Mtangazaji mkongwe Leonard Mambo Mbotela azikwa katika makaburi ya Lang’ata jijini Nairobi; alifariki wiki iliyopita akiwa na umri wa miaka 84, baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Lala salama Mzee Mbotela
Muwaniaji wa kiti cha umoja wa Afrika AUC Raila Odinga amesafiria Kwa gari moja na Rais hii leo wakielekea Katika makao makuu ya AUC Addis Ababa mji mkuu wa Ethiopia.
Picha Kwa Hisani
Kanda ya video Kutoka makao makuu ya AUC Addis Ababa mji mkuu wa Ethiopia...
Mbunge wa Mumias Mashariki Peter Salasya wakati wa kikao cha Bunge hapo Jana, hii Leo spika Moses Wetangula anatazamiwa kutoa uamuzi wa iwapo azimio itachukuwa Nafasi ya walio wengi...
Gavana wa machakos Wavinya Ndeti akikagua gwaride la heshima, magavana wengi humu Nchini wameonekana kubadilisha mtindo wa maafisa wa kaunti kinyume na hapo wali, ikiwemo kupeleka kwenye mafunzo ya Hali ya juu, hivi maafisa wa Kaunti yako wanafanya kazi na ueledi??
Mbunge wa Mumias Mashariki Peter Salasya afurahishwa na utendakazi wa kiwanda cha Kutengeneza sukari cha Mumias, ameahidi kuwa atahakikisha shughuli zinaendelea na kiwanda hicho kinarejelea vizuri hali yake ya hapo awali.
"Mumias sugar mega operations makes me happiest like a small child .I will protect mumias sugar from all cartels as the area member of parliament and a committee member of Agriculture in the national assembly.Our economy is back." Amesema Salasya.
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine pia ameonyeshwa kukerwa na Rais wa Taifa hilo Yoweri Museveni kufuatia matamshi yake kwa mbunge wa Embakasi Mashariki Babu Owino hivi maajuzi wakati wa hafla ya kuzindua uenyekiti wa AUC
Tizama aliyekuwa mkuu wa Majeshi yote ya Ulinzi ya Kenya Jenerali Francis Omondi Ogolla alivyokuwa mcheshi na mkarimu
Mbunge wa Saboti *Caleb Luyayi Amisi* amepokelewa kama Mfalme Katika Wadi ya Tuwan, ambapo amezindua usambazaji wa Basari Katika eneo bunge lake.
DilemmaMonday 🔥🔥
Ni Juma lingine jipya la kuzidisha uchakarikaji ili kutimiza malengo yetu......