐ข๐Ÿ๐ž ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ง๐ ๐ข๐ง๐ž ๐ง๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ญ๐š๐ซ๐š๐ฃ๐ข๐š ๐ฆ๐ญ๐จ๐ญ๐จ ๐ง๐š ๐ก๐ข๐ข ๐ข๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฆ๐ข๐ณ๐š ๐ฌ๐š๐ง๐š ๐ฆ๐ณ๐ž๐ž. ๐Œ๐ณ๐ž๐ž ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ฐ๐š๐ฆ๐›๐ข๐š ๐ฎ๐ง๐š๐จ๐ง๐š,๐ง๐š ๐ง๐ข๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ฐ๐จ๐ง ๐š๐ง ๐ก๐ฎ๐ฒ๐ฎ ๐ค๐ข๐ฃ๐š๐ง๐š ๐จ๐ง๐š ๐ฌ๐š๐ฌ๐š ๐›๐ฎ๐ญ ๐ฌ๐ญ๐ข๐ฅ๐ฅ ๐๐ž๐ž๐ฆ๐š ๐š๐ง๐š๐ฆ๐ฐ๐š๐ฆ๐›๐ข๐š ๐ˆ ๐ก๐š๐ ๐ก๐จ๐ฉ๐ž๐ฌ ๐๐š๐๐๐ฒ ๐›๐ฎ๐ญ ๐Ÿ๐จ๐ซ ๐ง๐จ๐ฐ ๐ฌ๐ข๐๐ก๐š๐ง๐ข ๐ง๐ข๐ง๐š ๐ก๐จ๐ฉ๐ž๐ฌ,๐ง๐ข ๐Œ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐ญ๐ฎ. ๐๐ž๐ž๐ฆ๐š,๐š๐ฅ๐ข๐ฅ๐ข๐š ๐ฌ๐š๐ง๐š,๐ก๐š๐š๐ฆ๐ข๐ง๐ข ๐œ๐ก๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐„๐๐๐ฒ ๐š๐ฆ๐ž๐ฆ๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐ข๐š.

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
๐‹๐ž๐จ ๐ก๐š๐๐ข ๐‚๐š๐ญ๐ž ๐š๐ฆ๐ž๐š๐ฆ๐ฎ๐š ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ฉ๐ข๐ค๐š ๐ฐ๐จ๐ญ๐ž ๐ฃ๐ข๐ค๐จ๐ง๐ข ๐ก๐š๐๐ข ๐๐ž๐ž๐ฆ๐š ๐š๐ค๐š๐ซ๐ž๐š๐ฅ๐ข๐ณ๐ž ๐ฐ๐š๐ข๐ญ,๐ฅ๐ž๐จ ๐‚๐š๐ญ๐ž ๐š๐ฆ๐ž๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐š๐ฆ๐ค๐š ๐ฌ๐š๐ง๐š. ๐€๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐š ๐ญ๐ž๐ง๐š ๐ฆ๐›๐จ๐ง๐š ๐ฎ๐ค๐จ ๐ง๐š ๐Ÿ๐ฎ๐ซ๐š๐ก๐š ๐ฌ๐š๐ง๐š? ๐‚๐š๐ญ๐ž ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ฐ๐š๐ฆ๐›๐ข๐š ๐ง๐ข ๐ฃ๐ฎ ๐ญ๐ฎ๐ค๐จ ๐ฎ๐ก๐š๐ข๐Ÿ˜‚๐‚๐š๐ญ๐ž ๐ก๐š๐ค๐ฎ๐š๐ฆ๐›๐ข๐š ๐๐ž๐ž๐ฆ๐š ๐ฌ๐š๐›๐š๐›๐ฎ ๐ฒ๐š ๐Ÿ๐ฎ๐ซ๐š๐ก๐š ๐ฒ๐š๐ค๐ž,๐ง๐ข ๐ฌ๐ข๐ฌ๐ข ๐ญ๐ฎ ๐ญ๐ฎ๐ง๐š๐ฃ๐ฎ๐š,๐ฃ๐ฎ ๐Ÿ๐ข๐ง๐š๐ฅ๐ฅ๐ฒ ๐š๐ฌ๐ก๐š๐จ๐ง๐ ๐ž๐š ๐ง๐š ๐ฆ๐จ๐ซ๐ข๐จ ๐ฐ๐š๐ค๐ž,๐“๐จ๐ฆ. ๐’๐ก๐š๐ซ๐จ๐ง ๐š๐ฅ๐ข๐ฌ๐ข๐ค๐ข๐š ๐ค๐ฎ๐ง๐š ๐œ๐ก๐š๐ค๐ฎ๐ฅ๐š ๐ข๐ง๐š๐ฉ๐ข๐ค๐ฐ๐š ๐ก๐ฎ๐ค๐ฎ ๐š๐ค๐š๐ค๐ฎ๐ฃ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฃ๐ข๐ค๐จ๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐š๐ง๐ ๐š๐ฅ๐ข๐š ๐ค๐ฎ๐ง๐š๐ฉ๐ข๐ค๐ฐ๐š ๐ง๐ข๐ง๐ข. ๐๐ž๐ž๐ฆ๐š ๐ง๐š ๐‚๐š๐ญ๐ž ๐ฆ๐จ๐จ๐ ๐ข๐ค๐š๐œ๐ก๐š๐ง๐ ๐ž ๐ฆ๐š๐ซ๐š ๐ฆ๐จ๐ฃ๐š. ๐’๐ก๐š๐ซ๐จ๐ง ๐š๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ฃ๐š ๐š๐ค๐š๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐š ๐๐ž๐ž๐ฆ๐š,๐ฆ๐›๐จ๐ง๐š ๐ฅ๐ž๐จ ๐ฎ๐ฆ๐ž๐ญ๐จ๐ค๐š ๐ค๐š๐ณ๐ข ๐ฆ๐š๐ฉ๐ž๐ฆ๐š ๐ก๐ข๐ฏ๐ฒ๐จ? ๐๐ž๐ž๐ฆ๐š ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ฐ๐š๐ฆ๐›๐ข๐š ๐ณ๐ข๐ข,๐ง๐ข ๐๐š๐จ๐ฆ๐ข ๐ง๐ข๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐š ๐ง๐ข๐ฆ๐ž๐ž๐ง๐๐š ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ฎ๐จ๐ง๐š.
๐’๐ก๐š๐ซ๐จ๐ง ๐š๐ฅ๐ข๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐š ๐ง๐š ๐ก๐ข๐ข ๐œ๐ก๐š๐ค๐ฎ๐ฅ๐š ๐ญ๐š๐ฆ๐ฎ ๐ฆ๐ง๐š๐ฉ๐ข๐ค๐ข๐š ๐ง๐š๐ง๐ข? ๐๐ž๐ž๐ฆ๐š ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ฐ๐š๐ฆ๐ข๐š ๐ง๐ข ๐ฒ๐š ๐‰๐š๐ฒ๐๐ž๐ง ๐ฃ๐ฎ ๐š๐ฅ๐ข๐ฌ๐š๐ข๐๐ข๐š ๐ฌ๐š๐ง๐š ๐‰๐จ๐ฃ๐จ ๐ฃ๐š๐ง๐š ๐ก๐ž๐ฌ๐š๐›๐ฎ. ๐’๐ก๐š๐ซ๐จ๐ง ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ฐ๐š๐ฆ๐›๐ข๐š ๐ญ๐ฎ ๐จ๐จ๐ก,๐›๐ฎ๐ญ ๐ฎ๐ฃ๐ฎ๐ž ๐‰๐š๐ฒ๐๐ž๐ง ๐š๐ง๐š๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ฌ๐š๐ง๐š ๐•๐š๐ฅ ๐ฐ๐š๐ง๐ ๐ฎ,๐ก๐ฎ๐ฐ๐š ๐š๐ง๐š๐ฆ๐ฌ๐š๐ข๐๐ข๐š ๐ฆ๐š๐ฌ๐จ๐ฆ๐จ๐Ÿ˜‚๐’๐ก๐š๐ซ๐จ๐ง ๐š๐ค๐š๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐š ๐๐ž๐ž๐ฆ๐š ๐ค๐š๐ฆ๐š ๐š๐ฆ๐ž๐ฉ๐ข๐ ๐ข๐ฐ๐š ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ค๐š๐ฆ๐ฉ๐ฎ๐ง๐ข? ๐๐ž๐ž๐ฆ๐š.......... Follow Neema Series Updates

You can't pass without typing RIP So sad to Sultana series
05/09/2024

You can't pass without typing RIP
So sad to Sultana series

04/09/2024

Big shout out to my newest top fans! Hasna Amani, Charo Mwanayala, Betty Nyakomollo, Denis D Muuo, Desh Chiyaz, Patrick Barasa, Shally Manthorpe, Edinah Wakoli, Ann Nyongesa

๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐Ÿ’๐“๐‡ ๐’๐„๐๐“๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ Its first day kazini. Neema the waitress ashafika mapema sana kuuza chai andazi. She is very dedica...
04/09/2024

๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐Ÿ’๐“๐‡ ๐’๐„๐๐“

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Its first day kazini. Neema the waitress ashafika mapema sana kuuza chai andazi. She is very dedicated sana. Its very early in the morning na usisahau kila customer hukuja na mambo yake,so unaeza amkiwa na mwingine akiwa amenyimwa na wife kwake,k**a huyu sasa,mwenye ameitisha chapati na maharagwe.
Jojo amefika stage,akampata Jayden amefika already hadi Jojo leo akaamua kuuliza Jayden,mbona unakaa mpole sana na msee umetulia sana when you have ability to? Jayden akamwambia usijali, watu ni tofauti na upole ni nickname yangu. Leo hii wote wanatumia public mat za kawangware kuenda shueni. Jojo akapata kiti but Jayden ikawa imejaa,ikabidi Jayden asimame.
Mark akiwa kazini,aliona apana,acha aulize Cate k**a aliona anything unsual na Neema. Kumcall Cate na kumuuliza if anything happened,Cate hakumficha,alimwambia yeah,jana niliona wakiwa na Jojo na nashuku sana maybe Jojo alimkosea ju hadi Neema alikua analia,
Turudi kwa hotel kwenye Neema anafanya kazi.Neema akiendelea na kazi ile text ya Eddy ya kumwambia anaexpect mtoto na mwanamke mwingine inamsumbua akili hadi maskini wa Mungu Neema,akasahau order yenye amepewa. Badala ya kuletea mteja chapo ndengu,akamletea uji na ugali ya jana,na mwenye hotel akanotice hadi akauliza Neema,si jana ulikua umechangamka mbona leo unafanya kazi as mwenye akili haiko hapa? Neema akili iko kwa Eddy.

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Cate akiendelea na kazi,Sharon alifika akamwambia nilikua na udaku but naona uko busy,unaeza kuja kwangu? Cate akamwambia unfortunately sitaeza ju niko na kazi huku. Sharon akamuuliza ndoa iko aje? Cate akasema iko sawa mbona? Sharon akamwambia naona ashaanza kuchora painting zake za usiku? Cate akamuuliza sasa hiyo inakuhusu aje? Sharon akamwambia mbona sioni wewe na Mark mkiendana,ju yeye ni mzee plus amesoma na wewe hujasoma.
Cate aliambia Sharon sikiza, usidhani kila mtu ako na tabia mbaya k**a wewe. Sharon akamwambia ooh,so unaongea vizuri sindio? Itabidi sasa niambie Mark kila kitu umekua ukiongelea Neema na tuone k**a hapa utasurvive. Wueh,Cate akaona hapa kiasi kitaumana,akaambia Sharon please, cheza chini bna,sasa hizi ni mawhat? Sharon akamwambia basi,k**a unataka tuwe na amani hapa,hakikisha unachunga sana mdomo yako.
Huh! Mark aliitwa kwa ofisi na mdosi wake,akamwambia kuna mgeni ameleta offer ingine hapa,na inakaa mzuri. Wacha Mark aone mgeni,apate ni Naomi,alishangaa sana hadi akamuuliza ni game gani unajaribu kufanya? Mdosi akaambia Mark,huyu Naomi anatupea loan na intrest kidogo sana na sasa she will be our bank. Hivi ndio Naomi amejiingiza kwa mambo ya Mark sasa. Mark hakufurahia hata kidogo.
Kwa hotel,Neema bado anajaribu sana kufanya kazi na inabidi ajisahaulishe mambo ya Eddy ndoo akili iwe kazini sasa. Mwenye hotel ashaanza kubambika sasa na hata urembo wa Neema umefanya hotel imejaa wateja wengi sana.
Kumbe Richard,ashajua kwenye Neema anafanya kazi. Pia alikuja kula huku na Neema akumuona akashtuka,akamuuliza wait,you of all the people unafanya nini hapa? Richard akamwambia usijali, pia nimekuja kula huku niletee kikombe cha chai. Neema ako na wasiwasi but Richard hana shida,yeye amekuja ashajua kwenye Neema anafanya kazi na hata ashakua mteja pia.
Ona sasa Naomi,kazi ni kujipiga tu selfie. Mark alimuuliza Naomi,you always do anything you put your hand on? Naomi akamwambia sindio,na wewe pia yafaa uwe hivyo sindio? Cliff na yeye alikuja hapo na Mark kumuona akajiondoa. Naomi pia kuona hivyo,akajitoa ju yeye alitaka kuongea na Mark si Cliff.
Sharon na yeye ni mshene tu,ashaanza kusikia kiwaru venye Neema anafanya kwa hotel,anasema Neema hajiheshimu ju anafanya kazi place kuna wanaume tu. Isabelle alimwambia wee pia achana na Neema,kwani unataka afanye nini,si ni pesa anatafuta? Sharon akamwambia hata wee pia nyamaza tu,hujui kutafuta pesa,huwa unaletewa tu. Follow Neema Series Updates

Jayden is out of stock, wapi likes zake
04/09/2024

Jayden is out of stock, wapi likes zake

03/09/2024
Ukiona private car na iko hivi , obvious  those are married ,, Usbad and wyf
03/09/2024

Ukiona private car na iko hivi , obvious those are married ,, Usbad and wyf

๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐Ÿ‘๐‘๐ƒ ๐’๐„๐๐“ ๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ Eddy aliendelea kuongelesha Neema kwa chats,akamwambia najua nilifanya makosa kumake contact na Jo...
03/09/2024

๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐Ÿ‘๐‘๐ƒ ๐’๐„๐๐“

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Eddy aliendelea kuongelesha Neema kwa chats,akamwambia najua nilifanya makosa kumake contact na Jojo. Kisha Edy akafanya nini? Akamblock,Makosa na kabla hapo akamwambia sahau na mimi kabisa. Lakini sasa cheki, nik**a drama,nikaa video kwa nini? Kwa sababu,Eddy! Eddy yeye aliacha kuchat kitambo sana na akatoka nje kubarizi kiasi na simu akaacha hapo,kumbe Karen aliona na akasuspect kitu na ukweli wa mambo ni, all these chats Neema amekua akipata,zimekua zinatumwa na Karen,bali si Eddy.
Eddy ndio anarudi kwa room,akapata Karen ameshika simu. Karen akamuuliza,unanidanganya ni emails za kazi kumbe unachat secretly? Eddy akamwambia but nimekua naongea na mtoto wangu ama yafaa nikuombe ruhusa kuongea na my kid? Karen akamwambia sikiza,mimi si maembe venye unadhani,ni either uniambie ukweli,ama nitoke hapa sasa hivi? Huh! Eddy aliangalia Karen na zile macho za mamaa,k**a ni kuondoka unanitishia,ungekua umeondoka kitambo sana.
Neema alishindwa kujizuia akakuja huku nyuma ya nyumba kulia na kumbe Jojo alimsikia. Jojo alikuja akauliza mamake shida ni nini? Neema akamwambia Jojo,nenda kwa nyumba kuna kitu nakuja kukuongelesha. Jojo bado hana habari amekua anaongea na babake.
Naomi ashaambia Richard venye Neema amepata kazi ya waitress but Richard anashangaa sana,mbona Neema afanye kazi place k**a hiyo but Naomi akamwambia hata usishangae,Neema amefanya kazi place mbaya k**a hiyo ni venye tu hujui. Richard akamwambia kesho nitaongea na marafiki zangu apate kazi mzuri. Naomi alicheka tu,akamwambia usisahau Neema is just a highschool graduate plus ako 40yrs so hakuna mwenye atampea kazi๐Ÿ˜‚ Richard alimuuliza hii hotel yenye Neema anafanya kazi iko wapi? Ile kuangalia Richy aliangaliwa na Naomi,wueh,ilibidi ajifunze kunyamaza.

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Cate alisikia Neema akilia kumuuliza k**a ako sawa,akamwambia tu ako sawa na huyoo Neema akaenda kulala.
Karen na yeye kishaanza kumramba,ashajua Eddy doesn't give a f**k about her akitaka kuondoka na akauliza Karen shida yako ni nini? Karen akamwambia I want to be happy manze. Eddy alimwambia lets just stop this,drama za nini na naongea na familia yangu? Karen akamuuliza kwani what am I to you,unasahau kuna mwanaume alitaka sana kunioa but nikaachana na yeye nikakuja na wewe? Eddy akamwambia pia niliacha familia yangu nikakuja na wewe alah.
Huh! Hata Neema hakuambia Jojo ukweli wa mambo,alimdanganya ati huyo jamaa anachat na yeye,si mzuri hata kidogo na hata ashamblock. Neema hakuambia Jojo,that was your dad.
Karen aliambia Eddy sikiza,,k**a hivyo ndio tutaishi,I will leave this place kesho kitu ya kwanza but Eddy akamshika akaanza kumbembeleza,anamuuliza sasa drama ni za nini na nimesema this will not happen again? Karen anajifanya anataka kutoka but that was the last thing she will do . Karen alirudi chini akasema na don't talk to your family na usinichezee tena.
Neema alimconvince Jojo,akamwambia please, don't talk to anyone na utanipea password za accounts zako zote. Jojo anafeel hii inakaa hard but wueh,her mum is insisting,anataka kuaccess simu ya Jojo,fully.
Sharon halali,amesimama nje anaangalia Mark akiwa kwa room yake ya yenye huwa anakaa akifanya drawing. Mark akiwa ndani ako kwa mwangaza haoni nje,but Sharon akiwa nje anamuona Mark vizuri sana and this is what she feels better hadi anajipata anasmile tu mwenyewe.
All in all,no matter what,kazi lazima ifanywe. Neema aliamka kuenda kazini na Mark akakuja akamuuliza k**a ampee lift but Neema alikua anakataa,hatimaye akakubali na wote hao wakaondoka. Wakiwa kwa gari,Mark could see Neema hayuko sawa but kumuuliza,of course Neema alisema "Iam ok". Mark akamuuliza but you don't seem to. Neema akamwambia kuna tu kitu inanikula akili but nitakua sawa.
Val na yeye alikuja kuuliza Jojo,jana mkifanya revision ilikua tu revision pekee ama kuna kitu ingine mlifanya๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Jojo akamwambia it was just revision,ama kuna ingine ilikua tufanye na hukusema? Val akamwambia maybe after revision mkaongea? Jojo akamwambia zii, it was just revision na ikaisha hivyo. Val anataka kujua k**a there is something going on.
This month,ni birthday ya Jojo na Val alitaka kutupa party ya Jojo kwa beshte yake but Jojo alikataa,akamwambia kwanza hatuna pesa na plus siezi leta mabeshte zangu huko,so no thanks, acha tu huu mwaka birthday tuiname tu unless upate a fancy place kwenye beshte zangu wanaeza kuja kuchill.

Show some ๐Ÿ’•๐Ÿ’•๐Ÿ’•๐Ÿ’• love
28/08/2024

Show some ๐Ÿ’•๐Ÿ’•๐Ÿ’•๐Ÿ’• love

28/08/2024

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Suzanne Rottuck, Winne Lagat, Donester Muthoni, Kalmayo Gezza, Caroline Muriithi, Polo Boy, Caroline Vuzigwa, Brian Ogingah, Justine Gechuki, Mamake Joy Na Shanie, Nanciemuchiri Mohchilly, Joy Kiplagat, Philomena Nasimiyu, Moureen Flower, Beatrice Mulavuu, Timoo Timo, Salome Nabwile, Neshbitha Rey, Kylian Kylie

28/08/2024

Thanks for being a top engager and making it on to my weekly engagement list! Esther Maghema, Stanley Stano, Sely Eva, Brian Skyperz, Trian Bruni, Nicholas Luvayi

๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐Ÿ๐Ÿ๐’๐“ ๐€๐”๐†๐”๐’๐“๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ Following day,Neema asharauka ashachukua viatu kutoka. Mark akamuuliza,"unakumbuka sato yafaa tw...
20/08/2024

๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐Ÿ๐Ÿ๐’๐“ ๐€๐”๐†๐”๐’๐“

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Following day,Neema asharauka ashachukua viatu kutoka. Mark akamuuliza,"unakumbuka sato yafaa twende kwa farm sijui k**a utamanage?" Neema akakumbuka shiet,kuna issue ya Jojo yafaa wasolve na mzazi wa yule mama mwenye Jojo alikosea,but Mark akamwambia usijali,I will handle it bora tu Jojo abehave. Jojo kuambiwa na mamake kuhusu kesho kuenda kwa farm,akamwambia mum,ni ukuje tu ju huyo dem anaeza niprovoke nijipate namcharaza tena. Mark akamwambia usijali,I will talk to that mamaa we postpone hadi Sunday ju kesho sato unaenda job.
Cate naye hapendi peace,kuona mambo iko sawa,akauliza Jojo kuhusu Kevo mbele ya mamake hadi Neema akashindwa,kijana mgani anakuja kutafuta Jojo akiwa na hasira hivyo but Jojo kuulizwa akasema yeye hajui anything๐ŸคฃCate,hajui kucheza chini.
Eddy ashachapwa heartbreak ya message na yeye anadhani imetoka kwa Neema hadi wakikula,Karen akamuuliza,mbona unakaa disturbed ama kuna kitu unaficha kutoka kwangu? Eddy akamuuliza kichwa yako ni mzuri,nini naficha ama maybe hata wewe ndio unaficha kitu na huniambii. Just from nowhere wakajamiana na Eddy akakuja juu sana๐ŸคฃKaren akajam hadi akaenda akaacha chakula.
Kumbe Jayden naye,alimtafuta Kevo hadi akampata akamwambia bro,watch naitaka sasa hivi lakini Kevo akamwambia watch nilishauza nikajilipa boss. Jayden akamwambia manze itabidi umetrace hiyo watch but Kevo akamwambia zii,niliuzia hawker huko tao nitaanza kutrace saa ngapi. Jayden akamuuliza yani after kukuokolea hivyo vyote na hivi unanilipa,kwa kuiba watch ya Jojo? Kevo akamwambia hata pia uache uduu,just coz uliniokolea haimaanishi unibebee venye unataka. Jayden alimwambia ni sawa,but nisiwai kuona karibu na Joo tena na ujinga utaacha.
Woiye Karen,kamejam hadi amekuja kwa room kulilia kwa bed akidhani maybe Eddy atampombeleza lakini mwenye yafaa apombeleza,huh! Alikua akalala na akaface side ya huko,hana wakati kupombelezana na Karen,maybe Karem apombelezwe na pombe๐ŸคฃEddy anasumbuliwa na text yenye anadhani ilitoka kwa Neema,hana habari ni Naomi alitext kutumia simu ya Neema.
Neema ashaamka, ashakoka,ready kutoka. Alitoa 200 kupea Jojo ya matumizi but Jojo akamwambia no need. That was unusual of Jojo but all in all Neema,luku ya kazi huyoo akaondoka. Akitoka alisalimia babake but venye mzae alijibu Neema alijua kuna shida hadi akamuuliza babake shida ni nini? Babake akamwambia siko sawa,yani niko tu hapa kazi ni kuchunga watoto wakati wewe unaamka kuenda kututafutia hadi najiona nik**a sina maana. Neema alimwabia come on dad,wewe ushazeeka let me take care of you dad. Babake Neema anaregret sana kukopesha uncle ya Neema pesa.

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Jojo na Val wakienda shule,Jojo aliambia Val mshene akamwambia unajua Mark na Cate hawalali pamoja, Cate kwa bed na Mark kwa kiti. Val akashangaa sana,iweje wakati washaona. Jojo akamwambia hawa wawili lazima kuna kitu. Hapo na hapo,Val akakumbuka mamake akimwambia Jojo anamtumia na k**a anataka kuprove amuulize amuintrodoce kwa marafiki zake na ni kweli ju wakati Val alimuuliza ni lini atamuintroduce kwa rafiki zake,Jojo akachange topic na akamwambia Val unajua siezi ju marafiki zangu wil not sooth you. Val akajua kumbe mamake was right,Jojo is using her.
Jayden alikuja akaambia Jojo,good news ni alimpata Kevo but bad news ni watch ishauzwa kwa mtu mwingine anakaa Kangemi so kuipata haezi ipate. That was soo deep kwa Jojo hadi akaambia Jayden,hii nik**a kupoteza babake kwa mara ya pili.
Neema ashafika kazini na beshte wa Sharon akaambia Sharon lazima Neema ako innocent thats why alitolewa kwa polisi lakini Sharon akamwambia hakuna kitu k**a hiyo,huyo lazima anafanya kifungo cha nje.
Kumbe Naomi na yeye aliamua kuplay her second card,akamcall Eddy na ile number ya Eddy mpya hadi Eddy akamuuliza numbe ryangu ulitoa wapi? Naomi akamwambia ni Neema alimpea na amemwambia aambie Eddy asiwai call Neema tena. Sikiza,number ya Eddy Naomi aliichukua kwa simy ya Neema wakati message ilitumwa na akadelete message na akablock Eddy,sasa Eddy kusikia hivi akaamini kuwa ni Neema alipeana number na Naomi akaambia Eddy,Neema ashamove on and dont ever call her again.
Eddy sasa hata mind haifanyi kazi,anashangaa iweje mkewe amfanyie hivyo,thats not Neema he knew and yes thats not Neema,thats Naomi playing him. This has really broke Eddy's heart but sasa atadu.
Mark alikuja na beshte yake Cliff kwa restaurant wakule lunch na wakati Cliff aliuliza kuhusu familia nyumbani sana sana Neema,Mark alimwambia wako salama na hata Neema alipata kazi kwa factory. Cliff akamwambia but Neema looks fancy kufanya kazi kwa factory. Mark alimwambia she is enjoying it. cliff akamwambia apana,lazima anafanya out of frastration so tunaeza msaidia afanye kazi ingine,mimi niko ready kumpea 100k. Mark akauliza Cliff,,yani badala ya kuonyesha ajue kujitafutia pesa,wewe unataka tu kumspoon feed,kwanza uifanya hivyo ndio atajam sana,acha ajifunze kujitafutia.

๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’: ๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐Ÿ๐ŸŽ๐“๐‡ ๐€๐”๐†๐”๐’๐“ ๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ Sharon akiwa kazini,alipigiwa simu na Mark. Mwanamke wa wenyewe alifurahi hadi akaenda...
20/08/2024

๐”๐๐ƒ๐€๐“๐„๐’: ๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐Ÿ๐ŸŽ๐“๐‡ ๐€๐”๐†๐”๐’๐“

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Sharon akiwa kazini,alipigiwa simu na Mark. Mwanamke wa wenyewe alifurahi hadi akaenda hukoo kwenye hakuna kelele hadi akasema "barafu wa moyo wangu". Lakini Mark alimwambia Sharon sikiza, nisharudisha Neema nyumbani na sijui k**a ju yafaa areport job leo? Sharon akaboeka,hadi akaambia Mark hata haikua bahati yake hakuna kazi yake tena. Mark akamwambia basi tu nisawa,itabidi nikae na yeye nyumbani,Sharon kusikia hivyo,akasema basi ngoja,acha nitaongea na manager na supevisor na mwenye kampuni hadi na carekater tuone k**a watakubali akuje. Sharon amebambika kuongea na Mark hadi anasema haamini amepigiwa simu na Mark๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Jayden akiwa kazini kwa babake,aliangalia nje akamuona Jojo ametoka shule akilia. Jayden akakuja akamuuliza shida ni nini unalia? Jojo akamwambia ni huyo jamaa hunibeba kwa gari amekuja akachukua watch yangu just because gari yake ilicrash. Jayden alimwambia usijali,nitaenda kuongea na yeye na nimake sure watch yako imerudi.

Ebu sasa cheki,kitu Jayden anasema "ataenda kuongea na yeye". Jayden alikuja akachukua shoka kwa duka lao,ndio aende kuongea na Kevo vizuri but first order of the day aliona aende kwa garage kwenye Kevo huwork. Jayden alfika huko akapata mwenye gari amejam sana,akamwambia ashadelete Kevo kufanya kazi na haezi mtaka kumuona. Jayden na mwenye gari wanaelewana vizuri sana na sasa ni Jayden atafute Kevo sasa. Watch ya Jojo gathee,utaitoa.

Jojo kufika nyumbani,mamake akamuuliza unalia nini,Jojo akasema alikua amehurumisha tu ju ya mamake hakusema chenye kilijiri kwa barabara. Val akamuita akamwambia Jojo,kuja tuongee kiasi privately. Jojo already anajua what is about to happen or be told. Jojo hakumficha Val,alimwambia kila kitu venye Kevo amechukua watch yake. Wakati huo huo,Jayden anamtafuta Kevo,mbaya mbovu.

Lakini Val na yeye kuambiwa ati Kevo alichukua watch,badala ya kuhurumia Jojo,akamwambia nini "I hope hiyo watch itasolve shida zote" hadi Jojo akasindwa wait,unajua hiyo watch ni gift kutoka kwa babangu? Val akamwambia na wewe umejiuliza chenye babangu atanifanyia akijua hii story,umesahau venye ulikua unaenjoy hiyo ride na hivi kupigwa ni mamangu alinichapa juu yako alafu sai uko hapa hata huwezi accept friend request fb. Jojo akamwambia basi si nimesema pole ama uko na maneno ingine? Val akamwambia omba sana hiyo watch isolve shida zote ju Kevo ni psycho. Wueh!

Naomi alimtembelea Neema at least kusimama na yeye na akamwambia ako na kazi ya kufanya she has to go back to work. Ona sasa venye Naomi anaringa na new bracelet ndio ati Neema aone and yeah Neema aliiona hadi akamshukuru kwa kubuy new bracelet. Naomi alirequest kuongea na Jojo kiasi before aende.

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Neema alikuja akaita Jojo,akamwambia your aunt Naomi anataka kukuona lakini Jojo akamwambia enda mwambia sijiskii kuja. Neema akashtuka,akamuuliza mbona? Jojo akamwmabia si amekuja huku jana anataka kuenda na mimi cha nguvu,so sidai story zake. Hata Neema hakusikia maneno Jojo alisema ju her attention was drawn to Jojo's hand,akaona hana watch,akamuuliza wee watch iko wapi? Jojo akadanganya ati amesahau pahali.

Punde si punde,huku kwa room,kumbe Eddy ameamua kumpigia Neema simu,mako...makosa. Neema yuko kwa room anaongea na Jojo,simu yake iko sitting room kwenye Naomi amekaa na sasa Eddy is calling. Eddy alicall lakini simu haikushikwa akaamua kumtumia message ju ameona calls hazishikwi,kwa message Eddy akamwambia Neema,this is Eddy my new line na hope watoto wetu wako salama,incase unataka anything,please contact me na nataka sana tukutane we sort the issues,kisha Eddy akapress sent. Huh! Makosa ikawa,mwenye aliona hiyo message,ni nani? Naomi and that was one,very big mistake. Naomi akamreply Eddy akamwambia maneno mabaya sana yenye hata Neema mwenye simu haezi sema.akamwambia Eddy shame on you,you left us ju ya mwanamke,usiwa nipigia simu tena,kids and I we hate you. Hivyo ndio Naomi alitext Eddy.

Neema kurudi,Naomi ashachoka anataka kuondoka sasa na anajifanya hata hakuna kitu kimefanyika but kumbe Neema akiwa kwa room,alisikia simu yake ikiitana lakini kukuja,akaona hakuna kitu kwa simu hadi akauliza Naomi,haya,si nimesikia napigiwa simu ama? Naomi akamwambia zii,hakuna mtu amecall na hata hakuna message imetumwa nikadelete๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Neema wako kwa chakula and guess who knocked? Sharon. Sharon alikuja akaambia Neema pole kwa chenye kilifanyika na hata ashaongea na manager so Neema is free kuenda kazini. Neema didn't see this coming na ilimpata na mixed reactions and now Neema ako allowed kureport kesho. Mark alikaribisha Sharon chakula but akamwambia ashashiba so anaenda kukula kwake.

Huh! Naomi akiwa kwake alipigiwa simu na Neema akamwambia gues what,nimepata kazi kwa factory na inalipa 1k kwa siku. Naomi badala ya kusherehekea alimwambia tu congrats na akakata simu.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Naomi akiwa na bwanake,alimuona akiwa na bracelet akamuuliza hii nao umetoa wapi? Naomi akamwambia hii nilibuy venye tu nishanunua hii nyumba......

Looking for ways to earn some money just using your phone, this is the app not to miss in your phone. Just download it a...
19/08/2024

Looking for ways to earn some money just using your phone, this is the app not to miss in your phone.
Just download it and register to get daily surveys.
https://invite.sagapoll.com/QFZVP

07/08/2024

Anyone in Kisii Stadium and he or she is willing to broadcast the KSSSA match live via this page can inbox me to make him or her an admin

07/08/2024

Big shout out to my newest top fans! Patrick Jefwa, Dantez Kamuxh, Dan Kisangi, Betty Nyakomollo, Neem KE, Denis D Muuo, Desh Chiyaz, Hasna Amani, Patrick Barasa, Shally Manthorpe, Edinah Wakoli, Charo Mwanayala, Ann Nyongesa

*Having a Child Doesn't reduce Your Value, You're Still a Queen.*๐Ÿ‘‘๐Ÿ‘‘๐Ÿ‘‘
06/08/2024

*Having a Child Doesn't reduce Your Value, You're Still a Queen.*๐Ÿ‘‘๐Ÿ‘‘๐Ÿ‘‘

What is the moral lesson of the picture
05/08/2024

What is the moral lesson of the picture

Daniel Ndambuki, known as Churchill, is a key figure in Kenyan comedy. Born in 1977, he studied Mass Communication at Da...
05/08/2024

Daniel Ndambuki, known as Churchill, is a key figure in Kenyan comedy. Born in 1977, he studied Mass Communication at Daystar University and gained fame with "Redykyulass" before launching "Churchill Show" in 2007.

The show, a cultural hit, helped launch many comedians' careers. Churchill co-founded the "Laugh Industry" to nurture new talent and has received numerous awards, including the Kalasha Awards.

Known for his humility and dedication, Churchillโ€™s humor often addresses politics and daily life, resonating widely.

His vision and mentorship have significantly shaped Kenya's comedy scene,
making him a beloved and influential figure.

What do you love about Churchill Ndambuki?

SO SAD ๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญHii imehappen hapa Nyali in a certain hotel jana, dame alikuwa anadate na jamaa fulani hapo na alikuwa na b...
04/08/2024

SO SAD ๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
Hii imehappen hapa Nyali in a certain hotel jana, dame alikuwa anadate na jamaa fulani hapo na alikuwa na bwana so leo morning huyo boyfriend aliamua kumpeleka out and this happened coz alikuwa amefuatwa nyuma na bwanake๐Ÿšถ....her husband alimfuata tu polepole................ Hizo story za ukweli zitakuwa zinatoka wapi kila siku.
Meanwhile subscribe https://youtu.be/rZh65aGDp-U

02/08/2024

Thanks for being a top engager and making it on to my weekly engagement list! Desh Chiyaz, Xharon Mutheu, Esther Wanyaga, Charo Mwanayala, Salome Sally, Damarise Ndiema, Chepkem Jane, Maurice Ojwang, Emmanuel Njiru, Elizabeth Orao, Lucy Mbii, Andrew Mberia, Nรฎ Beverly Dexter

๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐Ÿ๐’๐“ ๐€๐”๐†๐”๐’๐“ ๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ Wasiwasi ushaanza kumuingia Cate  hadi alimcall Mercy akamwambia manze Mark ashajua kwenye Neema...
01/08/2024

๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐Ÿ๐’๐“ ๐€๐”๐†๐”๐’๐“

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Wasiwasi ushaanza kumuingia Cate hadi alimcall Mercy akamwambia manze Mark ashajua kwenye Neema anaishi na huenda Neema akarudi huku na niko sure wakirudi huku Neema na Mark watafall in love na sasa mimi naeza fukuzwa. Mercy in as much anapenda cuzo wake Cate,alimuuliza surely sister,kupenda ulipenda lakini kushika mimba ilifikaje hapo? Cate akamwambia kupenda na kushika mimba si shida,shida yangu ni sijui hata Timo mwenyewe yuko wapi na anaendeleaje. Kumbe Timo mwenyewe ndio huyu kwa mjengo.
Kwa Sharon,ashapika chai na akaletea bwanake hapo na tumkate tuwili. Babake Val akauliza Sharon,si Val yafaa agraduate huu mwaka? Sharon akamwambia hata huyu huwa hashiki vitabu. Mzee akamuuliza na mbona humuulizi ama anafanya tabia mbaya huku nje ju naeza mtandika vibaya sana.Sharon akamuuliza si wewe umuulize,kwani mtoto ni wangu pekee? Mzee alijam,akagonga ngumu meza,akaambia Sharon sikiza na hii uso yako k**a uji imepoa,usiwai niongelesha matope siku ingine,nikiuliza swali unanijibu sawa!๐Ÿ˜‚Mzee hadi aliacha chai akatoka akaenda.
Mark na Isabelle washafika kwa Neema na Mark akaambia Neema usishtuke,ni Isabelle alitaka kukuona ikabidi nimlete. Kumbe lanldlord,alisikia na akakuja kusikiza hawa wanaongea nini๐Ÿ˜‚ Ian na Babu walifeel poa sana kumuona Mark. Kuna zawadi Isabelle ameletea Babu Jay๐Ÿ˜‚ni mboga fulani na Isabelle anapenda sana Babu Jay.
Isabelle concern yake ilikua mbona Neema alienda haraka hivyo hata hakungoja wasort things out but Neema akamwambia please tusiongelee hiyo issue but Isabelle akamwambia how I wish ungejua venye watu waliregret chenye walifanya na hata wanataka tu kukuomba msamaha na ama ushawai ona mimi ni wa maana kwako,tafadhali naomba urudi kwa Mark. Waliongea sana na baadaye haoo wakaamua kuondoka.
Wakati Mark wanaondoka,walikutana na Naomi amebeba shopping kuleta kwa Neema hadi Isabelle akauliza Mark,unaona Naomi anakuja na shopping mbona sisi hatukufikiria kuja nayo.
Naomi alifika kwa nyumba akauliza Neema mbona Mark anakuja hapa? Neema akamwambia ni Isabelle alikua amekuja kuniona. Naomi akamwambia aah wee,usikubali hawa watu wakuje huku na hata huyu Mark usikubali akuje huku. Neema alimuuliza hii ni nini umebeba? Naomi akamwambia ni shopping tu kiasi nilikua nimeleta but Neema akamwambia please,si lazima ulete shopping,kidogo tuko nayo inatutosha but Naomi akamwambia watoto yafaa wakule vitu mzuri mzuri na hata kazi nitakusaidia kupata. Neema akamwambia ni sawa,bora iwe kazi mzuri an iweze kunilipia rent. Naomi akamwambia but kuna tatizo,usiwai trust huyu Mark,plus ako na wife remember? Neema akamwamboa come on,kwani tunaongelea Mark tena?๐Ÿ˜‚Neema aliambia Naomi yeye hakuna kitu Mark amemfanyia,so haoni ubaya wake.

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Wakati Mark na Isabelle wanarudi nyumbani,walikutana na baba Val na hadi akamuuliza hata,kwani Mark ulirudi? Isabelle akamwambia yeah,alirudi na hata ako na wife wanatarajia mtoto. Baba Val akaambia tu Mark congratulation bro na Mark pia akamwambia congratulation for your marriage kwa Sharon Baba Val akaangalia mwenye anaitwa wife,anakosa la kusema.
Naomi alijaribu kuambia Neema,mbona usikubali Jojo akuje kuishi na mimi asikue burden kwako? Neema akamuuliza how can my own daughter become a burden kwangu? Ama ni ju hauna mtoto so huwezi elewa. That one ilihurt Naomi akauliza Neema,unaezaje niambia kitu k**a hiyo,yani wewe mwenye unajua condition yangu unaniambia kitu k**a hiyo,chonjo! Ni sawa tu. Hii ilifanya hadi Naomi akalia manze.
Sharon aliona Isabelle wakirudi akamfuata akamuuliza,unakumbuka story ya baba Georgi? Mwenye alikua ananyemelewa tenants? Isabelle akamwambia nakumbuka but Mark si k**a yeye. Sharon akamwambia wee tulia,shida si Mark,shida ni Neema. Isabelle alimwambia zii,Neema hana shida na hata mimi kuenda huko na Mark,ni mimi nilikua naenda kumuona Neema si Mark. Sharon akamwambia hata huyu Neema hakuangi mrembo k**a mimi.
Anyway,Neema on other side amezunguka kwa maofisi kutafuta kazi lakini wapi,hapati manze.
Sharon na yeye kuona Isabelle hamuungi mkono alikuja kwa Cate tena,akamuuliza k**a Mark aliona ile zawadi alimletea jana? Cate akamdanganya akamwambia yeah aliona but in real sense Cate hata hakuonyesha Mark,akadanganya Sharon ati Mark alisema thanks. Sharon alifurahi,akaambia Cate kwanza unajua unaplay wife duties kwa Mark na yeye anaplay husband duties kwa Neema? Cate akamwambia please usianze hizo story zako.
Sharon akaomba Cate number za Mark but Cate akamwambia si poa kukupea number yake. Sharon akakuja juu akamwambia wee unajua mimi na Mark tumejuana kwa muda gani wewe? Cate akataka kumuuliza k**a mnajuana mbona huna number but akacheza chini.
Jojo na yeye wakitoka shule,alipata gari imemngoja hapo nje na leo hii hata Val mwenyewe amekuja kuwapick. Val alimwambia ni venye nilikua naenda na Kevo pahali nikaona nikupitie. unajua watu wanajua hii gari ni yangu,sasa unataka wajue si yangu? Val akamwambia relax alah. Jojo amejam,mbaya sana na akaambia Val next time,sitaki .....

31/07/2024

Big shout out to my newest top fans! Patrick Jefwa, Dantez Kamuxh, Pixley Kate, Dan Kisangi, Betty Nyakomollo, Neem KE, Demwas Mwaloo, Denis D Muuo, Cleophas Mura, Desh Chiyaz, Hasna Amani, Patrick Barasa, Shally Manthorpe, Edinah Wakoli, Charo Mwanayala, Ann Nyongesa, Cathy Cate

I blame the present
31/07/2024

I blame the present

๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐Ÿ‘๐Ÿ๐’๐“ ๐‰๐”๐‹๐˜๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ Sharon ameamua k**a mbaya mbaya,ameweka wig na make up ingine wazimu๐Ÿ˜‚Sharon leo hii amevaa k**a mw...
31/07/2024

๐๐„๐„๐Œ๐€ ๐Ÿ‘๐Ÿ๐’๐“ ๐‰๐”๐‹๐˜

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Sharon ameamua k**a mbaya mbaya,ameweka wig na make up ingine wazimu๐Ÿ˜‚Sharon leo hii amevaa k**a mwenye anaeza kufanya kazi ya usiku manze.Alikuja kwa room ya Val akapata akiongea na Jojo kwa simu,Val alishangaa hadi akamuuliza madhe,rada ni which? Mbona make up na wig? Sharon akamwambia wee,nimealikwa kwa Mark mimi na Isabelle๐Ÿ˜‚ Ebu niwaweke picha ya Sharon ndio mjionee venye anakaa leo hii...
Mark kwake hakuli,hadi Cate akamuuliza shida ni nini hukuli? Mark akamwambia nafikiria tu Neema,hana pesa,sijui wanakula aje. Cate akamuuliza kwani ushajua kwenye wanaishi already? Na nilijua tu lazima angekuambia but Mark akamwambia si yeye aliniambia,ni beshte yake Naomi aliniambia na ju ya hiyo story,hata nishashiba,wee endelea kukula. Mark soo devastating.
Sharon alikuja kwa Isabelle kumchukua waende kwa Mark kumuona hadi Isabelle pia anashangaa tu venye Sharon anakaa,si wanja,si wig,si make up.
Cate alikuja kukaa penye Mark ako akamwambia si kwa ubaya,but I hope wewe kuenda kwa Neema haitamletea shida? Mark akamwambia haiezi,ni venye sielewi mentality ya watu wa huku na nikiimagine nilizawaliwa huku naboeka tu. Punde si punde,mlangoni Sharon wakabisha.
Cate hakua ameambia Mark akina Sharon wanakuja but akamwambia in advance kuwa hao ni Sharon na Isabelle wamekuja huku nilikua nimewaalika,lakini Mark akamwambia siko kwa mood sai,acha mimi niende kulala. Sharon kuingia,Cate ndio anashtuka tu venye Sharon amevaa na Cate akawaambia by the way,iam sorry,Mark amelala so hamtaeza kumuona๐ŸคฃSharon alijam,akiimagine venye ameeka make up since 6pm hai sai 9pm na bado hatamuona Mark,alijam sana. Cate aliwaambia kuna venye Mark anaumwa an tumbo so amelala.
Sharon alirudi kwa room yake akaanza kulia hadi Val akakuja akamuuliza mum,shida ni nini lakini Sharon alimfukuza,akamwambia toka kwa room yangu alah! Sharon anataka kutokwa na wazimu,haamini hajamuona Mark.
Cate yeye akilala,alisikia kuna movement kwa next room,akaamka kuchungulia na akaona ni Mark ako huko,akamuuliza kwani hulali Mark? Mark akamwabia hii place ilikua imefungwa for long an kuna kitu nataka kufanya huku so wee enda tu ulale...

๐๐€๐‘๐“ ๐Ÿ
Kwa Neema before alale,Ian alimuuliza mum,daddy atawai rudi tena? Neema akamwambia hoping so,maybe kuna siku atawai rudi so just go back to bed ulale na uote coco melo babaa.
Mida ya saa nne usiku,kwa Sharon nyumbani alibishiwa mlango,kufungua kumbe ni babake Val. Val alifurahi sana kumuona babake but Sharon akamwambia ujue hujakaribishwa huku,unaezaje potea alafu unarudi tu k**a yesu? Babake Val akamuuliza kwani hujawai acha kelele zako,ndio nafika ushanianza na mdomo already .
Babake Sharon alimuangalia akamuuliza na hizi nguo unavaa sai kwani ulikua unaenda wapi na naona umeeka make up? Sharon akamwambia tulikua tumeenda kwa jirani na Isabelle. Mzae akamwambia ni sawa,so niekee kachai na unichemshie maji nataka kuoga. Sharon alikuja juu,akamwambia wee mwanaume,yani utoke uende na kisha urudi kupeana orders hapa,k**a nani? Wueh!
Mark akitoka morning,alikutana na Isabelle na wakaongea na akamwambia anaenda kumuona Neema hata k**a alikataa kuja huku. Isabelle akamwambia fanya hivi,twende na wewe maybe nikiongea naye atakubali kurudi. Isabelle na Mark hao wakaondoka kuenda kwa Neema lakini makosa ni, Sharon aliwaona akakuja mbio kwa Cate akamwambia sikiza Cate, Mark na Isabella wameondoka na nashuku sana wameenda kwa Neema na wewe hufanyi kitu? Cate akamwambia mimi sitaki hizi story zako,zinanikasirisha sana. Shan alijam akatoka na akaambia Cate,nimekuwarn.
Cate alimcall Mercy akamwambia cuzo,nashangaa huku nitawai pata peace lini,kila siku ni vituko baada ya vituko.
Jojo yafaa aende shule na mzazi but anaogopa haezi enda na mamake. Val alimuuliza what of Richard? Jojo akamwambia huyo ni snitch mbaya,siezi. Jayden yuko pale anawasikiza tu na punde si punde, Jojo gari ya kumpeleka shule ikafika. Jayden alikuja akauliza Val, nilikuona jana ukitoka kwa ofisi ya Kevo,kuna nini kinaendelea? Val didnt see this coming,akaambia Jayden please usiambie mum na hakuna kitu kinaendelea kati yangu na Kevo. Jayden already anajua what is happeing but decided kukacheza chini. Kevo,ni yule jamaa alipeleka Jojo shule na gari,mwenye Val alimshukuru kwa pochi.

Address

Karen
Nairobi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Becky updates posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Becky updates:

Videos

Share