11/09/2024
Khalid Aucho ✋✋✋✋✋⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️
Mwandishi > Fazul Khalid
Kisiwa Cha Burudani. YOUTUBE- 254 News And Entertainment
(2)
Khalid Aucho ✋✋✋✋✋⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️
Mwandishi > Fazul Khalid
Bango Nchini Kenya Huku Wafanyikazi Wa Uwanja Wa Ndege Wakiendelea Na Mgomo !!
Mwandishi> Fazul Khalid
ABUYAAAAAAA.....
''Azizi Huyo Aziz Huyo Kaisusa Kwa Abuya Kaitaka Tena....''
~ Harmonize
Mtangazaji Mahiri Nchini Kenya Anaitwa Kageni ....
Taifa Stars ⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️⚽️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mfalme Alikiba Anasema ,
"My first ever Extended Playlist, STARTER The EP, I embrace Bongo Flava. Friday 20th, September. ''
Mwandishi > Fazul Khalid
(c) 2024 | KINGS MUSIC RECORDS
Mwenetu Susumila Yusuf Ameangusha Mizigo Bandarini 👍💊
Mwandishi > Fazul Khalid
Je, Unawatambua Miamba Hawa?🔥🔥🔥🔥🔥
Mwandishi> Fazul Khalid
BALAA JKIA !!
WAFANYIKAZI WAGOMA !!!!
Subscribe https://www.youtube.com/ // BURUDANI // MICHEZO // SIASA For Advertisement, Email Us At [email protected]
Msanii Raia Wa Tanzania Nay Wamitego Akemea Visa Vya Utekaji Na Mauaji Nchini Tanzania
Stori Iko Hapa 👇👇👇
Msanii Kutoka Tanzania Ney Wamitego Amekemea Vikali Utekaji Na Mauaji Nchini Humo. Msanii Huyu Amewarai Vijana Waamke Wahakikishe Kuna Usawa Katika Jamii..
Stori Hii Iko YouTube Link Hapa Chini 👇👇👇
Mwandishi> Fazul Khalid
Msanii Kutoka Kenya Muite Bahati Na Mkewe Diana !!
Je, Kukuwa Tight Hivi Ndio Ishara Tosha Kuwa Wawili Hawa Wameshibana ?
Ni Nyimbo Gani Ya Alikiba Huwa Inakukosha ?
"Nawapongeza Vijana Wangu Kwa Ushindi Wa kihistoria Dhidi Ya Namibia, Hata Hivyo, Inashangaza Kwamba Sijalipwa Kwa Miezi 9 Sasa Na Ninachopata Ni Kukosolewa Tu ."
Mwandishi> Fazul Khalid
Kenya ⚒🔥🔥🔥🔥
ABUYAAAAAAA Na Bao La Ushindi Kwa Nchi Kenya Dhidi Ya Namibia
Kenya 2-0 Namibia !
Feisal Toto 💪💪💪💪💪💪🫵🫵🫵🫵🫵
Bingwa Huyu Anawajibikia Zaidi Nchi Ya DRC CONGO. Tumpe Maua Yake Aisee !!!
Wafanyikazi Wa Uwanja Wa Ndege Wa JKIA Nchini Kenya Wamegoma. Wanasema Kampuni Ya ADANI Kutoka India Itafanya Watapoteza Kazi Itakapoanza Kazi Rasmi Ya Kuboresha Miundo Mbinu Kwenye Uwanja Huo
Mwandishi > Fazul Khalid
Lazima Uwe Na Nywele K**a Unataka Kunyoa
~ FID Q
Msanii Kutoka Kenya Anayejulikana K**a Juliani Ni K**a Penzi Lake Limeingia Doa. Mpenzi Wake Lilian Ameamua Kumuunfollow Kwa Instagram Na Juliana Pia Akafuata Mkondo Wa Kumuunfollow.
Mwandishi > Fazul Khalid
Mwalimu Abduba Dida Aligombea Urais Nchini Kenya Mara Mbili. Sasa Anatumikia Kifungo Cha Miaka 7 Jela Nchini Marekani.
Amepatikana Na Hatia Ya Kutisia Maisha Ya Mtu Ambaye Mahakama Bado Imebana Jina Lake.
Mwandishi> Fazul Khalid
Juliani And Lilian Unfollowed Each Other On Instagram. It Is Break Up Or Clout Chasing?
Get The Whole Story Here 👇👇👇
Picha K**a Hii Unaitafsiri Kivipi ?
Hivi Mchoraji Masoud Kipanya Alimaanisha Nini Hapa ?
MASAIBU YA MWALIMU ABDUBA DIDA 🥲🥲
https://youtu.be/lsIRk-DaWQ8
Habari 254tv MICHAEL WERE MUKHUSIAH Bonga Tube
Join this channel to get access to perks:https://www.youtube.com/channel/UCPlEx3OdXWVsaVpc5qDdYgQ/joinHABARI // BURUDANI // MICHEZO // SIASA For Advertiseme...
TULIFANYA INTERVIEW NA PROF JAY NA ALISEMA HIVI
''Wanaosema Nimekufa Ghafla Washindwe Na Walegee..., Niko Sawa Mimi Siumwi " ~ Professor Jay for Mikumi Professor Jay
Mwandishi> Fazul Khalid Stori Iko Hapa 👇👇👇
Msanii Lady Jaydee Amepaza Sauti Kutokana Na Kile Anachokiita Mauji Ya Ovyoovyo . Ameandika Hivi Kwenye Mtandao Wa X
''Hii dhambi ya kuua watu hovyo inachochea chuki sana baina ya watu na watu. Hadi siku atakapouwawa ndugu au mtu wako wa karibu ndio utaujua uchungu wake. RIP kwa wote waliouwawa bila hatia. Hakuna anaestahili kufa kifo cha kinyama. 💔''
Mwandishi> Fazul Khalid
Msanii Roma Mkatoliki Mwenye Makao Yake Nchini Marekani Ameweka Picha Ya Marehemu Hamza Mohamed Na Kuandika Hivi
''You will forever stay alive in our memories.
You will live forever in our hearts Big Man.💔
Endelea kupumzika Ka’mkubwa ✝️''
Ikumbukwe Ya Kuwa Hamza Mohammed Agosti 25 Mwaka Wa 2021 Aliwaua Maafisa Wa Polisi Watatu Na Mlinzi Katika Shambulizi La Bunduki. Mohamed Alipigwa Risasi Na Kuuawa.
Unadhani Nini Haswa Ndio Chanzo Cha Roma Kuandika Ujumbe K**a Huu ?
Mwandishi> Fazul Khalid
Mwenzetu MICHAEL WERE MUKHUSIAH - BONGA BOLI Alizuru Chumba Cha Matangazo Ya RFI Kiswahili Jijini Nairobi Na Kudadavua Mengi Kuhusu Matangazo Na Vifaa Vya Kutayarisha Habari.
Mwandishi >> MICHAEL WERE MUKHUSIAH - BONGA BOLI
Stori Iko Hapa Bonga Tube 👇👇👇
Be the first to know and let us send you an email when Habari 254tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Send a message to Habari 254tv:
Msanii Kutoka Tanzania Ney Wamitego Amekemea Vikali Utekaji Na Mauaji Nchini Humo. Msanii Huyu Amewarai Vijana Waamke Wahakikishe Kuna Usawa Katika Jamii.. Stori Hii Iko YouTube Link Hapa Chini 👇👇👇 Mwandishi> Fazul Khalid
Wafanyikazi Wa Uwanja Wa Ndege Wa JKIA Nchini Kenya Wamegoma. Wanasema Kampuni Ya ADANI Kutoka India Itafanya Watapoteza Kazi Itakapoanza Kazi Rasmi Ya Kuboresha Miundo Mbinu Kwenye Uwanja Huo Mwandishi > Fazul Khalid
Msanii Kutoka Kenya Anayejulikana Kama Juliani Ni Kama Penzi Lake Limeingia Doa. Mpenzi Wake Lilian Ameamua Kumuunfollow Kwa Instagram Na Juliana Pia Akafuata Mkondo Wa Kumuunfollow. Mwandishi > Fazul Khalid
Mwalimu Abduba Dida Aligombea Urais Nchini Kenya Mara Mbili. Sasa Anatumikia Kifungo Cha Miaka 7 Jela Nchini Marekani. Amepatikana Na Hatia Ya Kutisia Maisha Ya Mtu Ambaye Mahakama Bado Imebana Jina Lake. Mwandishi> Fazul Khalid
Mwenzetu MICHAEL WERE MUKHUSIAH - BONGA BOLI Alizuru Chumba Cha Matangazo Ya RFI Kiswahili Jijini Nairobi Na Kudadavua Mengi Kuhusu Matangazo Na Vifaa Vya Kutayarisha Habari. Mwandishi >> MICHAEL WERE MUKHUSIAH - BONGA BOLI Stori Iko Hapa Bonga Tube 👇👇👇
Habari 254tv Imezungumza Na Professor Jay for Mikumi Professor Jay Kwa Mapana Na Marefu !!!! Interview Iko Kwa YouTube Habari 254tv
Influencer Raia Wa Kenya Cassypool Capon Ajiunga Na Chama Cha CCM , Nchi Jirani Ya Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania.. Anasema Ni Rasmi Yeye Sasa Ni Chawa Wa Rais Samia Suluhu ! Mwandishi > Fazul Khalid Iko YouTube Kwa Channel Ya Habari 254tv
Mwanahabari Mwenza MICHAEL WERE MUKHUSIAH - BONGA BOLI Ndani Ya Radio France International RFI Kiswahili Gatuzi La Nairobi ! Stori Iko Hapa 👇👇👇
Wananachi Wanatema Nyongo Kuhusu Kero Zao. Hapa Ni Mukuru Kwa Njenga , Nairobi Kenya! Habari 254tv Na @bongatube
Makala Ya Kero Zako Ndani Ya Habari 254tv . Hapa Tunadadavua Mengi Kuhusu Vitu Vinawakwaza Wananchi ! Tupo YouTube Kama Habari 254tv Na @bongatube
Kiwanda Cha Maziwa Nchini Kenya ! Fuatilia Makala Hizi Kwenye YouTube Channels Zetu Habari 254tv Na @bongatube
Kutana Na Mwalimu Anthony Mbotela. Mwalimu Huyu Kutoka Kenya Anafanya Biashara Ya Kuendesha Bajaji Ili Ajikimu Kimaisha ! Stori Yake Iko Hapa 👇👇👇